Mmmh sio vizuri jaman mama wa watu kamzoea mwenza wake na mapenz sio ufundi mapenz mazoea tu mwenyew anahaha masikin😥mi najua maumivu ya kumzoea mtu namuonea hurum
Anachokiongea huyo mwanamke ni kweli wameishi na mwanaume huyo Ndele kwa mda mrefu sana toka mwaka 2014 yupo kwenye haki wanachomfanyia siyo jamaa huyo namfahamu vizuri sana
Huyo Bi Mdogo anachokitaka atakipata Hakuna kitu kina Uma kama Mapenzi ,,,Inaumiza saana hasa kwa tulioyapitia kumuachia Mwanaume Mali Ni kumtukuza Mungu Tu bila Ivo petroli inaweza ikatumika.
Mwisho wadunia hakuna mtu atakayejua ata watu wamiaka mingi kupita nao walikwisha kusema kama wewe usemavyo so Mungu amaweka siri kubwa katika jambo hilo
Wanao gombana huwa hawaachani, Ila Asha Mie,upumbavuu siutaki ,Wala ukewenza siutaki aaende, zake wallah.maisha popote potelea mbali, yaaani hata mume wangu analijuwa Hilo
Jamani kwaza 😂😂😂😂😂😂😂yani mume pipa wanawake mifuniko sijaona mume wa kugombewa hapo huyu bwana niwakulelewa ndio maana hana msimamo pala lile mngelitia mikofi hapo
Kuna mtu nimemsikia hapo anasema "anacheza na Chilemba Chilemba akikugeuzia kibao ndio utamjua" 🤣🤣🤣 inaonekana huyo mwenyekiti hana maskhara loooh kumbeba mama mtu mzima kama mwizi si angamfukuza tu hapo ofisini kwake maana hiyo kazi ya jamii lazima uwe na busara
Jaman wanawake tyjitambue jaman khaaa tukiachwa Tuachike Mwisho ndio Moto, mara oooh kachomwa kisu kisa kuganda na mahusiano yasio na ya Aman, mwanaume akutak yanin mgando, rizik popote jaman tujikubal wamama, wadada kamq ipo ipo tuuu
Mimi nimezaa kula mtoto na baba ake nzao tatu,kwakero za wanaume Kwanza wanaumiza Roho, Roho yenyewe moja ikitoka Basi, Siwezi akikwanbia nimepeta mwingine muache aende,nakuke atatoka tu sinitabia yake,akirudi dawa yake akukute umepeta mwingine usimsubiri eti atarudi, upumbavuu siutaki,akirudi na magonjwa???
Niliwai KUACHWA ,Nilikuwa Sitoki Nje Nashinda Ndani,Sili Chakula Vizuri. Moyo ulipoa lkn Akiri bado ilikuwa inamuwaza Ex wangu. Kikubwa Nilikuwa Nawaza Ucheshi wake,Mahaba yke,uthamini wake,upendo wake na vyote alivyonipa kwa Asilimia 100 eti amevifuta kwangu na kumpa mwingine. Nikamshukuru Mungu na ku move on. Alhamdullah 🤲 kwasasa Naishi Vizuri ingawa Bado Nampenda lkn si kimapenz,amebaki kuwa Ndugu yngu. Kauli yngu Ni MOJA kwake #SIWEZI KUMSAHAM LKN HAWEZI KUWA MAISHA YANGU" kauli hii imenipa Ujasili mkubwa na Furaha ya MAISHA.
Narudia tena kupenda kubaya san huyu kaka anavyomjibu mwenzie kirahis eti simtaki nishampata mwingine daah vifo mnatafuta wenyew 😥😥mama kakonda mpaka kapoteza muelekeo utapendwa saa ngap huyo mama anaitaji faraja anatress
Jinsi walivyomnyanyua c sawa,inafaa pia wapate counselling,kisaikilojia kaumia anafaa asaidiwe,kuepukana na ulokaa nae miaka 8 c rahisi,sema kimeumana nacho😁😂,simuachi huyu kadandia gari kwa nyuma😂😂,kazi bwana anayo na b mdogo watakoma wao.
