EXCLUSIVE: CHIDI BENZI AJIPANGA KUANDAA TAMASHA LAKE KAMA WASAFI FESTIVAL
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- Kupitia #KijiweUkwaju
tunakusogezea bonge moja la interview na Msanii Wa HipHop Legend CHIDI BENZ Msikilize Hapaaa Alivyofunguka....
HOST
@fesaltz
@sumaphd
CAMERA MAN
@mboggo.jr
Kitu nilichogundua akili ya huyu jamaa ni kubwa mno...Kama unakubaliana na Mimi gonga like hapa
Akili kubwa mno bang na unga tu ndo tatzo Yani anakichwa chenye madini
Wewe hamna kitu hapo mla unga yoyote anakipaji cha kuongea kama huamini mzamini
Anaakili kubwa sana mjinga awezi kuelewa
huyu jamaa ni kichwa kinoma yan ana akili mno nimependa sana idea yake ni nzur sana sana sana kama atasikilizwa kitafanyika kitu kikubwa na chenye mchango mkubwa ktk tanzania yetu
Hichi kichwa
Aaah anatumia Akili nyingi sana
Mungu ampe uhai mkumbwa 👏👏👏
Jaman huyu ni kichwa sana nawalaum sana waliomshawish ale sembe
Fact smart...kwa kichwa....
@@mvungigaming jamaangu umeona madawa ya kulevya yalivyohalibu kizaz hik?
Chidi nataka nikupe wosia kidogo.walahi usipojirekebisha,utapotea.na watu wata kuja kusahu mpaka muziki zako.lakini ukijiamini nakuambia utarudi kwenye game fresh
Anakula kitu gani mdomoni? Huyu jamaa anatia huruma sana bado nafasi anayo naombeni serikali na wadau tumsaidie CHID BENZ tusije kuchanga mamilioni baadae huku saizi nafasi tunayo yakumsaidia
Bangi Na Madawa Ya Kulevya Haijawahi Mwacha Mtu Salama
Awa watangazaji awajawahi kubadilisha izo nguo zao kama umekubaliana na mimi gonga like apo.
Kweri
😂😂😂
Umeacha vitu ving vyakujifunza .. unatafakari nguo... Fungua akili jamaa
Kweli
Hicho ndio umeona tu..?Kweli Nyumbu kuisha sio leo
Kam umegundua chidy anakula ugolo weka like yako hapo
Nimegundua lkn ni kuberi na amevuta unga wa sembe
Hahahahaha
Aaaaaaaaaa kaz
culture boy tz stop that
Aswaaaa
Halimuona chid na ugolo like hapa
Huyu jamaa muoneni chiz ila mutakuja mkumbuka siku akiwa hayupo... Samahan lakin hatuombeani mabaya ... MUNGU niwetu sote
I dreamt yesterday that this man had come to Kenya. His ideas and passion shld be taken seriously. He is a flag bearer in TZ music genre. This man goes beyond songs. He shld have a post in a national culture board as a consultant. He shld be in the film industry and many other more things.The "tunawasanua" that comes in b/w the interview sounds like a noisy interruption. Professionalise it with some decency and order
mim nasoma koment t kama na wew unasoma gonga like hapa
Hilo neno tunawasanua linakela muwe mnalitoa kipindi cha interview
True
Gabriel_tv Online yaani wangejua linavyokera watu wangelitoa
Waache watusanue
kama konki
Ina bore hiyo break mloweka...halafu mmeshindwa kujua mnafanya interview na mtu mwe sauti ya uwezo gn..its real bored
Huyu chid akili zinamzd uwezo ndiomana anadat😂😂😂😂
dah.....hapa kwa chidi m nimejifunza sana ........kweli kwenye maisha hkuna m2 anjuwa kesho yake.....roho inaniuma sana nikimkumbuka chidi wa Mwasiti....pole sana broo
Chid ana akili saana mnamchukulia poa poa kwa sababu ya matendo kadhaa tuu
OfficialBasaga
OfficialBasaga
@@ramjanjoojoo827 naaaam
King kiba hebu mrudishe huyu broo kwenye gemu
Mchane utakua umemsaidia,chid anahitaji msaada bro mate yamemjaa mdomoni bado kuanza kudondoka chini,sikia matamshi yake kama kajaza mate mdomoni ana ya cotrol
Oy gonga like apa kama umekubal kuna watu wanaloga mpaka vyuma
Nimecheka sana baada ya kusoma kichwa cha Habari 😂😂😂😂😂😂
gonga like hapa kama umeona ugoro kwenye domo la chidi
Unga na point alizo nazo nivitu tofauti kabisa wenye uelewa wameelewa ameongea juu kwa upeo mkubwa sanaa sijui wahi kuskia akiongea km hv ila wabongo tumechukulia niteja tu angalieni point alizo ongea kielimu zaidi mfano aliyo piga yeye kuhusu yeye kuingia kwenye cm bonge la example walio soma Logic watakua wame muelewa
chidi shikamoo bro kwa hii interview inatufundisha vingi sema wanaokuhoji ndo wafinyu wakupanua maswali chidi ukija faulu kuutupa uchidi ulionao saivi ukavaa uchidi mpya akuna atakae Cheka na wewe
Mnawasanua kina nan, mnaboa na hilo neno katkat ya interview
😂😂😂
Julius Onesmo Mfumya uwiiiiii hilo neno linakera
Julius Onesmo Mfumya 😁😀wanakusanua wewe
Kweli yuko nayo mdomon
Hahahaaaa
Chid ukimsikiliza ni bonge la genues but lazima mkiianzisha mbele ya safari lazima arushe ngumi😂😂 sisi tunamjua chid kitambo
Upuzi mwingi2 na hilo neno lenu katikati ya interview tunawasanua nn upuzi2 inaboo sana na hilo neno lenu chukuweni time yenu ...
