Uko sahihi sana Kenaya,siyo sahihi kumkubali mtu bila kuwa na hisia nae,vinginevyo utapata shida kubwa ktk maisha,ndiyo maana unakuta watu wanacheat ktk ndoa zao,ni sababu walioana bila kuwa na hisia
❤❤ leo wakwanza nipeni like tuendelee,naktu kpyaa naya, eti. Mapenzi nimatam haya njoon tusiklize tufahm km kwel au sikwel tutajua. Kaka lucas asate maua🌹🌹🙌🪑🎧🏃
Mm mamaangu alikuwa akiniambia ww ni mschana na huna pesa sasa Kwan mschana ndio ana pesa bila kuzitafuta au nikitembea namwaga pesa kama nisinge jitambua ningekua Malaya wakutupwa lakin nashukuru Kwa ilimu ya babaangu na upendo wako wa hufu ya mungu
Mwanamke kujithamin ni bora Zaid mm watu husema naringa na nna sura mbaya lakin sijal maana siezi kuwa gawagawa nakipata mtu tufunge ndoa ukinichoka niache nikafunge ndoa nyingine japo nna ndoa tatu zisizo na faid lakin ni heri kuliko wale waku gawa kila anapo tongozwa wajua mwanamke hata azeeke bado atatongozwa sasa jichanganye eti watongozwa kwasababu wanakupenda kumbe wakufanya boll la zoezi maana washajua ww ni mrahisi pole yako
Mm kiukweli upendo nilihamishia kwa wanangu msiniulixee kwann..halafu huyoo mama nipe tuu hata sitaki unikopeshe ni mzima mzima mana wangu nilimpoteza miaka 22 iliopitaa RIP my mommy..halafuu huyo mtekajii angepata adhabui achinjwee Christmas umbwaa zisherekee sio kwakufanyaa unyama huo kwawadada nasijui dadake akifanyiwaanhivyoo atajisikiajee??? Halafu naya siku ingine acha zarau kidogo Ukose ndoa kisa zarau mtu amekutext kukupigia Mjibu tuu lkn humjibu unaogopa Mjibu iliujue nn anataka bs.. halafuu huyu sijui ndo cris angekufaa tuu wengine tujue kwao mana anaujinga eti nijiuekisa nimekataliwaa lini wapi sangapi awee mm nikiachwaa anaenda butcher kununua nyama kilo moja nipike naugali nitibuu tumbonnamaumivuu nikimaliza nimshukuru Mungu niseme sio fungu langu..tukutane kwa roma wa Edina na mhanyoo wote huo lkn kiboko yake ni Edina anakuamdogo kama piriton
Wakwanza jamani kwa simulizi hii mpyaa likes zenu 🙏🙏🙏❤♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Wa kwanza nimewahi 🎉🎉🎉🎉
Daah! Imeanza vizuri ila hapa mwisho💔 aisee! Mungu alikua upande wako🙏🙌 liani aliletwa na mungu
Haya msanii Lukas wetu tunakusikiza
😮♥️♥️♥️🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹haya Naya tupashe mwaya tuburudike na kuelimika,😂😂😂hata na mie hapa ni mamaG 😂😂
Uko sahihi sana Kenaya,siyo sahihi kumkubali mtu bila kuwa na hisia nae,vinginevyo utapata shida kubwa ktk maisha,ndiyo maana unakuta watu wanacheat ktk ndoa zao,ni sababu walioana bila kuwa na hisia
Leo umetuletea mpya.... asante umejua ndio tusikue bored❤❤
Asante kaka kwa kitu kipyaaaa😂😂❤❤
Anko lucas twangoja Edna waleta naya ila sawa tu
Tuko pamoj kak na Wadau wote hum ndan na kitu kipyaaaaaaaaa
Kazi nzuri kaka,listening from Kenya,much love.
