Stories za Instagram Live...mambo ya dating na life la ughaibuni

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ย. 2024
  • Jiunge na EBM SCHOLARS Community ebmscholars.lo...
    DONATE TO EBM SCHOLARS
    1. PayPal www.paypal.com...
    2. CASH APP cash.app/$EBMS...

ความคิดเห็น • 15

  • @neemahappyeverafter6181
    @neemahappyeverafter6181 5 หลายเดือนก่อน +4

    EBM una spirit ya kujiamini balaa umefanya matukio makubwa ungali mdogo sana, Mungu azidi kukuimarisha na kukubidiha

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 5 หลายเดือนก่อน

    Kaka kwema naitwa balemba nipo karagwe kagera Tanzania mtani wako naomba utoe maelezo kdg kwa Hawa ambao Awana elimu wameishia darasan la Saba form four wanawezaje kufika ughaibuni na wanaweza kufanya kazi Gani maana unatoa maelezo ya watu wa elimu ya juu Hawa wa chini awaelewi Asante

  • @jeremiahhamis8585
    @jeremiahhamis8585 5 หลายเดือนก่อน +2

    Kiongozi habari ya kazi Mastercard Scholarship university of pretoria inatfunguka mwezi wa tano mwaka huu kwa ajili ya mwaka wa masomo 2025. nikiwa kati ya watanzania wachache tuliofanyikiwa kupata scholarship hii tunapenda watanzania wengi waweze kuomba na tutakua na semina mwezi wanne Tanzania Dar es Salaam tarehe nitakijulisha kwa ajili ya kuwasaidia wengine kuomba. Tunaomba utasidie kuitangaza asante.

  • @user-xn8jh1yw1h
    @user-xn8jh1yw1h 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mie Mjukuu wangu alinichekesha! Alimwambia Mama yake eti wabebe Sukari waende nayo Marekani! Alisema hajawahi kuona Sukari kwao! Ni kweli hajawahi kuona sukari kwa sababu wanatumia Asali!

  • @user-lq1up3lx4f
    @user-lq1up3lx4f 5 หลายเดือนก่อน +1

    Wow Great, I enjoyed much

  • @boaziyonaf9770
    @boaziyonaf9770 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka Mimi naitwa Boazi Nipo Tanzania ni muha wa kasulu kigoma. I wish nifike marekani sijui naanzia Wapi kaka naomba unisaidie

    • @joasitz9559
      @joasitz9559 5 หลายเดือนก่อน

      Unaweza omba green card na pia unaweza kwenda kwa kutumia ujuzi ulionao mfano kama nurse unaweza fanya mitihani ya marekani ukifaulu unapata kazi kule

    • @ElizaGeorgeBujiku
      @ElizaGeorgeBujiku 5 หลายเดือนก่อน

      Hiyo mitihan kwa Tanzania inafanyikia wapi?​@@joasitz9559

  • @enemtatuka5863
    @enemtatuka5863 5 หลายเดือนก่อน

    Sisi wenye majina ya kina Ernest sisi wote ni SIMBA SC

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera Shena.

  • @user-xn8jh1yw1h
    @user-xn8jh1yw1h 5 หลายเดือนก่อน +1

    Shena umedamka saa ngapi? Sisi huku ndo tumeamka muda siyo mrefu!

  • @user-xn8jh1yw1h
    @user-xn8jh1yw1h 5 หลายเดือนก่อน

    Hata wanaooana kwa kuchumbiana na kutuma Mshenga, mambo yakiwa sivyo ndivyo Ndoa inavunjika!

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 5 หลายเดือนก่อน

    Unakesha kweli jamani suami mambo uchawi sipendi kuaa watu wanaomini MUNGUVWANGU NDIO NAMINI DI WACHAWI

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 5 หลายเดือนก่อน

    EBM amesema washakuja hawa vichaa? Tengua kauli jamani.