OFFICIAL FIRST EPISODE - Huba Season 2 | Maisha Magic Bongo
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 มิ.ย. 2017
- Tazama kipindi cha kwanza cha #HUBATZ katika chaneli yetu ya TH-cam!
---
Endelea kutizama DStv chaneli 160
Instagram: / maishamagicbongo
Twitter: / maishamagictz
Facebook: / maishamagicbongo
Anaeangaliaa apa 2024 gonga like apaa 😅😅😅
Aaaaah😂😂😂😂
mbona part nyingine atuzioni jmn. wengine tupo nje ya nch. tunataka kuelewa story
siyo fresh na watu tunasema ila tu . amtufanyii mambo.
sisi tuko australia. tutaonaje full movies wakati munaweka promo. plzz full movie
kweli
Kweli bwana
Mnakela tuwekeeni full jomon daaah😭😭😭 muv nzur daaaah
Napenda kibibi jamani😂😂😂 anajuaga kuigiza huyu dada😘 nilimuona kweny series ya aziza kenyatv nimekuja huku kwasababu yake
Jina lake kamili
Jina lake kamili
@@angelamulondo6894 getrude mwita
Please we need the full movie
Maisha magic please.... Bring us full episodes of kapuni, huba and sarafu here on you tube
Hello where we can find this movie
Naipenda sana Huba Naomba kuona saison 1 episode 1 kwenye Yutubu tafadhali Mimi Niko USA
Ni fanyie mpango wa kazi huko please
I need that country.
Huba movie zuri Kwl nkupenda cnaa bi tesa a.k.a Grace mapunda n wapendeni yte w2 wa huba
Mishi Juma
Safi sana Dar hii production inayo andaa Mungu awabariki kazi njema nimependa sana
Mnazingua nimejitahidi kuifatilia hii film alakini hamuitendei haki kabisa tupeni season zenyewe zimepangiliwa vizuri sio kutuchanganya hatuelewi tuingalie aje!!!!!
Mtoto wa watu Mimi mzuri unanionea gero 😅😅😅
Afadhal uncle JJ hakuwahi kutufanyia hiv ,kama hamtak semen sio kueka prom 2 , RIP uncle JJ kwan toka utuache bongo movie imefifia na ufisadi umezid
unalalamika usichokijua
Jamani eti kwa sababu hawauzi ndo wameamua kuweka ivo kwa vipindi inzi zile za kina maudodo na comed looo wengine tupo kwa washashi uku jamani uwo mchezo muache 😜😜😜
🤣🤣🤣🤣
#AuntEzekiel hiyo Lipstick yako shoga mi hata siielewagi, inakuharibu muonekano mzima.
It is a style km hujui
Hahaha
nampenda sana Huba, mbona kitojo tu? tuinyesheni yote Jamani.......!
😭😭Pole time hubs naipenda sana
Kutoka Paris France, nimeipenda , tunaomba mwendelezo
Tafathali ndo naanza kuona huba season,, nimekosa season 1 jamani 😭
Hii huba mbona haieleweki kwann hamileti full
tuwekeni yote jaman wengine tuko nje ya Tz
nimeipenda sana hii film
tuwekeeni yote promo za nn tushalamba asarii
Shwar
Kwel kabisa fanyani mpango achane hayo mambo yakuweka nusu nusu jitaidini kupangilia mambo kam wezetyu
Naipenda hadi anaumwa jmn
We need more please
Wow
mimi napenda tu hiyo nyimbo, huba
Tunaomba mtuwekee muendelezo jamani sisi Wa nje ya nchi. Mtukumbukee. Nzuri sana
Cymah Wandelt kweli kabisa
Cymah Wandelt
q
Kma umemuona dokta kavaa ndala gonga like apo
Rebeca Magesa 😂😂😂🤣🤣🤣😂🤣🤣
kawaida t maana spital mara hutokea emergency
Nyavu
Monika paulo
Dad weee
I like ooh
movie nzuri sana sana na washiriki woote mnaweza ila tunaomba mtuwekee full pls pls pls jamaniiiii uwiii tufanyeje ili tufarijike tuliopo huku nje ya nchi
David Phares ni tamthilia cyo movi
Eti doctor 👨⚕️ jamanii😱😱🙈🙈kwa kiatuu ichoo 😂😂😂
Rammy unanenepa sanaà daaah Fanya mazoezi unaharibika movie nzuri
penzi la tima na devi linanoga💘💘
Mbna zengne hamna jamani.tuko mbali hatuoni dstv.alaf iko tamuu sana
Ipangilieni vizuri hamuoni mfano wa movie ya manero ya kuambiwa ???? Fumbukeni macho basi .please tupeni full movie .
Mnazingua mnatuwekea promo badala ya yenyewe wengine tuko nje ya nchi hamtutendei haki mashabiki wenu
Nmefurahii hii co promo mtuwekee na zingine bac.
Maggie Mwambapa
kwel ndg wengin tup nje
umeona enhee wanatubana bana tu ata siyo vzr watuwekeege nasi tujiskie tupo nyumba ni Tz.
