Kwa watu wanahubiri Amani nchi hii kuliko Masalafi, lakini wanafanya hayo kutaraji radhia za Allaah hata kama hawapati pesa wala Bahasha yoyote kutoka kwa Waheshimiwa. Vitabu vya Aqida vimejaa mafunzo ya kuwaombea viongozi na watawala, kwa hiyo kuweni wakweli na waadilifu kwenye kazi yenu, kutaraji malipo kwa Allaah Ta'alaa.
Lakini dua la kiongozi mwadilifu, aliedhurumiwa, aliefunga saumu, huwa azina wa kuzipeleka huwa zinajipeleka yenyewe mpaka mbingu ya saba sijui tumepokea visivyo mtatusahihisha na kama mnatuakikishia neema kama wakati wa arun rashidi basi toa hakikisho ili kila mmoja wetu aongeze dua lakini kikampeni si vyema kumtumia mwamvuli wa dini ili hali haki iko mbali ni hatari
Wewe kweli mzushi soma QURUANI acha kudanganya uma wewe na NABII Sweleiman nani yukokaribu na ALLAh je waislam hawjui kisa cha balkis umetangava vita na ALLAH kusapoti uongozi wa mwanamke kiislam inafaa je mtume mohamad sw kasemaje itafika zama wanawake watataka uongozi mjuwa mjuju wako karibu kitoka kuja kuwatafuna mashekhe kama hawa na wahatibifu wengine ALLAH tunusuru na adhabu yarabi tunuduru na mashekhe
Mngejua madhara ya mwanamke kuwaonguza watu wallahi mngemnasihi aachane na Uongozi....nakama hamuwezi kumpa nasaha basi kunyamaza kwenu ingekuwa nibora sana lakini kumsapoti nikuuaminisha Umma wa kiislamu kuwa mwanamke anafaa kuongoza na nimbaya zaidi kwahilo vazi lenu la USHEKHE
Wewe ni mjinga wa elimu ya tauhiidi, hakuna jambo linatendeka kinyume na utashi wa Allah hivyo kuwa rais wa Tanzania mama Samiat Allah alishampangia cheo hicho kupitia Izza yake wajalalihi kwakuwa Allah ni MUQADDIMU HADHA QABLA HADHA MUAKHIRU. Hata hivi Allah anajua kama Rais Samia atakuwa Madarakani ,Allah anajuwa Samia atatawala muda gani na atafanyanini katika utawala wake na ameishapitisha ni utekelezaji unamsubiri rais Samia. allahumma Allah amjaalie afya njema na utawala bora.
@@ismailhassan5209kwahiyo kwa udhuru huo hata hata firaun na Abuu jahl tuwape udhuru kuwa Allah Alipanga wawe wapingaji kwahiyo hakuna lawama kwao ndo unamaanisha eti
Kwani ss ndio tuliomchaguwa na hata ungevimba upasuke huwez zuia kuwa rais n sawa na adam kutolewa pepon half uje uanze kumlaumu nabii adam kwann alifanya kosa lkn n kusud la Allah lazm atoke pepon ila adam hakuwa anajuwa ndio maana kapewa mtihan, Sasa na ss huu n mtihani lazm tumuelekee Allah atupe Kher zake huyu rais kwasabb huwez muombea mabaya et kwasabb n mwanamke, itakuwa dini huijui ww wasomea gugo
Mnashindwa kutuelewa Masalafi....Sisi muislamu yeyote akifa tunamwombea Rahma na Maghfira....lakini pia hatuwezi kuacha kufurahi kufa kwa mtu mzushi aliyekuwa anaiharibu Dini hii kama tulivyofurahi kuuwawa kwa Abood rogo...yani tuhuzunike kuondoka mtu aliyekuwa anaiharibu Dini tutakuwa tunaakili kweli..!
Nadhani hawa waandishi huwa na ushabiki na kukosa uadilifu katika kazi zao, halafu ukiwakosoa wanakuwa wakali na maneno ya kejeli, sasa hapo katika maneno Jongo Masalafi wanaingiaje?!
Tatizo sio dua tatima wewe kuagiza maika umevumka mpaka alafu kuwa makini na matamshi yako hii ina dhirisha kwa watu ushrikina wako kwa kutumia majini ..mucheni MOLA wenu na semeni ya haki.
