MJENGO ALIOACHA MAMA RWAKATARE/HEKALU/MALI ZAKE/Kuzikwa KESHO KANISA KWAKE/Watu KUMI tu Kuaaga
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 เม.ย. 2020
- CARRYMASTORY leo pia imefanikiwa kufika nyumbani kwa marehemu Mh Mama Rwakatare na kutazama mazingira aliyokuwa akiishi mama yetu mpendwa. Tazma video kisha usisahau Kusubscribe.
- บันเทิง
Freemason wafanye kazi yao. Hawa watu wamekataa yesu watafute mali na utajiri wa dunia hii. Yesu mwenyewe hakua na maisha kama haya. Huwezi kuishi hivi na wafuasi wako hawana hata chochote.
Mungu anatajirisha anainuwa na anabadilisha maisha ya watu .si kilakitu ndo Freemason .hiyo ndo shida ya wanadamu .ukitajirika eti oh oh oh
Yaani Mali zote Unaend a ww tu. Kweli tujifunze na hili hapa mwana damu tutende mema kwa mungu Hakuna hongo wema wako tu ndio itafika mbinguni
Kweli kabisa, Mali ya Dunia Ni Kama upepo, tutayaacha yote, tumtumainie Mungu
Ameeen
Hapo ndipo tunaposema acha Mungu aitwe Mungu ulikuja uchi utarudi uchi utabeba ata kijiko fahari za dunia tutaziacha kila siku mnatuubilia tusiwekeze duniani so Mchungaji kama na mbinguni umejiwekeza ivi itakuwa poa sana
Tutapambana lakin vyote tutaviacha yarabiiiii Allah jaliaIla atusamehe dhambi zetu😭😭😭😭😭😭😭
Hahahaaa,,,, itakuwa rahisi kwa ngamia kupenya tundu ya sindano, kuliko tajiri,,,,,,,,,,,,,!!!!!!!!!!!
Umenena
Cmc yako dada kali sana
Binadamu bwana!Nyie mnayemsema mtangazaj ni mbea mbona na nyie mnafatilia taarfa basi wote wambea!
Umeona
Hata mm nawashangaa et
🙉🙉🙉
Heavenlight Naiso pumzika kwaaman mama yetu
Wanaosema sema hivyo wenyewe niwambea pia mana wasingecoment
Mtangazi, kazi njema. Muhimu tu, kumbe uzima wa mtu si wingi wa vitu alivyonavyo, Mungu atusaidie!
Aaaaahaaaa povu linawatoka umaskini huu mbaya,eti vyote tutavihacha ndio utabihacha lkn hakikisha vinapitia mkononi mwako
Unapoishi vizuri hapa duniani ndio mbingu yako. Mama alikuwa mbinguni tayari.
Umejuaje????
What a blessing, she was rounded woman.. Church, political, schools... RIP. You are a role model to many even you if you are sleeping Mama, Rip
I cried for her
.
I.wish I could know her better earlier ...We shall.miss you Mama Bishop
Kumbe ni kweli, kila kitu ni ubatili tu iwapo huna Mungu wa PEKEE, wa KWELI na YESU KRISTO aliyemtuma. Tunawekeza sana hapa duniani. Kafa kaacha kila kitu!!
Mountain of fire. Down fire and up fire.God is the high almighty the Greatest and every thing is to Him Alone.
Hii nyumba ni noma
Masha Allah
Acha kuhatarisha usalama was familia iliyo baki, sio lazima uonyeshe kila kitu. Kama hauna content ondoka. You need to be security conscious. Mama was very private!
anaongea maneno yale yale
mwandishi huna inshu,rudi tena class
mwandishi huna inshu,rudi tena class
Waandishi wetu bhana. Yaani hapo longolongo mlima
Amesaidia wengi. Hajamwibia mtu. Acheni wivu
barrennessMmmmh ,angalizo!!! Kila neno unalotamka utatolea hesabu kuweni makini na maneno Yenu
Toa taarifa za kumtukuza mungu,vile alifanya kazi ya mungu
Mavumbini tulitoka,na mavumbini tutarejea.
