MUME WA DIDA AONGEA KWA UCHUNGU, TUMEZAA MTOTO MMOJA, NIMEUMIA SANA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 190

  • @verenabusanda4044
    @verenabusanda4044 5 วันที่ผ่านมา +12

    Aiseeeee....bora baba yake mzazi yupo

  • @yusuphally6420
    @yusuphally6420 6 วันที่ผ่านมา +16

    Pole Brother Juma Mchopanga Kitemuche uwe na subra katika kipindi hiki kigumu Inna lillai wanna Illai Rajiun

  • @JacklineShirima-hn1yt
    @JacklineShirima-hn1yt 5 วันที่ผ่านมา +41

    Hvi huyu dada mtangazaji akili zipo kweli kama nyumbu vile unamchosha mtu na maswali ya kipuuzi

  • @MwanaHamis-y4e
    @MwanaHamis-y4e 5 วันที่ผ่านมา +5

    Pole sana na pole kwa familia Allah ampe kauli thabiti

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 6 วันที่ผ่านมา +58

    Ndy namjua Mchomps leo Wallahi sijawahi mjua😢

    • @EdwardMushi-w2l
      @EdwardMushi-w2l 6 วันที่ผ่านมา +2

      Huyo mchops ndio kaka yake j moo

    • @ElizabethWamcha
      @ElizabethWamcha 6 วันที่ผ่านมา +3

      Nami pia

    • @EdwardMushi-w2l
      @EdwardMushi-w2l 5 วันที่ผ่านมา

      @@ElizabethWamcha kaka yake Jay mo

    • @nerryabel7512
      @nerryabel7512 5 วันที่ผ่านมา +2

      Nami ndio nimemuona leo,hata mie nilihisi Samira baba yake atakuwa mchopanga.R.I.P Dida😭😭

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 5 วันที่ผ่านมา

      w​@@EdwardMushi-w2lwee kumbe

  • @MwajumaBihel
    @MwajumaBihel 5 วันที่ผ่านมา +4

    Mungu akurehemu dada d

  • @JosephJumbe-w6h
    @JosephJumbe-w6h 6 วันที่ผ่านมา +12

    Waandishi wengine bhana unauliza swali eti taarifa za
    Msiba ulizipokeaje? Badilisheni maswali kuna mtu anaweza kupokea taarifa za msiba kwa furaha? Hata kama hampendi marehemu hawezi kujibu amepokea msiba kwa furaha. Badilikeni watangazaji!!!

    • @FaizaChama
      @FaizaChama 6 วันที่ผ่านมา +2

      Eti jmn. Hakili nikitu muhimu sana

  • @DIANAMADEGE-hx3hy
    @DIANAMADEGE-hx3hy 6 วันที่ผ่านมา +10

    Yaaan huyu dada Anakeraaaaaaaa

  • @muna1165
    @muna1165 5 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu baba mashallah

  • @OclonMgwama
    @OclonMgwama 5 วันที่ผ่านมา +3

    Pole Sanaa

  • @AdelinaLuvanga-pi7ec
    @AdelinaLuvanga-pi7ec 5 วันที่ผ่านมา +5

    Pumzika salama Didah😢

  • @HabibaBb-d3s
    @HabibaBb-d3s 5 วันที่ผ่านมา +3

    Inna riray wainna irey rajiuuun subbunn llah 😭 polen sana wafiwa woote ndugu marafiki majirani 😢😢

  • @neymuu3086
    @neymuu3086 6 วันที่ผ่านมา +14

    Una sauti ya utangzaji lkn sio professional rudi darasani hujui kuhoji unahoji pumba

