Wew ndo unaitafuta kwa shida uku,wenzetu wako nazo za kutosha na ndo mana wanawaza kujaribu na kurisk uhai wao,yote iyo ni juu kibri chao na kutoamin Mungu ni muumba wa vyoote,wao wanakufuru na ndo mana wanakufa,lakini pia dunia ina mambo mengi ukute yakuwa mashetani wanatumia baadh ya watu kupromote ili wengine watolewe kafara. Mwenyezi MUNGU TUSAIDIE
Mara yangu ya kwanza kupanda mlima Kilimanjaro ilikuwa 2015, nilihisi hali zote mbaya, nilitapika sana nilipofika STELLA POINT, nilihis malaria kali mno, Lakin hatimae niliSummit UHURU Nikapiga picha. mwenzangu alirukwa na akili inaitwa Mountain HALLUCINATIONS. akashushwa alipokaribia KIBO HUT akakaa sawa, sasa kama Kilimanjaro mita 5895 ipo vile je ni vipi uko 8000+
Ni hatari kweli M-8000+ unakuwa umeingia Death Zone, na hapa ni kimbembe kwa mwili wako kumudu na kuhimili kashikashi ya point hii. Kama unavyosema Hallucination huongezeka pamoja na Ubongo na mapafu kukosa oksijeni ya kutosha. Hatareee..pamoja na yote wapandaji humiminika kama mvua kupanda mlima huu.. kwao jambo hili linaweza husisha Adventure, kuacha Legacy, Breaking records n.k.. Hongera na Big up to you kwa kupanda mlima kilimanajro.💪
Binafsi siwezi nikarisk maisha yangu kwenda huko!!Sema tu I can't judge wanaoenda huko maana kila mmoja na adventures zake!! Green boots ndo mwili maarufu zaidi ulio kwenye mlima Everest!!
@@gaitanokamage7366 Kwakweli atuelezee! Napenda sana usimuliaji wa Sky!Ingawa pia kuna documentaries kibao za huyu mtu (green boots)zinaelezewa kwa lugha ya kiingereza!!Na huo mwili upo huko kwa zaidi ya miaka 27.Inasikitisha na kutisha kwa wakati mmoja.
the background sound...yaaaani, am fond of it haaki
simulizi nzuri piya, ahsante muandazi, asante msimulizi, asante SnS.....
Napenda sana simulizi yako Skywalker
Mlima wangu pendwa ni Kilimanjaro ❤️
Jamani natamani kufika huko lakini kwamateso hayo siendi ng'o.naipenda tanzania kilimanjalo
Asante sana Sns❤❤❤❤
Asante kwa stori nzuli
Wote mlio view baada yangu weken like apa tujuane, 🇹🇿
Asante SNS🔥
😅😅
I think makala 360 needs to have its own account/link hizi video ziko mixed sana
Kuna playlist yake hapa hapa ambamo makala zote zimo humo - th-cam.com/video/YkdFa9ksNHY/w-d-xo.html
Mm nimepanda Kilimanjaro na mlima Meru pia natamani nikapande everest 🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Bro Sky ungekuwa unaweka na video,Umesimulia fresh✔️💯 nimeelewa na nimebadili maamuzi ya kupanda mlima Everest
Nadhani ni Mambo ya copyrights,
😂😂😂😂😂
Kuna video zipo kuhusu watu wanavyokufa
@@narumbahanje9393 Zipo wapi?
Hela uitafute kwa shida, hela ikuue khaa. Watajijua bana.
Wew ndo unaitafuta kwa shida uku,wenzetu wako nazo za kutosha na ndo mana wanawaza kujaribu na kurisk uhai wao,yote iyo ni juu kibri chao na kutoamin Mungu ni muumba wa vyoote,wao wanakufuru na ndo mana wanakufa,lakini pia dunia ina mambo mengi ukute yakuwa mashetani wanatumia baadh ya watu kupromote ili wengine watolewe kafara. Mwenyezi MUNGU TUSAIDIE
@@fredrickmathias6478 walizikuta zinawasubiria. Nipo huku nawaona wanavyozitafuta. Huwezi kuamini wapo wazungu wanauza mboga,mboga na matunda. Hakuna hela unaipata bure tuu 😰
😅😅😅😅
Heko kwa Frerdrick........🔥🔥🔥🔥
Sasa shida yote ya nini hiyo jmn kujitesa hivyo pesa zako mwenyewe lkn zinakutesa
Sky ni ana brain kubwa 🌙🙌🏾
Je?kunaviumbegani vinapatikana katika milimahio yote?
