HUYU MAZINGE ANGEKUWA MKRISTO ANGEKUWA MAREKANI ANAKULA NGURUWE,SISI NDIO TUNAUJUA UKAFIRI. MWAIPOPO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ม.ค. 2022

ความคิดเห็น • 106

  • @issmuking3987
    @issmuking3987 2 ปีที่แล้ว +2

    wallahi sheikh wangu mwaipopo unazungumza maneno mazito sanaa wallah yananitoa machozi na wallahi ikiwa wasiokua waislamu wakikuskiliza vzr wataijua njia ya haki kwamba ni uislamu Allah azidi kutuongoa sisi pmj na masheikh wetu pmj na ndg zetu ameen

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 2 ปีที่แล้ว +10

    Masha"Allah masheik wangu Allah awalinde na kila balaa Insha'Allah.

  • @HassanAli-lt4xm
    @HassanAli-lt4xm 2 ปีที่แล้ว +4

    Sheikh mwaipopo Masha Allah mungu akupe afya njema

  • @nooroman2535
    @nooroman2535 2 ปีที่แล้ว +3

    MashaAllah Mashelhk wetu kazi nzuri

  • @makenakendi9014
    @makenakendi9014 2 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah ALLAH BARIIK always my brothers

  • @engzuberir.akilenza1764
    @engzuberir.akilenza1764 2 ปีที่แล้ว +1

    Shehe Mwaipopo Allah aendelee kukuongoza katika njia iliyonyooka uendelee kuuendeleza uislam inshaallah.

  • @amurisabiti7037
    @amurisabiti7037 2 ปีที่แล้ว +1

    Allah ata walipa ma sheihk wetu kwa shida mnazo zi pitia ya kuwekwa jela kwa dhulma

  • @abdoulkarenzo3138
    @abdoulkarenzo3138 2 ปีที่แล้ว +1

    Shukran sheikh wetu

  • @maimunafzaka880
    @maimunafzaka880 2 ปีที่แล้ว +1

    Allah awape afya na subra ya hali ya juu

  • @abdallahonesimebamporubusa1540
    @abdallahonesimebamporubusa1540 2 ปีที่แล้ว +4

    Mashallah Allah atujalie Amiiin

  • @masala8099
    @masala8099 2 ปีที่แล้ว +3

    kwanza sifa ya makafiri Hawana akili

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 2 ปีที่แล้ว +1

      @@rashidseif6095 wazazi wa mtume wako wamekufa wakiwa makafiri

  • @jimjam4148
    @jimjam4148 2 ปีที่แล้ว

    MASHA ALLAH. ALLAH awape ijazz. amin amin YARABI amin.

  • @meekman1805
    @meekman1805 2 ปีที่แล้ว +3

    Maashallah!

  • @nitoachimolandepoeta4356
    @nitoachimolandepoeta4356 2 ปีที่แล้ว +1

    Gostei muito deste vídeo pra não esquecer religiões verdadeiro de Deus

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 2 ปีที่แล้ว +2

    Mashaa Allah

  • @allymbaruku6930
    @allymbaruku6930 2 ปีที่แล้ว +1

    Ma sha Allah

  • @ukweliwauislamu9590
    @ukweliwauislamu9590 2 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah

  • @hadijakiluwa7259
    @hadijakiluwa7259 2 ปีที่แล้ว

    Maa Shaa Allah

  • @barazaadonias8110
    @barazaadonias8110 2 ปีที่แล้ว

    Mashaallah

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 2 ปีที่แล้ว +1

    Ameen 🤲🏽

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita476 2 ปีที่แล้ว

    Mashallah

  • @abdalaauame3863
    @abdalaauame3863 2 ปีที่แล้ว

    Mashalla allbdulilai ustaz maipopo wafundishe

  • @maimunafzaka880
    @maimunafzaka880 2 ปีที่แล้ว

    MashaAllah

  • @MuslimChannelTZ
    @MuslimChannelTZ 2 ปีที่แล้ว

    Allah akujaalie shkh mwaipopo

  • @abdulswahibu7240
    @abdulswahibu7240 2 ปีที่แล้ว

    Allah akbar

  • @MahMoud-nl9rm
    @MahMoud-nl9rm 2 ปีที่แล้ว

    Allah Akbar

  • @masala8099
    @masala8099 2 ปีที่แล้ว +1

    Waislam tumshukuru mungu kwakutupa dini ya uislam Hawa makafiri Wala hawatupi tabu makazi Yao motoni tu

    • @jmagi2491
      @jmagi2491 2 ปีที่แล้ว +1

      As a kafir am beta behavior-wise than the evil Mohamed.