Acheni malumbano waislam kwa waislam tunaifundisha nini jamii haya mambo hayana msingi toeni mafundisho mazuri kwa ummah sio kukaa katka viriri kukosoana sote ni waislam
Huyu mzee akalime apumzike kosa la mtu mmoja at wachache walioshangilia kufa kwa abuu iddi anawasingizia watu wote WA sunnah..huyu mzee anajipendekeza sana kwa mufti ni bonge la chawa
Tatizo mmekuwa machawa badala ya mashekhe 😂 shame on them 😢 mnanisikitisha sana mimi Ahlu sunnah waljamaa lakini salafu wapo clear kabisa kwa sasa acheni uchawa mwisho munakiwa wanafiki licha ya elimu mlio nayo
Wewe n mjinga kbsa, kwasabb mtume asema kupenda nchi ako n alama ya imani, sasa kunakupenda bila yakuombeana dua amani iwepo, kwaiyo kuombeana dua ndio uchawa, na hatakama n uchawa kwan uchawa haramu?
@@jaabirbakar2081 uchwa ni kujipendekeza kwa mtu kwa lengo la kupata maslahi furani,neno hili limetokana na tabia za mdudu chawa ambaye anaishi kwa binadamu kwa rengo la kumnyonya damu,kwahiyo kuwa chawa sio jambo jema,sasa mashekhe zetu wanaongea vitu mpaka wanafika sehemu mbaya,kuna crip ya nyuma Shekhe Jongo amesema kwa mamlaka aliyonayo anawaamuru Malaika na Majini wamuombee Dua mama Samia,jambo hilo haliko sawa
@@jaabirbakar2081 haha unanistaajabisha sana unapenda nchi inayojaa zulma kwa watu wake, kil siku mauaji, mwizi,uwasheraji , wameshindwa kutumia elimu yao kukemea mambo haya wanatumia kusifia utawala wa kisenge kisa matumbo yao
Masalafi walichukua kauli yako ya kusem unatak malaika na mashetani wa mfukoni wamuombee mama amna salafi anae chukia raisi kuombew,,na Boss wako mufti pamoj na Walid wakafrahi kweli kwamba ulichoongea kilikuw sahihi,,hii ya Bakwata kuleana na kubebana itawapeleka kubaya
Waislam tunaviongoz wabov sana,,,ni wkt sasa tuwe na viongoz ambao ambao sio tu wanaelim ya din pia wawe na elim ya kisekula sio hawa mashekh tende ,,,kwa akil ya huyu jongo kwel waislam tunaweza ht kuja kumilik chuo au mashule yetu waislam ,,,asee wakristu watatuacha mbal sana
Bakwata hawahitaji watu wa sekula wanabeban ndo maan hutoshangaa kuskia b2 za msikiti zimeliw,, kwasababu ya kuw na poor management leo kazi ya uhasib anapewa mzee wa mskiti ukiuliza why unaambiw aah unjua huy mzee bhana mzee wake ndo alikuw muasis wa mwanzo mwanzo wa mskiti sa tumeona tulipa fadhila kwa mwanae,
Mungu MunguMungu kwa nini ulimi wako usimakinike na kusema Allah Allah Allah. Allah atuongoze
Masheikh siku hizi wanapiga makampeni misikiti na sehemu ya mikusanyiko ya waislamu hasibiallah
Kwa watu wanahubiri Amani nchi hii kuliko Masalafi, lakini wanafanya hayo kutaraji radhia za Allaah hata kama hawapati pesa wala Bahasha yoyote kutoka kwa Waheshimiwa. Vitabu vya Aqida vimejaa mafunzo ya kuwaombea viongozi na watawala, kwa hiyo kuweni wakweli na waadilifu kwenye kazi yenu, kutaraji malipo kwa Allaah Ta'alaa.
Lakini dua la kiongozi mwadilifu, aliedhurumiwa, aliefunga saumu, huwa azina wa kuzipeleka huwa zinajipeleka yenyewe mpaka mbingu ya saba sijui tumepokea visivyo mtatusahihisha na kama mnatuakikishia neema kama wakati wa arun rashidi basi toa hakikisho ili kila mmoja wetu aongeze dua lakini kikampeni si vyema kumtumia mwamvuli wa dini ili hali haki iko mbali ni hatari
Masheikh mnasaporty kuongozwa na mwanamke ? Wakati siyo saw?
Wewe kweli mzushi soma QURUANI acha kudanganya uma wewe na NABII Sweleiman nani yukokaribu na ALLAh je waislam hawjui kisa cha balkis umetangava vita na ALLAH kusapoti uongozi wa mwanamke kiislam inafaa je mtume mohamad sw kasemaje itafika zama wanawake watataka uongozi mjuwa mjuju wako karibu kitoka kuja kuwatafuna mashekhe kama hawa na wahatibifu wengine ALLAH tunusuru na adhabu yarabi tunuduru na mashekhe
Mngejua madhara ya mwanamke kuwaonguza watu wallahi mngemnasihi aachane na Uongozi....nakama hamuwezi kumpa nasaha basi kunyamaza kwenu ingekuwa nibora sana lakini kumsapoti nikuuaminisha Umma wa kiislamu kuwa mwanamke anafaa kuongoza na nimbaya zaidi kwahilo vazi lenu la USHEKHE
Wewe ni mjinga wa elimu ya tauhiidi, hakuna jambo linatendeka kinyume na utashi wa Allah hivyo kuwa rais wa Tanzania mama Samiat Allah alishampangia cheo hicho kupitia Izza yake wajalalihi kwakuwa Allah ni MUQADDIMU HADHA QABLA HADHA MUAKHIRU.