  • @ZawadiMussa-o9s
    @ZawadiMussa-o9s 5 วันที่ผ่านมา +5

    Nikweri jamani😂

  • @omanlove3968
    @omanlove3968 5 วันที่ผ่านมา +17

    Huyu mchopsi anaongea kwa hekima hajaropoka kma yule kaka yake

    • @fatimaussene1010
      @fatimaussene1010 5 วันที่ผ่านมา

      Kaka kamwaga siri azalani kaka wasimpe kusoma risala ataribu

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 5 วันที่ผ่านมา

      ​@@fatimaussene1010kabisaaa

    • @SibomanaSaida
      @SibomanaSaida 5 วันที่ผ่านมา

      Kabisa

    • @نجاةالعبري
      @نجاةالعبري วันที่ผ่านมา

      Kka ata kua ana kunywa visungura

  • @AishaMooh-w8g
    @AishaMooh-w8g 5 วันที่ผ่านมา +2

    Inalilah waina Lilah lajuuni

  • @safiyahaji9682
    @safiyahaji9682 5 วันที่ผ่านมา +10

    Huyu mtangazaji jaman arudie semister ya mwisho

    • @SalvinJastin
      @SalvinJastin 5 วันที่ผ่านมา +2

      Kabisaa mwaswali ya hovyo sana

    • @EricaBizuru-jp9by
      @EricaBizuru-jp9by 5 วันที่ผ่านมา

      Me naeza kumtia hata kofi

  • @AishaMichael-j8r
    @AishaMichael-j8r 5 วันที่ผ่านมา +14

    Samira yupo kweny haliii gan swali gan sas😮

    • @sygtamks1643
      @sygtamks1643 5 วันที่ผ่านมา +1

      Akili zake hazina Afya😢

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 5 วันที่ผ่านมา

      ​@@sygtamks1643akili zake siyo timamu

    • @chw2165
      @chw2165 5 วันที่ผ่านมา +2

      Yaani muandishi kakosa maswali ya maana ya kuuliza

    • @AblahmanJuma
      @AblahmanJuma 4 วันที่ผ่านมา

      Ajui kuuliza maswali

    • @marryjames-wl7be
      @marryjames-wl7be 3 วันที่ผ่านมา

      Hawa waandishi baadhi yao wapuuzi sana

  • @Amina-r7t6r
    @Amina-r7t6r 5 วันที่ผ่านมา +4

    Huyu mtangazi angepata yule kaka yake dida akaongea mpaka akachoka kushika hiyo mic😅😅maswali ata ayaeleweki yani

    • @kalundaluhanga4923
      @kalundaluhanga4923 2 วันที่ผ่านมา

      Kaka yupi maana kuna Yule wa "dida hakuwa anameza dawa" au yule wa "mtoto wa dida nitakaa naye Mimi maana ni dida aliniambia"

    • @aishasalim2878
      @aishasalim2878 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@kalundaluhanga4923😂😂😂mara akaleta ya p didi

  • @sygtamks1643
    @sygtamks1643 5 วันที่ผ่านมา +4

    Huyu mtangazaji akili zake hazina Afya maswali yake hayana tija😢

  • @MariamIbrahim-h7p
    @MariamIbrahim-h7p 5 วันที่ผ่านมา +11

    Mm simpendagi uyu mtangazajie juu ya maswali yakipuuui

  • @echikyabu6154
    @echikyabu6154 6 วันที่ผ่านมา +8

    Watangazaj mpewe script sasa maana mnahoji pumba 2 umbafuuu😢

  • @floridakagemulo3183
    @floridakagemulo3183 5 วันที่ผ่านมา +4

    Maswali aliyouliza ni sahihi lakini siyo wakati sahihi kuuliza. Subiri msiba upoe.

