ENG. HERSI ATHIBITISHA UWANJA WA YANGA UMEANZA KUJENGWA JANGWANI! | AELEZEA MCHORO MZIMA | FLYOVER

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 190

  • @godfreymokoki1027
    @godfreymokoki1027 9 หลายเดือนก่อน +38

    Eng. Hersi, ukiweza hili utaweka alama ya kudumu kama alivyoweka Mhe. ABEID AMANI KARUME, *Rais mstaafu wa Zanzibar.

  • @OlivaMHANDO
    @OlivaMHANDO 9 หลายเดือนก่อน +11

    Kira la heri raisi wetu,twakuombea kwa mwenyezi mungu akushike mkono ili utimizi ndoto yako ulionayo inshallaaaaaaaaah

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn 9 หลายเดือนก่อน +19

    Jamani tuwaunge mkono WANACHAMA WETU WA YANGA KWA KUTOA ADA ZETU NA KUNUNUA JEZI ZETU HONGERENI WANACHAMA WENZANGU KWA KUFANYA HIVYOOO!🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💛💛💛💛🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @GodfreyKatura-lk3pl
    @GodfreyKatura-lk3pl 9 หลายเดือนก่อน +25

    Of coz mimi binafsi toka Eng.hersi awe Rais wa Yanga ameibadilisha Yanga kwa asilimia kubwa Sana. Love you Yanga 💚🔰🔰🔰

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 9 หลายเดือนก่อน +11

    Huyu mwamba ni intellegent sana akili kubwa hii🙌🙌

  • @CosmasiCosmasijuma
    @CosmasiCosmasijuma 7 หลายเดือนก่อน

    Daaa mungu muepushe namaradhi heris

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 8 หลายเดือนก่อน

    All the best our Engineer you're always doing wonderful for our team

  • @DottoAzizi
    @DottoAzizi 9 หลายเดือนก่อน +18

    Noma sana huyu jamaa Aishi miaka yatembo😊😊😊

  • @SamsoniGadau
    @SamsoniGadau หลายเดือนก่อน

    ❤❤😅😅Mungu imeipa timu yetu kiongozi makini mbunifu na anafanya vitu sahihi Asante Mungu wetu walinde na umpe neema ya kuongoza bila kutindikiwa na chochote amen

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 9 หลายเดือนก่อน +87

    Niliwambia huyu jamaa CAF wamemsogeza karibu sio bure kuna kitu wamekisoma hapo, Tukiacha ushabiki huyu jamaa ni mtu makini balaa.

    • @nappekiliakiliasalimu346
      @nappekiliakiliasalimu346 9 หลายเดือนก่อน +8

      atakuja kuwa kiongoz mkubwa CAF huyu jamaa

    • @godlistengodlisten7552
      @godlistengodlisten7552 9 หลายเดือนก่อน +8

      Mungu Amlinde Atimize Ndoto Zake.🙏🙏🙏

    • @hajimnubi4581
      @hajimnubi4581 9 หลายเดือนก่อน +7

      Anaandaliwa kuwa Rais wa caf...wamemfuatilia muda mrefu na kwa umri wake Infatino na motsepe wameamua kumuweka karibu na kumkuza aje kuufaa mpira wa Africa na dunia

    • @NelsonPetro-nv2zl
      @NelsonPetro-nv2zl 9 หลายเดือนก่อน +1

      R
      R

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 9 หลายเดือนก่อน +3

      I second you brother 🙏

  • @ExsaveriaTulinje
    @ExsaveriaTulinje 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu akusimamie president,ikamilishe hiyo project❤❤❤🎉, love Young moreeee

  • @PavilionHospitalb
    @PavilionHospitalb 9 หลายเดือนก่อน +11

    Eng.Hers said yuko smart sana kichwan so gifted....

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 9 หลายเดือนก่อน +1

      Na ndo maana Kuna watu wanamchukia, kisa wivu tu.

