PART2:UNAWEZA KUWA MASIKINI KWA KUTOA FUNGU LA KUMI KISHERIA

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 23

  • @jastinarts
    @jastinarts 9 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa sana mtumishi

  • @kenanimwakanemela483
    @kenanimwakanemela483 ปีที่แล้ว +1

    You're a great teacher brother. I see humbleness in the way to articulate things, God bless you

  • @MarthaZabron-gg3uj
    @MarthaZabron-gg3uj ปีที่แล้ว

    Pole Sana! Msingi wako ufanye mwenyewe ,una uchungu wa nyongo! sisi Mungu tunampa zaidi ya asilimia 10

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 8 หลายเดือนก่อน

    Amina ahsante sana ubarikiwa

  • @agneskighenda3795
    @agneskighenda3795 ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa sana mtumishi

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 8 หลายเดือนก่อน

    Amina

  • @JOSEPHJAMES-z6n
    @JOSEPHJAMES-z6n 7 หลายเดือนก่อน

    Nimekuelewa mtumishi wa MUNGU ubarikiwe

  • @BupeFrederick
    @BupeFrederick ปีที่แล้ว

    Upo sahihi kabisa mtumishi, ni watumishi wachache sana wanaofundisha KWELI ya KRISTO.

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 ปีที่แล้ว

    Hata kanisani kwetu mch, anahimiza kuandika jina kwenye bahasha unayo toa! Mi najua utoaji wa mungu hauko hivo, Kwa hio mimi siandikagi jina! Mungu alie sirini mwangu ndo anapaswa kujua! Ntaandikaje jina kama mchango wa harusi?

  • @rosepallangyo1352
    @rosepallangyo1352 ปีที่แล้ว

    Wasio taka kumjua mungu wa kweli lazima wabishe hovyo

  • @crownprinceea2456
    @crownprinceea2456 ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 ปีที่แล้ว

    Ni kwel kabisa wengi wanatoa fungu lakumi ndo wanazidi kuwa na njaa

  • @emmanuelathuman896
    @emmanuelathuman896 ปีที่แล้ว +2

    Yote tunayofundishwa hamna anaejua Kama Ni kwel kwasababu mtu anafundisha kile alichofundishwa na yeye

  • @georgemwaura6193
    @georgemwaura6193 8 หลายเดือนก่อน

    Hapa Sasa,ndio tunaelewa tafauti,kati ya kanisa LA yesu na kanisa kahaba.

  • @RosemaryPius-cs5lh
    @RosemaryPius-cs5lh ปีที่แล้ว

    Hiii ndio maana halisi ya IMANI yako ndio itakayokuponyaa

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 ปีที่แล้ว +1

    Sadaka na fungu la kumi sio kigezo cha kufanikiwa

  • @simphorosakessy8141
    @simphorosakessy8141 8 หลายเดือนก่อน

    Na ile kusimama kuombewa mbele kwa mtumishi wakati umeshika fungu la kumi je ni sahihi maana neno linasema sadaka ni siri?

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 8 หลายเดือนก่อน

    Kakobe yeye usipotoa unaitwa umezimia na ukija kutoa baadae unadaiwa na 5% yake kama faini. Na usipotoa kabisa unafukuzwa kwanisa. Na kila mfanyakazi anatakiwa alete Salary Slip. Kama hufanyi kazi kuna kamati inakutembelea kukagua mapato yako na kukukadiria uwe unatoa ngapi kila mwezi. Na hii inaongezeka kila mwaka. Ukitenda dhambi kwa Kakobe unaweza usifukuzwe kanisa lakini usipotoa huwezi kuvumiliwa.

  • @alicechirande2304
    @alicechirande2304 8 หลายเดือนก่อน

    Toboa mtumishi

  • @hildanjau3991
    @hildanjau3991 ปีที่แล้ว

    Mbona kama unazunguka kama fungu la 10 ni torati vipi tena tuje tutotoe fungu la10 huku kwenye neema na imani unatuchanganya tuachane fungu la 10 kwa sasa hata baada ya Yesu hakukua na story ya fungu la 10 tena sasahivi tutatoa hata zaidi ya 10%ila kwa moyo wa kupenda

    • @jastinarts
      @jastinarts 9 หลายเดือนก่อน

      Wewe nahisi hujamuelewa vizuri..mbona kaelezea kila kitu...Anza mwanzo kabisa kasema unaweza toa ata zaidi ya aslimia 10

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee ปีที่แล้ว

    Huwezi kuwa masikini Kwa kutoa fungu la kumi, mbona kodi ya serikali mnalipa na hamfungi biashara zenu. Kati ya Mungu na serikali nani anatoza zaidi au Kwa kuwa Mungu hajaweka polisi wa kimwili ili kukamatwa wakwepa zaka? Tufuateni maandiko yanavyosema siyo mtazamo wa mtu fulani.

    • @favouredbygod4163
      @favouredbygod4163 ปีที่แล้ว +1

      Rubeni hakuna maandiko yanalazimisha kulipa fungu la kumi katika agano jipya