FULL MUHADHARA. UKHT FATMA MDIDI NDOA NI NINI/HAKI ZA MUME KWA MKE NA MKE KWA MUME. BICHA KONDOA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 พ.ย. 2021

ความคิดเห็น • 48

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 ปีที่แล้ว +2

    Mwenyezi mungu atakupa ujira wako in shaallah

  • @nuruddin5074
    @nuruddin5074 ปีที่แล้ว +2

    MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHERI UKHUT WETU UNATUSAIDIA SANA MUNGU ATUPE MUONGOZO INSHALLAH

  • @kulthum8335
    @kulthum8335 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah Allahhatupe maishamarefu

  • @bacaryali4244
    @bacaryali4244 ปีที่แล้ว +2

    Allah Akuzidishie mema Ameen thuma Ameen Yah Rahim

  • @zubedamrutu3156
    @zubedamrutu3156 ปีที่แล้ว +2

    Dada nakupenda kwaajili ya Allah ulinikoxha nilikuona kijichi kulikua na xhuli ya mama halima nilienda maneno yako na nimetoka na kitu naxhukuru Allah akuwezexhe tukutane teneixha allah

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 ปีที่แล้ว +3

    Umesema kweli ukhty Fatma, ni kweli watu wengi leo wanaoana bila ya kuwa na elimu ya ndoa

  • @user-jv7gh5lb2h
    @user-jv7gh5lb2h 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah mngu akupe urefu wa maisha ili tufaidike kwa ajili yake💗🏃

  • @haliyamwijaa6493
    @haliyamwijaa6493 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah, Allah akujaze Afya uzidi kutuelimisha.

  • @hajiurio9274
    @hajiurio9274 ปีที่แล้ว +1

    Maashaa Allah
    Allah akuengezee elimu na akuwezeshe kuutumia

  • @zakiamudi4507
    @zakiamudi4507 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah hongera sana ukhty

  • @user-lz1et3py9q
    @user-lz1et3py9q 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah uht mi naishi kenya ya msambwni. Naomba. Utufikie maana wengi ni vipwepwe

  • @nasriwaziri1346
    @nasriwaziri1346 7 หลายเดือนก่อน +1

    ukhuty nakuhiitaji kibugumo inshaallah

  • @user-lz1et3py9q
    @user-lz1et3py9q 8 หลายเดือนก่อน

    Jazakaa waa kheara

  • @zakiamahfudh6079
    @zakiamahfudh6079 ปีที่แล้ว

    Shukran dada pia kuwazungumzia wanaume wenye kuwatesa wanawake na kwenda kumuolelea mke mwengine wakati mkewe yuwamtesa je ni haki hiyo

  • @RashidMsemo-xh5wp
    @RashidMsemo-xh5wp 3 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah

  • @bibianaali2292
    @bibianaali2292 ปีที่แล้ว

    Jazakalahu kheri kwa darasa madam fatma mola akuzidishie heri madam

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah mashaallah

  • @ismailsalim8853
    @ismailsalim8853 ปีที่แล้ว +1

    MASHA ALLAH

  • @miangijunior4358
    @miangijunior4358 ปีที่แล้ว +1

    Masha ALLAH
    La illa ila Allah Muhammad Rasurullah

  • @ayshazambia6509
    @ayshazambia6509 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah

  • @khadijakifungakifunga288
    @khadijakifungakifunga288 2 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah

  • @salmachabani3895
    @salmachabani3895 2 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah mama alihandulillah ❤❤💞💞💞💞💞❤❤

  • @allymshamu5109
    @allymshamu5109 2 ปีที่แล้ว

    Nice, Dada mkubwa allah akupe kher nying sanaaa

  • @khadijakifungakifunga288
    @khadijakifungakifunga288 ปีที่แล้ว

    Manshallah ukhty fatma mdidi allah akujaalie lakini usikomee mijin tu fika had vijijin . Tunakuomba mbogwe ufike

  • @Iddiali-li6su
    @Iddiali-li6su 4 หลายเดือนก่อน

    Aslm alkm ukhuty fatma , naomba ufafanue jinsi mwanamke aliyeolewa atakiwa kuomba ruhusa ya kwenda mahali, maana wengi huaga tu ama kutaarifu!!

  • @aminarasid3598
    @aminarasid3598 2 ปีที่แล้ว

    Jazakalahu kheri

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 ปีที่แล้ว +1

    Maneno yako sahihi kabisa dadate

  • @ahz6907
    @ahz6907 2 ปีที่แล้ว +1

    Tatizo haya malezi ya kiislam ni adimu sana ktk jamii zetu za sasa.ni mtihani kwakweli.

  • @aflahabdula4084
    @aflahabdula4084 10 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah ❤❤

  • @fatmabunu5145
    @fatmabunu5145 2 ปีที่แล้ว

    Allah akujazi khery zote

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 ปีที่แล้ว

    Dada nimependa sana mawaidha yako

  • @shekhekalulushekhekalulu833
    @shekhekalulushekhekalulu833 10 หลายเดือนก่อน

    natamani mke wangu mtarajiwa nimfundishe awe kama uyu

  • @khamisjuma4128
    @khamisjuma4128 ปีที่แล้ว

    Umeongea vizuri

  • @aishakhalfan4664
    @aishakhalfan4664 2 ปีที่แล้ว

    Tuweke sawa hapo

  • @user-pj6dz2ti9v
    @user-pj6dz2ti9v 7 หลายเดือนก่อน

    Je kaka akaamua kumpa ruhusa baba au kaka wa kufikia itafaa kuozeshwa?

  • @suleymanseif7743
    @suleymanseif7743 ปีที่แล้ว

    Wape shule ukht

  • @hassanirashidi1906
    @hassanirashidi1906 2 ปีที่แล้ว +1

    Mawaidha mazuli lakini mwanamke haruusiwi kunena mbele ya wanaume

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 ปีที่แล้ว

      Kwa ushahidi upi?

  • @aishakhalfan4664
    @aishakhalfan4664 2 ปีที่แล้ว +1

    Samahi ukhti fatma tunaambiwa kua sio kazi ya mke kumpikia mume Wala kumfulia sasa wewe watwambia ni wajibu wa mke kumfanyia hayo

    • @khamisjuma4128
      @khamisjuma4128 ปีที่แล้ว

      Umetoa wapi hayo mawazo Aisha

    • @khamisjuma4128
      @khamisjuma4128 ปีที่แล้ว

      Umetoa wapi hayo mawazo Aisha

    • @aishakhalfan4664
      @aishakhalfan4664 ปีที่แล้ว

      Sio nimetoa wapi hayo mawazo tunaingia madarasani kujifunza sio mawazo yangu

    • @aishakhalfan4664
      @aishakhalfan4664 ปีที่แล้ว +1

      Unaposema wajibu maanayake ni Jambo la lazima. Nasi hatujalazimishwa kumfanyia mume hayo yakupika na kufua tukiwafanyia twapata thawabu na tusipofanya Wala hupati dhambi

    • @aishakhalfan4664
      @aishakhalfan4664 ปีที่แล้ว +1

      Kwa sababu ya mawadda na rehma kuhurumian kupendan ndioman viongoz wetu wameyawek hayo katika Mambo ya wajibu

  • @RashidMsemo-xh5wp
    @RashidMsemo-xh5wp 3 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah

  • @saidimkombe9842
    @saidimkombe9842 2 ปีที่แล้ว

    Mashallah