Mnasanua mikundu yenu mnakela bana
Hahaha 😂😂😂 interview imeboa coz ya hiyo tunawasanua yao
Ase madawa siyo dili chid benz acha kula ugoro kama bado unampenda chid gonga like
Chidi Wacha unga wewe
Chidi benz unahakili kubwa nene yenye uwezo bt maisha2 and soon kama utakaa kiume ile ngangali utatoboa man
Sio ugoro meno ya Gold ayoo
Sana
Noma mzee achakula Ile k2 Fanya kazi mzeee
Nakukubali sana *ChidBenz* ila sipendi hayo maugoro yako na acha madawa tunakupenda SANA, cha mwisho ni neno *TUNAWASANUA* linakera sana.
Ni meno ya bandia
Sure inakera
Nenda mbele huko!unaniuzi hubadiliki na ndio maana watu wanakususa emu acha ivyo vitu vibovu unavyo tumia emu angalia mdomoni sijui ameweka nini jamani alafu unalia watu wamekususa badilka kwanza chid benz
Fety mwambie tuko nnje ya kwetu Africa na tunamfatilia lakini hapendeki..unga noma
Kaeka Ugoro huo Mdomoni
@@wolfhelmgothom6641 😆😆😆kah huyo mtu anaelekea pabaya jamani
Fety Mwamba dudu baya alisema afe tu waende kuzika kwa sababu yeye amekataa matibabu eti yeye sio mgonjwa
#Huyu anatakiwa apewe counseling kwa umakini Sana why yeye yuko hivo na nn afanye
Hivi hii tv online imesajiliwa?hawa watangazaji mimi siwaelewi?
tunawasanua ndo ujinga gani huo , ujinga huo unapoteza radha ya mahojiano, na itawakosesha followers wengi
Ebana katika skuzote leo chidi kaongea gud gud sanaaa bc tu broo uyu yan daah tumpe pongez tu ila ashauliwe mengine tusonge km mwazo ukweli anaweza......na tunampenda mpenda bado na bifu sio mpango watanzia tushkamane banaaaaaaaaa tuachane na kiki za online.
Hizo kelele zenu za "tunakisanua" zinafanya mtu asijisikie ku-subscribe nakutorudia kucheki interview zenu zinakelaaa.
Wajinga sana Wana boa sna wasenge hawa
Hizi advertisement katikati ya mahojioni yanaboa
Waache ushenzi jamaaa ntakuw siwaangalii
KING WA FREESTYLE CHID CHUMA
Tungekuwa na wasanii wenye akili kama Chidi Benz hapa kwetu Nairobi, Kenya ingekuwa mbali sana.
well said Chidi hope your dreams will soon be a reality. #yes_you_can #inawezekana all the best
Watangazaji hamna kitu hawa na io tunawasanua inakera kichizi
Chid kichwa sanaaa saluteee
Watangazaji Leo mbona hamchekicheki😂😂😂 naona Leo mnaadabu,fanyeni Fujo muone
😂😂😂
Nasr Talki 😀😁😀halafu wajaribu kukatisha wakati anaongea watajuta
Kumaamazenu mnafirwa io tunawasanua zogoo kumamazenuuu
Wallah wanakera
Sio vizuri kutukana ukiona haikupendezi kutazama unaachana nayo tu
Sawa hakupigi mtu
chid hataari unafaakuwa mtangazaji wanaokuhoji wote unawathibiti
Ni multi talented....
