Hat Mimi najilaumu Sana hasa Kwa uzinzi nilioufanyaga kipindi Cha nyuma Hadi nikaumwa nilikuja kuokoka Baada ya maombi kuniponya na uzinzi nikaacha kabisa
aiseee nyie watu! hakika Mungu atowaacha kama mlivyo kuna namna kubwa sana najifunza, natoa tamka sasa nathoofisha silaha zote za giza zilizo kusudiwa dhidi yangu na familia yangu kwa Jina la Yesu Kristo. AMEN
Hapo sasa kwenye tamko ndo nimekupata kabisa, kazini kwangu niliinukiwa kinyume na uongozi wote hafi wakatamka mimi kesho yake nitapewa barua ya kuachishwa kazi kisa tu nimeomba badiliko la muda wa kazi na likizo ambayo mimi peke yangu ndo sijaenda likizo, badala ya kunisaidia wakainuka kinyume nami na mimi nilikuwa tayari nimeshaanza kuushibisha moyo wangu maarifa nikaenda nyumbani nikakemea nguvu za giza zilizo nyuma ya hilo tatizo kisha nikatamka kinyume na maneno yao nikajitabiria vyema matokeo yake wote wako kimya na hakuna anayenichukia na naendelea kupambana ulimwengu wa roho ila katika mwili sipambani
Yaani sasa nimeamini kila kitu kina jidhihirisha na kuwa halisi. Kila wakati nikipita mtandaoni namuona huyu mtumishi ila nikawa nampotezea. Yaani naweza pita you tube inakuja chanbel ya huyu mtumishi. Leo nikasema hebu nimsikilize😭😭😭😭😭aiseee nimeshapona. Yaani nimepona hata sijaonana naye. Namtukuza MUNGU 🙏🙏🙏🙏. Kanis lake lipo wapi ndg zangu
Ndio mana kunausafili unamsumbua tangea mwezi wa kumi mwaka jana haufai kumbe umefunga minyololo ahsant sana mana umenifumbua macho sasa number zangu 0676656503
Unaweza sikia raha ya kumjua Mungu mpaka unasema nilichelewa wap......
Kweli dada mimi huwa najilaumu hasa kwann sikumjua Kristo mapema 😁
Hat Mimi najilaumu Sana hasa Kwa uzinzi nilioufanyaga kipindi Cha nyuma Hadi nikaumwa nilikuja kuokoka Baada ya maombi kuniponya na uzinzi nikaacha kabisa
Sana Yani mbaka najisikia huru sana
MUNGU akubariki sana Mtumishi wa Mungu. Nimejifunza kitu.
Jambo wa tumishi wa Mungu .Mungu aongeze mahali ambapo pamepunguka
aiseee nyie watu! hakika Mungu atowaacha kama mlivyo kuna namna kubwa sana najifunza, natoa tamka sasa nathoofisha silaha zote za giza zilizo kusudiwa dhidi yangu na familia yangu kwa Jina la Yesu Kristo. AMEN
One of the best pastor ever nimechelewa kumfahamu but it's never too late
Aujafa bado so atujachelewa
AMEN 🙌
Somo linazidi kuwa tamu, wapendwa kama vp ongezeni muda
God bless you man of God 🙏🙏
Nashukuru neno lako mi shuhuda pia limenigusa
Mungu akubarikie ukaishi miaka mingi mtumishi wake.
UBARIKIWE BABA HAYA MAARIFA NI MAKUBWA
Grace to grace
Mungu akubariki sana
Sijui kwann miaka yote hii sikukusikiliza. Nisingekua hivi nlivyo leo. Ila leooo sitakubali tena shetani anitese
Hapo sasa kwenye tamko ndo nimekupata kabisa, kazini kwangu niliinukiwa kinyume na uongozi wote hafi wakatamka mimi kesho yake nitapewa barua ya kuachishwa kazi kisa tu nimeomba badiliko la muda wa kazi na likizo ambayo mimi peke yangu ndo sijaenda likizo, badala ya kunisaidia wakainuka kinyume nami na mimi nilikuwa tayari nimeshaanza kuushibisha moyo wangu maarifa nikaenda nyumbani nikakemea nguvu za giza zilizo nyuma ya hilo tatizo kisha nikatamka kinyume na maneno yao nikajitabiria vyema matokeo yake wote wako kimya na hakuna anayenichukia na naendelea kupambana ulimwengu wa roho ila katika mwili sipambani
Tena ilikuwa ni juzi ya tarehe 21/05/2019
Yesu atukuzwe
Dozi kamili
Asante sana tusaidie kabisa
Mtumishi leo umeongea Neno kubwa sana... ubarikiwe sana 🙏🙏🙏 bado nakufuatilia hadi mwisho wa series
Hakika somo limenibariki sana
Aise nilikuwa sijui haya Asante Sana kwa kunifungua Mtumishi wa Mungu.
Nashukuru kwa mafunzo ya kutamka
Nimejifunza sana kutoka kwa hii somo.
kweli na hakika YESU ni mzuri
Ameen
Amen tunajifunza vzr.
Nimebarikiwa na nimejifunza kitu kikubwa ubarikiwe mtumishi
This is deep
I needed this thank you
Mungu awabariki nabarikiwa sana
Mungu awabariki sana watumishi
Amen
Deep Sana
Yes yes,fact
Wengi hawajui hili
Nimebarikiwa Sana na somo.
Yesu nimwema mno
Alléluia
NIMEINGI KITU HAPA , AMINA AMEN
Yaani sasa nimeamini kila kitu kina jidhihirisha na kuwa halisi. Kila wakati nikipita mtandaoni namuona huyu mtumishi ila nikawa nampotezea. Yaani naweza pita you tube inakuja chanbel ya huyu mtumishi. Leo nikasema hebu nimsikilize😭😭😭😭😭aiseee nimeshapona. Yaani nimepona hata sijaonana naye. Namtukuza MUNGU 🙏🙏🙏🙏. Kanis lake lipo wapi ndg zangu
Kanisa lipo Dar es Salaam, Sinza Mori karibu kabisa na ofisi za TAMWA.
Karibu sana.
Shukrani Sana nitafika🙏🙏🙏
🙏🙏2022
Ndoda
Nimekuelewa baba ,ndio nakusikia sikukujuaga
Ndoto ya kuendesha gari .anamanisha nn
gari ni huduma
tunaomba haya mahubiri yalio katika mfuatano(series) muhaweke pamoja ili iwe rahisi kuyatafuta/kuyafikia
Limeshashughulikiwa
Ndio mana kunausafili unamsumbua tangea mwezi wa kumi mwaka jana haufai kumbe umefunga minyololo ahsant sana mana umenifumbua macho sasa number zangu 0676656503
Mungu akubariki sana Mtumishi
Nimejifunza mengi.Mungu akupe maisha marefu na azidi kukuongezea
Asante sana tusaidie kabisa
MUNGU akubariki sana Mtumishi wa Mungu. Nimejifunza kitu.