KATIBU WA CHAMA CHA MABAHARIA "BILA SIFA HIZI UBAHARIA HAUKUFAI"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2019
- Neno Baharia limeanza kutumika muda mrefu sana lakini siku za hivi karibuni limeonekana kushika kasi na kutumiwa sana mitaani na mitandaoni huku kila mmoja akilitumia kwa style yake iwe kwenye mazungumzo ya kawaida au ya utani, wengine wameenda mbali zaidi na kuanza kutafsiri maana ya Mtu anayestahili kuitwa Baharia kwa vile ambavyo wanaona inafaa na wapo ambao katika kuitengeneza maana halisi ya Baharia wanatumia hata kauli zinazofikirisha.
Lakini unaweza kujiuliza ni nini hasa maana ya Baharia na zipi sifa za yule anayefaa kuitwa Baharia!?.
Kupitia AyoTv na 'millardayo.com' tunae Katibu Mkuu wa Chama cha Mabaharia Tanzania Captain Josiah Mwakibuja ambaye licha ya kuwa Katibu wa Chama yeye pia Mjumbe wa Kamati ya kusaidia Matatizo ya Mabaharia Afrika yenye makao yake makuu London Uingereza na pia ni Katibu wa Bodi ya kutoa misaada kwa Mabaharia kama vile ya kiroho, wakati wa misiba n.k, na amekubali kujibu maswali yote yanayohusu Ubaharia.
Kama umegundua kuwa jamaa anaipenda kazi yake gonga like hapa
Hugo ni nahodha sio Bsharia. Maana kwenye bodies yetu ya mabaharia atumjui huyo.kama na wewe ni baharia gonga like hapa.
Hapana uyo ni bahalia sio nahodha ni afisa mkuu wa meli
Mabaharia hatumjui huyu wala hatuelew anachosema.. kma unakubaliana na mim gonga like apa
Kwani darasan ulikuwaga unashika namba ngapi? Mbona anaeleweka vizuri sanaaa tuuuu.
maru salim hahaha
Inaonyesha hujui hata maana ya neno Baharia.
Bro unavyo vyeti walau vya STC international mandatory course kama huna kaaa kimya
@@jumbeink3173 wewe ni chenga
huyu nae ameona tunafaidi gonga like kama na wewe baharia
Baharia wa kwanza unayefata like hapa tujuane
Tatizo watu wanashindwa kuelewa kati ya baharia wa baharia wa baharini na baharia wa nchi kavu Kama ww Ni baharia wa nchi kavu naomba nione uwepo wako 👍
Kama kawa baharia, kumbe ndioaana kitale anatembea vile? Anabalance mawimbi 😂😂😂
Baharia ni mfanyakazi wa melini aliepitia mafunzo ya kazi hio iwe ni unahodha au fundi au mpishi wa melini cha msingi awe na cheti cha ubaharia
angolile mwakilasa umeongea point
Huyo sio baharia Bahari Havai jezi
we kwanza kucoment
Twilemba, mbona huyu baharia inaonesha huwa anaoga mara tatu kwa ck
Hongera captain Josiah
Mabaharia wore mcomment hapaaaaa
Nampataje
Huyo sio ni Muongo hatumjui katibu ni George Daffa Mdoe
Hakuna Baharia bila STCW amended 2010 kuna tofauti ya Baharia na Stow away or Stoloway
First to comment
Hapo Nimeelewa maana walikuwa wananichangnya sana
Chief jonsia chief oficcer
Tukutane kwenye kikao jioni
Mtangazaji unaongea sana,unaintro ndefu sana namaanisha
Mabaharia wa kike tunacommentia wap🤗🤗🤗
mm nipo kidato cha 6 nimasoma masomo ya art ninaweza kua baharia?
Mwisho mtatuleta maana ya MWALIMU Sasa ....hamna issue ya kufanya.
huyo nahoza sio baharia
Tafsri ya mtaani baharia ni mjanja kuliko wote
Hahahahah
No gain
Ayo hapo mmetapeliwa nahuyo jamaa
Kumbe kuna wanawake ,mmm itabidii nikasome
Sasa tumelewa kama Baharia'nimtu'wa aina gani
híi ni part1? au no conclusion😐
Baharia
jumanne andr
Hawezi kuwa baharia huyo, baharia havai uniform
Uyo captain mzee ujui mabaharia
BAHARIA ndo nn WTF😬
Huyo Katibu hatumtambui sisi mabaharia.......Anachokielezea hakiendani na Chama chetu...
Hahaha
Chama kipo hicho
M baharia wa nchi kavu nacoment wap