Waliotunukiwa PHD UDOM walivyoshindana kucheza wakipewa udokta.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 พ.ย. 2022
  • Tazama namna ambavyo wahitimu mbalimbali wa Udokta wa Filosofia (PHD) walivyokuwa wakishindana wakati wakitunukiwa PHD zao za Chuo Kikuu cha Dodoma UDOM leo Alhamisi Desemba Mosi, 2022 jijini Dodoma.

ความคิดเห็น • 24

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 9 หลายเดือนก่อน +2

    May my kids reach this stage❤

  • @gloriamsaki9109
    @gloriamsaki9109 ปีที่แล้ว +1

    Hongera Sana ndugu zangu.Tuombeane na sisi tufike huko

  • @julianaboniphace7351
    @julianaboniphace7351 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ipo cku nami ntatunukiwa

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 ปีที่แล้ว +1

    Hongereni sana sio kazi rahisi.

  • @leonidaskwigize1853
    @leonidaskwigize1853 ปีที่แล้ว +1

    Hongereni Sana kwa kuwekeza katika Elimu

  • @munyandindajeanbosco8399
    @munyandindajeanbosco8399 9 หลายเดือนก่อน +1

    Morning My dear give me information to Dodoma university finished university in Rwanda country tell

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 ปีที่แล้ว +1

    Ongereni jamani 👏👏👏👏👏👏🙏🙏

  • @ip_header
    @ip_header ปีที่แล้ว +4

    Elimu yetu ipo zaidi kwenye makaratasi kuliko kubadilisha mazingira, nguvu kubwa ipo kwenye kupata vyeti

  • @esabelfadhili8432
    @esabelfadhili8432 ปีที่แล้ว

    Hadi raha😍i wishnifike hapa

  • @LeylatVlogs
    @LeylatVlogs ปีที่แล้ว +1

    👏👏👏👏

  • @josephatmathiasgalagalabuh786
    @josephatmathiasgalagalabuh786 ปีที่แล้ว +2

    ni PhD na sio PHD

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 ปีที่แล้ว

    Kuna raha yake jamani....Sio wapinga kristo wa PhD za michongo

  • @kibwetere1418
    @kibwetere1418 ปีที่แล้ว +2

    Siku hizi mwenye PHD na darasa la 7 uwezo wa kufikiri wanafanana

    • @moriscollins4494
      @moriscollins4494 ปีที่แล้ว +1

      Acha dhalau ndugu....Hiyo ni elimu sio kwapa hadi mlemavu analo

    • @ptElimu1234
      @ptElimu1234 ปีที่แล้ว

      Nadhani una mtindio wa ubongo sio bure

    • @AziziHassan-ci7qw
      @AziziHassan-ci7qw 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂watafuta maneno

  • @tunkuh661
    @tunkuh661 ปีที่แล้ว +1

    PhD✅

  • @electronicteaching1134
    @electronicteaching1134 ปีที่แล้ว

    Mbona huna wewe hata hivyo vyeti?

  • @piusphilip307
    @piusphilip307 ปีที่แล้ว +1

    PhD kibao nchi haina maji, ajira hapa, umeme kizungu mkuti, njaa ndo haisemeki. Wanaolisaidia taifa kutoa ajira ni sekta binafsi,wengi wao hawana hata certificate. Hivi hii hali inakuwaje.!!?

    • @senziashwaibu3219
      @senziashwaibu3219 7 หลายเดือนก่อน

      Umefanya utafiti ukajua zipo nyingi?

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 ปีที่แล้ว +1

    Elimu ya cheti tu ukimwambia tengeneza kiberiti ajuwi

    • @yustinasaqwaret9279
      @yustinasaqwaret9279 ปีที่แล้ว +1

      Watu mna makasiriko cku izi,fata maisha Yako na mambo Yako mwache mwenzio ,mmejawa na maneno maneno....

    • @pulikisia7963
      @pulikisia7963 ปีที่แล้ว

      Inategemea alisomea Nini.

    • @moriscollins4494
      @moriscollins4494 ปีที่แล้ว +2

      Kwani hapo umesikia kuna Dr wa veta? Anza kufikiri ndugu sio udaku huu ni elimu kima mkubwa