KANZULAND YAZINDUA DUKA KUBWA LA KIFAHARI, KIWANDA CHA KANZU NA VIATU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.พ. 2025
  • Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com...
    TH-cam: / @babdeomiladu

ความคิดเห็น •

  • @ammyabeid9574
    @ammyabeid9574 4 วันที่ผ่านมา +1

    MaashaAllah. Allah ajalie kheri katika shughuri zenu. Nashauli muangalie na watu wa kipato cha chini nao wapate bidhaa kutoka kwenu. Allah ajaalie haki katika kazi zenu na muwe na matawi Tanzania na nje ya Tanzania.

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 2 วันที่ผ่านมา

    MASHA ALLAH 💚💚💚

  • @khamisshee803
    @khamisshee803 2 วันที่ผ่านมา

    MashaAllah
    AKA BACHUCHU MOMBASA 001
    🇰🇪+254🇰🇪

  • @swalehfarid5466
    @swalehfarid5466 4 วันที่ผ่านมา

    Ma Shaa ALLAH TABARAKALLAH ,Kwa Kuwa Mmefungua Kwa Kuanza Kwa Neno La ALLAH,Nawaombea ALLAH Awamiminie Barka Yaa RABB Na Awahifadhi Na Kila Shari Yaa RABB

  • @SaidMgeni
    @SaidMgeni 5 วันที่ผ่านมา +1

    MashaaAllah tabarakah Rahman

  • @kondomuhammed745
    @kondomuhammed745 5 วันที่ผ่านมา +1

    MaashaAllah

  • @Akhlaq_tv
    @Akhlaq_tv 5 วันที่ผ่านมา +1

    Mashallah 🎉❤

  • @mohamedjuma1084
    @mohamedjuma1084 5 วันที่ผ่านมา

    Ma Shaa Allah👏

  • @JimuAbdull
    @JimuAbdull 5 วันที่ผ่านมา +1

    masha allah

  • @najmernajmer
    @najmernajmer 4 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah tabaraka rahman

  • @JahidaRashid
    @JahidaRashid 4 วันที่ผ่านมา

    Mashaalla ❤❤

  • @AbuuHafsah_TV
    @AbuuHafsah_TV 5 วันที่ผ่านมา

    Maa Shaa Allah

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 4 วันที่ผ่านมา

    ❤❤mashaallah

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 5 วันที่ผ่านมา

    MashaAllah ❤❤❤

  • @AllyMwinyi-rx8gr
    @AllyMwinyi-rx8gr 4 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah

  • @hamidayahaya2304
    @hamidayahaya2304 2 วันที่ผ่านมา

    Kanzu za watoto bei gani

  • @wahidkimara7482
    @wahidkimara7482 4 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah alimradi quality tu, mpo wapi

  • @medystarter
    @medystarter 5 วันที่ผ่านมา

    Mashallah

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 2 วันที่ผ่านมา

    Lipo wapi?

  • @twahahamidu-zy2jo
    @twahahamidu-zy2jo 4 วันที่ผ่านมา

    Mashallah. Kiwanda kipo sehemu gani ss wengine tuko mbali tunaomba maelekezo

  • @sarahminja7255
    @sarahminja7255 4 วันที่ผ่านมา +3

    Hapo wataingia matajiri tu mnauza bei sanaaa kofia za kiomani45,000 😮 Mimi kariakoo mtoro nitaipata kwa sh 15,000 hadi 13,000

    • @ventovw236
      @ventovw236 วันที่ผ่านมา

      Nenda kanunue...sie tutanunua hapo...shida iko wapi...

  • @DormanDorman-jm3dz
    @DormanDorman-jm3dz 5 วันที่ผ่านมา +3

    USHAURI WANGU .WANGEWEKA MAJORA YA VITAMBAA ILI MTEJA ACHAGUE RANGI IPI ANAYOHITAJI NDIO ASHONEWE... CZ KWENYE DISPLAY KUNA RANGI NYINGI AMBAZO HAZIHUSIANI NA KANZU

