KUMREGELEA MKE KATIKA EDA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 15

  • @ummukulthumazziz1921
    @ummukulthumazziz1921 3 ปีที่แล้ว +3

    Asalam alleikum ukiachika taraka 1 inabid mum akuudumia au

  • @shammoha5297
    @shammoha5297 5 ปีที่แล้ว +2

    Kkkkk loh😂! Uniache kisha unirejelee kw lazima? Mh! Jirekebishe kwanza otherwise😝

    • @algwiji
      @algwiji 11 หลายเดือนก่อน

      Kweli but ujue usharegelewa bila kurekebishwa

  • @RahmaKassim-c5x
    @RahmaKassim-c5x หลายเดือนก่อน

    Mume akikutamkia kuwa ikifika tarehe Fulani nitakuwa nimekurejea,jee imekubalika?

  • @ahmedanwar1210
    @ahmedanwar1210 ปีที่แล้ว

    Sheikh Izudin je wafaa kumregelea mkeo kabla ya eda kuisha

  • @nahyaally6100
    @nahyaally6100 4 ปีที่แล้ว

    Legelea😁😁😁😁

  • @zoonaruqashi700
    @zoonaruqashi700 5 ปีที่แล้ว

    Jee talaka ndani ya eda inaswehi yan mtu amekuacha talaka moja halafu hajakurejea akakuacha tena yan akakumalizia talaka zilizobaki inaswehi au vp

  • @ummukulthumazziz1921
    @ummukulthumazziz1921 3 ปีที่แล้ว

    Je mume anaweza kukup taraka kwa kumkaid kitu mfan amekuambia ukija njo nakit furan ww hutak kwenda nach je ilo inawez ikaw sabab ya kukup taraka

    • @algwiji
      @algwiji 11 หลายเดือนก่อน

      Yes talaka inapita

  • @abullahkabaka8774
    @abullahkabaka8774 3 ปีที่แล้ว

    MASHA ALLAH ALEIK

  • @khadijarashid9848
    @khadijarashid9848 3 ปีที่แล้ว

    Salaam sheikh...naomba msaada wa hili kama mwanamke ameachika Talaka moja na ni mjamzito baada ya talaka tu mke akarudi kwao lkn mume wake akimkumbuka amfata kwao kisha wanashiriki tendo la ndoa bila kumwambia kama mke wangu nimekurejea(ndani ya eda) je hapo talaka bdo inaendelea ama inakuaje?

  • @keymoneytracy5398
    @keymoneytracy5398 4 ปีที่แล้ว

    Je mume akiwa yeye ndie aliye muacha mke wake kwa talaka tatu aweza kumurudia akiwa katika eda?