ZEMBWELA AINGIA CHUMVINI, AFUNDISHWA JINSI CHUMVI INAVYOTENGENEZWA HADI KUVUNWA - MSWAHILI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
- ZEMBWELA AINGIA CHUMVINI, AFUNDISHWA JINSI CHUMVI INAVYOTENGENEZWA HADI KUIVUNWA - MSWAHILI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Inasikitisha Sana chumvi ni muhimu Sana, ila i nakosa soko na bei, poleni msikate tamaa ipo siku Mungu atajibu kilio chenu, Hongera Zembwela wewe nitochi andelea kumulika🙏.
kabisaaa
Chuma cha Pua Zembwela.. hongera kwa Vipindi Vizuri vyenye tija.
Wakati mwengine tunajitafutia magonjwa sisi wenyewe sasa tunachukua chumvi kutoka india ambayo bilashaka imewekwa cemicols nyingi sana tunawacha kutumia chumvi safi kwasababu ya ufisadi tu 😭😭😭😭
Tuna selikali ya hovyo kabisaa kupinga vya ndani na kuunga mkondo vya nje Kuna siku hata viazi mhogo kalanga mahindi mchicha mtalazimisha tutumie vya nje kisa tu viongozi mna masilahi huko ,
Innalillahi wainna irai rajoon
Zembwela Una fanyakazi nzuri Sana kuelimisha jamii
Kazi nzuri zembwela endelea kutufunza mengi tusiyoyajua mungu akubariki kwa kazi. Zako dah. Nlikuwa. Cjui kuhusu chumvi bt nimejua. Sasa much. Love from kenya 🇰🇪
Daaah huyu mzee anapambana sana kutuletea burudani sie waswahili wenzie
Kazi nzuri kwa mswahili
Pamoja na Mpika chumvi
mkubwa zembwela big up xana hiyo chumvi inapatikana wapi?
Dah mungu ibariki tanzania na utuondelee mafisadi
Hongera kwa kazi nzuriii.
Jamani hii nichuvi safi kabisa serekali mnatak raiya tujiajiri lakini tuki jiajiri hamtusapot inauma
Kazi nzuri! Hao algae walioota juu ya maji ni pesa, wana soko kubwa nje
Nakubal shemeji .. mama cossy S.A
Nifursa nzuri 💕 serikali inabidi iunge mkono lakini umenichekesha sana eti itakutambua😂😂😂😂
Asante sana zembwela kipind kizur sana
Jamani Zembwela hata hujaosha miguu khaaa kweli tunakula vingi vichafu Mungu tu ndio anatusaidia
Twala majasho ya miguu na soski😂😂😂
Mashallah mashallah
Hongera Sana Mr zembwela mswahil Ila naswali Sasa ikiwa chumvi mchawiwake mvua Sasa mbnaipondan yamaj haiyeyuki?
Safi sana Zembwela👌
😢😢kazi kubwa mno
huna lolote lile ukijikuna unatoka unga asante zembwela daa nakukubali zembwel MTU kazi kama mandonga
kwetu Lindi tunalima sana chumvi
heti NIPO chumvin-kaka zambwela bwana
Naomba nipe ata maelekezo kdg unalima vp
Ata Mimi limenikera kusamini vya njee wakati ndani vipo
Wasafi mpo juuu Kila Sekta mpo
Kwanini babu zembwela anapenda sana pensi havai suruwali
Ukweli unauma ila aisee TZ hatushikani mkono hata kidogo
Huko ndiyo chumvini halisia😀 Saana Zembwela
Zinahitajika Gamboot spencial kwa kuzivaa kuingia humo ila pekupeku jama🤔
Wasafi muje Pemba Zanzibar nasi tunazalisha chumvi
Zimbwela hiyo miguu utaacha fangasi kwenye chumvi😂😂😂😂
Wanaishi wapi hawa wazalishaji wa chumbi
Sasa wasomi wa #Mlimani wako pale utafiti sijuhi huwa wanafanyia wapi? Unasikia wanatapa Digri lakini utafiti wapi? Au kopi na kapesti!!🙈
Tukichunguza vyakula tutakuwa hatuli vingi tu kwahy yote tumuachie Mungu ndy muweza wa yote
Usiaanze kulaumu nakutaka mungu akusaidie kwanz au mshukuru mungu kwakumleta binadamu nakupa maalifa mengi
@@زيتونتنزانيا Niondolee makasiriko yako hapa nilipolaumu wapi ? Jifunze kuandika kwanza jina la Mungu kwanza kwa harufi kubwa kisha ndy uje hapa kureaply ok
Wewe nahisi chizi sijakutusi sija kuona mjinga nimekuambia kabla hatuangalia hayo magonjwa tunatakiwa tu shukuru kwa maalifa tuliopewa sasa hapo lazima uchukie au nabangi NA pombe zimekulali
@@زيتونتنزانيا Astaghafilullah Astaghafilullah Astaghafilullah. Sio kuandika jina kwa kiarabu ndy km umesoma dini lah waweza kuwa unaukosefu mwingi tu ktk akili yk mie np timamu siijui bange wala pombe ktk umri huu niliokuwa nao na sitakuja kutumia kilevi cha aina yoyote Allah aninusuru leo hd amri Kiama. Maajabu umekurupuka kuniona mm nalaumu wakati sijalaumu nimecomment kutokana na uhalisia wa video ilivyo tafuta Quran usome upunguze strees ulizonazo
Zambwela nakupenda sana unavogea napenda Allah akulip
Hamjanawa miguu Bora muwe na viatu rasmi vya kuvunia
Jamaa kazingua shamba gani la chumvi unaingia peku peku
Yupo CHUMVINI😁😁😁😁
Hapo kwenye bei kidogo nilie
👌🇧🇻
Mm chumvi Sina sifa mchuzini
Kiukweli inauma
tz ni nchi ya ajabu sana..viongoz hatuna. mnaruhusu chumvi kutoka nje,viwanda vya ndan vinakufa,sasa hapo hujaongeleaq sukar,mafuta,maziwa,ngano,vifaa kadhaa....halafu wanatoka kifua mbele kwamba wanaongoza nchi vzur
Kumbe kuvuna chunvi kazi hivyoo
Zembwela lud kwny kipnd cha good morning ndy xaf uko xiko
Serikali ingeuwa inafatilia hiki kipindi ingejifunza kitu,maana hiki kipindi kimekuwa kikionyesha vitu vingi vya kufundisha.