Nawakubali sana carrymastory
Bora kula bata ukipata mda maana ukifa ume kwenda 😭😭😢 kifo hakina tajiri wala maskini
Nice
Duuu kwa kweli duniani tunapita na kila kilichomo kitapita R.I.P Mama mbele yako nyuma yetu.
Hi carrymastory lovers, nipeni likes basi na mimi na pia munifollow instangram @ashuukgal natoa usaidizi kila ijumaa kwa watu walio na shida. Nifollow for giveaway
Ok
Nyumba ni Kaburi. Tujifunze kugawana na masikini. Ukifa unaenda kama ukivyokuja duniani.
Aligawa vya kutosha, na alisaidia wengi. Hata Yesu alisaidia maskini sana na bado maskini wataendelea kuwapo. Kusaidia haimaanishi yeye alale nje au pangoni.
RIP Mchungaji Mama.We will never forget you.
Mungu alimdhalilisha Lwakatare, pindi alipomfukuza na watoto ili aoe Mhaya mwenziwe !
Alie zalilishwA ninani
Nyoosha vixuri hatujaelewa
Mary Gaspary mmh mungu alimdhalilisha tena duh umechemka
@@nurafedrick378 amejua kukulupuka tuu
@@FaridaFarida-ov2th rwakatare ni mumewe yeye ni getrude
Nyumba n nini kwenye maisha nyie. Tutaacha kila kitu tutarudi kama tulivyozaliwa kwake baba
Mungu akulaze mahali pema peponi Mama yetu na Mama wa Taifa letu la Tanzania, Daima we will miss u mama , Amina.
😀😀😀😀😀😀😀😀
Rest in peace our ex nearby scul own may god grant you everful joy lyf tutakumic thanaaa
🤷sijapenda kazi yako
Hilo jengo Siyo poa
Nashangaa bona alijenga kando ya bahari,Rip mamaa
Fumzika Kwa amani mama
Earthly possession are important when alive and of no value to you when dead. It's better to invest in heavenly possession so that you can inherit when dead, I mean investing in doing good. You may die possessing trillions of properties and will be rewarded punishment as a great gift for your sacrifice all days you were alive. Imagine living 50-90 years only reaping death, uchungu.we should use this time to do best by convincing God to have mercy on us
Mungu amraze mahari pema mama etu AMINA
Huna jipya Mtangazaji, mnatuchosha bure, unazungumzia Nyumba ili uweje. Zingatieni maadili ya uandishi sio Umbea wa Carrymastory. Mnaboa.
Sikubaliani na wewe juu ya hili. Hii habari, imetusaidia na sisi tuliokuwa hatujui kama mama alikuwa anaishi kwenye jumba kubwa utadhani ikulu hivi!!
Kessynuru Tajiri na ww mtanzamaji ni mmbea number one
Mama am loving you a lot my your soul rest in peace mama
Rip mama
Msiupende ulimwengu,.... Kwa maana tamaa ya ...Mali....havitokani na baba Bali na Ulimwengu,(anajua Yohana)
mtangazaj mwenyew unatangaza kiuoga uoga😂😂
Umbeya uonglewa kioga
Kweli hii ni channel ya umbea🙄mlienda kiangalia mjengo au kufariji watu😏
Milady ayo Hana mambo km haya kwel kuna msiba alaf unaelezea Mali zake, mtangazaj umebaka fani
NYIE MMENDA KUOMBELEZA AU KUCHUNGUZA NYUMBA
Jamani kwani mlitaka je,?kuwa tajiri duniani kwani ni ks ? Mbona Suleiman alikuwa tajiri mbona Abraham alikuwa tajiri ? Yesu alifanyika masikini ili sisi tuwematajiri na sio kosa mtumishi kuwa tajiri kila aliye wa kristo anatakiwa kuwa tajiri
Nawashangaa wanaoshangaa utajiri wake. Wala haujatokana na injili alikiwa anajua kutafuta pesa na ana elimu ya PhD uchungaji alifanya kama wito tu akiwa na mali zake kibao.
.
Jaman mi coment tu hoi
Umbea tu.. Hata haukuweza iona vzr...
