🔴

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • 🔴#Live: MANARA AVUNJA UKIMYA, AMWAMBIA INJINIA HERSI KWENDA 'SOUTH' NI USHAMBA LETA KOMBE...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 57

  • @yahyasaloummvyongo3536
    @yahyasaloummvyongo3536 หลายเดือนก่อน +6

    😂😂😂❤❤❤MANARA BUGATTI tengenezeni maneno na walee wazee timu yetuu iendelee kaaeenii nao bwana kaaenii nao wewe na VIONGOZII wenzio mmalize hizi tafrani bwana timu imefikia pakubwa mimi shabinwa yanga URAMBO TABORA wazonlangu hilo

  • @juliusmlula1658
    @juliusmlula1658 หลายเดือนก่อน +2

    Manara safi yupo makini good speech

  • @paulpeter9655
    @paulpeter9655 13 วันที่ผ่านมา +2

    Hongera mwamba.

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v 10 วันที่ผ่านมา +1

    Huo ukubwa Allah Aliokubariki na kukupa ndio utakao kupa Mitihani Mizito na Mikubwa Maishani.Ogopa sana Hasad.Manara Amesema kafungiwa Akiwa msemaji hakusema kua karudi kama msemaji.Amesema popote Atakapo ekwa Atafanyakazi

  • @barazamwaja3868
    @barazamwaja3868 หลายเดือนก่อน +1

    Unatambulisha Hadi watoto wako mo akimtambulisha Dada aaaah, tajiri hanuniwi

  • @jumadizae9117
    @jumadizae9117 หลายเดือนก่อน

    Karibu sn nyumbani Manara, watu wanaumia kumaliza
    adhabu yako.😊😊😊😊😊

  • @jonathansam4159
    @jonathansam4159 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana kwa hotuba nzuri, umepita wasomi wengi sana na unastahili kupewa uongozi kitaifa maana busara ipo na imetulia.

  • @fundijr4845
    @fundijr4845 หลายเดือนก่อน

    Welcome Back King Of All Spokesmen In TANZANIA.

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 หลายเดือนก่อน

    Khaji uko vizuri sana! Mwambie na yule jamaa mtaalamu Jemedari! Jana nimemsikia akizungumzia hizo siku 30. Sasa na yeye labda aliona hiyo hukumu?

  • @zamratayoub4604
    @zamratayoub4604 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b 12 วันที่ผ่านมา +1

    Fanya mambo ya Dini tena heshim uzee wako, Mauti yako yapo karibu

  • @EnthusiasticAtv-gn6pb
    @EnthusiasticAtv-gn6pb 13 วันที่ผ่านมา

    VUMILIA WEWE, ATAONGEA. Hapa anaongelea subira katika adhabu aliyopewa ya kufungiwa akiwa katika KAZI ya MPIRA😊

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 14 วันที่ผ่านมา

    Manara kimekulamba.lazima uwe mpole boss hanuniwiiiiii

  • @johaneskyaruzi8789
    @johaneskyaruzi8789 หลายเดือนก่อน

    Karibu Bugati

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b 12 วันที่ผ่านมา

    Acha kuipenda Dunia

  • @HerryLazaro
    @HerryLazaro 14 วันที่ผ่านมา

    Ongea mambo ya maana ,au hayo ndiyo mambo ya mpira.

  • @stevenjackson4985
    @stevenjackson4985 หลายเดือนก่อน

    Namuonea huruma Ally Kamwe. Huyu jamaa atamuingilia sana kwenye shuguli zake.

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 หลายเดือนก่อน

      Kaka umesema kweli, yaani ishakuwa shida kaka,,,

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945 หลายเดือนก่อน +2

    Mapato kitu gani, Makombe ndio kila kitu 😊

    • @thabityasin8624
      @thabityasin8624 หลายเดือนก่อน

      Acha izo wewe anacho kiongea ni sahihi

  • @kikongajoel2693
    @kikongajoel2693 หลายเดือนก่อน

    Tulikumisi sana manara

  • @veronicageorge4853
    @veronicageorge4853 หลายเดือนก่อน +1

    Semaji la dunia 🎉🎉

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 หลายเดือนก่อน +1

      Labda dunia ya wajinga kama wa utopoloni

    • @nuhhumwakanyamale4771
      @nuhhumwakanyamale4771 หลายเดือนก่อน

      ​@@ndogoroedson199😂😂😂

  • @shabanikigogo2444
    @shabanikigogo2444 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera Haji

  • @user-xz5ce1pm9n
    @user-xz5ce1pm9n หลายเดือนก่อน +2

    Acha upumbavu..kaongea wapi hayo maneno

  • @HappyFreshwaterLake-tw8kc
    @HappyFreshwaterLake-tw8kc หลายเดือนก่อน

    Rudi bhanaaa kiongozii msemaji

  • @alexanderfute4559
    @alexanderfute4559 หลายเดือนก่อน +1

    Aisee

  • @NassorNassor-zg7is
    @NassorNassor-zg7is 12 วันที่ผ่านมา

    Nae eti katambilisha dada!!!