Sas mbona chumvin unaipend kuisema
Kiroba cha mfuko wa chumvi kimoja kina uzwa TSH 15000/=🙌🙌🙌😄🏃
Vya kwetu havifai vya wenzetu safi tutafika? Serikali waliangalie upya turudi kwenye chumvi yetu ya ndani kuliko ya nje
Mimi naomba namba za huyo muuza chumvi make soko ninaloo
Zembwela eti mimi naikuta kwenye kikopo tuu nyumbani
Labda magufuli angekuwepo🇧🇮
Serikali walione hili huwa viongozi sijui wanafanya nini kudaadeki
vitendwa kazi vinahitajika
Umeona
Apo ndo wanapo wakamatia kwenye baolojia🙆
Duuh poleni.... Kazi kubwa hila changamoto ya soko
Tunakula mambo fungus,mijasho ya miguu mmmmh
Watasaidia kwa kudai ushuru badala ya kuwasimamia masoko,
Ili walipe kodi
MnisIdie kwa hiyo iyo chumvi inatoka chini kwakuchimba au🤔
Hapana ni maji ya bahari wana yakausha
Ukiona miguu inauma ujue una fangasi 😄😄😄
Ilhali kuna ngazi mpaka za chini kabisaa
Ndioooo zembweraaaa
Zembwela yuko chumvini.....
Zembwela aingia chumvin 😃😃😃
Apa napo agalia najisikia chumvi mdomoni
utakuwa na njaa wewe
Umeonja? Ladha yake vp?
Zembwela taikondo imelala eti uwezi kuruka mtaro! Akujui huyo?!
Yakuonja ipo
Babu kaingia chumvin
Wachunvi
Duh kumbe shughuli nzito ivo jamani sijawahi kujua !!
Ndio maana tukaambiwa hela ili uipate lazima ufanye kazi kwa bidii ukitaka kwa urahisi Kama za kalynda jiandae na maumivu zaidi tuu
@@ahmadyahya9961 weee Kalyinda tena 😂😂😂😂
Wazee wa chumvi tumekuelewa
Kumbe kuwekeza kwenye chumvi hakuhitaji hata mtaji mkubwa
Lakiiiiiiiii.....hiafiki hata 10000😂
Chakula changu Leo kina chumvni San 😩
😹😹😹
🤣 Paka lodi 🤣🤣
😄😄😄et aingia chumvini
Mkubwa wa Jiko
wapili
Eti kiroba kimoja laki😜
Mvua ikinyesha wanapata asara
Nipo na mtaalam wa chumvini
Wtzn atupendi vyakwetu ndivyo tulivyo hasa viongozi wa serikal ndio wanaongoza
🥺🥺🥺🥺🥺
Chumvini huko 😂😂😂😂😂
Nimechanuka Leo.. Nilikuwa nadhani chumvi yatoka kwenye mawe😁😁😁😁
Hata mimi
Me nashangaa zaid
Kila kitu toka nje ni sawa na wakwetu kiubora au ni bora zaidi lakini.hayo yana puzwa na kuwekwa pembeni. Eti India inaleta chuvi safi kama wame vuna mwezini au phephoni jamaani tuamke Africa? ? ? HU Mchezo ka watoto ikome ujina basi tena. Dollars zaibiwa na haha bearing.
Wapumbavu nyie mnaandika usenge et aingia chumviniii🤣
Weifa Za Tz Kwanini Azina Pawa
Umevuna chumvi hapo chuvini
Niende vip nawewe njoo🤣🤣🤣🤣
zembwela anakazia kila saa nipo chumvini
🤣🤣🤣🤣
Sili tena chuvi😢
awaapi piga chumvi wewe mbna fresh tuu
Kula ubuyu
th-cam.com/video/-DRWNWN_xXU/w-d-xo.html
hawa waindi sasa
@@SinemaZaChina nakuona Master mind
😅😅
Usalama upo kweli
Jamani Tunakula Mengi, Wiguu... 🙄😏🤔
Na fangas😀
Hao bacteria hawawezi kuimili chumvin
@@mohamedkambi688 wambie
Kweli utamu utamu 🤣🤣🤣🤣
Haina hata mchanga ni kuharibu biashara TU hawana lolote tatizo hivyo vowanda ni vya wahindi Kwa hiyo wanalima wwnyewe kule India Kisha wanaleta nchini kutuuzia SS Asilimali yetu hawazitakiingebidi hiyo biashara ya kuleta chumvi ifungwe Ili wafaidike wa nyimbani mama ameliona Hilo naamini atalitendea kazi
Chumvi ya mawe kilo sokoni buku
kumbe
th-cam.com/video/_XMH4Y2Jd4A/w-d-xo.html
Kumekuwa na bashasha kwenye kombe pendwa hapa nchini TANZANIA kombe la mapinduzi cup linatarajia kurudi tena MWAKANI 2023