ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Kukupenda sana kukupenda sana ndilo kosa langu sitofanya tena naapa kwa munguMashaallah Zanzibar yetu ni njema mungu azidi kutudumishia usalama wetu
Amin
Amiin
❤kurudia kosa diyo kosa sitorudia kosa likawa kosa
Mpangilio wa kima cha hali ya juu sana na sauti ya kutuliza roho iliyo dhuriwa.Naapa kwa Mungu kweli sitofanya tena 🇰🇪
Wacha hapa nicheke
Nyimbo nzuri sana ila kuna wimbo mmoja wa kifo cha baba umeimbwa na jkt taarabu nauomba wimbo huo
Kukuenda ni kosar langu imekuwa ni shida sna
Asemayo kweli..dah😔
Taarab asili kabisa hii. dah aisee
santaaaaaaaamaneno kuntuuuuuuuuuuu👌👌👌👌
Yamekukuta nini?😂
mashallah kukupenda sana ndio kosa lang wallah nakumbuka tanga
original son nice song
Yap!
ukijua unapendwa sana lazima ufanye dharau daaaaa hatariiii.
Sanaaaaaa
Umeona ee
Imenigusa saana wallah yaani dah naapa kabisa kabisa
Kausha babu!
Ndio nimbo pekee nilioipenda ya Dada Rukia niliyoipeda sana
Vyakale dhahabu nzr sana walah sio njimbo za sasa
Yarabi subra inauma sanaa 😢
Sana sana sana
Nandi
👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼 swadakta
naww ulinena wangu pekee yangu kumbe nihiyana hunda kwa mwenzangu
Swadaktaa
A za asili weeeee
sadakta niko pamoja na wewe hekko
Sadakta mambo unayoyasema kupenda sana ni kosa kubwa
Safi sani inapendeza
Yarabi salama!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
066
Naaam yanatosha ivoo
Ushatendwa
Ama
ahsante bi rukia mambo unayaweza imependeza mashallah
Nimekupokea kwa khiyari yangu kumenichongea kwangu
Ni hakika moyo wangu waumia
Inauma sana
@@henhemed8718 mtoto wa baba
Masha Allah hakika inapendeza kukupenda Sana ndio kosa langu
Mashallah. Nizuri. Sana..nimeipenda
imetulia kabisa
WALLAHI NAKUMBUKA KWETU
Safi sana 😗
Maashallah mama yang saut imetulia sitopenda tenaa naaapa kwa mungu
Mhhhhh niiimpenda mume wangu sana kaniumiza sana na matukio ya kila siku ama sasa namuona kama hayawani tu
@@sabraabdilnasir8826 nipende Mimi sitoowa mwengine
Inaumiza. Siyo?
daah imenichoma hasaa
Kukupenda sana kukupenda sana ndilo kosa langu sitofanya tena naapa kwa mungu
Mashaallah Zanzibar yetu ni njema mungu azidi kutudumishia usalama wetu
Amin
Amiin
❤kurudia kosa diyo kosa sitorudia kosa likawa kosa
Mpangilio wa kima cha hali ya juu sana na sauti ya kutuliza roho iliyo dhuriwa.Naapa kwa Mungu kweli sitofanya tena 🇰🇪
Wacha hapa nicheke
Nyimbo nzuri sana ila kuna wimbo mmoja wa kifo cha baba umeimbwa na jkt taarabu nauomba wimbo huo
Kukuenda ni kosar langu imekuwa ni shida sna
Asemayo kweli..dah😔
Taarab asili kabisa hii. dah aisee
santaaaaaaaa
maneno kuntuuuuuuuuuuu👌👌👌👌
Yamekukuta nini?😂
mashallah kukupenda sana ndio kosa lang wallah nakumbuka tanga
original son nice song
Yap!
ukijua unapendwa sana lazima ufanye dharau daaaaa hatariiii.
Sanaaaaaa
Umeona ee
Imenigusa saana wallah yaani dah naapa kabisa kabisa
Kausha babu!
Ndio nimbo pekee nilioipenda ya Dada Rukia niliyoipeda sana
Vyakale dhahabu nzr sana walah sio njimbo za sasa
Yarabi subra inauma sanaa 😢
Sana sana sana
Nandi
👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼 swadakta
naww ulinena wangu pekee yangu kumbe nihiyana hunda kwa mwenzangu
Swadaktaa
A za asili weeeee
sadakta niko pamoja na wewe hekko
Sadakta mambo unayoyasema kupenda sana ni kosa kubwa
Safi sani inapendeza
Yarabi salama!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
066
Naaam yanatosha ivoo
Ushatendwa
Ama
ahsante bi rukia mambo unayaweza imependeza mashallah
Nimekupokea kwa khiyari yangu kumenichongea kwangu
Ni hakika moyo wangu waumia
Inauma sana
@@henhemed8718 mtoto wa baba
Masha Allah hakika inapendeza kukupenda Sana ndio kosa langu
Mashallah. Nizuri. Sana..nimeipenda
imetulia kabisa
WALLAHI NAKUMBUKA KWETU
Safi sana 😗
Maashallah mama yang saut imetulia sitopenda tenaa naaapa kwa mungu
Mhhhhh niiimpenda mume wangu sana kaniumiza sana na matukio ya kila siku ama sasa namuona kama hayawani tu
@@sabraabdilnasir8826 nipende Mimi sitoowa mwengine
Inaumiza. Siyo?
daah imenichoma hasaa
❤kurudia kosa diyo kosa sitorudia kosa likawa kosa