Chid tunakupenda ila starehe ulizonazo ni nyingi mno madawa,ugoro,sigara na kama unatumia vitu hivi lazima utatumia gomba na bangi hautafika popote kwa starehe hizo acha mzee baba watanzania bado wanakupenda ila umarekani mwingi ndio maana uko hapo na hali yako NAKUMBUKA CHIDSHOW ULIVYOKUWA NA SASA MADAWA SI MAZURI MUNGU MBARIKI CHID
CHID GENIUS
Munaboa Bhana.. Ideas zenyewe za Kuiba..
Tunawasanua, Tunawasanua
Hatutakiiii..
Munaboa..
But nakupendaga sana broo kwel wa2 wana pga pesa za wasanii sio uongo
Kaka chid mm binafsi mdogo wako nimekuelewa vizur uko sawa pamoja sana!
you guys Tz...this man has a gorgeous idea and creativity ever.! !!!!.we can use this idea which might increase our GDP that will improve our economy..we need to think beyond on how to increase our national income not only in collecting taxes or improving tourism industry whilst there are other methods that will bring more money in Tz ...like music industry which has many fans,it will pave a way that our artist will increase their income and promote our country or opening new doors for the external investors incase of good supervision. And this will make the Tz artists to enjoy their works ...and prevent them to live unrealistic lives meaning the artists by big names but beggars in reality or drug sniffers...Chidbenz have spoken a right thing that should be remarkable... an artist is also having a normal life like anybody ..anyway we are ought to Support music for development and not for somebody benefits..sanaa isiwe ya kutengeneza majina yenye maskini wakubwa..HAPANA!!!@Big up to CHIDBENZ I appreciate this man...tusiponde tu ...hakuna aliyekamilika guy's.
True my name
Apo.ulipo.domo.chid.bez.linanuka.kwa.kuvuta.unga.naiyo.sigara.atari.kama.dampo.unavyonuka
gari limewakaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mumuonyeshe comment kila fans wake anamlilia abadilike aache sembe na Hizo maugoro Maskini Chidi benz
punguzeni hiyo tunawasanua wazee...
wanao muitachidi mgojwa mamake zake muheshimu chidi mungu ndio ataamua juu ya chidi mamake sitaki kusikia mtu anatukana chidi muacheni kama alivyo mfalme wa daresalam
Hii tunawasanua ni jina la kijinga na ufala. Grow up. Na pia lipo out of tone ni kama mlifanyia voice over kwa simu. Aibu sana kumuona chidi kwa show ya kisenge
Tupo Pamoja Chidy. We anzish a Alafu Waone Maajabu. 😎Chidy we ninoma we nihatari Alafu Upo Tofauti Kabisa
Kama Umeona ChiDi kasahau Huu Mwaka gani ,,twende sawa
Hilo neno tunawasanua,lina haribu Ladha ya interview
Kabisa Lina Kela xna
Chidy BENZI NAKUBALI BROTHER wachache Watakuelewa Vichwa panzi wata diss Uko Deeep Kupita Kiasi
unapo mskilizaa chid unanatakia ufikilie mbaali sana ana maneno yenye kujenga sana chid uko sahihii sana chid hakuna kakata tamaa
chidi una ananichanganya kwenye tu VINAAA..... kipaji na jaribu kama wewe ilaaaa SINA....nabaki nakuita KIng KONG Itaaa....piga Vocal piga free style hadi saa SITA... HII NI bongo..... MZIKI Game... VITA. ....Wasani wote kwenye game ni shawaitaaaa
Hahaha doo jamaa yuaongea kwali yani hataki hata swali. Yaani Amepanga tayari show yote kabisaaaa hahaha noma sama.
chidibenz wewe ni genius kaka nakukubali Sana kichwa ipo wanakusema bure lafamilia wanao kusoma niwasenge
Chidy me mshabik yako lakin duuh,haya bhana hakuna namna🤔
Mnaboa coz
Poor welcoming code
Poor questions
Poor flow of ideas
Alafu hamjui mumuige nani kama code yenu
Hicho anacho kiongea chidi Benz nina Uwakika Asilimia 100/: kunasiku nchi jirani watakuja kukifanya ikiwa Wasanii wa Bongo watakidharau, kwasababu mawazo hutembea usipo yafanyia Kazi yataenda kwa mtu mwingine.