Dah , the victim of the domestic violences akiongea bila kujua ukubwa wa physical abuse aliyo suffer , Im glad angalau kajitambua kwamba amepigabia haki yake.
Dada Geah huyo Baba anakelele Wakati ulipoanza kuhoji hapo, siku nyingine uwe unawavuta pembeni kama unavowavutataga pembeni wakati wa kuhoji dada yangu....🙏🏾
Daah uyo mke mkubwa amejikaza tu ila kiukwel kama mtu unampenda SI rahis kumtoa moyoni lkn kwakua Mwanaume amekir mbele za watu kua hamtaki itabid tu akaze moyo atazoea na maisha mengine lazma yaendelee
Ndo maana mnatiwa moto wewe mwanamke amekuvumilia miaka amekuokota uko unakuja kufanikiwa unamuacha mtu wakati mmeteseka wote inauma kwakweli na inaitaji busala sana na akiri vinginevyo kidumu kitausika tu
Kwa mtazamo wangu huyo mke wa mwanzo ni chakaram lakini ni mke bora kwake,mvumilivu na alikuwa anamapenzi ya kweli huyo wa pili ni mkimya lakini mmmm sioni watadumu bwana atarudi mwenyewe kwa mkubwa wanapendana hao ni tamaa ya kimwili na ibili tu huyo bwana imemuingia ila nimecheka sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mapenzi haya mashaka matupu.
Jaman Leo naitaj like zangu jamn maana sijawai pata laik umu
Umepata sas
Ucjl
Kabisaa amenzalilisha
Ata Kama lakini pia haifai,8yrs kuishi na mtu sio mchezo,ndio wengine watiwa moto
Ila uyo mwenyekiti asingetakiwa amnyanyue hivyo mwanamke ni uzalilishaji.
Haki za kinamama Hakuna kabisa
Kweli
Sana ata Kama anamakosa
Haipendez
@@arafahassan5257 kabisa my
Mwanaume atarudi tu mwenyewe kwa mke mkubwa uzuri wa mke nyota ya maendeleo.
Mwenyekiti gan anazalilisha mwanamke hivyo hamna polis Kwan wakike
Yaani huyu mwenyekir hovyo
Mungu atakupa mwenye heri na wewe cha muhimu tuliae usishindane na mwanaume sifae ya mwanamke ni utulivu
Mmmh sio vizuri jaman mama wa watu kamzoea mwenza wake na mapenz sio ufundi mapenz mazoea tu mwenyew anahaha masikin😥mi najua maumivu ya kumzoea mtu namuonea hurum
Mtita we acha wamemtia aibu mwenzao
😥mungu atampa aliefanan nae
Hawa watarudiana tu trust me
dada ww unaakili kweli mapenz sio kitu tatizo mazoea Yani ukimzoea mtu kuachana tatu sana
Kweli jmn
Wamama wengne wanashabikia, ukiona mwenzio unanyolewa ykotia maji🙌
Wana wake tuwenaakili jamani.mwanaume anamchezea mwenzako anamuacha anakuja kwako na wewe unampokea bila ndoa.na unaringa eti mume aniachie.
Ni kweli ndo maana wanamume
Mnafanyiwa matukio ya petroli sio kwa kudhalilishwa na kuachwa namna hiyo.
Huu ni udhalilishaji jamani,
NDIO WANAWAKE Mkome kuwabeba wanaume wasio na kitu,
Mh
Mm nmekoma tena nmekoma kwel
Yani wanaume ambao hawana kitu ni balaaa bora tu uliache likatafute lenyewe
@@joharichaima4309 mm ya hivo ctak ata kuyaona kwenye macho yangu pyuuuuuuuu.
@@joharichaima4309 umeonaeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Ndo Mana tunawachoma Moto😅😅😅😅😅😅😅hakuna kutuacha ovyoovyo pumbavu.
Asante studio mwaka huu wajipange tena waombe serikali iongeze magari ya zima moto
Hivo tu wallah naapa hata Mimi saizi nipo tantion akizingua ni moto tu
😂😂😂nacheka utazania mazuri hahaha Alphonse huyo bana 😂😂😂Mwanaume mashine sura hata mbuzi anayo 🤣🤣🤣🤸🏾♀️🤸🏾♀️🤸🏾♀️🤸🏾♀️
Hahaha
Chezea mkorongo wa kitandani...