    • @bsmonline8482
      @bsmonline8482 9 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa hii Kichwa CAF washaona Mali

    • @godlistengodlisten7552
      @godlistengodlisten7552 9 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@maryamtan682YAANI HAPO UMESEMA UKWELI KABISA MAANA HAKUNA MAFANIKIO YASIO NA WIVU.

    • @hajimnubi4581
      @hajimnubi4581 9 หลายเดือนก่อน

      Huyu na bashe ndio wasomali wenye akili zaidi wa Tanzania

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 8 หลายเดือนก่อน

    Hi Engineer keep it up for wananchi jangwan stadium

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nomà Saana mr present Engineer Hersi Said Rais Wa boliiii ⚽🔝💯💪💥🔥🌟🦵

  • @LeonardPhilimon-p2u
    @LeonardPhilimon-p2u 9 หลายเดือนก่อน +6

    Safi sana mwenyekiti wa club's African hilo ndio jambo utakumbuka mile na mile na vizazi vyote

  • @anthonylugoi6269
    @anthonylugoi6269 9 หลายเดือนก่อน +12

    RAISI wa YAnga Africa linamaakili mengi 🙌🔰

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vk 9 หลายเดือนก่อน +5

    Mpira atupo.atupo tena atupo tuta mungu uweza yote dahima mbele nyuma mwiko amina

    • @godlistengodlisten7552
      @godlistengodlisten7552 9 หลายเดือนก่อน +1

      Sasa Hapo Umeandika Nini?

    • @Evance15
      @Evance15 9 หลายเดือนก่อน

      😂 😂 😂 😂 ​@@godlistengodlisten7552

  • @kibundapesamadimba6352
    @kibundapesamadimba6352 9 หลายเดือนก่อน +2

    Akili kubwa sana Eng.Hersi Said

  • @andrewmgare4474
    @andrewmgare4474 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mwenyezi mungu amuongoze rais wetu afanye mambo mazuri Kwa yanga , akitoka ache alama, yanga mbele nyuma mwiko

  • @IbrahimHassan-ex7sn
    @IbrahimHassan-ex7sn 9 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu tulindie hersi wetu jamaa anajua kuongoza taasisi naiona yanga ikipaa juu zaidi kwenye uongozi wa huyu jamaa.

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 9 หลายเดือนก่อน +4

    This lad does his research before taking any actiona. Anachunguza kabla ya kutoa uamuzi wowote ule. Yuko makini na Allaah amlinde kutokana na mahasidi wa kila aina.

  • @jeremiahahsonhezbon4430
    @jeremiahahsonhezbon4430 9 หลายเดือนก่อน +1

    🎉binafsi namuunga mkono Bwn mdogo Eng Yuko vzrkwa jambo hili atakumbukwa sana

  • @saidibanda8347
    @saidibanda8347 9 หลายเดือนก่อน +7

    Akilinyingi sana

  • @MashakaShobo-cs5wj
    @MashakaShobo-cs5wj 9 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu jamaa namuombea ssna kwa Mungu aje kuwa raisi wa hii nchi naamini atatukomboa kihaki maana tuna uhuru tu hatuna haki MUNGU mbariki eng Hels

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 9 หลายเดือนก่อน

      Maombi na dua zako na ziwe kweli!

  • @JustinMwashilindi
    @JustinMwashilindi 6 หลายเดือนก่อน

    Maamzi mazuri sana

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 8 หลายเดือนก่อน

    Let's all register wananchi members card, so as to play part for our team.

  • @HusseinKalamba
    @HusseinKalamba 9 หลายเดือนก่อน +13

    Ivijamani pale simba tunakosa mtu makini kama uyu bwana hersi yani anaongea vitu vyamahana namuona mbali sana yani paka watangazaji hawana lakuhoji

    • @AishshibnShibani
      @AishshibnShibani 9 หลายเดือนก่อน

      Ww usijidanganye ivyo ivi vilabu vikubwa auvijuwi istory yake kwaiyo Simba kuna viongozi wakubwa wanaoujua mpira kaakwakutulia

