MTEGO UMEMNASA MAKAME NUHUSI - NDOA YA MKEKA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 มี.ค. 2021
- #MauMpemba #KomboKichwa #VitukoZanzibar
MTEGO UMEMNASA MAKAME NUHUSI - NDO YA MKEKA
Furahi na jifunze na vichekesho vya Mau Mpemba. Mau Mpemba ni msanii wa Zanzibar anaejulikana sana kwa aina yake ya sanaa ya maigizo kwa kutumia asili yake ya Pemba. Kwa kushirikiana na wasanii mbali mbali Tanzania, Mau Mpemba anasisimua na kuvunja mbavu za watu wengi wanaopenda aina yake ya maigizo.
Aina ya sanaa anayofanya Mau Mpemba ni mfano wa kuingwa kwani, anatumia kile kidogo alichonacho ili kufurahisha na kuelimisha pia.
Ukihitaji kuunga mkoni harakati za wasanii hawa ili waweze kuleta furaha kila siku katika jamii zetu, hakikisha unatangaza biashara yako au kutoa ushauri wako kupitia.
+255 777 001500 - ตลก
Makameeee amenasa kwenye mtego
Naamin mutafika mbali wasokupenden kazi kwao
i love maana chemistry
Da uyu dem kajua asa kuect ushamba .😂😂😂😂😂 hongera dada
Kwa huyo kombo kichwa mi hata nsingeleta utata maana akikupaga kichwa umeisha😅
Umetisha Makame noma sana
Toba roho yangu inanikumbusha mbali sana😄😅😀😁😂🤣😃
Hahahaaaaa makame c m2 mzur
Alosikia ata watu cjaalika bac uyo ni mfatiliaji mzur
I Love u .... Ni chemistry tu hiyo
I love you manake chemistry😂😂😂
Nikukumbuke kwan ww baba wa taifaa😂😂😂😂
Napata motivation ya kuficha Zanzibar
Mwarabu wa pikii😂😂😂
Haaahh on fire😁😁😁😁
0:45
Hah😂😂😂😂 makame i love you
Makameh washa umeme
Iloveyou
😂😃😆😀🤣 Eti maana yake chemistry mbavu zangu mie
makame bwana 😄😄😄😄goood
Hichi ndio kipemba sasa 😆
Hicho cha micheweni wete au chake hawaongei kama hivo
Wema makame muarabu wapiki tena haaaaaa
ishallah
Muarabu wakipemba
wallah hio neno i lov u linanikumbusha mbali sana kuna mwaka nilitembelea pemba maeneo ya mitamani bac karibia sala ya maghrib watoto wanarudi skuli nipo njiani nachuma embe zipo chini chini kw mkono tu nipo na wenyeji wang bac akapita mwanafunzi wa kike nikaona ananiangalia sn labd nikahis anataka embe nikamwambia njoo uchukue hi apa bac akanijibu mbele za watu sitakii wataka kunambia i lov u haha.nilicheka adi nikakalia mavi ya ngombe nikarudi nilishindwa kusali hahaha ah hatar 🤣😅😂
Mbavuzanguuu wee hahahahaaa
Kakuogopa mtt alifkir kitangi jmn na mm umenichekesha doooh umepata thawabu kunitia furaha sasahv na story yako
😂😂😂😂😂
Hahahahahha😂😂 pole
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu Mau ni khatari na nusu
Hahaaaaaa makame anamistar ya kweli bhn
hhhhhhhhh ilov chem
Fundi wazidi chafukwa ila juzi ulizingua wanrandisha nze chilo kwamiguu
I love you 😂😂😂😂
Oy mau nahitaj namb yk
Chamkeka 😂😂😂
Makame nukus
😁😁😁😁 huwowi kwakuwa huajalika watu duu
I love you ni chemistry
Vyumba 130 Hahahaaaaaaaaaaaaaaaa
Hahahaaaaah
Hhhh ety muarabu wa pemba
Makame 😂😂😂😂😂😂😂
Nyumba vymba 300, ha hupotei 🤣🤣🤣
et ilov
Good
Chemistry😆
Utaoaa
Mpaka hesabu imo???😂😂😂😂
Hahahhahahahaha ha
🤣🤣🤣🤣makame
Hahahaha hahahaha
😄😄😄
😁😁😁😁
Tena muarabu wa piki😂
Pemba raha
😂😂😂😂😂😂