Ila Bi Mkubwa ana fanana na Mume wake rangi hadi sura, Mwanaume ataenda kupata shida kwa bi Mdogo
Unaambiwa mkikaa kwa mda mrefu mnafanana😂😂😂😂😂😂😂
😄😄😄ni hatar
Mmmmmh Maisha hayaa, yote ni umasikini tuu huu ndio unaosumbua katika jamii,
@@mdzainb3722 Miaka 8 sio Mchezo 😂
Huyu mwanaume ndio kamfuja mwanamke mbona kwenye picha yupo mweupe mwanaume mweusi hivyo hi yo😂😂😂
Tumeishi mpk tumefanana lakini wapi akaniacha
Huyo bimkubwa na mme wake utafikiri watoto wa mzee Mpili
Maskini😂
🤣
Anachokiongea huyo mwanamke ni kweli wameishi na mwanaume huyo Ndele kwa mda mrefu sana toka mwaka 2014 yupo kwenye haki wanachomfanyia siyo jamaa huyo namfahamu vizuri sana
Wanaume sio wakuaminia
Waume wapuzi sana
Uyu mwenyekit kitu ningemfanya asingeamin 😢😢😢😢😢
Huyo Bi Mdogo anachokitaka atakipata Hakuna kitu kina Uma kama Mapenzi ,,,Inaumiza saana hasa kwa tulioyapitia kumuachia Mwanaume Mali Ni kumtukuza Mungu Tu bila Ivo petroli inaweza ikatumika.
Watachomewa ndani..subiri
Umeonaaa
Hawa watu hawajui kukata case manake mke mdogo hawezi sema kwamba hataki uke wenza na bwana ni wa mwenyewe. Wangesema kila mtu na zamu yake .
Zinaa jamani inagombewa kweri mwishowa Dunia
Kwakweli watoto wazinaa wananadiwa waziwazi hakuna kificho wanawake watajaa masokoni natunayaona kwakweli allah atujaalie mwisho mwema
Mwisho wadunia hakuna mtu atakayejua ata watu wamiaka mingi kupita nao walikwisha kusema kama wewe usemavyo so Mungu amaweka siri kubwa katika jambo hilo
mtihani
innallillah wainna illayhi rajiun
Wanao gombana huwa hawaachani, Ila Asha Mie,upumbavuu siutaki ,Wala ukewenza siutaki aaende, zake wallah.maisha popote potelea mbali, yaaani hata mume wangu analijuwa Hilo
Usiseme ivyo ww mwanamke
Jameni Nani Agetaka Kuachika Msimo Huu Wa Baridi, Kitanda Chenyewe ni Kibaridi, Mume Mwenyewe Amepagaa, Uswahilini Kuna Raha 😂😂😂♥️🇰🇪
😆😆😆😆
Kwa style hyo wanaume moto wenu upo hapahapa duniani
Hivo hivo tunawakaanga tu kwa mungu wanaenda kumaliziwa
Ila we Geah mkanye huyo mwenyekiti aache hiyo tabia 🙁🙁 anamnyanyua mama mtu mzima hivyo?? Huo ni ukosefu wa adabu na haikubaliki 😏😏😏
Ndo maana wanawachoma moto et mm nimeshapata mwanamke mwingine Aya sasa huyo ayende wap wakat umeshamuhalbia usichana wake kazana dada acikuwache huyo
Wamehalibiana
Jamani hivi nyinyi wanaume wazima mnaburuta mwanamke hivyo, hamna hata hata heshima kisha eti serikali ya mtaa. Aibu kwenu
Ilitakiwa waitwe askari wa kike wamkamate sio wanaume kumburuza
Jamani kwaza 😂😂😂😂😂😂😂yani mume pipa wanawake mifuniko sijaona mume wa kugombewa hapo huyu bwana niwakulelewa ndio maana hana msimamo pala lile mngelitia mikofi hapo
Miaka 8 bila ndoa ksha munanunua viwanja cjui na nn, ndio manake munachomwa ovyo... Mapenzi mapenzi mabaya....... (in Saraharmonize voice)
😂😂😂😂😂 Gea Gea Gea 🤣🤣🤣 nmekuita mara tatu
Huyu mwanaume atarudi tu kwa huyu mwanamke wa kwanza
Jamani zinaa inagombaniwa uwiii Allah tunusuru hizi aibu
Sasa ndonaelewa kwa nn watu wanachomewa ndani yani unaachwa kirahisi ivyo
Umeona eeh kinachimuuma kamkuta mwanaume hana maisha alaf leo kapata anaenda kwamwanamke mwingne
Kweli bora wanachezea mahisia zetu
Arafu bi mkubwa hajari wara nn yupo konk asaaa
Kuna mtu nimemsikia hapo anasema "anacheza na Chilemba Chilemba akikugeuzia kibao ndio utamjua" 🤣🤣🤣 inaonekana huyo mwenyekiti hana maskhara loooh kumbeba mama mtu mzima kama mwizi si angamfukuza tu hapo ofisini kwake maana hiyo kazi ya jamii lazima uwe na busara
Wewe mume utasumbuliwa na mke mdogo hd ukome.