  • @RemyMsuya
    @RemyMsuya 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Jaman mbona babu sana

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z 5 วันที่ผ่านมา +2

    Samahani sana Masakulia sio kucheka kibozo hicho nimekosea nilimainisha kulipa,siwezi kucheka mtu kufa,kufa ni Kila mtu hata Mimi Kuna siku nitakufa

  • @RehemaKomba-pv2le
    @RehemaKomba-pv2le 4 วันที่ผ่านมา +4

    Waandishi wapuuzi sana hawajui kutofautisha nyakati

  • @DativaMbowe
    @DativaMbowe 4 วันที่ผ่านมา +2

    Uyu mtangazaji😂😂😂

  • @hurumasilasmwamwezi4351
    @hurumasilasmwamwezi4351 4 วันที่ผ่านมา

    Mhhhhhhh MTANGAZAJI HOOOOOOOOOVYO KABISA, Kuna maswali unahoji yana BOAAAAA. Huo ujinga

  • @laurentinachristopher6064
    @laurentinachristopher6064 2 วันที่ผ่านมา

    Huyu Mtangazaji jamani 😢😢

  • @MichelleMobasa
    @MichelleMobasa 5 วันที่ผ่านมา +2

    Mtangazaji n msenge lakin baba wa watu kajibu kwa hekima kila kitu ubarikiwe sana

  • @MargaretManyanda
    @MargaretManyanda 6 วันที่ผ่านมา +21

    Mtangazaji huyu hayuko professional anaudhi

    • @merinankullua5874
      @merinankullua5874 5 วันที่ผ่านมา +2

      Anawezaje kuuliza mgonjwa alikuwa anaumwa Nini?

    • @wemapingu3622
      @wemapingu3622 5 วันที่ผ่านมา +1

      Waandishi wengine hawajielewi

    • @svt3
      @svt3 5 วันที่ผ่านมา +1

      Tatizo wengi wakichukuwa microphone wanajiita watangazaji ila elimu ya utangazaji zero masomo ni mhimu jameni

    • @khadijanurdin3163
      @khadijanurdin3163 5 วันที่ผ่านมา +2

      Ndo lilivyo hli linakera kweli.

  • @YusuphMwangobola
    @YusuphMwangobola 5 วันที่ผ่านมา +6

    Waandishi wa mchongo hyo mume au mzazi mwenza

  • @gracebucumi-nv9pn
    @gracebucumi-nv9pn 5 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu mtangazaji msenge sana😢😢

  • @janemwageni597
    @janemwageni597 3 วันที่ผ่านมา

    Jaman wew dada hiv unauliza ukiwa unawaza nn labda,?msiba hafu unauliza et ulijiskiaj ukweli

  • @aishaomary4498
    @aishaomary4498 5 วันที่ผ่านมา +3

    Kaongea vizuri baba wa Samira ila mjomba apana

    • @fatimaussene1010
      @fatimaussene1010 5 วันที่ผ่านมา

      Kaka yule kamaliza kila kitu

  • @LinaLema-c1m
    @LinaLema-c1m 3 วันที่ผ่านมา

    Mtagazaji ovyo mnooo ajijui kabisa

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc 3 วันที่ผ่านมา

    Sasa mtangazaji utamuiz vipi baba heti samirah yupo kwenye hali gani hivi wew ufiwe na mtati wako uatajisikia vizur aaaaah bakisha maneno

  • @elizabethlukoo4662
    @elizabethlukoo4662 5 วันที่ผ่านมา +3

    Aya maswali ya mtangazaji mmh!! Eti samira Yupo kwenye hari gani,,Kweliiiii..?? Mmmh ludi skonga tena dada

  • @SahraIbrahim-nu8pb
    @SahraIbrahim-nu8pb 5 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu mtangazaji 😮

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 5 วันที่ผ่านมา

    Innalilah wahinah illah rajoon 😭😭😭

  • @JenipherMatiku
    @JenipherMatiku 5 วันที่ผ่านมา

    Rest in peace dida😢😢

  • @MamuuKingu
    @MamuuKingu 6 วันที่ผ่านมา +5

    Huyu mbwa wanampaje nafasi yakuhoji wafiwa anakera Sana

  • @lucyfred2649
    @lucyfred2649 วันที่ผ่านมา

    Huyu mtangazaji aludi shule😏

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 4 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu baba kafanana na bint yake Samira

