KUVUNJA MADHABAHU ZA GIZA NA KUPANDA ZA MUNGU DAY 4(KUVUNJA MADHABAHU ZA KICHAWI)OCTOBER 2022
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2022
- Bwana Yesu asifiwe,
Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya siku ya nne ya maombi haya,
Leo tutaendelea kuomba kwa ajili ya kuvunja madhabahu za giza za kichawi kwenye familia,na kila kilichowekwa kinabomolewa kuanzia usiku huu wa leo,
Hakikisha maombi haya unaomba kuanzia saa sita usiku mpaka saa tisa usiku,sawa sawa na maelekezo ya Roho Mtakatifu,
Ikiwa hutakua na nafasi ndio uombe mchana,
Na Yarudie mara kwa mara muda wowote upatapo nafasi
Kwa jina la Yesu,kila madhabahu za giza za kichawi Zinavunjwa na za Mungu zinapandwa kwa jina la Yesu,AMEN
Min Mocky
Ameni
Asante Yesu
Amen
AMMMMMMMEEEEEEEEEEEEEEEENNNNNNN 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen Amen
Kila madhabahu inayonirudisha nyuma naiipasua kwa jina LA Yesu
AMMMMMMMEEEEEEEEEEEEEEEENNNNNNN 🙏🙏🙏🙏
AMMMMMMMEEEEEEEEEEEEEEEENNNNNNN 🙏
Kila madhabahu upande wa mama yangu na baba yangu naivunjaa kwa Jina la Yesu
ASANTE YESU NINASHUKURU
Mama mtt wangu anaumwa sana
Ameeen
Thanx for this lesson
Niombe aki
Ameen hakutakuwa na ubaya wowote utakaosimama mbele yangu
Amen
AMMMMMMMEEEEEEEEEEEEEEEENNNNNNN 🙏🙏🙏
Amen
Amen