Ndio maana wanachomwa somo
@@zuwenaalamin8985 😃😂
Kwani mumewee wanazini tu iyo laaana Allah anamtia mitihani naasubiri nahuko Mbele ya haki sijui.atamwambia nini Allah
Mme mwenyewe aona haya
Damn I want to be a street police just to witness these kind of dramas first hand
Mm pia😂😂😂
Anzia kwenye kuwa mjumbe wa nyumba kumi
@@azizamohd5728 😁ndo apate muendelezo kamili wa uhondo mitaani😊.
😅😅😅
In Sh ALLAH nakuombea 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
wanaume wameisha jamani inatakiwa sasa wadada waanze kukubali kushare ili kupunguza uhaba wa wanaume
Duu
Jaman wanawake tyjitambue jaman khaaa tukiachwa Tuachike Mwisho ndio Moto, mara oooh kachomwa kisu kisa kuganda na mahusiano yasio na ya Aman, mwanaume akutak yanin mgando, rizik popote jaman tujikubal wamama, wadada kamq ipo ipo tuuu
Mimi nimezaa kula mtoto na baba ake nzao tatu,kwakero za wanaume Kwanza wanaumiza Roho, Roho yenyewe moja ikitoka Basi, Siwezi akikwanbia nimepeta mwingine muache aende,nakuke atatoka tu sinitabia yake,akirudi dawa yake akukute umepeta mwingine usimsubiri eti atarudi, upumbavuu siutaki,akirudi na magonjwa???
@@ashamwandu6572 nalo tena, bora ta lawama kuliko fedhea
Bwana anauma nyie imagine hicho kitanda unaenda kulala mwenyewe looh... Baridiiiii 😂😂😂
😂😂😂
😁😂😂😂
Huyo mwanaume mwenyewe kama katoka jela Leo alafu wanamgombania Bola nifanye kazi tu huku mapenzi badaee 🇴🇲🇹🇿
Hahaaaaaaa Nikweli et daa
Kwakweli yupo ka gobole na anagombaniwa wanawake kawaroga nani sijui
Umeonaeeee datoo.yani ovyo zao
@@ukhtyrayyan7884 nimeona dada ngu
Kwa kweli
Niliwai KUACHWA ,Nilikuwa Sitoki Nje Nashinda Ndani,Sili Chakula Vizuri.
Moyo ulipoa lkn Akiri bado ilikuwa inamuwaza Ex wangu.
Kikubwa Nilikuwa Nawaza Ucheshi wake,Mahaba yke,uthamini wake,upendo wake na vyote alivyonipa kwa Asilimia 100 eti amevifuta kwangu na kumpa mwingine.
Nikamshukuru Mungu na ku move on.
Alhamdullah 🤲 kwasasa Naishi Vizuri ingawa Bado Nampenda lkn si kimapenz,amebaki kuwa Ndugu yngu.