🙌🙌🙌🙏
pumzika kwa aman mama yetu
Amina
Kila kitu tunaacha wapendwa tumheshimu Mungu tu😢😢kama hujafanikiwa kusikiliza nyimbo aliyoimbiwa mama yetu Rwakatare bonyeza picha yangu kushoto kuisikiliza😢😢
uo ni ubalozi wa nchi gani jamani, naona tumepelekwa adi kiwandani,, yesu analipa jamani, hakuna alie mkubali yesu akawa lofalofa, kama yupo maskini sana ana bodaboda, au kiwanja, au kaenda shule, za st st izo ata kayumba, ila wanakuwa vizuri yesu oyeeeeeee,
mtangazai wa watu anatuletea updates za maana kuhusu funeral ya mama yetu, kwann jamani mumuite mtu wa watu mbea lakini? mbona anaongea vizuri tuu. asante mtangazaji Mungu wetu Aendelee kukutetea na kukulinda siku zote za maisha yako boss
she was a hard working woman, so you can also work hard and possess mansions
Hard working doing what?
Being a wrong gospel preacher
huwa nshindwa kuelewa yan mnafatilia mtu kaacha ninii ?? jaman ivi inatusaidia nini sisi labdaa?? basi onesheni na nyumba za watu wote wanaofariki dunia,mana mtu akiwa maarufu mnatuleteaa kaacha sijui mjengo ebu tupambane na COVID-19 jmn so kutuletea mijengo hapa
Rest in peace🙏
Kweli hii ni channel ya Umbea🙄 mlienda kuangalia mjengo au kwenda kufariji wafiwa
Bila shaka shule zinalipa sana na mama alikuwa mtu wa kujipenda hata kuzikwa amezikwa pa peke yake! Kwa nje amesifiwa sana lakini ajuae ni Bwana. Mwanga wa milele umwangazie ee Bwana.....
Faustina Boniface MO
Ebhana kweli bonge la mjengo
Wacheni kuwasema watumishi wa Mungu unachuma zambi ebu fanyeni yenu wapendwa yake yamekwisha kazi kwetu sisi turio baki
Daaaaah jmn ata raha tuwe tunakula ona Mali zake zilivobaki nyingi jap family na watoto wapo lkn inauma bhn pumzika kwa amani daaaaah
Eeeee mungu mupumuzishe mahali Pena peponi rip
Duuh nilijua hapo ni mbinguni after kufa kumbe duniani kwa mama mwenyewe mamamayooo!!🙆♀🙆♀
Duuuh huo mjengoooo hatat
Acheni kimazingishia
Tulikuja bure na tutarudi bure, Bwana alipeana hatimaye Bwana amechukua Jina LA Bwana lipewe utukufu
Umekomaa watu si wengi watu si wengi hicho ni kitu kinachojulikana sasa ww hata huelewiki kwamba umeenda kufariji aue umeenda kuchunguza mjengo
Sio wote tunao enda msibani wengine tunaenda kuangaria mazingira alokuwa anaishi marehemu ko wanadamu ndo tulivo unapo huzinika ww wengine tunakua na furaha
Ndo nashindwa na huyu mbiea
Lasima angeweza kuacha huo mjengo maana mama alikuwa visur lakin Mali na pesa si Kila kitu
Kuzuri
Rest in peace mama
Apo ndo mjue kuwa maisha ni mapito ona mali zote ameziacha anaondoka na mema yake ww umejiandaaje na safali
Yeye uwiiii jumba kubwa hivyo
Mungu ampe kaulithabit
Yote ni vanity, Mungu afariji family yake
Elimu,ndo kila ki2
MNAFUATILIA SANA MAISHA YA WATU....
UDAKU UDAKU MWIIIINGI HEBU TUONESHE WEE MJENGO WAKO??AU BADO UNAISHI KWA BABA?
Mi nadhani kwa mwny busara atajifunza kitu, usihukumu ktk hili maana hii inatukumbusha maisha ya chini tunayoishi na tunavyomiliki. Sio umbeya ndo maana hata ww umekuja huku kuona
Yani mungu huyu kilakitu tuchakiacha
kweli dunia twapita
Duuh jmni
Loo hiyo nyumba bs tuu mtu akiwa anakula Mali yake mwacheni mana akifa hatazikwa nazo
😭😭😭😭😭
Mbona kanatetemeka Sasa haka kavulana!!!
