MAKAME NUHUSI | NIKIPATA UBUNGE NITAHAKIKISHA MUHAMMED SALAH ATACHEZA KOMBE LA MBUZI |AdilAbdallah
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2020
- #AdilAbdallah #HarusiyaJirani#AdilAbdallahQaswida#AdilAbdallahMakameNuhusi
Karibu ujiunge nasi Adil TV. Adil TV nikituo kinacho onyesha Video tofauti kama vile Move,Tamthilia,Qaswida,Comedy Clip,Show n.k Ili kujiunga nasi bonyeaza SUBSCRIBE ili kupata video mpya kila tunapo ingiza.
Pia weka komenti zako katika video hii. Napia TUNATANGAZA BIASHARA YAKO tupigie 0774 362 246 - บันเทิง
Unamkubal makame nuhusii ( gonga like ) hapa
ah yaan komedy zke zpo vzur nachek mpk tumbo laniuma
Aloooo ww makame nuhuc ni fundii tena nakukubali sanaaa
Tena sanaaaa
We noma
Anaikuliba tim ya majuwa ndo hivo tena like
Hatariiiiii kama umeona hadi mbirimbii gonga laik hapa tujuane
timu majuha tujuane bas kwa kucoment chochote hapa piga kelele kwa timu majuha akeeee majua safi safiiii 😂😂😂😂
From KSA...Exit 18 aiseeee mko juuu Majuha
Kama umeona bodyguard wa mbunge kachukua buflo gonga like
Kama mume wakubali ma body gad gonga like hapa😁😁majuha mupooo🙌
Indirect message for our leaders
Mnamkosea mungu kwa matusi acheni ujinga nyinyi...unatukana unacheka ila mungu hapendi just jirekebisheni tu.
Nuhus ww nomaaa 😁😁😁😁
Hahahahahaha nyiye wapemba wenzangu nawakubali sana
I'm imraan Ak real name from somalia ndo na watch video zko keep going bro
Hahahahaha samata mzuri ktiya vichwa hahahahah
Uwii mie
Leo jino laniuma ninavo cheka kma ninaye lia😭😁😁
Pole sana
Pole sana my
Namkubali sana Makame Nuhusi
Nakubali camer man
Hahahahahaha yan hizo jezi na mpira utatumia mpaka unakufa
Hahahaha mbunge hana taa viatu nimecheka Kwa saut 😃😃😃😃
Hahaha mbavu zangu jamani yani mikojo imekaribia kunitoka haha
hahahaa nimecheeka jamaani hahahaha daaah kiaatu
Ananifurahisha Sana wallah
Ha haaaa gan tafikiri bomba la maji
Hahahahahhahahaha majuha tupo wengi 2020 iyo ishafika wabunge ndo hao
hahahahahahahah mahame nuhusi na mau fundi nyi mnajua kuliko joti nampoki mala wanakuwa wanawake jau siwapendi jot na mpoki
Hahahahha bodyguard anadookowaaaa ahahhahaha
Ipooo vizuriii sanaaaa
Kucheka dawa 😅 hongera Makame
Mko tayari kuchezewa nyuma 😂😂😂
Nani amesikia. Mshikaki. Wa. Mbirimbi uko. Juu kaka🤣🤣🤣🤣🙏
😂😂😂😂😂
Duh! Hii team wehu kweli ujumbe kiwembe umefika lakini😂
Nomaaaa sana 😂😂😂😂mbunge hy
Km u nakubali zanzibar tuna vipaj vya peke gong like yk
Mm sio mpemba ila jamani nyote ni ndungu mpemba na mzenji ni kitu kimoja furahini tofauti weka pembeno
Nakukubali sn mpendwa tup pamoj
Hilo ndo tatizo linalotuumiza,na Tanganyika watumia njia hiyo kutukandamiza
@@princenyakurungwi6925 tanganyika tumefanyaje buddah
Wakina baba huko nyuma mtanipa🤣🤣🤣🤣😋😋😋
HaahahaaaaA hatsri si kwa kuchezewa nyuma huko na kuchezea vichwa unatukana tuuuuuu hahaaa na wao wapumbavu wanaitikia tu
Mbunge mungu anakuona
😀😃😄😁😆😅🤣😂 Intelligence hataree
Hahahahahahhaha muhammedi salah atashirikk kombe LA mbuziiii hahahahahahha
Zanzibar one
Mipira kugeuka badia ww kweli nuhusi
Tim majuhaaa 😁😁😁
😃😃😃hana kosa wakimpa kura akakimbia 😃😃majuha oyeeeee
😁😁😁😁😁. Mecheka hd nimezimia.