Hata hivi Allah anajua kama Rais Samia atakuwa Madarakani ,Allah anajuwa Samia atatawala muda gani na atafanyanini katika utawala wake na ameishapitisha ni utekelezaji unamsubiri rais Samia. allahumma Allah amjaalie afya njema na utawala bora.
@@ismailhassan5209kwahiyo kwa udhuru huo hata hata firaun na Abuu jahl tuwape udhuru kuwa Allah Alipanga wawe wapingaji kwahiyo hakuna lawama kwao ndo unamaanisha eti
Kwani ss ndio tuliomchaguwa na hata ungevimba upasuke huwez zuia kuwa rais n sawa na adam kutolewa pepon half uje uanze kumlaumu nabii adam kwann alifanya kosa lkn n kusud la Allah lazm atoke pepon ila adam hakuwa anajuwa ndio maana kapewa mtihan, Sasa na ss huu n mtihani lazm tumuelekee Allah atupe Kher zake huyu rais kwasabb huwez muombea mabaya et kwasabb n mwanamke, itakuwa dini huijui ww wasomea gugo
@@AbuwJuhaymah ww ulitaka waislam tumpinge kwa akili yako hiyo
Mimi nilifikiri mtanijibu kwamba Uislamu unaruhusu mwanamke kuwaongoza Wanaume....kinyumechake mnatoa maelezo meeeengi dah ujinga mzigo sana
Mnashindwa kutuelewa Masalafi....Sisi muislamu yeyote akifa tunamwombea Rahma na Maghfira....lakini pia hatuwezi kuacha kufurahi kufa kwa mtu mzushi aliyekuwa anaiharibu Dini hii kama tulivyofurahi kuuwawa kwa Abood rogo...yani tuhuzunike kuondoka mtu aliyekuwa anaiharibu Dini tutakuwa tunaakili kweli..!
Kazi ya kiongozi wakisilamu ni kuwaunganisha waumini.yuko kiongozi nyinyi mlioko chini mnamanono sana jonngo na wengineo. Sifa zimezidi.
Mkishamaliza kuzungumza ntwambie bilion 2 ziko wapi
Bado hatujasahau naona mnataka kujipendekeza kwa mama kwakuwa mnajua mlichokifanya
😂😂
WALLAHI UBAKWATA NI MTIHANI
Katika uislam hakuna kiongozi mwanamke Wacha kupotosha umma wa kiislamu
Kwani anaswalisha hapo? 😅😅
Nadhani hawa waandishi huwa na ushabiki na kukosa uadilifu katika kazi zao, halafu ukiwakosoa wanakuwa wakali na maneno ya kejeli, sasa hapo katika maneno Jongo Masalafi wanaingiaje?!
Hivi kwani baathi yamashehe mnaugawa umma wakiisilam kwakotokua nautulivu katika jumbezenu hakunamtu anaesema kumuombea raisi Dua nibidaa hionichukitu kwawana sunna napia tumieni midia vizuri kuunganisha umma wakiisilam faida itapatikana
Tatizo sio dua tatima wewe kuagiza maika umevumka mpaka alafu kuwa makini na matamshi yako hii ina dhirisha kwa watu ushrikina wako kwa kutumia majini ..mucheni MOLA wenu na semeni ya haki.
Acha upotoshaji,hakuna pote lolote duniani linaongoza kuwaombea viongozi,kuwa na Rahma nao,na upole kwa viongozi,Bali kuwadhania dhana njema,Hadi wakafikia kuitwa ghulaat altwaa'a wachupaji mipaka wa kutii watawala,
Tanzania hii hakuna watu wanaomuombea dua njema Raisi Kama masalafi Unazungumza uongo sana Hem sikiliza khutba zao
👍
We muongo
Huyu Mzee ana jambo lake tu!!
Acheni malumbano waislam kwa waislam tunaifundisha nini jamii haya mambo hayana msingi toeni mafundisho mazuri kwa ummah sio kukaa katka viriri kukosoana sote ni waislam
Comedian
Tatizo uchawa ni mwingi kuliko haki
Yaani Uyo jongo ata uelewa hana hajui ata nini alichopigwa kuongea Yaani Ni Debe tupuuuuuuu
Wee jongo unajitoa ufahamu hujui salaf na answar
Watu hawachukii kuwaombea dua watu taratibu mnazotumia haziko ktk mafundisho ndio watu wanawalaumu
Taratibu gani ambazo hazipo katika mafundisho ??
