Simba 3-2 Mbeya City | Highlights | NBC Premier League 18/01/2023
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024
- Simba SC imepata ushindi wa jasho na damu ikiwachapa Mbeya City mabao 3-2 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Ilikuwa ni mechi ngumu pande zote, wakianza Simba kwa goli la Saidi Ntibazonkiza dakika 11 lakini Mbeya City wakachomoa dakikaya 13.
Saido akafunga goli la pili kwa Simba, kwa mkwaju wa penati dakika ya 49 na Pape Sakho akafumua bomu la Sugunyo na kuipa Simba goli la tatu dakika ya 56 kabla ya Juma Shemvuni kufunga la pili kwa Mbeya Dakika ya 78.
Katika mchezo huu pia Mbeya City walipata pigo kwa beki wao Samson Madeleke kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 66. - กีฬา
Pape Ousmane Sakho notre fierté ❤️🇸🇳👍
Hongera MNYAMA. Simba nguvu moja
Well done for Simba of Saido Ntibazonkiza 🇧🇮
Hivi ni Jani aliyesema tunahitaji kocha mwingine na aliyepp kapwaya wp? tatizo mnaamini wazungu mbona Senegal wanatumia wazalendo na wanafanya vzr timu ilikuwa na muunganiko Sasa imeparanganyika kumbukeni Kuna mashindano makubwa yanakuja k
wa staili hii hatutobo huu
siyo muda wa kufanya majaribio
Mgunda ni z
aidi ya huyo Mzungu wenu
Muwe mnawaisha highlits bhana Azam mnaboa sana
Kabisaaaah maana wanakaaga nazo kama ugal bana aah
Kibu unyimi wa kutoa pasi, mpaka kero
Good
Wa kwanza ndo Mimi Leo
Naomba likes flani unyama
Mgunda baba Rud kwenye nafasi yako TU
izo bhas kula ushibe
Zinasaidia nini hizo like 😏
Good Simba fan
Hongera simba kwa ushindi mdogomdogo tunasonga
Nahuu nimwanzo tu 🔥
Jipeni moyo🤣🤣
@@linamkinga4243 "Jipeni moyo nanyi mtashinda" 👉 imeandikwa
Una busara sana na Akili kubwa maaashallah huna mmb0 mengi Mungu akujaalie iv0 iv0
@@official_phay1174 love u Momy ♥
Refa yuko perfect sana.... Sina mashaka naye isipokuwa kunamakosa madogo madogo sana kama hili aliyetoa kadi kwa kudhani Sakho alichezwa kwanyuma na mlinzi ambapo kwa hakika ni kwamba Sakho ndio kajigonga ktk mguu wa mlinzi wakati anakimbia......
🦁
Tuliwaooooona...........😂😂🙌
Goli bora la league
Dubai ya nyoko Asante penalty 😂😂😂😂😂
Ndaga bhanyambala mmepigana sana
Frome dubaiiiii😂😂
Simba
Unyamaaaaaaaaaa Sana msimbazi
Eti wanasema tumeponea chupu chupu eti mashabiki wenzangu wa simba
Waambie huu ni mwanzo t
Simba songa mbeku Wacha wazembe waseme
Mpuuzi huyu kochs dah unamtoaje chama eti huwiiii jmn halafu iweke sasa ndo mssn wametufinga mawili jmn huyu vipi nae duhu hajajua na walimpeleka wapi Matola dah jmni
@@mariapialakanje3446 kuwa mpole huyo kocha mgeni Bado anatafuta wachezaji wa kuanza na wabadala wake..😁😁😁
@@abdallahsalum9316 uko sahih mzee babah 👍
Mbeya City --- walihitaji utulivu kidogo tu --- kwa Dunduka like --- walikuwa wanasawazisha,bila shida.
Sahau
INONGA NI MUHIMU SANA KWENYE KIKOSI CHA SIMBA
Nimependa iyo ya Kibu Denis naomba tu mungu ajalie kibu kipaji chake kirudi mapema
Goli la saidoo toka mwaka uanze duniani sijaliona
Jamany huyu refa mzuri kaumbika mnoo
Wachezaji wenyew ndoto yao nikucheza nachama alafu chama anatolewa mapema kiukweli Mimi Simba dam dam lakini ichi anachofanya uyu kocha sijapenda naatuachie Simba yetu tu
Refa sio....Leo MAKOLO walikua WANAPIGWA..!
Manula awezi cheza vizuri bila inonga daah na Moses phiri
Simba tumeshinda lkn mmh
Aloo sakho anajua boli na ana uwezo wa wakua kama chama, ila apunguze Papara, presha ama wahaka.
Atakua vzr tena sana
mabeki wa simba hawajaelewana vizuri, wanatatizo la kuchomoka na kumsahau kipa kuwa yuko peke yake nyuma angali anataka msaada. jambo jingine AISHI MANURA AACHE MAZOEA NA AACHE DHARAU YA MIPIRA KISA DK ZIMEKARIBIA KUISHA AU TIMU INA WACHEZAJI WACHACHE, ANAIGHARIMU TIMU.
