dock sheekh wangu bwana waona mbali sana mtoto mzae mwenyewe kisha akudharau hajui anapo kanyanga sasa wwe ulikanyaga kitambo kabla hujamzaa allahu akbaarr.
Mashallaah Dr shulle nimepata faida ya baba yetu adamu kumbe mwenyezi mungu aliangika kabla ya kumuumba yeye kua ampereke peponi kisa afanye kosa achuchwe ndio tumezaliwa sisi nice one mwenyezi mungu akupe Kira la kheri
Ndio muwe Wakristo njia ni moja tu. Yesu Kristo. Na huyo ndio atawahukumu Dunia nzima bila kujali dini ya mtu. Anasema asiyemfuata yeye Yesu tayari ameshahukumiwa. Saa imekwisha rudini kwa Yesu, kabla hamjachelewa.
@@shabbymakapane1910 المائدة (72) Al-Maaida Hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu! Na hali Masihi mwenyewe alisema: Enyi Wana wa Israili! Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi. Kwani anaye mshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyezi Mungu atamharimishia Pepo, na mahala pake ni Motoni. Na walio dhulumu hawatakuwa na wa kuwanusuru.
@@shabbymakapane1910 المائدة (73) Al-Maaida Kwa hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja. Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale wanao kufuru.
Utaelewa tu hatuna muda wa kubishana na wajinga kama wewe,najua somo limekuingia vizuri maamuzi ni yako imma ubaki na yesu wako wa bandia au uingie kwa uislam dini iliyo ya haki mbele ya Allah.
punguzeni unafki ,wote mmezaliwa dini mmezikuta Islam,ukristo,nani anaweza kusema dini ya haki ni hii hakuna dini mbinguni..zote ni taasisi za watu binafsi.tafuteni pepo njema kwa kutenda yanayompendeza mwenyezi mungu tu.acheni kukashifu watu na imani zao dini zote ni hapahapa duniani
Hapo kwenye lishe ya mama anayenuonye ni kweli kabisa doctor sure , watoto wanateseka Sana ,mama anashindia mihogo jioni anakula chips na Pepsi maziwa yatakua maziwa kweli?
Mash Allah dr sule , ALLAH akujaalie kheri zaidi leo na kesho, nyinyi mnatakiwa kutunzwa kwasababu nyinyi ni watu muhimu sana katika dunia
Allah akujengee nyumba dkt Sule, jirani ya mtume Muhammad (s.a.w) peponi. Ameen rabbal alameen.
Ameen Allahuma Ameen
Amin
Amiin
Aamin thuma Aamin
Allah akuhifadh doctor nakupenda sana sheikh wangu
Allah akulipe kheri kipenz cha Nabiina Muhamad....
Asalaam alleykum warahmatulah wabaraqatuu Maasha Allah sheikh @sule shukraan jazzakah Allahu kheir barakallahu fik
MashaAllah yaani mpaka apa doct nakupata mno❤😗
Na kuelewa mno dokt sulle ❤️👈
th-cam.com/video/d9SF1-KniIg/w-d-xo.html
Njoo uone ukubwa namiujiza ya malakul maut
Huyo ndo dk sule bhana.. Mashaa Allah 😘😘😘💯💯💯
Mashallah doctor sule Allah akubarikie elimu uzidi kutuelimisha na akujaalie kila la kheri duniani na akhera atujaalie pepo tukufu sote Ammeen
Maashaallh 💕💯 ujumbe umefka huo Allah azidi kukupa nguvu yakuelimisha jamii hvyo hvyo aamin💯💖🙏🙏🙏🙏
dock sheekh wangu bwana waona mbali sana mtoto mzae mwenyewe kisha akudharau hajui anapo kanyanga sasa wwe ulikanyaga kitambo kabla hujamzaa allahu akbaarr.
Shukran sana sheikh wangu Allah akulepe mema
Mashallaah Dr shulle nimepata faida ya baba yetu adamu kumbe mwenyezi mungu aliangika kabla ya kumuumba yeye kua ampereke peponi kisa afanye kosa achuchwe ndio tumezaliwa sisi nice one mwenyezi mungu akupe Kira la kheri
Shukran sana nilikuwa cjawahi kusikiya hicho kisa cha nabii ibrahim kwanini tuna mtaja kila swala mashaallah
مشاء للهswadakta jazzakum llahu kheri
Shukrani sheikh sule message delivered yaani 👌👌 mashaa Allah.
Mashallah Allah akulip kila la kher shekh wet Allah akuhifadh inshallah
Maa shaa Allah Allah akuzidishie in shaa Allah n
Shukran sana dc sulle nakupenda kwaajili ya Allah
Mashaallah! Mungu akuongoze kiongoz we2 napenda San kukuckia
Mzee wa kujilipua a.k.a DK Sulle
🔥 🔥 🔥
Shukraan Sana sheikh jazakallah kher
Mashallah Allah akurinde sheikh
Ndio muwe Wakristo njia ni moja tu. Yesu Kristo. Na huyo ndio atawahukumu Dunia nzima bila kujali dini ya mtu. Anasema asiyemfuata yeye Yesu tayari ameshahukumiwa. Saa imekwisha rudini kwa Yesu, kabla hamjachelewa.
Yesu sio Mungu wala mtoto wa Mungu tuwache upotoshaji
Toa Andiko ili tuamini unayo sema.
@@shabbymakapane1910 المائدة (72) Al-Maaida
Hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu! Na hali Masihi mwenyewe alisema: Enyi Wana wa Israili! Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi. Kwani anaye mshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyezi Mungu atamharimishia Pepo, na mahala pake ni Motoni. Na walio dhulumu hawatakuwa na wa kuwanusuru.
