Mkuu tunashukuru. Baba tusaidie kuhusu ujambazi ulioko ulioko Mata wa kyabitembe kata ya nshambya .kyabitembe block A,watu wanavamiwa wanaibiwa nakubakwa,nahawaogopi polite maana hakuna msaada
Kwanini wezi kama hao mdiwafukuze kabisa kuliko kuwahamisha si wataendelea na hizo tabia zao hizo. Naona ili waajiriwa wa serekali wawe na adabu ya kazi ni kuwatoa kabisa wakiiba, na sio kuhamisha
Félicitations son excellence, j'aime votre façon de gouverner. Si au Congo on pouvait avoir des gens comme ça...
Nilimis maamuz magnum kama haya
Mungu akulinde kiongozi wetu❤❤
Hakika
Mamlaka za nidhamu ndizo dunia nzima zinawajibika kuchukua hatua. Safi sana !
I wish we has someone like this in kenya. Thank you
Daaa waziri haya nimengi sana tanzania zima.
Allah akupe afya njema waziri mkuu wetu
Pia ujambazi umezidi bukoba mjini kata ya nshambya,kyabitembe Block A watu wanavamiwa na kubakwa serikali tusaidie
Paspo na sheria kal ya hawa watu kila sk iv vitu havitaisha kaz iendelee😅😅
Umetukumbusha enzi za magufuli safi sana
Tenda baba japo wanakuchukia Sana watu wa chama
The next.
Yaan hapo bhna duuh
Mkuu tunashukuru. Baba tusaidie kuhusu ujambazi ulioko ulioko Mata wa kyabitembe kata ya nshambya .kyabitembe block A,watu wanavamiwa wanaibiwa nakubakwa,nahawaogopi polite maana hakuna msaada
Fukuza kazi wote huyo mkuu wakituo fukuza kazi mara moja
Safisana mtendaji mkuu wa serikali
We wee ndio urobakiii we ngineee mmmmmmmh
Safi
Kaa magufuli huyuuu
Huyo ndo makufuli tuliemjua
Watu wamenenepa matumbo kwa boda hizi za kyaka mtukula na murongo.
Hiii haitoshi mwl piga chini heshima iwepo
Kwanini wezi kama hao mdiwafukuze kabisa kuliko kuwahamisha si wataendelea na hizo tabia zao hizo. Naona ili waajiriwa wa serekali wawe na adabu ya kazi ni kuwatoa kabisa wakiiba, na sio kuhamisha
Majaliwa wewe ni fundi!!!
Magufur pekee yake ndiye rais umeme shida pia rushwa kwa kero