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 9 หลายเดือนก่อน

      Mbona Simba Kuna watu makini kibao

  • @CheerfulDrumKit-du7qk
    @CheerfulDrumKit-du7qk 8 หลายเดือนก่อน

    Duh sio poa jamaa ni very talents 14:10 14:10

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn 9 หลายเดือนก่อน +3

    HONGERA RAIS WETU ENGN HERS MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU NA YANGA UIENDELEZE NA NINAIMANI UWANJA TUTAUJENGA CHINI YA UONGOZI WAKO RAIS! POKEA MAUA YAKOOO🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️💛💚💚💚💚💚💚💚💚🖤🖤🖤🖤🖤🖤🖤🖤🖤🖤💛💛💛💛💛💛💛💛💛🙏🙏🙏🙏🙏🙏🖐️🖐️

  • @YakubuAmiry
    @YakubuAmiry 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu akusaidie ufanikishe kujenga uwanja

  • @MagdalineKwezi
    @MagdalineKwezi 8 หลายเดือนก่อน

    Safi sana Rais wetu,mwenyezi mungu,akupatie nguvu,akili na maarifa.Lakini mimi naomba kazi ya usafi😅😅

  • @franssmoses6791
    @franssmoses6791 9 หลายเดือนก่อน +3

    Kweli huyu jamaa anafaa kuongoza nchi anaakili nyingi sana alafu yuko makini

  • @veronicangwale7159
    @veronicangwale7159 8 หลายเดือนก่อน

    Ndo rahaaaa ya kuwa na rais kijanaaaa💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛

  • @abdulazizi4981
    @abdulazizi4981 9 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana Engineer napenda points zako 🤝🤝💪

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn 9 หลายเดือนก่อน +5

    Ushauri wa Bure. Chukua kutoka kwa RAIS wa YANGA !!

  • @FedrickBryton
    @FedrickBryton 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu ibarika yanga pamoja na viongoz wake amen 4:16

  • @banagakatabazi9648
    @banagakatabazi9648 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna kolo mmoja humu ana wivu saana. Anadharau ushauri wa Consultants, hapohapo anashauri kutafuta mawazo kwa watu. Wakati ni kitu kilekile

  • @GABRIELAgness
    @GABRIELAgness 9 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu jamaa kama perez wa madrid akil nying sana hamna alipo.kosea

  • @Joshua-u3s4m
    @Joshua-u3s4m 9 หลายเดือนก่อน

    Brain Iko strong and completee

  • @jumamziray4761
    @jumamziray4761 9 หลายเดือนก่อน +9

    Kumbe Eng.Hersi ni shabiki la liverpool ?
    Ndo maana ana akili

  • @JoeSalumu
    @JoeSalumu 9 หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa anajua kujiuliza

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vk 9 หลายเดือนก่อน +4

    Masikitiko mnawazomeya vijana wadogo ambao wame pambanna rwanda 🇷🇼 vs tz Tanzania poleni sana

    • @MustaqimMuhsin
      @MustaqimMuhsin 9 หลายเดือนก่อน

      Acha tu nikuache maan

    • @canibalgazaboy8325
      @canibalgazaboy8325 8 หลายเดือนก่อน

      Najarubu kujua unamatatizo gani kichwani ila naona nikuache tu uendelee kupambana na kagame huko😅😅😅😅

  • @mwlmsekekabola5661
    @mwlmsekekabola5661 8 หลายเดือนก่อน

    Tunakuaminia rais wetu.Songa mbele

  • @Ayubuchonya
    @Ayubuchonya หลายเดือนก่อน

    Hakika utakuwa historia

  • @Fredy-oz5vu
    @Fredy-oz5vu 9 หลายเดือนก่อน

    Rais eng hersi said 🔥 ana akili sana

  • @ereniomtitu6554
    @ereniomtitu6554 9 หลายเดือนก่อน +4

    Kongole rais huyu ni kijana makini sana na mwenye kiu ya kufika mbali na klabu yetu ya yanga naamini mafanikio yanga yanakuja makubwa mno 🙏🙏🙏 kwa uweledi wake mkubwa yanga daima mbele nyuma mwiko

