Historia ya Miliki ya ardhi ya Palestina na Israeli na mgogoro wake!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
- Mgogoro kati ya israeli na Palestina umeaanza zaidi ya miaka elfu moja ilopita! Nani mmiliki halali wa ardhi hii! Nani ana haki! Ni mgogoro ulothibitika kutopatiwa usuluhishi kwa muda mrefu! #israel #palestine #israelpalestina
Thanks for the explanations 😊
#Jimmy_mzee_wa_Sijakusahau🎶
HUJASEMA.LOLOTE LA MAANA SOMA BIBLIA TENA NANI ALIPEWA NCHI HIYO NA MUNGU ACHA KUMUNGUNYA MANENO
Mr kishikwambi
Hakuna unajua
Unamumunya maneno,waarabu ni wazurulaji hapa Afrika Kila nchi wapo na walipo hujenga misikiti , unaweza kuhisi kwao kumbe uhamiaji,rejea Mungu alivyosema usituletee mtazamo wako Kwa masrahi yako
Unachuki na waarabu na waislam kwani wazungu afrika hawapo,? Nakamahutakiwajenge misikt ulitaka uwape nyumba yenu ajewapge sala?
Kumbe waizraeli walibebwa 😂😂
I have a simple ques why when there is a name Israel USA tails there or its Isramerica😢🤣💔
wewemwango