  • @bennbenson9296
    @bennbenson9296 5 วันที่ผ่านมา +1

    Hili swala LA HABARI LINA TATIZO KWA SASA, COZ KILA ANAYEJUA KUONGEA ANAWEZA KUWA MHABARISHAJI BILA KUJALI PROFESSIONALISM

  • @rosekapingu-hs5rd
    @rosekapingu-hs5rd 5 วันที่ผ่านมา +1

    Maswali gani hayo. Hayo siyo maswali mazurka. Unachosha mtangazaji

  • @jasminshemsanga8727
    @jasminshemsanga8727 4 วันที่ผ่านมา

    Huyu dada khaaaa maswal ya ovyo

  • @pengefeza2563
    @pengefeza2563 5 วันที่ผ่านมา +6

    Acheni matusi kwa mtangazaji.
    Kosa lake ni lipi?

    • @MwanatumuJumaa-rj4fg
      @MwanatumuJumaa-rj4fg 5 วันที่ผ่านมา

      Nashangaa mimi naona matusi tuu

    • @jacqueisaac8155
      @jacqueisaac8155 5 วันที่ผ่านมา

      Hajui kuhoj maswal ya msingi. Anachosha tu

    • @pengefeza2563
      @pengefeza2563 5 วันที่ผ่านมา

      @@jacqueisaac8155 Kwako si kwa wote acheni matusi

  • @HassanSaid-e1w
    @HassanSaid-e1w 3 วันที่ผ่านมา

    Uyuu dadaa ndimuu ww umuonii mtoto atakaa nani ndio nini ww ujazaa tu unaliwaa

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 5 วันที่ผ่านมา +3

    mhhh mbona ni mzee hivyo daa

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 5 วันที่ผ่านมา +1

      Labda alikuwa na hela.. ni mkubwa Sana kwa Dida😅

    • @aginsagins-jf4vz
      @aginsagins-jf4vz 5 วันที่ผ่านมา

      K​@@annasolomon9855kawaida tu mbona

    • @AblahmanJuma
      @AblahmanJuma 4 วันที่ผ่านมา

      Dida nae sio mdogo pia miaka 42 unazani midogo

    • @نجاةالعبري
      @نجاةالعبري วันที่ผ่านมา

      Ange kuw mdg umngesema

  • @Alisa-wv6rh
    @Alisa-wv6rh 5 วันที่ผ่านมา

    Pole sana

  • @HappinessMbassa
    @HappinessMbassa 3 วันที่ผ่านมา

    Nakalivyofunga lemba kama kazee😏

  • @LadyMzana
    @LadyMzana 5 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu baba amefanana na Joseph Kusaga

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 5 วันที่ผ่านมา

      Sana kwa kweli

  • @safiyanirram-pf3sv
    @safiyanirram-pf3sv 4 วันที่ผ่านมา

    Masikini poleni sana kumbe huyu ndo baba mtt wake

  • @theresiasanka4400
    @theresiasanka4400 5 วันที่ผ่านมา

    Mhhh huyo mtangazi anaudhiiiiiiii mpaka kero

  • @EdnaMbowe
    @EdnaMbowe 4 วันที่ผ่านมา

    ww binti mmbea hufai kuwa Mtangazaji

  • @sakinachamshama1398
    @sakinachamshama1398 2 วันที่ผ่านมา

    Jamani hizi tv maswali gani hayo

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 4 วันที่ผ่านมา

    DIDA WAMCHOPS REST IN PEACE DARLING

  • @JanethJaneth-l9i
    @JanethJaneth-l9i 6 วันที่ผ่านมา +1

    Dk moja msiba umetokea unaanza maswali ya kipumbavu

  • @ThomasMmary-r7w
    @ThomasMmary-r7w 6 วันที่ผ่านมา

    😢so sad

  • @luciafabiannjuu1988
    @luciafabiannjuu1988 3 วันที่ผ่านมา

    kwa hili lililotokea Samira yuko kwenye hali gani? hivi hili ni swali kweli? tufanye yupo ndani anacheza makhirikiri

  • @MwadawaKarim
    @MwadawaKarim 5 วันที่ผ่านมา

    0:00 0:00

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z 5 วันที่ผ่านมา

    Jaman Dida jaman😂😂😂

  • @LinaLema-c1m
    @LinaLema-c1m 3 วันที่ผ่านมา

    Mtagazaji wa hovyo sana

  • @MshindiiGodfrey
    @MshindiiGodfrey 2 วันที่ผ่านมา

    Huyu mtabgazaji ni mpumbavu embu msimamisheni kazi

  • @JanethJaneth-l9i
    @JanethJaneth-l9i 6 วันที่ผ่านมา +1

    Washenz waandish,kila siku maswali hayohayo mpaka keroooo,ulikuwa wap,ulizipata wapi alikuwa wa namna gani hiv mtu anaweza kusema alikuwa mbaya?

  • @HGvv-bh1ig
    @HGvv-bh1ig 6 วันที่ผ่านมา +1

    Watamgaxaji punguxi kuuliz vitu ambvyoo sioo vya msingi mnaumiza wafiwa kwa maswali mengi sana

  • @mwasoprince3459
    @mwasoprince3459 4 วันที่ผ่านมา

    Mjomba karopoka kule kasema........😂😢

  • @ferouzmasoud3104
    @ferouzmasoud3104 5 วันที่ผ่านมา

    R.i.p😢😢😢😢😢

  • @VeronicaMayange
    @VeronicaMayange 3 วันที่ผ่านมา

    Maswali yako yanaboa sana haki tena ungenikuta mm ningekirushia hukooo hicho kispika chako 😏

  • @TheresiaGeorge-y9o
    @TheresiaGeorge-y9o 5 วันที่ผ่านมา

    Ila
    Mwndishi mh

  • @Shishinaya1554
    @Shishinaya1554 5 วันที่ผ่านมา

    Rudi shule mtangszaji..😮

  • @HalimaLiymo-vs7yx
    @HalimaLiymo-vs7yx 5 วันที่ผ่านมา

    Yaani watu wengine kweli hawana huruma , maswali gani haya Sasa!!!

  • @revinaraphael-bk8fu
    @revinaraphael-bk8fu 5 วันที่ผ่านมา

    Uyu dada mtangazaji mjinga sana ajui vitu vya kuoji

  • @FaridaShisia
    @FaridaShisia 6 วันที่ผ่านมา +2

    Washenzi watangazaji

  • @ZuhuraMarande-fl2zw
    @ZuhuraMarande-fl2zw 3 วันที่ผ่านมา

    Waandishi msiwe mnalaximisha kujua ugonjwa Aliougua marehemu jamani mnachoshaaaaa kufa laxima uugue usiuguee utakufa punguzeni kujua ugonjwa utawasaidia nini

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip4260 6 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu kspata airtime jmn utadhann hajafiwa😊