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn 9 หลายเดือนก่อน +1

    Asante RAIS wangu kwa kunielewesha thamani yangu ya kuwa mwanachama good,🙏🙏

  • @BABAGVANY
    @BABAGVANY 9 หลายเดือนก่อน +1

    👍

  • @farlykunga8599
    @farlykunga8599 9 หลายเดือนก่อน

    zingatia Neno "RAISI"...🎉

  • @SamwelKiyanga
    @SamwelKiyanga 9 หลายเดือนก่อน +6

    Huo mto msimbaz usije haribu uwanjan sabb hawanaga wema hao makolo😂

    • @SamwelKiyanga
      @SamwelKiyanga 9 หลายเดือนก่อน

      Pia tutaanz kukuombea mungu akutunze

    • @AishshibnShibani
      @AishshibnShibani 9 หลายเดือนก่อน

      Ww unafikili uwanja utajengwa nipo pale lbda sio serekali mbataka serikali isipate mapato iv vilabu vikibwa viwili aviwezi kujenfa uwanja mapaka mwisho wadinia

    • @augustinomkongwa5444
      @augustinomkongwa5444 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂mto makolo

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 9 หลายเดือนก่อน

      😂

  • @Kimweri_tz
    @Kimweri_tz 9 หลายเดือนก่อน +1

    Jembe hili

  • @paulsteven6075
    @paulsteven6075 9 หลายเดือนก่อน

    Hongera rais wa yanga uko makini sn,mungu akubariki sn.

  • @deusdeditkullwah5586
    @deusdeditkullwah5586 8 หลายเดือนก่อน

    Hii ni faida ya timu kuongozwa na watu waliokanyaga umande Shule baba SI kutegemea uchawi HONGERA RAIS WETU HERSI SAID

  • @khamisidowany6262
    @khamisidowany6262 9 หลายเดือนก่อน +1

    @selemanmusa ni msomi ila ujaelewa kinacho ongelewa sio kila ktu mnabisha tu

  • @FadhiliSelestini
    @FadhiliSelestini หลายเดือนก่อน

    Naomba yanga mtafte nyimbo za kuimba wakati timu inapokuwa uwanjan ili mashabiki wawe wanaimba

  • @joramkidaga8049
    @joramkidaga8049 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika Apewe Maua Yake🎉🎉❤

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 9 หลายเดือนก่อน

      Mwamba kwelikweli huyu

  • @ShijajumaSengerema
    @ShijajumaSengerema หลายเดือนก่อน

    Mbona hatuoni maendereo ya uwanja

  • @grasiuslongo6186
    @grasiuslongo6186 9 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu Rais wa club ni very brain

  • @JamilahAbduly
    @JamilahAbduly 9 หลายเดือนก่อน +1

    Sanks gd 4 hersi

  • @JacksonBusiya
    @JacksonBusiya 9 หลายเดือนก่อน

    Tena tumuombeen, azidikuiheshimisha Timu ya Wananchi wa Tanzania Yanga Afrika

  • @damasiasimba-lk5os
    @damasiasimba-lk5os 9 หลายเดือนก่อน

    Naona kama kuna siku atateuliwa kuwa m,'bunge hivi

  • @NelsoniMatambo
    @NelsoniMatambo 9 หลายเดือนก่อน

    Herss nakukubali sana

  • @DominickMathew-p3g
    @DominickMathew-p3g 8 หลายเดือนก่อน

    Tatizo wazuri hawadumu utaona wanafiki Wanamtowa Duniani kama Magufuri Alivokuwa mzuri

  • @boscondimbo3297
    @boscondimbo3297 9 หลายเดือนก่อน +1

    Chura haachi asili yake. Kwani ardhi imeisha Tz hadi kung'ang'ana na Jangwani ?