    • @jimackmauzoo8660
      @jimackmauzoo8660 5 วันที่ผ่านมา +1

      Majora yapo kaka donman tena kwa rangi unayotaka

  • @KhamisFeysal-b9v
    @KhamisFeysal-b9v 4 วันที่ผ่านมา

    Allah akufanyie wepesi

  • @salehalobady6906
    @salehalobady6906 4 วันที่ผ่านมา

    Dua ya nguvu ya 500,000

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 5 วันที่ผ่านมา

    Mashallah Allah abarki

  • @SalminSuleiman-qy3ji
    @SalminSuleiman-qy3ji 5 วันที่ผ่านมา

    Hiii mbn bei sana

  • @salmarajabu4712
    @salmarajabu4712 4 วันที่ผ่านมา

    asalamu aleykum

  • @harounali9057
    @harounali9057 วันที่ผ่านมา

    Hapo ingekuwa vitambaa vina zalishwa Tanzanian ingekuwa rahisi zaid nina wasiwasi wana ingiza vitambaa kutoka nje

  • @AliAhmed-gx3tv
    @AliAhmed-gx3tv 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Phone No iko wp babu??

  • @RamlahNassoro
    @RamlahNassoro 5 วันที่ผ่านมา +1

    Namuona mjomba Ngeruko akiongoza dua

  • @yusuphibrahim-yq9mv
    @yusuphibrahim-yq9mv 4 วันที่ผ่านมา

    Mtavaaa wenyewe kwendeni zenu bei uta fikiri mnauzia matajiri kumbe

  • @salmarajabu4712
    @salmarajabu4712 4 วันที่ผ่านมา

    mabaibui. Majuba hiyi ndio otakua sawa

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 4 วันที่ผ่านมา

    Wapi hii?

  • @AbdulRahmanMikidadi
    @AbdulRahmanMikidadi 5 วันที่ผ่านมา

    Kipo wap jamani ichi

  • @MussaMnkea
    @MussaMnkea 4 วันที่ผ่านมา +1

    Imamu ghazali anasema katika kitabu Chake cha ihyaa uluumi Dini kuvaa kanzu za rangirangi ni katika tabia za mahanisi

    • @omariabeid2897
      @omariabeid2897 3 วันที่ผ่านมา

      Imamu atakuwa amehafilika hapo 😅

    • @NanaShy-y9h
      @NanaShy-y9h 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kwakweli kanzu ni nyeupe hizi zingine ni magauni tu....

  • @SuleimanMadaha
    @SuleimanMadaha 5 วันที่ผ่านมา

    Hvi ntofauti namagomeni ama

  • @CumaEmedi
    @CumaEmedi 5 วันที่ผ่านมา

    Amna atakitu cha shilingi elf kumi

  • @AshaSaid-gy2tg
    @AshaSaid-gy2tg 4 วันที่ผ่านมา

    Iyo ni. Biashara aiiusiani na dino michpngo ya rzk

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 5 วันที่ผ่านมา +5

    Sasa kiwanda gani bei kubwa kuliko kaliakoo sbola tukanunue dukani tulitegemea bei yenu iwe ya kiwandani chini Sana Sasa nyie mabei makubwa sana

    • @nassirali7499
      @nassirali7499 5 วันที่ผ่านมา +4

      120 ndo bei? Mbona mnanunua jezi za simba na yanga kwa fedha km hz. Bei inatokana na quality ya bidhaa ukitaka kanzu za 3,000 Zanzibar zipo kibao njoo ununue.

    • @kassimkikwete3357
      @kassimkikwete3357 5 วันที่ผ่านมา +1

      Wewe angaria uwezo wako

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 4 วันที่ผ่านมา

      Muhimu kuchangia vya ndani

    • @sadammakaka4559
      @sadammakaka4559 4 วันที่ผ่านมา

      Kuchangia vya ndan hata ikiw Kuna kilchobora Cha nje kulko Cha ndan na Bei imepoa khaa

    • @saalim5401
      @saalim5401 4 วันที่ผ่านมา +1

      Acha kuwahusudu wenzako wewe ni muislamu unataka upewe bure? Usiharibu biashara ya wenzako sio uislamu ni tabia za kitwaaghuut

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv 4 วันที่ผ่านมา +1

    Bidaa ni mbaya kuliko maaswiyah tambueni tu kila munachokizusha katika dini hii mutarudishia nacho wenyewe

