Uyu mtangazaji namuelewa sana mpaka niliamua kumuita mwanangu jina kama la kwake Greyso Gaudin na Greyson Gidion kaka natamani mwanangu aje kuwa kama wewe
Asante kwa maoni yako na kutufuatilia.Session hiyo sio ya mgeni,huwa ni mazungumzo, ndio maana ina jina la mtangazaji (GEE) ,naye ni sehemu ya mjadala .
Mwl huyu ni wa manufaa mno kwa vijana wa tanzania. Mungu ampe fadhila zake
Kazi nzuri itabidi uandaliwe mtaala wa malezi kuendena na technology maana tunaiharibu nature pasipokujua asee
Mnafanya Kazi nzuri sana kwa kizazi hiki... nashauri kipindi kiongezewe mda.
shukrani sana. share link na wengine pia wayapate.
Somo zuri
Keep up the good work
Uyu mtangazaji namuelewa sana mpaka niliamua kumuita mwanangu jina kama la kwake Greyso Gaudin na Greyson Gidion kaka natamani mwanangu aje kuwa kama wewe
Wow.Asante sana.Naomba ututumie meseji whats app kwa namba hii 0712760276
Nasema tena jama ni JORDAN PETERSON wa Tanzania big up sana
Big up sana
Nakubali kaka fazza yuko sawa sana hata ww pia najifunza kwa kwel
Mtangazaji unaakili kubwa amemstili mwalimu hapo maarifa makubwa Sana mtangazaji unayo
Safi kaka
Maisha bila maarifa ni ayapo , mungu atubarik san mwalimu uendelee kutupa maarfa coz wewe umejuwa juwa unaitaj nn na kwann.tuweke tuwe weng
Show namba 1
Teacher na trust sana ❤❤
gidson wewe sio wa kuwa bongo nakuona mbali mnooo
Asante
Lijamaa Grayson Lina upeo wa akili mkubwa mno
Good work bro
nlikuwa naisubiri sana maana jana nliikosa
Huu ni msaada kwa mtu atavyo amua lakin kuna mfumo na usimamiz kutoka kwa dola
Mtangazaji uko vzr lkn unaongea sana mzee
Mrisho mpoto anatembea peku anajua hii siri
anachukua nishati chanya za ulimwengu
Kipindi hiki ni tiba kwa vijana. Wataalam kama mwl.Maduhu wapewa nafasi kuokoa vijana wa nchi hii.
Mtangazaji unaongea sana kuliko mgen
Asante kwa maoni yako na kutufuatilia.Session hiyo sio ya mgeni,huwa ni mazungumzo, ndio maana ina jina la mtangazaji (GEE) ,naye ni sehemu ya mjadala .