Maswali hakuna heeee halafu wote mnaitikia kwa pamoja mmmm hapo kuna jambo limejificha, huyu dogo ninamashaka nae huenda alinunua kabla haiwezekani wore mseme hakuna swaliii kwa pamoja.
Tanzania bado kiongoz hatengenezwi hivyo ni lazima afanye kazi watu wajue , sasa kazi hamna kura kuomba hamna ila na nukuu hana maneno mengi ya kusema ana iachia meza kuu, sasa meza kuu kazi yao ni kuhesabu tu kula na wajumbe ndo wapigaji kura
Huyo ni Kada wa CCM Kwa Taarifa tu hajazunguka kuhonga wala kuomba kura, waliozunguka pole zao, yeye alisimama na mungu na utendaji wa kazi zake ndani ya Chama, Usipojiamini wewe utakuwa kiongozi gn,? Ukisikia mungu yupo ndiyo km ilivyotokea Kawe
Siri ya ushindi siku zote ni kujiamini na kuamini kuwa Mwenyezi Mungu ndiye hupanga kila kitu big up FURAHA DOMINIC a.k.a NO 68
Siku zote Mimi uwa naamini kuwa leader is born and then is made, si unaona dogo ana confident ana maneno mengi, anaendana na kauli ya hapa kazi tu!
Ila kwa mdee bado tunakazi nzito kumung'oa
Huyu nani kamtuma? Huyu anaweza kupambana na sauti ya zege ? Nimecheka sana ccm hawako makini
Hongera bwana kaka
Hapo kilichopangwa na munguu hakuna binadamu wakupanguwaaaaaa
Fadhiluna ulitaka ashinde mmeo make umekomaa amenunua watu unaushahd? toa ujinga wako.
hongera kwako broo pambana hapa sasa kazi tuu
Hlf bado Ni kijana
Nenda kawatetee vijana wenzako bungeni
AKUTETEE KIAJE 🤣🤣🤣 PAMBANA NA HALI YAKO NA YEYE YUKO KUPAMBANA NA HALI YAKE 🤣🤣🤣🤣🤣
Very smart
Hpa huyu hpana tumepigwa, mwee yani hpo tumepigwa kweupe na wajumbe, hakuna kujieleza hakuna kusema naombeni kura alafu mnampa kura hpana
Maswali hakuna heeee halafu wote mnaitikia kwa pamoja mmmm hapo kuna jambo limejificha, huyu dogo ninamashaka nae huenda alinunua kabla haiwezekani wore mseme hakuna swaliii kwa pamoja.
Mimi nataka kusema jambo ambalo wengi hawwlijui mpaka huyu jamaa akajiamini kupita kiasi
Hata kura hajaomba. Hiki nikituko
Tanzania bado kiongoz hatengenezwi hivyo ni lazima afanye kazi watu wajue , sasa kazi hamna kura kuomba hamna ila na nukuu hana maneno mengi ya kusema ana iachia meza kuu, sasa meza kuu kazi yao ni kuhesabu tu kula na wajumbe ndo wapigaji kura
Yani hata sera hana duh
.
Mtoto wa dada yake magufuli kwa wasio jua
Kwaiyo kama ni mtoto wa dada yake na Magufuli tufanyeje
Uchaguzi una mahusiano gani na mtoto wa dadake magufuri
Kuma huyu
@@sirfabiano767 usifanye chochote, wewe kaka kimya tu.
Mtu katoa tu maelekezo kwamba ni nani ? Unakuja kutukana .. yaan kuna watu vichwa maji sana ..
Huyu mbona alijiamin kabla
Naomba tumpe gwajima uko mbele huyo awezi kupambana na halima mdee, gwajima ndio atamuweza
Huyo mtoto wa dadaake magu usishangae huyo mdee akakaliswa kwa lazima
Bora gwajima, kujiamini bila hoja ni upuuzi
Unadhani anatafutwa wa kwenda kutoa mahubiri kwa wapiga kura?
@@mzalendomzalendo2567 kwa hiyo peter msigwa na mama rwakatare walitafutwa wakapige maombi bungeni?
Hatoshi huyo kwa mdee, kwanza alijiamini kuwa atashinda alijuwa kabisa ukimuangalia tu.
Uyo Ni mjomba wa wa mzee chato moja io
True, body language inaonyesha alishajua atashinda
Huyo ni Kada wa CCM Kwa Taarifa tu hajazunguka kuhonga wala kuomba kura, waliozunguka pole zao, yeye alisimama na mungu na utendaji wa kazi zake ndani ya Chama, Usipojiamini wewe utakuwa kiongozi gn,? Ukisikia mungu yupo ndiyo km ilivyotokea Kawe
hongera kwako broo pambana hapa sasa kazi tuu