AHMED ALLY, IBWE WAIBUKIA CCM VIJANA "KILA KIJANA ANAWAJIBU WA KUITUMIKIA CCM"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 52

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 5 วันที่ผ่านมา +3

    Katiba mpya my brother understand

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 5 วันที่ผ่านมา +4

    Mwamba wa Mnyama , Mama Samia ikikupendeza Amed Ally umpe kitengo ktk serikali yako hususani ubunge wa kuteuliwa na awe waziri. So special

  • @dizzosukariyaoSukariyao
    @dizzosukariyaoSukariyao 4 วันที่ผ่านมา +1

    Hahahaha mimi namkubali makonda tu ameweza kunishawishi akiomba kura nitampa

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 5 วันที่ผ่านมา +4

    Ndiyo maana msemaji atakiwa awe nahekima wakati anaongea serekali inaona matukio yote siyo kuropoka hovyoo pongezi Kwa semaji la kafu

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 5 วันที่ผ่านมา

    Amed ally ameomgea vizur sana Mainshaallah

  • @user-nu3ne8ul5d
    @user-nu3ne8ul5d 5 วันที่ผ่านมา

    Safi sana semaji ccm oyeeee

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 5 วันที่ผ่านมา +2

    Ahmed Ally kipenzi cha wengi😂😂hicho cha Azam masikini sijui hakijulikani😂😂

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 5 วันที่ผ่านมา

    Umeongea vizuri saaana mwambaaaa

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 5 วันที่ผ่านมา +1

    Leo nimeamini msemaji ni mmoja tu Amed Ally

    • @Lusindehalima-si3ej
      @Lusindehalima-si3ej 5 วันที่ผ่านมา +1

      Jamani tuwe wakweli huyu MTU sio wa kawaida, hivi Ally komwe anamuza kweli????

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews 5 วันที่ผ่านมา +3

    Halafu wa kenya wanawaambia watanzania waandamane 😂😂😂😂 kwa hali hii haandamani mtu😅😅

    • @jdanny497
      @jdanny497 4 วันที่ผ่านมา

      Tanzania vijana wote chawa hadi warioba anajua..njaa ndio inawasumbua

    • @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu
      @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu 3 วันที่ผ่านมา

      Kwa kuwa wengi bado kujitambua

  • @user-ec7us6vf6w
    @user-ec7us6vf6w 5 วันที่ผ่านมา +1

    Hivi hao waliojazan hapo Wana Kaz za kufany kwel jmni

  • @samwelsimon7392
    @samwelsimon7392 5 วันที่ผ่านมา +1

    kumbe na uko unaweza

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 5 วันที่ผ่านมา +2

    Safi sana semaji letu wenye wivu wajinyonge CCM oyeee

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 5 วันที่ผ่านมา

      Wajinyonge kwa kipi😂😂

  • @IsaacLameck-nz8yr
    @IsaacLameck-nz8yr 4 วันที่ผ่านมา

    Tumikia mwenyewe

  • @JosephKembe-ee6bd
    @JosephKembe-ee6bd 5 วันที่ผ่านมา

    Ccm Keisha

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 4 วันที่ผ่านมา

    Hashim Ibwe unakitu brother kongole

  • @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu
    @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu 3 วันที่ผ่านมา

    UNGEJUA CCM NI YANGA WALA USINGEENDA

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 5 วันที่ผ่านมา

    Wasilolijis ccm.inaandaa vijana tangu shule ya msingi.na kuwafundisha kujieleza hadi vyuo vikui.msifikiri wsmeibuka tu.