Mnaendaga kutafuta nn huko ushenzini??.. hebu kufeni tu mana mnakitafuta kifo kwa nguvu
Ni hatar kweli hata siwez kabis
Sehemu yenyew hatr ina raha gan yakwend huko acha nibak na Kilimanjro yangu
Mara yangu ya kwanza kupanda mlima Kilimanjaro ilikuwa 2015, nilihisi hali zote mbaya, nilitapika sana nilipofika STELLA POINT, nilihis malaria kali mno, Lakin hatimae niliSummit UHURU Nikapiga picha. mwenzangu alirukwa na akili inaitwa Mountain HALLUCINATIONS. akashushwa alipokaribia KIBO HUT akakaa sawa, sasa kama Kilimanjaro mita 5895 ipo vile je ni vipi uko 8000+
Ni hatari kweli M-8000+ unakuwa umeingia Death Zone, na hapa ni kimbembe kwa mwili wako kumudu na kuhimili kashikashi ya point hii. Kama unavyosema Hallucination huongezeka pamoja na Ubongo na mapafu kukosa oksijeni ya kutosha. Hatareee..pamoja na yote wapandaji humiminika kama mvua kupanda mlima huu.. kwao jambo hili linaweza husisha Adventure, kuacha Legacy, Breaking records n.k.. Hongera na Big up to you kwa kupanda mlima kilimanajro.💪
Mita 5895 sawa na Km ngap?
@@ferouzmasoud31045.8km
@@ferouzmasoud3104 5.89 Km
@@ferouzmasoud3104 5 kilometer na meter 800
Dah inavutia sana mi ningepanda kufa hapo ni jambo la kuvutia zaid nakufa nikiwa katika mazingira ya asili kbsa
Nilipitiwa Na hii
Sky eee fanya basi uweke hizi makala hata mara2 kea wiki
But Mt kilimanjaro is my favourite 😍
Da hatari sana
Binafsi siwezi nikarisk maisha yangu kwenda huko!!Sema tu I can't judge wanaoenda huko maana kila mmoja na adventures zake!!
Green boots ndo mwili maarufu zaidi ulio kwenye mlima Everest!!
Atuelezee kuuhusu huu mwili wa green boots mzze sky fanya hiyo plz hakuna documentary yako ambayo sijaisikiliza mzee fanya na hii ya green boots
@@gaitanokamage7366 Kwakweli atuelezee! Napenda sana usimuliaji wa Sky!Ingawa pia kuna documentaries kibao za huyu mtu (green boots)zinaelezewa kwa lugha ya kiingereza!!Na huo mwili upo huko kwa zaidi ya miaka 27.Inasikitisha na kutisha kwa wakati mmoja.
"Bila kuonja makali na utamu wa kilele chake" 😁😁😁
🔥
💯
Mt kilimanjaro plz
Hata knjaro Kuna watu huwa wanakufa
Mlima udzungwa wenyew ulinishinda sembuse niende nkapande huo everest
🙌
Kaka naomba usake historia ya mlima kailash maana unamambo mengi kuliko milima mingine
vipi kuhusu kilimanjalo
Tupe story ya dan alves kafanyaje
Cha kushangaza jitu linajipeleka lenyewe likashuhudie yaliyosimuliwa ni kweli???
Mlima Everest sio mlima hatari Zaid duniani. Umekosea hapo. Mlima hatari Zaid duniani I think I s K2 ulioko Pakistan
Huu mlima noma I say na lazima uwe na oxygen kwenye mdomo ama wakutumbukia nyongo
Na kukubari sana unajua sana kutangaza
Duuh
Duuuh
KAMA KAWAIDA YAKO,,IZI UNASIMAMAGA MWENYEWE.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿.👍
Weeee ugali na mandondo mtam sana 😅😅 sitaki kufa hovyo mimi
SEMA huna Hela ndo maana tafuta Hela uende kutembea na kuona Dunia ilivyo 😂😂😂
@@rehemaomary3493 hahaha kwetu yenyewe Tz sijatembea yote bora uhai
Yoh is too dangerous 🇿🇦
Sithubutu
SEMA huna Hela
Bado wazungu wanapanda
Hichi kipindi sky tunakuomba umme mtiga abdalah na so kwamba unatangaza vibaya hapana uko vizuri kabisa
Naunga mkono hoja, ikimpendeza ampe dogo shavu mana sio mbaya
Mtiga anazingua binafsi simsikilizagia kwa sasa nimehamia kwa sky
@@gaitanokamage7366 anazingua na nini
Kwan yupo Sns Mtiga
😊
🎉🎉🎉