SOKA KIJIWENI: Uso kwa uso na nyota wa Kagera Sugar, Awesu aizungumzia kadi nyekundu dhidi ya Yanga
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
- Timu ya Soka Kijiweni kutoka #AzamSports imefunga safari hadi Kagera kukutana na mchezaji kinara Awesu Awesu ambaye amepiga stori kibao na Jamal Abbas 'Dodi' na kubwa zaidi ni ile kadi nyekundu aliyooneshwa katika mchezo wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho la #AzamSports dhidi ya Yanga SC uliopigwa Juni 30, mwaka huu.
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Awesu awesu fundi wetuu wa kizanzibar
Naikubari kazi yako mzee Abasi
Wanao wa Zanzibar Unatuwakilisha Poa AWESU
Gonga like kama unakubali awesu fundi
Dodi upoo juu
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Interview kali sana lkn dakika ni chache but anyway awesu anajua sana ila national team inabidi awe Yuko kariakoo tu
Kama kuna sehemu watu wana vipaji vya mpira basi ni #Brazili na #Zanzibar
Sijakuelewa umemaanisha nini
Bao zuri kbsa hakubahatisha halidhamiria
Nakubali
Haina ubishi hiyo mechi asilimia mia mme hujumiwa
Dodiiii fundi
Ndilo swali nililotaka kuuliza kua ni kwanini huyu mchezaji Awesu hayupo kwenye timu ya taifa ya Tanzania. Huyu mchezaji anajua mpira, ana nidhamu na anajitambua sana.
Mara ya pili kwa awesu
Mimi yanga ila AWESU AWESU nenda simba kwenye mipango ya kueleweka utafika mbali
Simba anajipeleka?
Awesu alionewa
Awesu ana kipaji kikubwa sana. Aende Azam. Yanga na Simba ni majina tu na upendeleo ndio maana hawana kombe lolote kubwa nje ya mipaka ya Tanzania.
Azam analo?
#madeinzanzibar#
Poa kaka bado seseme iniesta atujamuona
Hio ni clear penalty shida hamna VAR
Kwanini haitwagi national team ?
Nataman unge kuja jangwan awesu awesu sikupingi miaka yote 🤝 🤝🤝 🤝🤝 🤝
Paul Ngwai umezidi uoga.Duuu!
fund wa soka
🤣🤣🤣🤣🤣🤣lakini tumahukulu huyu refalii maana amewabeba yanga mwisho ya siku tumekutana na simba 🤣🤣🤣🤣 si mlitaka nusu fenali
😂😂😂😂😂😂
Huyu dogo fundiii
Dodi ilopipa lijerudi chini yaaaaani dodi kama nakuona vile unavyo jikojoleya 🤣🤣🤣🤣🤣
....
Awesu njoo yanga tunakuhitaj
Mpira wake ni wa simba
Kipindi unakitendea haki mkuu
Wachambuzi waliichambua wakasema ilikua penat
Awesu anahojiwa kwa mara ya pili
Ndo fundi
ndodi bukoba tu hapo begi kuuuubwa kama unaenda spain
Host wape nafasi unaowainterview waongee, unaintervine sna maongezi yao, hatupati maudhui
🤣🤣🤣
Dodi kama dodi
Awesu anakitu kina mkaba anatamani kukisema anaogopa kupotea kwenye soka hii bongo bana sema ukweli wakupoteze mwendoo wauongo2
Sasa mbona mtangazaji anaongea tu yeye eeeeh
Bro Awesu tuliziya walibebwa wakakutana na 4G
Mbona ume mrudia huyuu
Mtafute Shamari Lawi aeleze amejifunza nini kuhusu kwenye sheria ya penalties
Haha we jamaa unajua kunifrahisha
Sauti zingatia muko mbali na maiki
Fundi wa mpira
Mtangazaji anajifanyia interview mwenyewe....umedominate mahojiano wewe 😅
Dodii anaboa kwelii hampi nafasii mtu kusema kabisa haina maana hata