  • @nassirmgunda8552
    @nassirmgunda8552 2 ปีที่แล้ว

    Swadaqta

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 2 ปีที่แล้ว

    Mhhh! Bingwa wa kuomba dua tena dahh

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 2 ปีที่แล้ว +2

    Chuki c nzur

  • @abdulazizkadika6244
    @abdulazizkadika6244 2 ปีที่แล้ว +2

    omba omba matapeli wanao jinasibisha na uislamu.

    • @hazratseleharuna.6141
      @hazratseleharuna.6141 2 ปีที่แล้ว

      Muogope mola wako ndugu yangu rejea Qur'an 49:12.

    • @jeanmjimmy
      @jeanmjimmy 2 ปีที่แล้ว

      @@hazratseleharuna.6141 Mola ndiye nani? Ile sanamu ya waarabu ilioko kule Macca?

    • @jmagi2491
      @jmagi2491 2 ปีที่แล้ว +1

      @@jeanmjimmy ndio maana wao huface mecca n wanabusu black stone

    • @jeanmjimmy
      @jeanmjimmy 2 ปีที่แล้ว

      @@jmagi2491
      Hiyo ndiyo kweli.

  • @eunicebukokhe6805
    @eunicebukokhe6805 2 ปีที่แล้ว +1

    Sheria ya jumapili itakutia adabu

  • @dawahisourduty1311
    @dawahisourduty1311 2 ปีที่แล้ว +2

    Utapeli wa Pastor ndacha
    th-cam.com/video/ykCCLJHlNIE/w-d-xo.html

  • @nordenconrad
    @nordenconrad 2 ปีที่แล้ว

    Makafiri utadhani wako pamoja lakini nyoyo zao ziko mbali mbali

    • @jmagi2491
      @jmagi2491 2 ปีที่แล้ว

      Mohamed ndiye kafiri mkubwa

  • @suleimanbakar3429
    @suleimanbakar3429 2 ปีที่แล้ว

    usikufuru huna miujiza una fahamu tu ya kufanya mazingaombwe

    • @jmagi2491
      @jmagi2491 2 ปีที่แล้ว +1

      Yes alitenda miujiza. Allah can't even do any miracle even kuokoa Mohamed asife Kwa sumu

  • @kabarezephanie3573
    @kabarezephanie3573 2 ปีที่แล้ว +2

    acha kutukana dini ya wengine ,acha mtu acaguwe binafsi

  • @kabarezephanie3573
    @kabarezephanie3573 2 ปีที่แล้ว +2

    Mwamini Yesucristo hata mkifa utafufuliwa

  • @stephenmbasha4389
    @stephenmbasha4389 2 ปีที่แล้ว +2

    Hamna kitu hapo wacha watu waamue wanamtaka Mungu yupi wamfuate kama ni muhamad Sawa kama ni Kristo Sawa maamuzi yabaki kwa muumini

    • @hazratseleharuna.6141
      @hazratseleharuna.6141 2 ปีที่แล้ว

      Hujielewi ndugu yangu😁😁😁

    • @jeanmuzaliwa3171
      @jeanmuzaliwa3171 2 ปีที่แล้ว +2

      uko saiyi kbs

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 2 ปีที่แล้ว

      @@hazratseleharuna.6141 Kivipi?

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 ปีที่แล้ว +1

      @@josephwilliam5813 Mohammed c mungu wala yesu c mungu hao ni mitume wa mungu

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 2 ปีที่แล้ว +1

      @@heyumi2340 sisi tunamuamini YESU nyie Kama mmchagua kumuamini Isa na Muhammad ni uhuru wenu,,,tatizo la masheikh wengi wanafanya Imani Kama mashindano kwamba mpaka umponde myahudi au mkristo ndio ue umehubiri ni mtihani mkubwa sana

  • @jeanmjimmy
    @jeanmjimmy 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwaipopo: Hivi ni lini utaenda kumpiga shetani mawe? Lini utaenda kubusu jiwe jeusi la Alkaaba? Ni lini utaenda kukutana na mungu wako Allah huko Arabia? Lini utaenda kusujudia Allah (mungu ambaye ni sanamu ya Waarabu)?