Maggie Mwambapa aah nataman kuliaa wanavotutesa😢😢
Maggie Mwambapa kweli kabisa
Kibibi ni mwanamke jasiri na hisi anayemtomba haenjoy kabisa
Nzur sana ongerani ila mnatuakea kidogo kidogo
Mnaudhi kinoma watching from USA
Jaman tam
Movie nzuri sana
woyoooo aunty na duma
So nice
dah dactari viatu gani hivo mmejisahau saana sabu me im a upcoming director
Jaman naipenda sana tamthilia ya huba
Twambi twayitaka inapatikana wapi kwenye mtandao
Jmn nyinyi wa bongo mnazingua
Jmn video queen wambosso uyo mke wa mboto kwny tamba alie ona
Huba Ni move moja nimetokea kuipenda xana
Hina xx mua xana harafu inafundixha kiujumla I love you huba
Mnazingua wahusika
Huba n nzur sana
Heeey jaman
sasa promo za nn
Muendelezo plz Tamuuu hii Episode.
mnazingua bahna tuekeeni full episode
movie nzuri jamani naomba muendelezo
Mnakeraaa nyinyi tuwekeeni full move wengine tupo mbali jamani hatuwezi nunua cd
Imagine tima ndio anafanyanga nagwatilia hii kipinda napenda vile nimchasiri na kujituma
Nice,miendelezo tafadhali
Hi tunapenda Huba ila ila amujaipanga vizuri atujuwi season 1 niipi wala 2 niipi pangeni vizuri kama Maneno yakwambiwa imepangwa hadi raha, Huba ninzuri ila amuja ipanga vizuri
Kwel kbsa
Kwel jmn
Exactly
👍
Hiyo ni kweli unaweza ukaangalia kipande kimoja kinachofuata ilipoishia unakuwa huioni inaboa hawajazipanga
Hapo sawa
mtuwekee hii sinema humu wengn hatuna dstv.
Nadia Bernard r
huba is a best movie Tanzania tunaweza
Mnazingua bhana
jamani wekeni full
😢😢😢 tuwekeeni yote tupo injee ya tz jaman
Comment viewers Association keep on scrolling 🤗🤗
Where someone can find this movie please ? If you know
Jaman tima mzuri
Nice
kwann maisha magic bongo hawaregeleii Doli arnaanok
Cynthia Mnyazi Dah Vp hat we unaitafta dor amanrk
Huba ninzuri lakini kwanini msiipangilie kama maneno ya kuabiwa?
mboma hamtuwekei kamili tukangalia yote
Jamn mbona mna tunyanyasa turio nche ya nchi Tuna taka Mambo ya yumban jamm
Mbona hamuweki movie yenyewe jamani hapa naona mambo sio mabaya
Hamtuwekei vzr
Mm langu ni moja tuu ilikuwa nataka hyo nyimbo ya huba sijui nitaipata ama naomba msaada wenu
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Sijui mmechoka kutufurahisha mashabiki zenu mbona mnazingua wengine tuko nje ya nchi
nice
Mwanzo wap jaman iko vzr
Nimewarewa.nzurisana
Tunaomba Movie full plz.
full movie plz
Mnazingua , mpaka mnatuchosha , watu wengine tunaishi inje ya tanzania sasa muwe mnatuwekea hapa tafathali !
Mahoro Joselyne nje pameonwa!!
Tuwekeyeni full movie jaman
Dj tupatie zingin ep
Tuwekeeni move kamili wengine tupo nje ya nichi
Mbona mnawek vipand tofaut n mmeanz vzr wengine tup nchi z nje tuweken tamthiria nzm bas
Kweli Mimi mwenyewe huwa sielewi ginsi ivyo vipande vinavyo fatana
Kweli hata mm party one sijaiona
Mi jaman nataka season 1 huba au hatuna vigezo
weeee.... umbea na kahawa hahahaha aisee
Nc
Huba ni nzuri san
Tufiakwa tena huyu bi mwende tena khaa pepo mbaya
nice
maisha
maza
chichi back h
googogogo😃😃😃
hiii move ni nzuri sn lkn nimeshindwa kuitizama ktk mpangilio mzuri hebu nisaidieni mlioangalia mwanzo mpk mwisho
Mi.mpaka sasa sijaiona sehemu ya 1 jiongezeni kama maneno ya kuambiwa na siri ya familiay
jmn nzuri sana
Duh nzur lkn mnabania kwa kuwek promo
Senema mzuri Sana ila mnachutisha kwa vipande vipande
Mnazingua
Hizi episode zimepangwa vipi jameni.... movie nzuri lakini zimepangwa vipi
Hii Huba hata siielewi mwanzo ni wapi jamani?
naomba mnielekeze niwe naangalia kila siku maana mm nipo mbali na tz. nimeipenda sana movie yenu plz. naomba mnielekeze.
Sara mi pia Niko nje my
hahaha
Saf
Kwakweli mnatichanganya mngetakiwa mueke pat 1 napat 2 basi sasa bipengele vingi mara no 1 no 2 no 7 hatuelewi