Kauli yngu Ni MOJA kwake #SIWEZI KUMSAHAM LKN HAWEZI KUWA MAISHA YANGU" kauli hii imenipa Ujasili mkubwa na Furaha ya MAISHA.
Badala ya kushukuru kuachana na zinaa ww bado waililia zinaa basi fungeni ndoa hapo hamna yeyote mwenye haki
Kweli
Narudia tena kupenda kubaya san huyu kaka anavyomjibu mwenzie kirahis eti simtaki nishampata mwingine daah vifo mnatafuta wenyew 😥😥mama kakonda mpaka kapoteza muelekeo utapendwa saa ngap huyo mama anaitaji faraja anatress
Na yeye ataachwa tu atajibiwa ivyo ivyo nimemuonea huruma huyu mama ningekua Tanzania ningemtafuta
@@yusrasalum yaani we acha
@@yusrasalum yaan mi niliongea hivyo hivyo moyon
Eti kapoteza muelekeo. Wabongo mna maneno....? 🤣🤣🤣
Nakwambia yan kabaki kama mbuzi wa kafara zambi lakin
Ila mke mdogo usifurahie mwenzio kuachwa ...mwenzako akinyolewa chako kitie maji
Kabisa kwakweli yaani IPO siku na mdogo ataachwa hivyohivyo.
Jinsi walivyomnyanyua c sawa,inafaa pia wapate counselling,kisaikilojia kaumia anafaa asaidiwe,kuepukana na ulokaa nae miaka 8 c rahisi,sema kimeumana nacho😁😂,simuachi huyu kadandia gari kwa nyuma😂😂,kazi bwana anayo na b mdogo watakoma wao.
Dah , the victim of the domestic violences akiongea bila kujua ukubwa wa physical abuse aliyo suffer , Im glad angalau kajitambua kwamba amepigabia haki yake.
duh uyo mwanaume adi kukata vidole anakata jamani! Na meno ango'a yeye! Kweli apenda kujeruhi..wanawake Mungu atunusuru na petroli ipande bei tu
hata ikipanda bei tutanunua tu pesa gapi kwani
Ndio maana wanawake wanawachoma wanaume,
Mwanaume macho anavoyapepesa sasa km kajamba ukweni
acha kuniua mbavu🤣🤣🤣
Mimi bado nilikuwa namtafuta mwanaume anaegombaniwa😀😃😃😄
ha ha ha hii coment imeniacha hoi
mwanaume mwenyewe duu wanawake jaman
Hahahaha
Kwani we mama haujui sheli? kanunue petroli huko ala
Wanagombea mburula, huyo siyo mwanaume ni kivuli tu. Hakuna mwanaume anaye beba mpaka vyombo vya mwanamke🤣🤣🤣
Kweli kabisa ndugu yangu mimi niliwahi kumuachia mwanamke kila kitu na nikabaki na chumba tu vitu sio issue na vinatafutika
Watu wanagombea handsome wai na kitanda na godoro. Maisha haya😂😂😂😂
Huyo mwanaume aangalie sana.......vidumu vya petrol vitamuhusu😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅😅
😆😆😆😆😆
Yaani we muache tu na ivi Bibi mkubwa alivyochangamka
Nimecheka kweli yaani hivyo alivyo buruzwa 2simuachi mume wangu nampenda 3huyo mume anae gombewa sasa Viombo vinatoka lakini mume hapana
Alphonce anagombaniwa watu Wana bahati jamn
😁😁😁
Dada kubali kugaiwa vitu mume utapata. Usiwe king'ang'anizi ukaja chomwa moto bure.
Kunyongwa au visu
😂😂😂😂😂😂
@@fatmasaid7093 sio ya kucheka dada Fatu kata rostiwa acha kawe king'ang'anizi
🤣🤣🤣
Bi mkubwa ng,andu bi mdogo ng,andu
Yaan nimeamin hik ukikiona kibaya wenzio wanakiona kizur yaan uyo mwanaume anae gombaniwa😀😀yaan nimecheka dah uyo mke wa kwanza anajikaza ila kiukwel anampenda
Dada Geah huyo Baba anakelele Wakati ulipoanza kuhoji hapo, siku nyingine uwe unawavuta pembeni kama unavowavutataga pembeni wakati wa kuhoji dada yangu....🙏🏾
Yani hawa wanawake km wanaigiza vile...?
