Tima ana mimba! - Huba |S11 | Ep 70-74| Maisha Magic Bongo
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ค. 2022
- Nicole apata mwaliko mkubwa na Nelly adai kwamba Tima aseme ukweli kama ana mimba. Pia Kibibi aishiwa kupigana na Tima wakati Tima atimua kila mtu toka nyumbani kwake na Kibibi na Nelly waishia jela.
---
Endelea kutizama DStv chaneli 160
Official Website: bit.ly/3lXtAFc
Angalia tamthilia bora Tanzania kwa kutumia Showmax:
bit.ly/2KnGqyv
Pakua App ya DStv: bit.ly/36ZGjkz
Instagram: / maishamagicbongo
Twitter: / maishamagictz
Facebook: / maishamagicbongo - บันเทิง
Moyo wangu leo umeburudika kuona huba shukrani
Kumbe tima anasauti yakugombana
Napenda final hiyi yahuba
Fire fire....napenda watu wakipigana
Meli napenda nywere zako mm💓💓💓💓
Nataka kuona Tima na Devi kwenye mahaba ndindi....mimba kitu gani😅😅
Thank dj
Shukran
Kumekuchaa huku waa mambo ni moto atali🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣npenda mukipigana walai
Mbn wanamdharirisha tima kama hvy mmmhhhhh
Eeeh mambo ni 🔥
Shukuraniiii 🙏🙏🔥🔥🔥
Mimi nataka nyimbo zote za huba
Toa kitu yako ndan 😃😃
Jamani tima pol jikaze hakuna kiripo cini yajua kisipo jurikan pana baki dorisi na mama yake
Rk mungu akilinda sana
Jamani huba moto kabsa tesa Nelly kibibi wote wame ika cini nime furai Sana
Wake wa devi😂😂😂👌
Nelly bwana bt anababa kizito 🤣🤣🤣🤣huyo kibibi angeachwa seli atie adabu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣jmn deve niwa tima mimba sikigezo I love it tima and deve 🥰🥰🥰❤
Tina ana mimba so what.. David nampenda ujue hivyo
Moto huku
Mama mtumzima hahhahahahaha balaaaaa
Nally😅🤣🤣 yani hata kama ni hiyo acting hiyo part yake me siitaki, yani kung'ang'ania mtu amba hata hamtaki
Haki tena Nelly hapendwi kabisa
Me nakerekwa hatareee
Nampenda sana Tina ana msimamo
Takataka zote nje
🔥🔥🔥
Hii sio ya leo
Jaman asante, lakini mbona fupi 🤦♀️
Ningependa kujua nitapata wapi nyimbo ya "ni safari yote sote tutaondoka wote""
🤣🤣🤣jaman hubaa
Hahaha tima ati toa hii kitu yako njee
🤣🤣🤣tima wa moto
ya juzi hii
From USA I need the background sound track huba huba I need that song name please tafadhali
Binafsi nafurahia video zenu
nimefurahi kumuona Ben Jamani
Mbona fup Sasa jamani
Kwani kibibi alifata nini hapo😂
Mama wa kambo
😂😂😂😂
Tesa mtu mzima kuchuu wakaza wana wapigana wewe wafurahia,haya toa kitu yako devi
Huba
Tima toa kitu yako
Nelly king'ang'anizi tu mtu hakutaki ni kujilazimisha tu
Nelly mapenz yatamuuwa
Km doris
😂