  • @MarthaMkondya-l7r
    @MarthaMkondya-l7r 4 วันที่ผ่านมา

    Huyu mtangazaji mpuuzi kweli maswali yakijiiiinga kama mtrvl

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v 5 วันที่ผ่านมา +1

    Baba ake dida yupo hai

  • @Nuru9568
    @Nuru9568 5 วันที่ผ่านมา

    Mtangazaji mtu yupo kweny majonz unamuhoji ujinga😢

  • @SamsonSamson-xi3vk
    @SamsonSamson-xi3vk 5 วันที่ผ่านมา

    Duh

  • @zuwenaabdallah7748
    @zuwenaabdallah7748 5 วันที่ผ่านมา

    Yaan hawa mbengo mxiiew

  • @RoseGeofrey
    @RoseGeofrey 5 วันที่ผ่านมา +1

    Fupi kali anajibiwa maafande wamenielewa nikisema fupi kali

  • @Naju645
    @Naju645 6 วันที่ผ่านมา

    Mchops leo ndio namuona

  • @saumsalum7800
    @saumsalum7800 2 วันที่ผ่านมา

    Kakake jay mo mchops

  • @ShaniaKing-o5d
    @ShaniaKing-o5d 5 วันที่ผ่านมา

    Mtangazaji hiyo sio fani yako tengeneze mabanda ufuge kuku

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 5 วันที่ผ่านมา

    Jamani mtu akifa kila kitu kinajulikanaga tulikuwa hatuhuwi mwenye alizalaka na dida leo tumemujuwa hata mtoto wake tumemujuwa

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 6 วันที่ผ่านมา +2

    Kwenye msiba mengi yanajulikana jamani.mimi nilifikiri mchops ni yule mchekeshaji aliyekuwa akijiita chopa mchopnga aliekuwa anaigiza maigizo na dida.

    • @Zainabu-q7v
      @Zainabu-q7v 5 วันที่ผ่านมา

      Yule na uyu mtu na kaka yake

    • @user-rj7di9ox3e
      @user-rj7di9ox3e 5 วันที่ผ่านมา

      A​@@Zainabu-q7vata wamefanana

    • @Zainabu-q7v
      @Zainabu-q7v 5 วันที่ผ่านมา

      @@user-rj7di9ox3e weee

  • @HarithKamgasha
    @HarithKamgasha 5 วันที่ผ่านมา +1

    Uyu mwanahabari akapikwe bado anadhani yuko Kwa mjumbe anashusha hadhi ya waandishi

  • @FaizaChama
    @FaizaChama 6 วันที่ผ่านมา +1

    Vitu vingine vinabow. Unamuoji hivo baba wawatu. Unataka ukujibu nini sasa. Na lakuka linakuusu nini mshezi wewe nyoo. Umenikela sana. Sipendi kutow matusi. Ila hili limenilazimu sana. Nivema Mungu atupe hakili kuliko pesa,,,,, ivi munakumbuka na nyinyi Metadata msiba

    • @lailaabeid717
      @lailaabeid717 6 วันที่ผ่านมา

      Hukutumwa utazame ungekalisha komwe lko huko

  • @veronicalyambiko1476
    @veronicalyambiko1476 6 วันที่ผ่านมา +1

    Watangazaji wetu niwa hovyo mno

  • @didaahmed1033
    @didaahmed1033 5 วันที่ผ่านมา

    Huyu dada yuko sawa kweli? Auliza maswali ya ajabu

  • @MaryamSimai-b9f
    @MaryamSimai-b9f 5 วันที่ผ่านมา

    Hajasomea field yake

  • @HolloBudoya
    @HolloBudoya 6 วันที่ผ่านมา

    Dida wa Mchops.

  • @abednego3876
    @abednego3876 5 วันที่ผ่านมา

    Aisee vyuo vya waandishi wa habari vina matatizo makubwa sana.

  • @Hakuzwe
    @Hakuzwe 5 วันที่ผ่านมา

    Sasa maswali gani.umesomeya wapi utangazaji.

  • @floridakagemulo3183
    @floridakagemulo3183 5 วันที่ผ่านมา

    Maswali gani hayo unamchosha mfiwa. Mwandishi umekosa weledi

  • @stellamwakitani2939
    @stellamwakitani2939 5 วันที่ผ่านมา

    Huyu dada arudi darasani jamani.Maswali gani haya

  • @hashimudizele35
    @hashimudizele35 6 วันที่ผ่านมา +2

    Mwandishi ana majibu anayoyataka na hayapati....tabu tupu

    • @MymunaMuna-qn5lo
      @MymunaMuna-qn5lo 6 วันที่ผ่านมา

      mungu yani ukiwa marufu nitabu tupu kila kitu wanataka wakijuwe 😢

  • @ElizabethNyabu-q1x
    @ElizabethNyabu-q1x 5 วันที่ผ่านมา

    Afuuu wanacheka nn