Malalamiko ya mtoto mtundu yanashangaza .angekuwa wao wangesema mtoto mtundu .? Hamuwezi jua labda kapata ajali kafa njiani na hakuna ndugu anaejua mtoto alipo !
Ila Bora huyo aliyemterekeza kuliko wanaotoa mimba na wengine hutupa na wengine kwa hasira huwaua Bora na huyo maana atalelewa na walimwengu atakuwa na atasoma vzr then siku Moja akisikia ana kazi anaenda kwenye media eti natafuta mwanangu tumepotezana naye miaka kadhaa ila wazazi Kuna wakati wanakosea japo ni mungu wetu duniani hufungua milango ya baraka
@@FredMaulid Inasikitisha kuona wazazi hawana upendo na watoto wao! My dear mzazi wako sio Mungu wako wa dunia. Mza ni mzazi na Mungu ni Mungu. Hii tabia yakuwambia wazazi wenu ni Mungu wadunia ndio imesababisha wazazi wengi kuwatesa na kuwapelekesha watoto zao kisa wameambiwa ni waungu wa dunia! Mungu ni mmoja tu🙏 🤍
Huyo mdada itakua kapata tatizo au ajali mana angekua wa kumtelekeza asinge mpeleka kwa mtu anae mjua😢
Geah nampataje huyo mama nimletee huyo mtoto nguo
Bora hata kmtelekeza kwa mtu kuliko hata angemuu mplekeni kituo cha watoto yatima samahni nimawazo tuu
Cute baby. Natamani nikamuone huyu mtoto kwakweli
Ningekuw Tz huyu mtt ningekuja mchukuw wallah duuh ataachaje mtt bila nguo jaman watuy wamekosa utuy duuh
Gea uyo mtoto nipeni mimi jaman😢😢😢😢
Mashaallah mtt mzury jmn😢 anamuhitj mama ake jmn😭mungu amlinde n amkuze 🙏
Jamani me ningekua na uwezo ningekachukua haka kachubaba kazurii kashununu
Masha Allah mtoto mzuri mungu amlinde mama mtoto awe salama na mola ampe afya njema huyo mtoto😢😢😢
Masha Allah mtoto mzuri! Masikini na vile anahitaji mtoto 💔😭
Ila mama ake inawezekana amepata tatizo amemlea amefikia hapo aje amuache Cyo kweli huenda kuna kilichomkuta jamani
Kabisa ukute hata kapata ajali
Alio achiwa mtto ana Kuna nazi huku n muraaa wa tarime uyu icho kibongo ssa mtto mzuri sn msaidieni wenye uwezoo .
Nimempenda huyo mtoto mashalll
Ningekuwa karibu ningemtunza hadi mama toto apatikane
Apo ukichunguza tatizo wanaume awatoi matunzo kwawatoto wao
Labda mama yake kapata janga kubwa. Pole sana mamma lea tu
Kwani niwapi hapo 😢
Malalamiko ya mtoto mtundu yanashangaza .angekuwa wao wangesema mtoto mtundu .? Hamuwezi jua labda kapata ajali kafa njiani na hakuna ndugu anaejua mtoto alipo !
Jamani mtihani sana huwenda mam ake kapata tatizo 😢😢
Masha Allah..
Mtoto mzuri maashaallah
Jamani mtoto mzuri
Mtoto mzuri jamani,Natamani angekewa karibu nimchukue
Huyu mtt ni mdogo amewahi tu kutembea akizidi sana ni mwaka mmoja na miezi mi4
M jmn inawezekana amepatwa natatizo mtoto mzur kenyew kamemzoe huyo mm
Mtt mzuri maashaallah
Ghati anakuna naz koroma,, ananchekesha mm, alienda phoric
😂😂😂😂mm pia nacheka mno 😄
Jamaniii💔💔😭.
Mtoto kashamzoea huyo mma maskini
Nipemi mimi hyu mtoto niko na shida ya mtoto😢❤❤❤
Masikin usiache kumuomba Allah atakujaalia utapata
Fatilia umlee
Mungu atakujalia utapata mtoto maana ni baraka
@@FredMaulid ameen
@@hawakiza6067 kila kitu awe wngu kabsa
Geah ungeweka no yako angalau km mwenye chochote amsaidie huyo Mama aliyeachiwa mtt kw kipindi hiki.
Nicheki whatsap 0658 338878 nikupe namba ya mtu aliyekuwa karibu na mtoto uweze kutuma sadaka yako huko moja kwa moja
@@GeahHabibu mbona hiyo no kw WhatsApp sipati?
@@latifalayla9990+255
I swear natamani angeniachia mimi awe wangu forever!
Ila Bora huyo aliyemterekeza kuliko wanaotoa mimba na wengine hutupa na wengine kwa hasira huwaua Bora na huyo maana atalelewa na walimwengu atakuwa na atasoma vzr then siku Moja akisikia ana kazi anaenda kwenye media eti natafuta mwanangu tumepotezana naye miaka kadhaa ila wazazi Kuna wakati wanakosea japo ni mungu wetu duniani hufungua milango ya baraka
@@FredMaulid Inasikitisha kuona wazazi hawana upendo na watoto wao! My dear mzazi wako sio Mungu wako wa dunia. Mza ni mzazi na Mungu ni Mungu. Hii tabia yakuwambia wazazi wenu ni Mungu wadunia ndio imesababisha wazazi wengi kuwatesa na kuwapelekesha watoto zao kisa wameambiwa ni waungu wa dunia! Mungu ni mmoja tu🙏 🤍
Jmn mtt mzur jmn😭😭😭😭
Nyie msilaumu sana anaweza kuwa ameshikwa na wale wanaojiuza mkachunguze vituoni 😢
😂😂
Nipeni mimi namtaka