Akilinyingi adi zimezidi freestyle zaukweli wanangu mwanamabangi bangi
😀😁😀eti tumeogopa kupigwa mngejaribu na maswali yenu ya kejeli mngemjua chid vizuri na hilo neno lenu tunawasanua sidhani Kama mungelitangaza yaani linakera kweli
Hahaha hapo umeongea sana linaboa sana
nachukia kuona watu wanamhukumu kisa addiction....thou haters are everywhere
Watangazaji wamekaa kisnitch sana....dats why thnadeal na kina lil omy and millard only...chid anaongea point afu wao wanaleta za kutusanua na kucheka cheka ovyo....salute chind beeng
Oyaaaa wacheni usenge toeni hii kelelee ya TUNAWASANUA au anyway wacha ni unsubscribe
Acheni kutengeneza pesa kwa kumuumbua huyu teja. Mwacheni apumzike. Na wewe Chidi kataa hizi interviews za kibwege zinakuumbua.
Akili bado intact. Hajapotea kabisa, anaweza kurudi huyu.
Chid nakuelewa sana akili yako GB za kutosha,mwenye akili mb mwisho 120 lazima akunockout na utatoka kapa
uyo mtu anashout "tunawasanua" anaudhi... please tafuteni catch phrase ingine
Huyu jamaa mbona mdomoni ni kama ana ugoro? Chidi Benz wa miaka ya 2007 sio Chid Benz wa 2018.
Sembe imemharibu sana angalia alivyojaza ugoro mdomoni
Hata kumuoji msanii ham jui kazi ya kukopi tu kutoka kwa shilawadu
chidi benzi is very talented but believe me not anaitaji rehab,isipokua he looks addict chenye ameongea ni Kali.
Nyie wasenge Kila saa tuna wasanua mnaboa intaviw nzur mna halibu natangazo lenu Kila saa , achen uchok washamba nyie, chid nakukubali mwamba, mwamsanua nann Kila saa uchoko sna
Daaaah Chid umekufa unatembea dead walking.hujui hata mwaka uliomo
chidi ana akili mpk basi sema vitu anavyotumia ndo vinamfelisha ktk sanaa Ila uyu jamaa ubongo wake umeshiba mpk anadata..badilika chidi unamashabiki wanao kukubali kibao tu mbona..Ila unatuvunja moyo unapokula vitu vyako ivyo broo
Chichichiiiiii,,,,,,,we Jamaaaa kichwa sanaaaaaa IPO siku utakaa sawa
bonge la idea zur na lenye mchango mkubwa kwa tanzania yetu kimapato serikalini,kiburudani lkn pia hata ktk kuwafariji watu wanaoishi ktk mazingira magumu kimaisha lkn pia kudumisha umoja inshort jamaa ameongea point mjinga hawez elewa ila ataendelea kumtupia madongo
Achaneni usenge weno huo kila muda tunawasanua tunawasanua tuone uchafu huo
Nime msikiliza dudu baya konk maneno yake nikwel uyuu Tahira achae dawa Anazo tumia lasiivo Ana potea
Mnakera na hilo litangazo lenu mpka nimepata hasira kuendelea 😎😎
yan aya matangazaj yanajixhauwa alf kuoji ayajui maxhamba yanakazi yakuwachimba nakuwachora wa2
Sister duu ana kisima ana bwawa aise nimecheka sana sema namkubali San chuna long life brother 🙏❤️
"Tunawasanua" lina kera na pia linaleta picha ya mzaa kwa interview. Litoeni
Toeni hiyo tunawasanua. It's loud and effing annoying.
hiko kijingo chenu kati kati ya maelezo mnazingua kishenzi hilo neno tunawasanua masikio yanauma sauti mbovu
Huyu unga umemuharibu akili
Chidi naona kama unajielewa sasa unafeli wapi acha unga bro
ww unazingua uo ugoro utoekwanz ukiojiwa achana naujingauo ulionanao sisi mashabiki tunakupend sana ila ww unazingua badilika ww mkumbuke mungu matatizo yote ulionayo lakin watuwana kukumbuka bado jitaid badilika ww sio komed ww king of hip hap
mawazo ya Chid et Wasanii wakasafishe Ikulu,hospitali na mahakamani.
Mara Sista duu hana kisima ana bwawa.
ujinga tunawasanua ndo nn achani ujinga interview za kelele tu
Dah kilichoumia ni bando langu tu
Kaane chonjo aawazubaisha mkizubaa asepe na hio simu.. Anatafuta njia apo
Hilo Jingle lenu la Tunawasanua linakata stimu ya Interview, linakera
kamsanueni mama enuuu mnapenda kuchek Cheka mbn hamchek
Watangazaj leo mme patikana 😂😂
Yani Rashidi unaongea mdomoni unaugoro umewegesha unaongea kwa shida kweli tema huo ugoro bana
Inampa mawaidha na kupanua akili yake😂😂😂😂
jaman huyu jamaaa anavyo ongea bado madawa yapo kichwani achen kumuhoji msaidieni huo ugolo
chid benzi material IQ iko sawa