We homa limekuanza ume tukatisha utam wa roma
Kununua tuu kupika aaaah 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂oohh mbona na mama yoso 😂😂😂😂😂😂
Mbona sio Edna jamani
😂😂 kuwa mpole kdg
Bado nategea Hadi mimi😂
Lukas ulitwambia hiii wk ya Edna nn ten jamn umefanya😅😅
😂😂😂 leo si j1 wk mpwa
Mm nilikuwa natk mzigo mpy tofauti na edna
Asante lumbasi kwa simulizi yako nzuri sana ila we NAYA UPUNGUZE MARINGO MAMAA
We miss Edina jamani....mm ni yatima wa mapenzi😢
❤❤ leo wakwanza nipeni like tuendelee,naktu kpyaa naya, eti. Mapenzi nimatam haya njoon tusiklize tufahm km kwel au sikwel tutajua. Kaka lucas asate maua🌹🌹🙌🪑🎧🏃
Asante lumbasi
Kaka lucas vip sisi wa simulizi ya edna
Voice yako nzur
Anyway nikipya❤❤❤
Twashukuru kutuletea single mr luu 🎉🎉🎉🎉🎉❤ pokea mauw yako tafadhali umunikong moyo 😊😊
😊😊😊
@@FatimaRamadan-s4f tupo pamoja wana single jmn 😁😁✌️✌️
VIP Mumbi Wa Naivasha ako Ndani
Hongera papa lucas Kwa simulizi yako tamu sana nyemafunzo mazuri Kwa wadada kuwa namsimamo
Mwanamke nikujitambua nakujiamin
Kaka Lukas leo Roma hatupati au
Asking on behalf of my friend chombezo za wakubwa hamnaa tena😂😂Kwa hio ratiba ni ya Edna na Naya sio😊
Lucas vip Edna mbona wiki haijatimia?
Katudanganya eti Edna mpaka wiki iishe mbona sasa Kiko wapi 😂😂
Xo kwa kuimb huk kumbe unawez hat kuimb kak Lukas Kam tunakuon vile 😂😂😂😂
Kumbe wewr ni ndugu yake Roma ahaaa inatisha
Ila mama kenaya ni mtata ❤❤❤
Yaani huyu mama ni mama angu Kabisaaa 😂
Histoire nzuri mashallah
Jamani naombanamba zanaya irinipewehuduma
Kaka kukasi tuko pamoja ila wamama wengi malezi yao mmmh
Mm mamaangu alikuwa akiniambia ww ni mschana na huna pesa sasa Kwan mschana ndio ana pesa bila kuzitafuta au nikitembea namwaga pesa kama nisinge jitambua ningekua Malaya wakutupwa lakin nashukuru Kwa ilimu ya babaangu na upendo wako wa hufu ya mungu
Nakumbuka tuliambiwa edina hadi wiki imekuaje tena
Kaka lucas ukimaliz hii tuletee Royal Tours ipo vzr kwel mtunz malkia osam❤❤❤
Ok asante nalifanyia kazi
@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI shkran🙏🙏❤️❤️
Asante sana Lucas kwa Simulizi nzuri saana❤❤❤from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mashaal asant 23❤❤❤🎉🎉🎉😢😢😢😂😂😂😂
Ila lucas ww kichwa chako unakijua mwenyew😂
Kama sijasahau,ulisema tutaenda Na Edna the whole week
Kweli ata mi nakubukwa duu tusha pigwa tayar
@@민서-v4n tena kweli
Anataka kutufanya tuhame pole pole maaana mmmmmm
Hama pekeako ssi twakomaa na lucas hadi kieleweke@@furahamasha7192
Mwanamke kujithamin ni bora Zaid mm watu husema naringa na nna sura mbaya lakin sijal maana siezi kuwa gawagawa nakipata mtu tufunge ndoa ukinichoka niache nikafunge ndoa nyingine japo nna ndoa tatu zisizo na faid lakin ni heri kuliko wale waku gawa kila anapo tongozwa wajua mwanamke hata azeeke bado atatongozwa sasa jichanganye eti watongozwa kwasababu wanakupenda kumbe wakufanya boll la zoezi maana washajua ww ni mrahisi pole yako
Lukas Jamani tuna subiri Edna jamani mbona unanituma nakuja you tube every time
Lakini sijuzi umesema wiki mzima utatuwekea Edna Jamani bona hivi 🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴
Nime chelewa kwan😮
Mm kiukweli upendo nilihamishia kwa wanangu msiniulixee kwann..halafu huyoo mama nipe tuu hata sitaki unikopeshe ni mzima mzima mana wangu nilimpoteza miaka 22 iliopitaa RIP my mommy..halafuu huyo mtekajii angepata adhabui achinjwee Christmas umbwaa zisherekee sio kwakufanyaa unyama huo kwawadada nasijui dadake akifanyiwaanhivyoo atajisikiajee???
