kukupenda sana ndio kosa langu

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 พ.ค. 2011
  • เพลง

ความคิดเห็น • 56

  • @jumazamani982
    @jumazamani982 5 ปีที่แล้ว +3

    Kukupenda sana kukupenda sana ndilo kosa langu sitofanya tena naapa kwa mungu
    Mashaallah Zanzibar yetu ni njema mungu azidi kutudumishia usalama wetu

  • @user-ez8sn7ss5b
    @user-ez8sn7ss5b ปีที่แล้ว

    ❤kurudia kosa diyo kosa sitorudia kosa likawa kosa

  • @mushken65
    @mushken65 4 ปีที่แล้ว +1

    Mpangilio wa kima cha hali ya juu sana na sauti ya kutuliza roho iliyo dhuriwa.Naapa kwa Mungu kweli sitofanya tena 🇰🇪

  • @sagaramsumi5292
    @sagaramsumi5292 5 ปีที่แล้ว +2

    Nyimbo nzuri sana ila kuna wimbo mmoja wa kifo cha baba umeimbwa na jkt taarabu nauomba wimbo huo

  • @user-ez8sn7ss5b
    @user-ez8sn7ss5b ปีที่แล้ว

    Kukuenda ni kosar langu imekuwa ni shida sna

  • @henhemed8718
    @henhemed8718 4 ปีที่แล้ว +2

    Asemayo kweli..dah😔

  • @musakibwana4596
    @musakibwana4596 2 ปีที่แล้ว +1

    Taarab asili kabisa hii. dah aisee

  • @sherrymeddy7975
    @sherrymeddy7975 8 ปีที่แล้ว +2

    santaaaaaaaa
    maneno kuntuuuuuuuuuuu👌👌👌👌

    • @greatiq7835
      @greatiq7835 3 ปีที่แล้ว

      Yamekukuta nini?😂

  • @levofrancis7199
    @levofrancis7199 4 ปีที่แล้ว +3

    mashallah kukupenda sana ndio kosa lang wallah nakumbuka tanga

  • @ahmedyoung7300
    @ahmedyoung7300 6 ปีที่แล้ว +1

    original son nice song

  • @bokasaazzan5712
    @bokasaazzan5712 7 ปีที่แล้ว +2

    ukijua unapendwa sana lazima ufanye dharau daaaaa hatariiii.

  • @mussasaid1320
    @mussasaid1320 5 ปีที่แล้ว +2

    Imenigusa saana wallah yaani dah naapa kabisa kabisa

  • @saidmohd8772
    @saidmohd8772 2 ปีที่แล้ว +1

    Ndio nimbo pekee nilioipenda ya Dada Rukia niliyoipeda sana

  • @galayagalaya48
    @galayagalaya48 5 ปีที่แล้ว

    Vyakale dhahabu nzr sana walah sio njimbo za sasa

  • @seifjuma3471
    @seifjuma3471 2 ปีที่แล้ว +1

    Yarabi subra inauma sanaa 😢

  • @burhanisaidi9811
    @burhanisaidi9811 11 หลายเดือนก่อน

    Nandi

  • @islamaliy1871
    @islamaliy1871 3 ปีที่แล้ว

    👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼 swadakta

  • @hawasalumu3018
    @hawasalumu3018 8 ปีที่แล้ว +2

    naww ulinena wangu pekee yangu kumbe nihiyana hunda kwa mwenzangu

  • @salehmuhammad6728
    @salehmuhammad6728 5 ปีที่แล้ว +1

    A za asili weeeee

  • @sakinaabd5898
    @sakinaabd5898 8 ปีที่แล้ว +2

    sadakta niko pamoja na wewe hekko

  • @sakinaabd5898
    @sakinaabd5898 7 ปีที่แล้ว

    Sadakta mambo unayoyasema kupenda sana ni kosa kubwa

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 ปีที่แล้ว

    Safi sani inapendeza

  • @victorotieno1721
    @victorotieno1721 7 ปีที่แล้ว

    Yarabi salama!

    • @greatiq7835
      @greatiq7835 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @YasminaBoinaheri
    @YasminaBoinaheri ปีที่แล้ว

    066

  • @salmanyimbonaipendamohd7002
    @salmanyimbonaipendamohd7002 4 ปีที่แล้ว +1

    Naaam yanatosha ivoo

  • @mouhamadbakri7909
    @mouhamadbakri7909 8 ปีที่แล้ว

    ahsante bi rukia mambo unayaweza imependeza mashallah

  • @rahimaally9838
    @rahimaally9838 6 ปีที่แล้ว

    Nimekupokea kwa khiyari yangu kumenichongea kwangu

  • @ashuashu3843
    @ashuashu3843 5 ปีที่แล้ว

    Ni hakika moyo wangu waumia

  • @ashafaki6966
    @ashafaki6966 6 ปีที่แล้ว

    Masha Allah hakika inapendeza kukupenda Sana ndio kosa langu

  • @nashfasaid9639
    @nashfasaid9639 11 ปีที่แล้ว +2

    imetulia kabisa

    • @kassuomar
      @kassuomar 7 ปีที่แล้ว

      WALLAHI NAKUMBUKA KWETU

    • @aminaloo649
      @aminaloo649 5 ปีที่แล้ว

      Safi sana 😗

    • @ZainabZainab-qi7bh
      @ZainabZainab-qi7bh 4 ปีที่แล้ว

      Maashallah mama yang saut imetulia sitopenda tenaa naaapa kwa mungu

    • @sabraabdilnasir8826
      @sabraabdilnasir8826 2 ปีที่แล้ว +1

      Mhhhhh niiimpenda mume wangu sana kaniumiza sana na matukio ya kila siku ama sasa namuona kama hayawani tu

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 5 หลายเดือนก่อน

      @@sabraabdilnasir8826 nipende Mimi sitoowa mwengine

  • @greatiq7835
    @greatiq7835 3 ปีที่แล้ว

    Inaumiza. Siyo?

  • @bakaryjuma8930
    @bakaryjuma8930 5 ปีที่แล้ว

    daah imenichoma hasaa

  • @user-ez8sn7ss5b
    @user-ez8sn7ss5b ปีที่แล้ว

    ❤kurudia kosa diyo kosa sitorudia kosa likawa kosa