Firdous sio peke yako naam hivyo ndio CCM wanavyowafanya wafuasi wao na wao hawaamki maana sawa sawa na maiti alivyosema Kenyata Kenya imetawala wagonjwa lakini Tanzania wanao ongozwa ni maiti
Firdous Said 😇😇😇
Message sent
Majuha safiiiiiiiii
Nimecheka sana timu ya majuha
Daa hizo bunduki sio poa
wa 1 like
Jaman mishkaki
Mwenye akili tu ndio ataelewa huu ujumbe...waliobakia wataendelea kua team majuha🤣🤣🤣🤣
Hahahahha unatoka na uchafiiiii aaaaaaaahahahah
Daaaah hiii bunduki
Mshikaki wa mbirimbi jamaaniiiiiiiiii hahahahahha
Haahahahaha eti Majuhaaaaa daaaah wamegusajeee hawaa.. Eti ndi Baba majuhaaaaaaa haahahahaha daaah dadakii wazenjiiii
mushawahi kuona kiatu cha mpira hakina njumiii hahahhhahhahhahha
Yuko vizuri kama umechoka akili inakupa faraja
Naifungua tu hii video naamza kwa kucheka
🙏 pleas 🙏
share, like, comment and subscribe...
kazi imechezwa na allymamba, feisalshavu(kid'shavu) na petercomedy
ahsante kwa support yako...
Follow on instagram
@CHENGAlive
th-cam.com/video/xTQFRru2HQU/w-d-xo.html
Massage sent
Majuha oyeeeeeeee🎅🎅🎅
Masikini et kule ulaya anawachezea mbele huku atewachezea nyuma mkotayari ndioooo🙄🙄🙄🙄🙄🙄😹😹😹
Huu ujumbe ni mpana
😁😁mie jmni
🤣😂😂🤣🤣 bodyguard nae anazidi kuniumiza mbavu
Duh,hhhhh nyasi bandia ng'ombe wamezila,nime iona hio
Boraa tuunde kikosii chaa kuuzaa mkaaa
Hahahaaaa duh hatari
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jan mda mwengine hua ata hutk kucheka lkn ucheke tu
Umeonaaeee 😂😂😂😂😂
@@omanmuscat3461 kazingua kwel mana waarabu washanitibua hapa nilikuwa nnahasira zangu najikuta nacheka tu baada ya kuchek vidio hii
Sawa mm sina. Neno
Mbunge kama omba omba haahaahaa awo majeshi mumewatoa wapi naona wameshika SMG za maana
Timu majuwa tupo😂😂😂😂
majung yann
Hahaha
Mbavu zangu miee😂😂😂😂
Eti timu ya majuha hahaaaaa
Huyu mtu kwakwel kiboko wa comedy🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahhahahhahha Wazanzibar tukisha shiba Chai ya mdalasin na BaBaanziii Ahhh
Nyie majua kweli sio uongo
Jamani nyasi eti zimeliwa na ngombe 😂😂😂😂😂😂😂😂😂wewe nouma makame😂 timu majuha tujuane kwa jezi zetu
nakukubali
Wenyewe washajijua
Mipira yote inageuka badia nimeipenda iyo
Mbunge acheka kama samaki wakukaanga chezea kura weee🙌🙌
Faiza Said tena ana meno kama changu
🙄🙄🙄🙄🙄😁😁😁😁
Umetisha ww uko fiti
Km samaki wa kukaanga😆😆
Mbunge jaman hatavihatu hukuva🤣🤣🤣😂
Ndo viongozi wetu WA zanzibar ao hahahahahhahahaha dah
Nzuri ila kuweni sirias kidog ili tupate uhalisia
Kweli hawapo serious
Amaa kweli hawa ni majuha
Timu ya majuha hoyeeeee ndio🤣🤣🤣🤣
Hatirii mipira kugeuka baadia
Mbavu zangu mie ,ila jihadharin na matuc
Mbunge ata yebo yebo bc hujavaa😄😄😄😄
Hao mabodyguard na bunduki zaoo utafkiri kwelii
khaaa balaa
Pemba nkwetu🤓😍😅😂🤣🤣🤣
Wazee matuc taratibu taratibuuuu...
Ama hii kweli timu ya majuhaaa
😂😂😂😂😂😂mbunge viatu ana
Hhhhhh yuko wp Mau Mpemba
Vichwa vya,,,,,,,,,,, au
Tukishapewa kanga na maflna apo Tena mpaka baada ya miaka 5 hahahahahahah dah kz ipo zanzbr
NAKUBALI KAZ
show