Kijana hamza hashirikiani na watu wa bida'a bali anashirikiana na watu wa sunna na ijulikane kwamba mtu kukosea hatoki kwenye manhaj kwenye alikua alikosea tu nikwa aweso lakini ninataraji kapata ilmu kubwa na nasaha nzuri kwa shekh na hamza kaongea vizuri sana kuhusu mnawalaumu na hamjawaelimisha kuhusu hawa watu hawafai na hawa wanafaa Allah akubariki bwana hamza
MASHA ALLAH
MashaAllah
Manshallah twaipenda sana AL-HUDA❤❤
Karibuni tena sheikh misigaro na mwanaharakati hamza mahani
Shukran sana sheikh wetu Abubakar misigaro
Na Hamza mahane
Tunakupenda sheikh wetu Abubakar misigaro
Kwa kupinga bidah
Tuko south Afrika
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ manshallaah tabarakallaah
MashaAllaah Tabaraka rahman Adi raha
Kijana hamza hashirikiani na watu wa bida'a bali anashirikiana na watu wa sunna na ijulikane kwamba mtu kukosea hatoki kwenye manhaj kwenye alikua alikosea tu nikwa aweso lakini ninataraji kapata ilmu kubwa na nasaha nzuri kwa shekh na hamza kaongea vizuri sana kuhusu mnawalaumu na hamjawaelimisha kuhusu hawa watu hawafai na hawa wanafaa Allah akubariki bwana hamza
LAILAHI Hadi Raha
HAKI IKIJA BATILI INAONDOKA WATU WA BIDA'A WATANAYANYUA MIKONO MUDA SIO MREFU HAWANA HOJA
Laiti ungelikua unashirikiana na watu wa bida'a tungelikuona unashirikiana na watu wa maulid pambana kijana
Mbona IDRISA aliepeperusha Bendera ya Taifa barani Africa Hamkumpokeya ivo??? Karibuniiii
Wew ni mkaanga sumu kbxx. Kwani Idrissa hakupokelewa kwa shangwe?