    • @ahmedomar804
      @ahmedomar804 4 วันที่ผ่านมา

      Iko wapi hapo bidaa

  • @SalimuMussa-r6q
    @SalimuMussa-r6q 4 วันที่ผ่านมา

    punguza bei, yan kilemba kutoka 12 had 25 imezid

  • @AshaSaid-gy2tg
    @AshaSaid-gy2tg 4 วันที่ผ่านมา

    Duka ilo. La. Watanunua matajir. Masilikini tutavaa mitumba ya omani. Uturiuki

  • @ATICKLUNKO
    @ATICKLUNKO 5 วันที่ผ่านมา

    Kawafundish babaako

  • @AhmedAbdallah-r5i
    @AhmedAbdallah-r5i 5 วันที่ผ่านมา

    Hayo ndo majitu ya bidaa

    • @dullnach2310
      @dullnach2310 5 วันที่ผ่านมา

      Hilo la bida lipo wapi hapo duuu punguza husda

    • @aishakamota6012
      @aishakamota6012 4 วันที่ผ่านมา

      Eleza maana ya bidaa ili tujuwe

  • @assadyabdull5146
    @assadyabdull5146 4 วันที่ผ่านมา

    Duuuuh bei kubwa sana aisee jpo ndo hvo kofia yaan hvo vilemba vya elfu 35 mie huku nje nakinunua elfu nne mswala elfu 5 ukipiga hesabu ya Tanzania hata elfu kumi haifiki hvi kweli hta km ni kodi ndo ifike elfu 45 duuuuuuh oky Sawa hakuna shida

  • @yazidumussa3144
    @yazidumussa3144 5 วันที่ผ่านมา +3

    Sasa kusoma duuratul fathi na kufungua duka kuna mahusiano gani?
    Watu wa bida'a mbona hamna huruma kwa kiasi hiki?
    Hv haya yote mnayozua umma utaweza kuyafanya kweli?
    Alioyaacha bwana mtume yanatushinda kuyatekeleza,nyie mnaenda kuanzisha mambo mengineeeee

    • @thamani5842
      @thamani5842 5 วันที่ผ่านมา +3

      Ulitaka wafungue kwa bongo flavor?

    • @jumbalasauti
      @jumbalasauti 5 วันที่ผ่านมา

      😂😂Ila tukimuwahi Kwa Dua Anapona mbn😂​@@thamani5842

    • @nassirali7499
      @nassirali7499 5 วันที่ผ่านมา +2

      Mpuuzi ww! Sasa kuna kosa gani hp yy kusoma qur an. Ulitaka waeke spiker wakiimba tarabu? Ww unosema bida toa aya na hadithi mtume aliyokataza kisoma qur an mtu anapofungua biashara yk.

    • @AhmadSalim-dm4uk
      @AhmadSalim-dm4uk 5 วันที่ผ่านมา

      Bora ya Dua ni ile yenye quran.. kumhimid Allaah kisha kumtakia rehma mtume... msijifnye hii Dini ni yenu ivyo wakifnya watu hukosea ila nyie ndo mko sahihi

    • @AshirafuAlly-r8o
      @AshirafuAlly-r8o 5 วันที่ผ่านมา

      Acha kukaza fuvu ww mfuasi wa mafuta

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 5 วันที่ผ่านมา +3

    watu wa BID'A wanachosha mno! hayo mnayoyafanya kuwafundisha nani??

    • @rashidiramadhani4342
      @rashidiramadhani4342 5 วันที่ผ่านมา +2

      WE UMEITWA HUMU AU UNAWASHWA MAKALIO YAKO MPUUZ WEWE

    • @MukhutarAbdulshakur
      @MukhutarAbdulshakur 5 วันที่ผ่านมา

      Bidaa we inakuhusu nn

    • @AthumaniAmiri-fv5zp
      @AthumaniAmiri-fv5zp 5 วันที่ผ่านมา

      We nawe kubabako imekua mpaka duka la kanzu pia mwataka litolewe dalili katika kitabu na sunna haaa its too much.

    • @muddymaulid2771
      @muddymaulid2771 5 วันที่ผ่านมา

      Baba yako

    • @SubiraFau
      @SubiraFau 5 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂​@@MukhutarAbdulshakur

  • @Harunery
    @Harunery 5 วันที่ผ่านมา

    Mijitu ya bidaa hovyo sanaa

  • @AhmedAbdallah-r5i
    @AhmedAbdallah-r5i 5 วันที่ผ่านมา

    Hao ndo majitu ya bidaa

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 4 วันที่ผ่านมา

    Mashallah

  • @HalimaJeremiah
    @HalimaJeremiah 4 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah

  • @esmailshabani4131
    @esmailshabani4131 4 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah