SOKA KIJIWENI: Abdallah Shaibu 'Ninja', na maajabu aliyokutana nayo kwenye soka la Marekani
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ก.พ. 2020
- Ni mchezaji wa zamani wa Yanga ambaye kwa sasa anaichezea LA Galaxy ya Marekani aliyokuwa akiichezea Zlatan Ibrahimovic. Hapa amekutana na Dodi katika Soka Kijiweni, kipindi kilichoruka Jumatatu tarehe 3/2/2020 Azam Sports 2.
- กีฬา
Watu wa #Darajabovu oyeeeeee kw mara y kwanz tunatajw #youtube
Dodi lazima upewe sifa yako kipindi chako safi sana
Iyo ndio Zanzibar ya vipaji bana ....hakuna mpizan kwa ilo Zanzibar ni Brazil ndogo...
Jangombe football for life
Respect show nzur
Naomba kaza san
Sema jamahaa ana aibu sana sura yake
DODI BABA LAO
Mtangazaji hajawahi kuniangusha
LA si keshaachwa
Ivi nauyo rast n shekh
Amenenepa MASHALLAH
Ninja unaujua San bro naamin IPO cku ntakua Kama ww my bro
wwoooowww
hassa othman
Mmetuwakilisha vyema JANG'OMBE
AGASA VOET CLUB .
Muyaa 😁
Mbele hakuongopi bora ulivyondoka
Kelvin yondani koton hanaojiwa lini
Dodi mbona hamumtafuti Yondani?
Eti Urojo haujapashwa Moto?😅😅😅😅
mjomba umekwamia wapi mpaka umerudi tena?
Musiishie Marekani tu igeni kwa Samata
Ebu nia mbie huyu mtangazaji si mzanzibar huyu mbona lefuz yake ya kizanzibar hana adabu huyu rabda amekaa bara huyu ni mzanzibar bwana mbon mpaka sura zake ni mzanzibar acha we🤣🤣🤣🤣🤣MLA urojo mwenzetu huyu
Huyo ni mbongo tu
Ni mndengereko wa pwani huyo watu wa pwani hawajaachana sana na wazanzibar
Ninja umetufumgulia dirisha Wazenji
Mtu na nusu
Hyu mtangazaji namkubali anajua utan
Mtangazaji hajawahi kuniangusha