  • @mohammedlaabry5799
    @mohammedlaabry5799 11 วันที่ผ่านมา

    Kwahiyo MO hakufanya kosa kutambulisha baba yake siku ya simba day ila ulimkejeli sanaaaa Leo unarudia kama yeye kuchamba kwingi

  • @muhidiniwadhifa3600
    @muhidiniwadhifa3600 15 วันที่ผ่านมา

    Rukia mapato ndio kila kitu

  • @brightnjau651
    @brightnjau651 หลายเดือนก่อน

    waandishi uchwara, hiyo kichwa cha habari kimekaa unaa unaa tu!

  • @KasimMhando
    @KasimMhando 11 วันที่ผ่านมา

    Rudi nyumbani huko utateseka sana.

  • @dietrichoswald34
    @dietrichoswald34 หลายเดือนก่อน

    Manara !
    Maadili ya uongozi hayakuruhusu kum address Rais wa klabu as your equal. Nina umri wa miaka 70, lakini ninamheshimu Hersi kama kioungozi wangu. Nikiona mtu anamfanya wa kawaida naumia. Chunga hilo tutakuwa sawa.

  • @nuhhumwakanyamale4771
    @nuhhumwakanyamale4771 หลายเดือนก่อน

    We mchukua camera umezngua sana ungeajast kushoto kidooogo ningekuona mtu wa maana kabisa, Kutuonyesha huo msura wa zwazwa umetukomoa😅😅😅😅 Hatuji tenaaaa... kwenye chanel yako, Hatuji tenaaaa...

  • @SaidiMohammed-o4c
    @SaidiMohammed-o4c หลายเดือนก่อน

    Hivi kweli loo

  • @AbdulKijonjoo
    @AbdulKijonjoo 7 วันที่ผ่านมา

    Mo alitambulisha baba na dada yake pale simba day kwa mkapa,wewe ukamzodoa sana,leo umesahau na wewe unafanya hayo hayo,mwenzio baba yake alikuwepo wewe baba yako hayupo tunamuombea hery,ila acha kufuru haji,unajitelenya mwenyewe halafu unacheka mwenyewe,unaBalaaa wewe!!?

  • @malilosaid6495
    @malilosaid6495 15 วันที่ผ่านมา

    Honge chamaana bwana wewe mnafiki japo siyo moi wa kuhukimu ogea Cha msingi mnafiki kubwa we

  • @jumadizae9117
    @jumadizae9117 หลายเดือนก่อน

    Karibu sn nyumbani, maana kuna watu wanaumia mno we kumaliza adhabu yako.

  • @hajjmohamedlingindo6188
    @hajjmohamedlingindo6188 หลายเดือนก่อน

    Haji Manala ni mtu mkubwa katika familia ya " MPIRA WA MIGUU " hapa Tanzania !! ana haki ya kuingia na "UKOO" Wake siku km ya Jana 22/07/2024 Manala karibu tena YANGA ASC, co watu wote wanamchukia Manala, kukosekana Miaka 2 kwa manala lilikuwa pigo kwa Yanga yetu 😂😂😂

  • @SaumuJuma-z2g
    @SaumuJuma-z2g หลายเดือนก่อน

    Ubaya ubwelaa

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 หลายเดือนก่อน

    Kwani wewe ndio Msemaji wa Yanga?

  • @MsafiriMatumla
    @MsafiriMatumla หลายเดือนก่อน

    Kwan kafunguliwa

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b 12 วันที่ผ่านมา

    Msitiri basi huyo mke wako

  • @OmariVesso
    @OmariVesso 13 วันที่ผ่านมา

    Mshamba ww hy family yk ss yann

  • @user-ek4fk3hb7e
    @user-ek4fk3hb7e 11 วันที่ผ่านมา

    Uache kulopoka ovyo jifunze kuzizuia hasila wakati vitu Ving havihitaji asila na chuki wewe huoni mwemzio Ali kwamwe anaka meza moja na Ahmed Ali na hawagomban badilika

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b 12 วันที่ผ่านมา

    Mnafiki mkubwa , Mpenda Dunia

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 หลายเดือนก่อน

    Anasa za kidunia tuuu

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe7284 หลายเดือนก่อน

    Bugati

  • @mgmail-lj7mo
    @mgmail-lj7mo หลายเดือนก่อน

    😂😂 kasema wap

  • @karyori69
    @karyori69 หลายเดือนก่อน

    Hivi kati ya Hersi na Manara nani mkubwa Yanga? Mbona anamu-address kama equal? naona tatizo hapa!

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 หลายเดือนก่อน

    Uzee bhana haufichiki kabisa haka kajamaa tayar kamekongoroka ila kanajifanya bado kakijana sana! Watz gan waliendelea kukutia nguvu za nn unalima ww? Kwa lip? Jamani haya mambo magumu sana. Sasa umekusanya ukoo mzima kwa lip?😂 kiki za manara ni shida je na hao hawana akili? Maana ulisema wenye akili ni wawili tu

  • @user-wq8vf4im8f
    @user-wq8vf4im8f 9 วันที่ผ่านมา

    Tatizo lako huwezi kute ganisha siasa na mpira

  • @FelixMdoe
    @FelixMdoe หลายเดือนก่อน

    Wewe utambulishe wachezaji kama nani weweeee.