USHINDANI SIO MZURI, TUFANYE KAZI (EFM FULL INTERVIEW)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- Zorah amesema hayo wakati akitambulisha wimbo wake mpya wa #TUNAPENDEZANA katika kipindi cha Transformer cha EFM kinachoendeshwa na watangazaji Jonijoo na Almando.
Pia amesisitiza kuendelea kufanya shughuli zake za kimuziki mkoani Tabora na kuwahakikishia watangazaji na mashabiki wake kuwa ataendelea kukaa Tabora kwa kuwa anaamini anafanya kazi zake vizuri zaidi akiwa huko.
Aidha ametumia fursa hiyo kuwaasa vijana waliopo nje ya Dar Es Salaam kufanya kazi zao huko kwa kuwa mafanikio ni popote sio lazima uwepo Dar Es Salaam. Ameapa kuwa mfano kwa vijana watakaofanikiwa kimuziki wakiwa nje ya Dar Es Salaam.
Interview hiyo imefanyika tarehe 26.07.2024 jijini Dar Es Salaam.
Unaweza kusikiliza wimbo wa #TUNAPENDEZANA na nyimbo zingine za ZORAH kupitia Link hii linktr.ee/Zorah_
© 2024 Kassu Music • All Rights Reserved
SHUA YAKO KALI MKUU AMINI #ZORAH
@@pascosalvatory5274 Asante sana kaka🙏
❤❤
🙏🙏🙏🙏
🔥🔥🎉🙏
@@itsasdan 🔥🙏🙏
Noma sana kaka
🙏🙏🙏🙏
Icon tabora
🙏🙏🙏🙏
Confidence Yako kak Ni Motooo 🔥
Asante sana bro🙏🙏🙏
Zorah kama zorah Hit maker
My Brother🙏🙏🙏
Anaongea Kam Msanii Mkubw Efm Kimewalamba🔥🔥🔥😁
😂😂😂
good functionality
🙏🙏🙏
Nimeiona
Good👏
Nimeiona
🔥🔥🔥