  • @sangaelly8548
    @sangaelly8548 8 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaaa haya asemayo yakitekelezwa Yanga itakuwa hatari mno Tz na Africa nzima hatari

  • @nembibenard8440
    @nembibenard8440 9 หลายเดือนก่อน

    Hers said aishi miaka ya mamba crocodile 🐊 miaka mia sita

  • @ManJohn-b9w
    @ManJohn-b9w 8 หลายเดือนก่อน

    nimim nolobery lwambano jamane jiesiem mwache aitwe lais wayanga natamtaki maish mema

  • @eliapius-f3b
    @eliapius-f3b 9 หลายเดือนก่อน +5

    Tanzania tuna hazzina kabisa

  • @oscarclaine5878
    @oscarclaine5878 9 หลายเดือนก่อน

    Hapa kwenye mwenyekiti wa klabu na bodi ndo kitu inawatafuna hawa jamaa.. huyu hersi amenivutia na mimi kuwa injinia

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 9 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ni rais wa TFF utake usitake shwain

  • @DominickMathew-p3g
    @DominickMathew-p3g 8 หลายเดือนก่อน

    Comments nazoziona nizawanayanga pekee Sjui simba wamejificha hum hum

  • @emanuelelias2926
    @emanuelelias2926 9 หลายเดือนก่อน

    Ama hakika hapa wananchi hatukukosea kumpa nafasi ya kuwa Rais wa timu yetu, Hersi ni mtu

  • @MUDHAKRIMCHIGA
    @MUDHAKRIMCHIGA 9 หลายเดือนก่อน

    Injinia nakupend San San Zaid San

  • @jumachapile2829
    @jumachapile2829 9 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu Rais wa yanga kichwa sana

    • @RoseMunisi-qp3qi
      @RoseMunisi-qp3qi 9 หลายเดือนก่อน

      Mangungu au sio😊😊😊😊

  • @NgengeMkeni-uo5hq
    @NgengeMkeni-uo5hq 9 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa anafaa hata kuwa *RAIS WA NCHI*

  • @monicalucas3738
    @monicalucas3738 9 หลายเดือนก่อน +1

    Pokea maua yako rais wa mpira🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Amosgereson
    @Amosgereson 7 หลายเดือนก่อน

    Kiongozi mwenye upeo wa hali ya juu

  • @biiarupia7277
    @biiarupia7277 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu tunaomba umpe uhai sushi miaka Mingi atatufanyia makubwa wananchi

  • @AthmanKashingo
    @AthmanKashingo 9 หลายเดือนก่อน

    Namuelewa raisi wa yanga Je amejipangaje na changamoto kutekeleza mradi.?

  • @mhandomhina5503
    @mhandomhina5503 9 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa ana alama za uongozi na utawala

  • @Saidi-x4h
    @Saidi-x4h 9 หลายเดือนก่อน

    Mpaka raha kumsikiliza huyu jamaa

  • @HisanHaji
    @HisanHaji 9 หลายเดือนก่อน +1

    Tunakuwamini sana raisi wetu mpendwa una akili sana nauoole wako

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 9 หลายเดือนก่อน +2

    Kiongozi mkubwa anazungumza na watu wakubwa!

  • @AndrewEzekiel-jp7ed
    @AndrewEzekiel-jp7ed 9 หลายเดือนก่อน

    Jamn mtuache na yanga yetu mipango ya kwetu,yanga yetu,rais wetu,inawauma nn?aliemleta rais uyu dunian Hana dhambi

  • @eliapius-f3b
    @eliapius-f3b 9 หลายเดือนก่อน

    Mwamba kwel kwel,hakuna kutoka madarakan kwahiyo Rais wa YANGA wa kidumu huyu

  • @MalifezaMajidi
    @MalifezaMajidi 9 หลายเดือนก่อน

    Huyu bwana wa Tz naowamba tumpongeze ushabiki tuuweke pembeni.

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 9 หลายเดือนก่อน

    Raisi wa vilabu anaongea ki_raisi, shule ya bureee.