Halafu naya siku ingine acha zarau kidogo Ukose ndoa kisa zarau mtu amekutext kukupigia Mjibu tuu lkn humjibu unaogopa Mjibu iliujue nn anataka bs.. halafuu huyu sijui ndo cris angekufaa tuu wengine tujue kwao mana anaujinga eti nijiuekisa nimekataliwaa lini wapi sangapi awee mm nikiachwaa anaenda butcher kununua nyama kilo moja nipike naugali nitibuu tumbonnamaumivuu nikimaliza nimshukuru Mungu niseme sio fungu langu..tukutane kwa roma wa Edina na mhanyoo wote huo lkn kiboko yake ni Edina anakuamdogo kama piriton
Nimekupenda bure 😊❤
Kwan leo hakuna Edina mbona najikuta nimechako kusubir
❤
❤❤❤❤❤🎉
Asante
🎉
Lucas plz nitumiye sayozi part 2plzzz
Wakumi natano mim ❤❤❤❤
Aya namm naombeni like zangu sijachelewa
Aaaah jamani siku inaisha bila Edina sijapenda 😢😢😢
Mama Naya ananikosha 😂😂😂kwa majib tu maan jibu moja tu hata kam waumwa wapona hata bila dawa
Simulizi fupi muhimu pia twaziitaji
Kwenye u imbajiiiii hpn😂😂😂😂
Me ni atima wa mapnzi😢
Jamani history yafurahisha
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Kama vip tupate story ya mama naya na mumewe jouman🤗🤗
Mi siirlewi japo naifanyoaaridio kila mara
Nani hajapata like a nambie dadamkubwa nko hapa nagawa likes tuu
❤❤❤❤❤
Ila umempatia mama wa kenaya jaman niko hoi🤣 nashindwa hadi kumalizia simulizi 😂🤣
Weeeeeee😂😂😂😂
ʸᵃᵃⁿⁱ ᴸᵘᶜᵃˢ ʰᵃᵖᵃ ᵘᵐᵉᵗᵘᶜʰᵉᶻᵃ ᵘˡⁱˢᵉᵐᵃ ᵃʲᵉ ʰᵃᵏᵘⁿᵃ ˢⁱᵐᵘˡⁱᶻᵉ ⁱᵗᵃᵏᵘʲᵃ ʰⁱⁱ ʷᵉᵉᵏ ᵗᵃᶠᵃᵘᵗⁱ ᵐᵃ Edna😮😮😮
Tumesha pigwa tayar
😂😂 Edna kapuni
@@TeklaNdekeja ᴮᵃⁿᵃ ᵉᵉᵉᵉʰ🤣🤣🤣
Kwahiyo imetimia wiki lucas unatfanyia nini jaman😢
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Tamu mnoo
Njoon kitu kipya mezani like plz❤❤❤🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂jaman mama
🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲♥️♥️♥️
Anko lucas ngedere ni nini please naomba unijibu maana nimecheka 😂😂😂😂sana lkn sijui ni kitu gani
Kwan Google kazi yake nni jamani😮
@@MwanatumuJumaa-rj4fg mhm Ata ckufkiria haki
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
😂😂😂
Mm namkupenda mtu furani nampenda san❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤
Apo kwenye manguo😂😂😂 hadi kizunguzungu😂😂😂 nimecheka balaa
🤣🤣🤣🤣🎉
Hello team lumbas wapii likes zenuuu msininyime ataaa kama nmechelew 😅😅😅😅
Chukua maua hayo 💕💕💕🤣🤣🤣
❤❤
Thanks mwayaa @@zenaathumani8144
@user-rc3om5h❤❤s9i
Kina frenk wanalaanaa jaman nawachukiia mm😢
❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤
❤❤❤🎉
❤❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