Dizasta Vina - What an IQ of 200 Looks like

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
  • A footage was originally uploaded in Wazo tv channel. Credits to Greyson Gideon

ความคิดเห็น • 30

  • @alkaullahmediaTz
    @alkaullahmediaTz ปีที่แล้ว +4

    Genius, jamaa ana akili sana. bora sana naskiza nyimbo zake

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 ปีที่แล้ว +8

    Dizasta tunakuomba uanze kufanya videos zako uziweke TH-cam za kuchambua tuelimike zaidi kuhusu mustari umoja umoja na nyingine kuhusu maisha yetu na nyingine topic .weka kwenye channel yako utatuelimisha zaidi

  • @BarakaKassian
    @BarakaKassian 5 หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa ana hakiri kubwa sanaa 💪

  • @Faustine_Charles
    @Faustine_Charles หลายเดือนก่อน

    Siku zote, hekima ya mwanadamu kwa Mungu ni upumbavu.
    hekima ipo katika kuijua asili na kutafuta kumjua Mungu sio kutengeneza nadharia ambazo hazima msaada wowote katika maisha ya mwanadamu hapa duniani zaidi ya kumpotezea muda akitafuta matokea ambayo hayawezi kutokea kamwe.

  • @Yuteman_Bigdon
    @Yuteman_Bigdon ปีที่แล้ว +2

    Vina noma sana

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 ปีที่แล้ว +3

    Dizasta kichwani kwako kuna vitu vingi jamii tunavihitaji bro unatuelimisha Ila bado elimu yako haitutoshi

  • @wilsonjonas5481
    @wilsonjonas5481 ปีที่แล้ว +6

    Sio kila sehem polini kina nyoka lakn huko ndo nyoka wanakoishi, mh!!!

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 ปีที่แล้ว +3

    The Verteller .

  • @punjuboy4544
    @punjuboy4544 ปีที่แล้ว +4

    Nashauri tusome zaidi vitabu,, maarifa mengi ya kweli tumefichwa sana. Dizasta anaongea vitu vya kawaida kabisa hapo ni vile tu asilimia kubwa ya watu ni wavivu wa kujifunza

    • @alliymohamedalliy6524
      @alliymohamedalliy6524 ปีที่แล้ว +2

      🤦‍♂️ Cyo fyakawaida mkuu. Unkitaka kujua kuwa c fyakawaida njoo huku kwenye hivo vtabu Afu uone.

    • @punjuboy4544
      @punjuboy4544 ปีที่แล้ว

      @@alliymohamedalliy6524 " my be my simple things are out of ya simple mind" hata yeye mwenyewe dizasta kashalisema sana hili

  • @sadikimasawa4048
    @sadikimasawa4048 6 หลายเดือนก่อน +2

    Just because impulses are involuntary doesn't mean free will is non existent. Free will comes one comes when someone's consciousness choose what to do about what happens inside or outside his mind and body. Though it might be more of a case for those who are not aware of themselves or their surrounding and tend to drift around with animalistic instincts which is the manner of chronical criminals and addicts.

  • @msimika_III
    @msimika_III ปีที่แล้ว +3

    Genius

  • @addamschamwande7734
    @addamschamwande7734 ปีที่แล้ว +1

    Reo gono kesho utapata ngoma ivyoo vinaa

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 ปีที่แล้ว +1

    Elimu yako tugawiye kidogo unatuongeleya mustari umoja unauchambua na mifano ata dakika tano saafiii Mukubwa Vina. Mengine atuelewi

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 ปีที่แล้ว +1

    Tujifunza APA kwa mwanazuoni . The Verteller

  • @stapinuswilliam
    @stapinuswilliam ปีที่แล้ว +2

    Vina

  • @sadikimasawa4048
    @sadikimasawa4048 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ndoa ingekua social construct isingekua universal. Kuna jamii zingeazisha na nyingine kuzifuata. Pia wanyama na ndege wengine (Like wolves and some eagle species) wasingekua mating habits zinazolingana na ndoa hii ina maana kuna kitu deeper katika saikolojia na baiolojia ya mwanadamu na sio watu waligundua ndoa kama walivogundua moto.
    Watu wa sasa wamekua na mtindo wa kutumia "Social construct" kupunguza significance ya mambo fulani fulani. Wasema dini, ndoa mpaka jinsia kwamba eti ni social construct pasi na kujiuliza "Kama ni social construct, kwa nini jamii karibu zote zimefanana katika hayo bila kuambizana kwa millenia nenda rudi?"

  • @ilomogold1715
    @ilomogold1715 9 หลายเดือนก่อน

    Genius

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 ปีที่แล้ว +2

    SALUTE SANA 🔥🔥🔥

  • @ALFREDJUMA-ig2md
    @ALFREDJUMA-ig2md 7 หลายเดือนก่อน +1

    Vinaaa✍️✍️

  • @deniwisdomsanga6561
    @deniwisdomsanga6561 ปีที่แล้ว

    Hii ya maji kurudi sehemu yake umenikumbusha mh Chalamila alipozungumzia mafuriko Dar. Genius

  • @Scott_lit
    @Scott_lit ปีที่แล้ว +2

    Yessir

  • @raphaelmwangosi9295
    @raphaelmwangosi9295 9 หลายเดือนก่อน

    mwambaaaa xanaaaa

  • @iduriabasi4753
    @iduriabasi4753 ปีที่แล้ว

    Fact

  • @ernestmlonganyundo1139
    @ernestmlonganyundo1139 ปีที่แล้ว

    gineous

  • @jovinaryjoseph5489
    @jovinaryjoseph5489 8 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉

  • @elinajamlaty9835
    @elinajamlaty9835 ปีที่แล้ว

    Unyamaaa

  • @shenamtukufu1224
    @shenamtukufu1224 ปีที่แล้ว

    Nakupata rasta

  • @sammswita716
    @sammswita716 8 หลายเดือนก่อน

    iQ