@@shabbymakapane1910 المائدة (73) Al-Maaida
Kwa hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja. Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale wanao kufuru.
Ukristo Siyo Dini, Ukristo Ni Ukafiri
ManshaAllah shukurani Shekhe DC Sule Allah akulipe kheri nasisi Allah atuongoze 🙏🙏🙏
Mashallah
Allahu Akbar Allah Akbar Allahu Akbar kweli sheikh wangu
MashaAllah may Allah bless you 😄😄😄😄😄😄😄🕋🕋🕋🕋🕋🕋
Mashaa Allah
Maashaallah🙏🙏
Masha allah allah akulinde
Sheikh yangu mashaallh
Mashallaah ❤
Congratulation brother
Jazzakka Allahu khyern 🤲❣️🌹❣️
Jaman dini hazitupeleki mbingun ni Yesu ndiye njia sahihi
Utaelewa tu hatuna muda wa kubishana na wajinga kama wewe,najua somo limekuingia vizuri maamuzi ni yako imma ubaki na yesu wako wa bandia au uingie kwa uislam dini iliyo ya haki mbele ya Allah.
punguzeni unafki ,wote mmezaliwa dini mmezikuta Islam,ukristo,nani anaweza kusema dini ya haki ni hii hakuna dini mbinguni..zote ni taasisi za watu binafsi.tafuteni pepo njema kwa kutenda yanayompendeza mwenyezi mungu tu.acheni kukashifu watu na imani zao dini zote ni hapahapa duniani
Kama si hizo dini ulijuaje yesu ndio njia...??
Mashaallah
Mashaallah dr sule
Shukran
Maa Shaa Allah 😅😅😅😅😅😅
Maa shaa Allah
Mungu akupe maisha marefu kwa kuendeleza daawah
Mashallah shekh wetu
Insha Allah shikh sulle
Sheikh nakuelewa sana Ila punguza kujimwambafai.
Shekhe allwa akupe umri mrefu
MashaAllah 🤣🤣🤣 doctor....
Masha Allah do uno vzr
Mashallah..mawaidha mazur
manshalah
Waislam Neema hz kutoka kwa Allah tuwaombee yalio mama kwa Allah
Maashaallah
Mashallah Dr,sule inshaallah Allah tuongeze ktk njia za kheriiiii
Mash Allah
Doctor Sulle for life
Maashallah nakupenda kweli 🌹
Nice
Mansha Allha. Doctor
th-cam.com/video/d9SF1-KniIg/w-d-xo.html
Njoo uone miujiza na ukubwa wa malakulmaut
Somo nzur sheh nashukur
Allah Akbar
Allahu Akbar
Allah اکبر
Masha'allah
Hapo kwa mama anayenyonyesha nimekuelewa vzr sana Dr
Unakuta mama anaamkia uji anaenda sokoni anapigwa jua weee mpaka maziwa yanaganda na ananyonyesa
Mashalla
Shukrani,umetukumbusha kitu,alhamdullillah.
Mashaallah 🙏🙏
Masha Allah
Masha Allah tabarakallah
Huo sio mfumo mzuri wa Da'awa
Kwanin??
Kwa nn sio mfmo mzur ?????
Njoo na wako ulio sahihi, yy amejitahid na dunia inashuhudia
MA Sha Allah
MashaAllah
Shukuran
MashaAllah
Masha Allah ❤️
Ishaalla mungu akupe maiaha malefu
Allah wakabar
Heshimu Uheshimiwe Elimu yako kuwa kubwa sio kuwadharau wasio na Elimu
Jamani Allah anikutanishe siku na huyu shekhe uso kwa uso hhhhhhhhh Allah akuhifadhi jamani yani nakupe sana kwa ajiri ya Allah
Allah swali Ibrahim walahil Muhammed.
Mashallah Allah
ALLAH AKBAR DR SULE UKO VIZURI.ALLAH AKUPE UMRI MREFU
Jazaakallahu khayraa
Mashalah
Mashallah 😍
th-cam.com/video/d9SF1-KniIg/w-d-xo.html
Njoo uone miujiza naukubwa wa malakulmaut
Maanshaalaa
Jamni ata km ukiona doge yy zaidii2uuu love u doct❤😀
Hahahaha
Masjid mtoro.
Tunaomba part 2 ya haya mawaidha In sha Allah
Takibilieeeeeeeeee
Huyo ndo Dr sule sasa😂🇨🇩🤝
waambie hao shehe
Jazakallah kherii Allah akulipe
Ukiwa naakili utaelewa ujumbe wa Leo ni matusi ya Musa kwa Adam .
Maneno mengi uwongo mwingi
Yeah
Dr sule napenda sana kukusikiliza
Mashallah
Mashalla
Mashaallah sheikh
Msingi wa all 🕋 uli anzishwa na nani?
th-cam.com/video/d9SF1-KniIg/w-d-xo.html
Njoo uone miujiza na ukubwa wa malakulmaut
🤣🤣🤣🤣🤣.... Unatiaha mkubwa... Kuna Mzee mmoja kafa kangwata na mbwa wake mwenyewe umkumbuki Jina... Hatar...
Sule nakukubari Sana
Hapo kwenye lishe ya mama anayenuonye ni kweli kabisa doctor sure , watoto wanateseka Sana ,mama anashindia mihogo jioni anakula chips na Pepsi maziwa yatakua maziwa kweli?
❤❤❤❤❤
Njoo tena Igunga