Na huyo bwana ana bahati ya kugombaniwa. 😂😂😂😂🇹🇿🇴🇲
🤣🤣🤣
Dezo iyo
Siku si nyingi utasikia petrol 😂😂😂😂p
Ila inauma sanaaa kwa kweli kwa mtu yaliyomfika anajua maumivu yake ila anajikaza sana yaani laivu anamkataaa duh
Sana uyu baba atapta lana
Dah jaman 😂wanaume hawana huruma 😂😂
Mwanaume usimlie ukimlia kosa kubwa akichangamka lazima ahame
Ukiona kakwama msaidie pale panapo bidi lkn ukibeba majukumu yake umekwesha
Pole Dada achananae mudawako wakuishinaeumeisha utapata mwengine munguakipenda
Wanawake hawana masikio...usiwahi mlea mwanaume....wacha akulee la sivyo atafute wenya anapemda period.
Daaaah ila maisha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣tulinunua na kitanda cha kisasa lkn bado aliniacha🤣🤣🤣🤣
mwenzio hilo ndiyo ghorofa lake
Tamka Kama yeye chitanda
Huyo mume muda si mrefu atarudi kwa bi mkubwa, bi mdogo anaonyesha mkorofi
Hivi tu chanjo amuja chomwa je muki chanjwa si balaa 🤣🤣🤣🤣
Hahahahaha hatar san
😂😂😂😂tutakuwa mazeze
hi
😂😂😂😂
🤣🤣
Wanawake tumegoma kuachika siku izi kaza dada mpaka kieleweke 😂petrol bei chee tu
acha ujinga🤣🤣🤣
Ila kweli petrol si zipo lakini mm simooo😃😃😃😃🤭
Mie pia tachangia
Nimecheka ka mazuri
Tunaweza kuchanga kama hela haitoshi kupata Lita tano
ACHIA LIKE HAPO CHINI
KAMA KWELI GEA LEO KAKUKOSHA
KAMA MIMI.💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃
💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼
💃💃💃
Jamani sio vizuri kumdhalilisha huyu mwanamke mhhh yasikitisha wallahi
Jamani mbona kuxalilishana kumuburuza hivyo ndonn sasa jamani siumwachie huyo bn AI
Hukusikia aliambia aende kwa amani akakataa
@@haskao77 wangemuacha angeamkaa mapenzi haya mwaka watachomwaa wengi huyo akivurugwaa naye atapindua serilakali
Wanaume ckuiz mnarogwa wanawake wachawi knoma,tena Hawa michepuko
Kesho watarudiana hawa bi mdogo anamfundisha mume majibu anajua mapenzi huyu? Nyumba uliyoizoea ngumu kuiacha mtaniambia 😄
Msema kweli mpz wa Mungu.
kwani alphonce mwenyewe anasemaje. 😅😅😅 asije akachomwa tu moto....
🤣🤣ndo dawa yao
@@prettyh7509 achomwe moto🤣🤣🤣🤣
Daah uyo mke mkubwa amejikaza tu ila kiukwel kama mtu unampenda SI rahis kumtoa moyoni lkn kwakua Mwanaume amekir mbele za watu kua hamtaki itabid tu akaze moyo atazoea na maisha mengine lazma yaendelee
Bi mkubwa kaishi na mume miaka 8 had wamefanana wenyewe 😂😂😂
Jamani mm naishi Burundi 🇧🇮naitaji mchango nihamiye Tanzania 🤣🤣🤣sio kwa umbea huo 🤸♀️muna enjoy peke yenu 🙌🙌
Ukitaka kuhamia kwetu Tanzania jifunze Kwanza Kiswahili vzr 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣❤️
@@zuleyvendor6577 sindo pole pole 🤣🤣nanikijuwa ndo nitakufokea hadi ukome 🤸♀️
@@jayjay173 😂😂😂😂🤣
Mtihan wallah huyu mwanaume mbaya sanaaa
Hayo ndo malipo ya zinaaa ndo yote hayo
Mbona akitulia akiridhika akapaka ki rotion mzuri tuu uyu dada na ivo mchakalikaji Mungu atampa mwingine bora kuliko uyo ila uyo baba atamkumbuka
Mwanaume mwenyewe khaaa embu wanawake tafuteni pesa mpate wanaume wamaana
heka heka siku si nyingi tutaona huyu mama akiwa analala nje mlangoni kwa huyu mume
Hapa b mdgo na bwana hawatapata amani,but vzuri huyu mdgo atachoka karibuni na bwana atarudi kwenye hekaheka zao,wamezoeana hawa inakaa hawaachani.
