MWABUKUSI AFUNGUKA KUONDOLEWA KUGOMBEA U-RAIS TLS, ATANGAZA KUFUNGUA KESI MAHAKAMA KUU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ค. 2024
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Dar es Salaam. Sakata la Boniface Mwabukusi kuenguliwa katika kinyang'anyiro cha kuwania rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) limechukua sura mpya baada ya wakili huyo kukusudia kwenda kutafuta haki yake mahakamani.
Mbali na hilo, Mwabukusi amewaomba mawakili wenzake
kumuunga mkono kwa kutoshiriki uchaguzi wa TLS wakiishinikiza
wale wote waliotia nia kuwania nafasi hiyo kurejeshwa na Kamati ya uchaguzi wa chama hicho
Mbaya zaidi hata mawakili nao wamekuwa machawa lkn Watanganyika tunakukubali mwambukusi mungu atakusimamia
Mwamba nakukubali. Mungu akupe uzima ili tuone mengi mazuri zaidi.
Noma sana
Duu tukipata makamanda mia kama huyu jamaa nchi ingenyoka
Is not fear at all 😢
Zanzibar kumbe ni wenzenu Sasa mmeficha ajenda zenu
All the best kiongoz ... Tanzania ukiwa mkweli itakuwa shida .. tunataka viongoz kama ww
huna sifa za kuomgoza,sasa unalazimisha nini?
acheni kuaribu nchi, nyinyi kwakukumbatia viongozi, haki ndio kilakitu, ukificha moto Moshi utakuhumbuwa.
Atahangaika na uwogozi hkn kitu atapata
Yoyote anaemtukana Samia asitegemee kupata hata udiwani akiwemo Tundu lisu ukimtukana Samia jiandae kuwa mwanachi wa kawaida lakini sio kiongozi
Kwamba wewe ni Mungu? Au ww ndio unagawa uongozi?
Mbona mkikosa vyeo mnahaha?
Unakandwa wew
wewe mpuuzi sana yani mtu anLipambania Taifa alafu wewe unaongea ukibaraka, hovyo sana