  • @Amosgereson
    @Amosgereson 7 หลายเดือนก่อน

    P

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 9 หลายเดือนก่อน +2

    Sauti inakatakata

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 9 หลายเดือนก่อน +2

    Gardner mambo ya Simba na yanga kweli yanamchanganys ...gulamali na rage hawakuwahi kufanya kazi yanga na Simba pamoja...rage alikua DRFA wakati huo...ni gulamali na azim dewji

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 9 หลายเดือนก่อน

      halafu Rage pia siyo Mbunge jamaa anapuyanga tu labda ndiyo maana Jide alimtema

    • @josephatn5040
      @josephatn5040 9 หลายเดือนก่อน

      Aden Rage aliwahi kuwa mbunge wa Tabora mjini.​@@fredylucas2484

    • @mussamussa9446
      @mussamussa9446 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@fredylucas2484ameshawahi kuwa mbunge kama hujui uliza wanaojua

    • @allymngwaya2831
      @allymngwaya2831 9 หลายเดือนก่อน +1

      Anajichanganya ni Gulamali na Azim Dewji

    • @treyvissy9854
      @treyvissy9854 9 หลายเดือนก่อน

      @@fredylucas2484 ni mbunge wa zamani

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5yt 9 หลายเดือนก่อน

    Wanao sikiza uwongo wa huyu jamaa tunaita wajinga wali wao

  • @NasibuAlban
    @NasibuAlban 9 หลายเดือนก่อน

    Wametolewa mapinduzi wanadanganywa sasa

    • @martinandugai2340
      @martinandugai2340 9 หลายเดือนก่อน +2

      Ayakuusu 😂😂

    • @luganomwaisumo1938
      @luganomwaisumo1938 9 หลายเดือนก่อน +1

      Duu kweli kilaza yaani kombe la mapinduzi???

    • @matiankomola2391
      @matiankomola2391 9 หลายเดือนก่อน +2

      Kila Timu Ina Malengo yake!
      Kama wewe una Malengo ya kumchukua Kombe la Mapinduzi na umejiandaa kikamilifu kwa Kombe hilo, Chukua, Acha Wivu wa Mazuri ya Mwenzako.

    • @matiankomola2391
      @matiankomola2391 9 หลายเดือนก่อน

      Kumchukua - kuchukua

    • @allymngwaya2831
      @allymngwaya2831 9 หลายเดือนก่อน +1

      Una akili ndogo sana.

  • @selemanmussa3459
    @selemanmussa3459 9 หลายเดือนก่อน +10

    Imagine watu wanaenda mwezini sisi tunaenda kidimbwi, watu wanarusha satellite za ulinzi kwenye space sisi tunapanda juu ya meza...Watu wametengeneza mifumo ya kulinda vilabu kabla smartphones hazijagunduliwa sisi hadi leo tunahangaika. Ujinga ni laana mbaya kuliko laana zote. Tuendelee kudumisha ujinga...ujinga unaondoa creativity, Wewe kama rais wa klabu nakushauri tengeneza mfumo wa kununua mawazo, ndivyo teknolojia au dunia ya kisasa inavyotaka...usione wamiliki wa mitandao wana develop wamejenga mifumo ya kupokea mawazo kupitia interactions ya public mitandaoni...kuna watu wana mawazo mazuri kuzidi hao consultant mnaowalipa mamilioni ya pesa na wanatoa huduma zisizokuwa na value for money... 28:53

    • @sittandaki2135
      @sittandaki2135 9 หลายเดือนก่อน +1

      Kaka umeflow

    • @contempo_builders
      @contempo_builders 9 หลายเดือนก่อน +1

      Ukikua utaacha.

    • @lameckfb2847
      @lameckfb2847 9 หลายเดือนก่อน

      HAKA NDO KAMEMALIZA CHUO MWAKA HUU@@contempo_builders

    • @shamsally6277
      @shamsally6277 9 หลายเดือนก่อน +4

      Yani we nkajua umeendika vitu za maana kumbe ushabiki tena sijui umerogwa😂😂😂

    • @saalim5401
      @saalim5401 9 หลายเดือนก่อน +3

      Hasadi na akili matope vitu vya engineer vimekuingia tulia upate darasa kolo wewe

  • @DottoAzizi
    @DottoAzizi 9 หลายเดือนก่อน

    Noma sana huyu jamaa Aishi miaka yatembo😊😊😊