  • @marcokanyama4533
    @marcokanyama4533 5 วันที่ผ่านมา +1

    Privadinyo hajielewi ni tahila
    Wenzake wamesoma nyakati
    Kila chakuongea kinasehem yake sio kuropoka TU umebugi

    • @AminaRamadhan-mg9lj
      @AminaRamadhan-mg9lj 4 วันที่ผ่านมา

      Kweli sahv kilichobkii nikwendaa na upepo kabg

  • @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu
    @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu 3 วันที่ผ่านมา

    UNAJUA ELIMI NI MUHIMU MUNGU TUNUSURU NA HUU UJINGA

  • @user-tv9tm7cp9g
    @user-tv9tm7cp9g 5 วันที่ผ่านมา

    Unaweza uko

  • @Lusindehalima-si3ej
    @Lusindehalima-si3ej 5 วันที่ผ่านมา

    Semaji LA kaf huna mpinzani tambaa wengine waimba taarabu

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 3 วันที่ผ่านมา

    Kwenden huko vitu vinapanda ata hamusemi

  • @Theprincipalmboya
    @Theprincipalmboya 5 วันที่ผ่านมา +1

    Hii sio sawa

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso 5 วันที่ผ่านมา

    Nimeelewa lakin mama tunataka katiba mpya

  • @danielndam5997
    @danielndam5997 5 วันที่ผ่านมา

    Wengine wasio kua uv ccm sio vojana

  • @user-xs3ko8pg2g
    @user-xs3ko8pg2g 5 วันที่ผ่านมา

    Njaa ikihamia kichwani ni hatari, mnaliabisha taifa kwa uchawa

  • @mlangotv8465
    @mlangotv8465 5 วันที่ผ่านมา +2

    Hao wanafunzi mmewapa chakula?

  • @user-oc1jm5zn6g
    @user-oc1jm5zn6g 4 วันที่ผ่านมา

    Nyie tuachieni mpira wetu.nyie mkapige debe huko

  • @markoshem-ij6cf
    @markoshem-ij6cf 5 วันที่ผ่านมา

    Kumbe nawewe nimi CCM ee

  • @Kadebecomedy
    @Kadebecomedy 5 วันที่ผ่านมา

    Huyu aliyevaa miwani ni nani

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 4 วันที่ผ่านมา

    Ccm wajinga sana pumbavu ivi hao watoto wa shule na bado wako na uniform wanafanya nini hapo chama lakipumbavu ili sijawah ona

  • @ChoroTesla
    @ChoroTesla 5 วันที่ผ่านมา +2

    Kampeni zimeanza???

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 5 วันที่ผ่านมา

      Acheni ushamba kila kijana wa nchi hii anahaki ya kuchagua upande sasa lipi la ajabu 😊

  • @user-jx3yi9ci7g
    @user-jx3yi9ci7g 5 วันที่ผ่านมา +2

    Hapo mmeanza kuharibikiwa siasa na mpila!!!!!!

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 5 วันที่ผ่านมา +1

    Naona watoto wengi wa shule

  • @kazimotomaswi9700
    @kazimotomaswi9700 5 วันที่ผ่านมา

    Nonsense

  • @geofreykasinda1895
    @geofreykasinda1895 5 วันที่ผ่านมา +1

    Kwahiyo mnarudisha fadhila kwa goli la mama. Tujitafakari sana vijana hawa ccm hawana uruma na vijana. Hatuna urisi wa kesho katika taifa hili

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 5 วันที่ผ่านมา +1

    Naona utopolo mnahoji hoji kuhusu AHMED ALLY mbona huwa hammhoji Manara

  • @danielndam5997
    @danielndam5997 5 วันที่ผ่านมา

    Mjinga kweli ww

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 3 วันที่ผ่านมา

    Kwenden huko vitu vinapanda ata hamusemi

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h 5 วันที่ผ่านมา +1

    Wa tz kiakili mugu tuhulumie tumejaza uwanja ila maisha tuliyo nayo mtaani nikwikwi

  • @derickkaragwe5824
    @derickkaragwe5824 5 วันที่ผ่านมา +1

    Mnaenda kualibikiwa sasa kama mmeanza kujichanganya na has watu

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 5 วันที่ผ่านมา +1

      Mbona Manara yupo CCM siku zote au yy siyo msemaji wenu🐸🐸