Waambie wafanye wao ili waigwe
Kimekuwa kikundi cha wapuuzi tuu elimu iliyokosa ufanisi ni uchafuu tuu mmekuwa wachafuu
Huelewi kwamba amesema anawaamuru malaika na majini wamuembee rais Samia
Hao masali wenzako na mawahabi wenzako lin mmeombea nchi Dua kwa namna hiyo mnayoitaka nyinyi ili ss tuliokosea tuwaige au n unafik na majungu tuu
Acha uongo jongo c umewatuma malaika fisadi mkubwa
Huyu mzee akalime apumzike kosa la mtu mmoja at wachache walioshangilia kufa kwa abuu iddi anawasingizia watu wote WA sunnah..huyu mzee anajipendekeza sana kwa mufti ni bonge la chawa
Kilicho watukanisha nikusema malika wamuombee mama samia
Nani aliesema malaika wamuombee mama samia??
@@omarymanzi7733 Sio huyo Jongo aliwaamrisha malaika au hujasikia ile qauli??
Tatizo mmekuwa machawa badala ya mashekhe 😂 shame on them 😢 mnanisikitisha sana mimi Ahlu sunnah waljamaa lakini salafu wapo clear kabisa kwa sasa acheni uchawa mwisho munakiwa wanafiki licha ya elimu mlio nayo
Wewe n mjinga kbsa, kwasabb mtume asema kupenda nchi ako n alama ya imani, sasa kunakupenda bila yakuombeana dua amani iwepo, kwaiyo kuombeana dua ndio uchawa, na hatakama n uchawa kwan uchawa haramu?
@@jaabirbakar2081kwako wewe unaona uchawa ni sawa au hujui maana ya uchawa
@@MgazaMhina ,uchawa n mapenz, labda kama mm sjui uniambie ww maana ya uchawa pengn sifaham
@@jaabirbakar2081 uchwa ni kujipendekeza kwa mtu kwa lengo la kupata maslahi furani,neno hili limetokana na tabia za mdudu chawa ambaye anaishi kwa binadamu kwa rengo la kumnyonya damu,kwahiyo kuwa chawa sio jambo jema,sasa mashekhe zetu wanaongea vitu mpaka wanafika sehemu mbaya,kuna crip ya nyuma Shekhe Jongo amesema kwa mamlaka aliyonayo anawaamuru Malaika na Majini wamuombee Dua mama Samia,jambo hilo haliko sawa
@@jaabirbakar2081 haha unanistaajabisha sana unapenda nchi inayojaa zulma kwa watu wake, kil siku mauaji, mwizi,uwasheraji , wameshindwa kutumia elimu yao kukemea mambo haya wanatumia kusifia utawala wa kisenge kisa matumbo yao
Sasa yule dogo ndio Salaf yaani nyinyi watu wa Bidaa ni watu wa Machuki na mipasho kaimbeni taarab tujue tu ..
Masalafi walichukua kauli yako ya kusem unatak malaika na mashetani wa mfukoni wamuombee mama amna salafi anae chukia raisi kuombew,,na Boss wako mufti pamoj na Walid wakafrahi kweli kwamba ulichoongea kilikuw sahihi,,hii ya Bakwata kuleana na kubebana itawapeleka kubaya
Mzee kabadili gia angana
Waislam tunaviongoz wabov sana,,,ni wkt sasa tuwe na viongoz ambao ambao sio tu wanaelim ya din pia wawe na elim ya kisekula sio hawa mashekh tende ,,,kwa akil ya huyu jongo kwel waislam tunaweza ht kuja kumilik chuo au mashule yetu waislam ,,,asee wakristu watatuacha mbal sana
Bakwata hawahitaji watu wa sekula wanabeban ndo maan hutoshangaa kuskia b2 za msikiti zimeliw,, kwasababu ya kuw na poor management leo kazi ya uhasib anapewa mzee wa mskiti ukiuliza why unaambiw aah unjua huy mzee bhana mzee wake ndo alikuw muasis wa mwanzo mwanzo wa mskiti sa tumeona tulipa fadhila kwa mwanae,
@BouShakuri Elim ya kisekula Ni Elim ya kidunia ,,,
@rahimsadru-ct4ot nafkir umenielew,nimekuelew pia
@@BouShakuri kama huyu jongo ukimuachia sadaka zitakua Salama kwel ??
@rahimsadru-ct4ot 😂 wazee wa kariakoo
Na wewe kuffaa kwa chuki zako. kwani nani aliesema usimuombee au umekatazwa shirki ktk maombi yako