Hahahaaaaah jmn, NDOA zimekuwa ADIMU. Mweeeh
Zikafie mbele uko
Ndo maana mnatiwa moto wewe mwanamke amekuvumilia miaka amekuokota uko unakuja kufanikiwa unamuacha mtu wakati mmeteseka wote inauma kwakweli na inaitaji busala sana na akiri vinginevyo kidumu kitausika tu
Hahahahaaaa huyo mume atarudi hapo sio muda uso unaonyesha 🤣🤣🤣
Serikal ya mtaa wasenge wanamdhalilisha mwanamke
Jamani raha hivi sisi single tuna feli wapi😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Single ni rah tu
Tunaraha kama zote
Sio sawa hadi mke mwenza pia anamvuta kumuingiza kwa bajaji Jamani. Wenye viti nao ni wagongaji vichwa wanahongwa tu ni vigeu geu .
Mla huliwa ipo cku na yy atalizwa inshaallah 🙏
Uyo Mwanaume km mfungwa
Duuh huyo mwanaumeee 🙆🙆😂😂 kwel wanaume dili 😀😀
😂😂😂
Duuu mbaya saaana huyo bi mdogo hataishi na huyo bwana kabisaaas huwezi jua bi mkubwa alikuwa anavumilia mangapi
Nikiangalia sura zao kuanzia mume adi hao mahawara zake wote walevi
Hv kuwa na suraza hivyoo ndo ulevi amaa angekuwa mzaz wako anaaambiwa hvyoo ungejisikiajee acha majivunooo
Uyu mume atamkumbuka huyu mama yey haki ya mungu tena macho yamemtoka kama anazama baharini
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wanaume jamani ndo maana mna chomwa myoto 💔
Yaniii wachome moto tu
Kwendaaa mwanamke ana onekana mlevi maneno mengi we unge kuwa mwana ume unge weza,,
@@princessrachael3037 😂😂😂jmn
Mbavu zangu
😃😀😀😀
Ila uyu mwanaume dhambi zitamtafuna
😂😂😂😂😂😂 nimecheka kama mazuri khaaaaaa 😂😂
Hii story uyu mme atakuja kurudi kwa uyu mkeo mkubwa
Kabisa
Mwanaume mwenyewe ss mm hoi unakaaje na MTU miaka 8 bila ya ndoa jmn
watu wengi mjini wanaishi bila ndoa
@@heyumi2340 nikwer kbs
@@khadijeegundumu4651 utasikia mtu anasema mme wangu kumbe hakuna mme
@@heyumi2340 awa wanaipenda zina balaaaa
@@khadijeegundumu4651 halafu umri uneenda na bado hawajitambui kuwa kifo kinasogea
Kwa mtazamo wangu huyo mke wa mwanzo ni chakaram lakini ni mke bora kwake,mvumilivu na alikuwa anamapenzi ya kweli huyo wa pili ni mkimya lakini mmmm sioni watadumu bwana atarudi mwenyewe kwa mkubwa wanapendana hao ni tamaa ya kimwili na ibili tu huyo bwana imemuingia ila nimecheka sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mapenzi haya mashaka matupu.
Huyo mwanaume mwenyewe sasa anae gombaniwa kanyata 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Hahaha
🤣🤣🤣🤣
😛😛😛😛😛😛
Hapa ndio wanawake tunapofeli,unawezaje kuishi na mwanaume Miaka nane bila ndoa
Kudhalilika kote huku kisa nini? si aachane tu na huyo mwanaume
Wallah tena