Yote ni kwa utukufu wa mungu
Haha inaumaa
Wafuasi wake pia walikua wanaishi vizuri kama yeye au?
Kila mahali naona magari makubwa yakifahari sijui hiki kibajaji Changu nikisimamishe wapi
Paki njee ya geti ww usije kuchuna .magari ya watu
@@subiradalabu6616 wacha niweke huku nyuma bahati ndio nipate upepo pia
Panzuri ile mbaya nimepapenda maandari yake nyumba kubwa mzee pakali kinyama ameshaenda zake nyumba mali zitabaki duniani umeonae
@@asteriambwei3349 Kisha utakuja ona mtu anapigania urisi na mwenyewe ameziacha kaenda yy tu na matendo yake
Jamani kuna watu hapa Tanzania kwao pako Kama peponi starehe kweli kweli huwa napendaga Sana nikiona kwa mtu Panzuri nafurahia japo sipo kwangu bana na mbinguni napo je? Hivi iuishi km peponi duniani tena na mbinguni km kweli hela ni halali ana raha mno r I p mamaa wee ni mwanamke kamili
Mtangazaji upo shallow KWA kwa kweli
Kijijumba kama hicho kwangu huwa nalazamo 'guruwe,
KWA UMBEA WAKO HUWEZI KUINGIA NDANI HURUHUSIWI WEWE UTAISHIA KUCHUKUA NYUMBA NJE TU
hahahahahahaha jamani mungu anakuona
Nakweli kaishia njeee anazooom
Jamani yote hayo yanini je!mlikuwa mnaujua mjengo wa malehemu kamasio umbea ninini? Mnashindwa kushukuru kuwa hata nje tu mmeiona kazi kumponda mtangazaji acheni hizo kuweni na shukrani
@@vailethsanga216 hapo tu
@@vailethsanga216 hata tukiujua unatusaidia nn au unatuhusu chefuuuuu
Chanzo cha mapato hayo hata amiliki thamani hizi na usizozifaham ni kipi?
Mh!!!!
Nyumba nyumba kila saaa nyumba
Mmesema huku ni state house ama?
Kikubwa umetenda nini duniani mali kilakitu si mali kitu
Hayo ni makazi au hoteli?
Ukisha ifanyia tasmini basi usiache kutuambia gharama za hiyo nyumba na vikolombwezo vyake vyote. Maana nahisi ni kama ukwenda kuripoti msiba ila ukubwa wa nyumba nk !
christopher mlaponi ndo ulie
Ukiwa na mali Alafu uzigawe kwa watu ni uongo kwa mtanzania hata km ni wewe tunaongea tuu labda km wapo ila Mimi sijaona taijiri akifanya hivyo Ilanilishaona Jirani yetu mmoja kijijini alimjengea nyumba Jirani yake na kumwekea hadi maji ili tuu asimsumbue kwenda kuchota maji kwake ni kweli huyo baba ukiwa na shida ataisaidia basi wengine sijaona
Mbona unachunguza Mali za mtu: Kama ungekua hapa inchini kwetu unge koma' ungetangaza
Mbona na ww unaangalia si uache kuangalia,
Mh masogange si alishakufa jmn
@@scolaasher6994 am alive this name I was given by my mum: I m not a tanzinania am from ug
Mwenye arikufa simjui
@@masogangemasogange7835 jibu nzuri sana alokufa humjui sasa ungemjua vipi kama huy asingepoati???? Kwa hivo ww uaiangalie mali fata kilichokutazmisha bas
Nani anasikia mtangazaji akihema kwa kutweta?
Pumzika kw aman
Ulienda kwa mama tare kama muombolezaji kumbe ulikua umeenda kupiga picha mali yake ... bure kabisa
Kama Unyamwezini Vile
Udaku huna kazi ?
Rip
Achana na mali yake,ako na watoto wataitumia mbona uitangaze adhalani nayeye alinyamazia mali yake?
Umbea huo