Aisha atuambie bahasha ilikuwa na Bei gani...
Ushindi mwembamba....simba timu mbovu...zingeongezwa dk 10 mnyma angekufa..walicheza 10 lakini wamewatoa jasho.hahAAa.
Zinaongezeka dakika 10 na mpira dakika 90....😀
Fala kweli wewe ..ili ziwe dakika 100?
Ungeziongeza wewe boya wewe
Aishi Anadrop Siku Baada Ya Siku.
Mmeshinda,lakini du! Pira "MADUNDUKA " kabisa.Hanna kitu.ole wenu.
Awa
wachezaji cjui wanatumwa watuumizie wacheyaji wetu jamaa naona kamtia ngumi ya kisogo sako
Kwa marefa Hawa simba na yanga wataendelea kuwa mabingwa daima
Kuna mchambuzi 1 wakisenge naitj kumskia juu ya makipa
We jemedali umekaa kimya sio
Manuna nadhani ni wakati wa kumpunzisha
Refa kaharibu mchezo kawatoa mchezon mbeya waziwazi shindeni kihalali siyo kwa michongo ya wazi
Hawa marefa wanalazimisha tm kubwa zipate ushind
Kocha hatufai
Saido ulakoze sako ulakoze chane
Hawa.walikuja kuumiza wenzao mpira gani wa fujo hivyo @ Mbeya City😏😏😏
Hivi awa ndo wale wa from Dubai ama tusubiri wengine wanakuja?
Na nyie si mngeenda hata Kilwa? Mbona mnaumia sana. Simba walienda vacation Dubai
Beki bila inonga bado sana mbele bila Moses phiri tuta kufa na match zapo mbele daaah
Kuadadadeki wachezaji wanataka mishahara yao, mpango wa kuwasahulisha mishahara kwa kuwapeleka Dubai umefeli, Manuala kajiongeza mapema kaenda kubeti 🤣🤣🤣
kafungisha
Kwani hawajalipwa
ety kibu ni yule yule 😂😂 mpenja
Ahahaaaa😃😃😃 ni yule yule braza
Penati ya mchongo
Acha wivu
Hahaha apo kwanza ncheke
Aishi cjui kwann anafungwa magoli ya kizembe🤔?
21:34 mpenja tuache na Kibu Denis wetu
Huyu kocha ni mzuri ila hajacop bado mbinu za Gadiola mnene ingawaje wanapishana 7bu usajili huu haukumuandaa gadiola kisaikologia pia kocha mpya hajafahamu kama Mgunda hakuishindwa Simba bali ni mbwembwe tu za viongozi wa Simba laiti wangeuchuna wangetoboa tu na Mgunda so kinachoclick hapa ni hawa makocha kuelewana team itafanya vzr nje ndani.
Hili ndo pira la ulaya mlokwenda kujiweka fiti 😂😂😂😂
Hawa wameonew aisee duh
Simba mmebebwa,Mbeya city wamenyimwa penati ya wazi kabisa ili mshindie vinginevyo ilikuwa sare
Dirisha dogo mizigo yote unabaki kwenye timu na ndiyo inapangwa kucheza, hii kweli ni Ximba. Na huyu kocha ndiyo kaja kutunyima ubingwa.
Hii timu ikikutana na yanga jiandaeni kisaikolojia
Hao ni watan tumia akili ndugu yangu uskulupuke
Umeona eeeee
Unamfanyia sub chamaa khaaa😩😩
😂😂😂 manula 🤪🤪
Huyu kocha wa mapy anatak kutuaribia timu yetu jamani asimutoe Tena chama kbs
Kabsa yan wangetuachia Mgunda wetu
Huyu refa ni mnazi wa Simba mtupu
Hili li timu ni la hovyo Sana yani chama ni mkubwa kuliko Simba yote hii ni maajabu🤣🤣
Huyu kocha Asituchanganyie Mafaili Amuulize mgunda Nini maana ya Chama kucheza dakika 90 asituumize mioyo yetu bhana
Simba wamexhind kibabe
🤣🤣🤣Sakho fala sana
Asante penait
Huu mchezo umenisikitisha mambo matano.
1) aina ya penalty
2) kutolewa chama wakati ndio sababu ya goal la kwanza na pengne ange sababisha mengne.
3)ubora wa kibu mchezaji ninae mtegemea ila mashut yake anaangua maembe ilikua bora angekuepo chama pale.
4) simba wamerudi tuliko toka umakini wa mabek.
La mwisho na nilakizembe aishi kutaka kushika mpira uliopo kwenye line wakati ilikua ni mpira wa kupiga kofi.
