ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
THE CLASSIC SHARAMA WA UKOO FLANI :MUZIKI ULITUTOA KWENYE UHUNI/HISTORIA YA RAP KENYA/STREET HUSSLA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2023
- Sharama ni rapper mkongwe aliekuya sehemu ya kundi kubwa la Hiphop nchini Kenya la Ukoo Flani na baadae kuwa sehemu ya Ukoo Flani Mau Mau,pia alikua ni sehmu ya kundi la watu wawili la Sharama na Cannibal ambao walifanya poa sana na kazi zao kama Kichwa kibovu na Street Hustler,alipita kwenye The Classic ya Efm na kuongea na Jabir Kuvichaka kuhusu masuala mbali mbali ikwemo historia ya Rap nchini Kenya
#bongoflava #gengeton #kenya #ukooflani #kalamashaka
Very Interesting
Big up sana Sharamaa...well represented Mombasa.
Hii upuzi ndio kazi. Big up sharamaa..
Ndani Ya Pwani ilikuwa ngoma noma sana.
Interview kali muwe mnaachia na upande vya hizo ngoma
pole ndugu hizi nyimbo zina haki miliki ndo mana hatuziachii hapa
@@KuviFacts Ok
Kweli jabir mna Kata kata sana mziki mna rusha japo dkk 3 ya track bro!!
sharama ni story teller mzuri sana
Huu.upuzi..ndio.Kazi,""SHARAMA Mupaye
"Mashabiki ni Real Ukoo Flani kuliko Ukoo Flani wenyewe.." Ukoo Flani for Life🇰🇪
Shalama bonge ya rapper
Kuvifacts we need Redsan kwa show yako
Big up Jabri, kipindi chako ni classic for sure ❤🔥
salute sana
Ndio 🎉 maua yako salute kuvi facts
pamoja sana
Pindi Bora sana kwangu namba Uno.. Oii Stay blessed Kuvi Facts
pamoja sana
Magongo city
Nimeipenda hio story ya jamaaa.
Sure homeboy utakualisha safi
#StraightAutoBarisheba #streetWakali
#kichaja
Pale Pakistan Kuna rapper Atari sana mc Abdul
Nampata sana huyo dogo Alipita na beat ya Eminem.
Kubwa hii..love from mombasa 🇰🇪
pamoja sana,salaam Mombasa huko
Tuko locked brother..blessings kwa kila mtayarishaji that made this interview happen,wakaribishe wote ukipata nafasi e.g vigetti k south cannibal chizen ambrose Juacali bobby mapesa nonini nazizi
Kuvichaka 🐐
Alafu tafuta kitabu chake online keefe D ameandika yule Vlad tv ndio kamponza aliaanza ujinga alivyomjibu Boose
sharama anaonekana akili mingi sana the way anavyoongea
Fujo makelele alikuwa mtu na nusu😂😂 mwamba alikuwa mnoko balaa
Ndani ya kapuela😂 Energy hatari sana
Asante ✊🏿👮🏿
Kuvifacts we need Redsan kwa show yako