    • @yussuphsultan1400
      @yussuphsultan1400 2 ปีที่แล้ว +1

      Allah sw akimjaalia uwezo. Lete aya Allah sw ni sanamu ya waarabu!!

    • @jeanmjimmy
      @jeanmjimmy 2 ปีที่แล้ว +2

      @@yussuphsultan1400
      Aya inaonekana wazi kwa macho, huko Saudi na ktk miji mikuu ya Uislamu. Niambiye ni nani aliyekuwa mungu wa Alkaaba na ambaye amerithiwa na Muhammad na anayeabudiwa na waislamu leo? Idolatry + idolatry = abomination.

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 2 ปีที่แล้ว +1

      @@rashidseif6095 biblia inatiambia hakuna atakae enda mbinguni bila kumkiri YESU KRISTO sisi tunataka kwenda mbinguni kwa baba ayo ya haki na Allah Kaa nayo

    • @yussuphsultan1400
      @yussuphsultan1400 2 ปีที่แล้ว

      @@jeanmjimmy wewe kasome Acha kuongea vitu vya kumezeshwa. Kutumia kiingereza sio kwamba wewe ni mjuzi sana. There's isn't worshipping idols in Islam. And if you believe so, what are those Mariam and Jesus pictures drawn in the church for!? What about the idol of Jesus that the Catholics pass from house to house? And so many more. I close my discussion with you here. You have no knowledge of your own religion, and you pretend to know Islam!!!!!

    • @yussuphsultan1400
      @yussuphsultan1400 2 ปีที่แล้ว

      @@josephwilliam5813 waislam wanajua yesu kuliko wewe na walishamkiri, akija utaelewa!mechi ni dk tisini hii haina extra time.

  • @eunicebukokhe6805
    @eunicebukokhe6805 2 ปีที่แล้ว +1

    Wewe Mwaipopo kesho hii utajuta Mungu wa Israel ni Mungu , Kumbuka Nebkadraza alikula nyasi kama mnyama.wacha kujipiga kifua mdomo wako utakoma

    • @mohamedimohamedi8933
      @mohamedimohamedi8933 2 ปีที่แล้ว

      Mungu wa israel ni nani yesu?

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 2 ปีที่แล้ว

      @@mohamedimohamedi8933 MUNGU.

    • @mohamedimohamedi8933
      @mohamedimohamedi8933 2 ปีที่แล้ว

      @@josephwilliam5813 si yesu according to Christians

    • @maimunafzaka880
      @maimunafzaka880 2 ปีที่แล้ว

      Mungu wa waisraeli anakuhusu na nini? Waachie wana wa iziraeli mungu wao

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 2 ปีที่แล้ว

      @@maimunafzaka880 wewe mungu wa makka anakuhusa Nini?

  • @ericstephenm.844
    @ericstephenm.844 2 ปีที่แล้ว

    Ukiachana na hayo yote, ndugu zetu mjifunze basi kuwahudumia masheikh wenu. Sheikh kama Mazinge alyeyatoa maisha yake yote kwa ajili ya Dini alitakiwa wakati huu awe anaendesha Range na mjengo wake mkubwa wa ghorofa. Tuachane na habari za malipo peponi, Allah hapendi watu waishi kifukarafukara. Watu waishi kitajiri duniani na Pepo waipate. Angalau kwa hili basi jifunzeni kwa makafir. Mapadri, maaskofu, wachungaji na viongozi wengine wa upande huu si wachovuwachu sana kiuchumi. Wekeni mifumo ya kuwadumia vizuri viongozi wenu jamani. Kama makafir wanajua kutoa kwa ajili ya watumishi wao mnashindwaje nyinyi wenye Dini ya kweli?

  • @nooroman2535
    @nooroman2535 2 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah Mashelhk wetu kazi nzuri

  • @aminaaboud5461
    @aminaaboud5461 2 ปีที่แล้ว

    Mashaallah

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 2 ปีที่แล้ว

    DULLA SELI ....MUDI GUY.....SHEBBY DU....hahaaa. kina TUPAKI hao..!