Ukiniuliza wapo ielekeapo simba nitakwambia ni mfarakano tu baada ya miez miwili maana wengne tunaipenda simba tukiona chama anacheza kwani ni mtu mwenye akili sana hatukatagi tamaa akiwa uwanjani. Najiuliza jee coach hapendi uchezaji wa chama?
Matola mshauri coach kua chama ni muhimu kwani team zote hutoa maelezo mkalieni chama na kukaliwa kwake ni watu 2 husababisha kuipa team ushindi kwa kutumia pengo lililobaki hivyo ndivyo team zinavyo shinda huu ushinda mwana simba mwenzenu sikufuraahia ila bora tu tumeshinda.
Sakho nihatari
Mshkukuruni saido madunduka nyie
Acha ujinga uende mbinguni
Kwa akil zako mbovu tumshukuru saidoo kwa nn yule c nimchezaj wa simba au ni wakwenu nyie utopolo kule kwenu katoka kwa sababu tim lenu ni bovu la kutupa utopolo saiv cc simba anaetuzingua ni kocha ila simba ina wachezaj kwalit kabisa
Hahaaaa, kwani sio mchezaji wetu? We kiazi kwelikweli
Tatizo sio chama tatizo jana manula kaleta usenge sana magoli yote mawili ya kizembe
Yani unamtoa chama
Kanute hajawahitoka mchezoni bila kadi jmn.
Ni casemiro alie chemuka ni mtu wakazi hawezi kukubari uende hivohivo bro
Aaaaa na uyo rifa kazipenda izo kadi
Kwanini huyu matola asimshauri huyu koch jmn huwii
Matola hayupo
Aisha manula kabewa bahasha
ila huyu coach sizani kama hanamuda hapo simba kwajinsi anavyo panga timu.akimaliza mechi kumi mniite dog niko pale
Wewe dog ngoja tuanze mapema kukuita mbwa mkubwa wewe
kuumia kwa Innonga kutatutesa sana wana simba. Labda kwa kiraza ambae alikua haoni kazi ya Innonga. Kocha apewe muda
Wew umeliona hilo wachezaji wanyuma hukana kitu wanacuambuwa chama tu wakasahawu defense ya simba inalegarega sana
Na mteseke tu umbwaa nyie hahaaaa
Mimi shabiki kindaki ndaki lakini Mimi sijamwelewa huyu kocha kumtoa chama mapema nandomtu amabaye anajua afanye Nini nawenzake tupate ushindi mm nashauli uyu kocha wamuweke pembeni kwanza mgunda ashike timu yake maan atatukosti hata kimataifa huyu
Nguvu moja
Jamani Wana msimbazi wapishi wengi huaribu mchuzi kwa huyu kocha mlie tuongezea Bora mgunda Mara 10 ukweli mechi ya jana tumeudhunika kweli kweli ingawaje tumeshinda lakin kibahati mbaya mbaya anatoaje chama nje jamani hatuja furahi kwa kweli
Mechi ingeisha kwa 3 1 kocha Yuko sawa
CHAMA 🔥 NI MOTO HALAFU MNAMTOA, yaani chama 🔥 ukimtoa uwanjani ni sawa na mpishi kusahau kuweka chumvi kwenye chakula, hakinogi wala….. mwacheni chama acheze
CHAMA 🔥 NI MOTO HALAFU MNAMTOA, yaani chama 🔥 ukimtoa uwanjani ni sawa na mpishi kusahau kuweka chumvi kwenye chakula, hakinogi wala….. mwacheni chama acheze
Sasa kama goli la pili kitu gani kilichomfanya akae mbele kiasi kile Kwan atataka nae akashambulia mbwa huyu
Yaan bado mpira aliudakia nje kilichompeleka ndani kitu gani
😃😃😃😃😃😃
Manula kabet
Ila sakho ni mchokozi
HIGHLIGHTS ZA YANGA MNAWEKA DAKK 14 ZA SIMBA DAKK 22 MBWA KWELI NYIE
Usifananishe wa2 wa dubai na mtogolee
Unaumia ukiwa wapi ndugu?
@@superherotv1750 Mnaudubai gani mbeya city jana kawatoa jasho hadi mnaomba msaada kwa refa
Ndg inategemeana na idadi ya magoli yaliopatikana siku hiyo, likiwa Moja tu highlights itakuwa na dk chache, eb fuatlia hicho kitu ndg,
Kibu mmmm
MANYULA KAONA AIBU MPAKA ANANG'ANG'ANIA MPIRA WA WATU
Ila uyu kihimbwa noma
Mhh
Beya hatari
Refa mbovu
Simba tujitafakalu
DiamondPlatnumz - Yatapita ( Official Video )
th-cam.com/video/xCCcd71GXYE/w-d-xo.html
Mechi hii simba mmefungwa mmependelewa saana
Sawa hizo sio shid a zetu ni shida za walamihogo
We si utopolo? Unaumia ukiwa wapi?
Ila simb kip wanachotafuta hilo likocha lao mav hilo