Wadanganye wajinga kwanza nyumban hiyo inaonyesha Bado ujenzi una endelea ipo kwenye finishing pili yaonyesha haijaanza kutumiwa hâta maramoja na ndio maana hizo funguo hakipo hâta kwenye keeorder na ndio maana hâta ukapata nafasi ya kufanya huo ujinga wako Mungu atashughulika na wewe.
Hicho kibuyu ni chakwako na familia yako usitumalizie bando,unajifanya mtakatifu wew ndo mchawi na kama alkuwa freemason inakuhusu nn kuna chako kaondoka nacho??
Hicho kibuyu ni cha kwako wew na hapo ndo chumban kwako usitumalizie bando katafute kazi nyingine ya kufanya usichukulie kifo cha mwenzako kama fursa ya kupata hela na hata kama alikuwa freemason kuna chako kaondoka nacho?
Uongo tuu,tuoneshe familia yake,sabsikraibu sabusikraibu,we sema unataka ela bro,Mungu akulaani sana kaka unawasingizia haya.mimi sio nabii wala mdau huo ujinga,eti subscription mda wote,yanii,dah dunia hii,ukiwa hai wat wanakupigia pesa na ukifa wanakupigia pesa😂😂
Watanzania hii nayo hapa mumezidi ebu acheni marc alala salama kinawahusi nini kwani wewe ni mungu ashalala achana na yeye hata uluma hauna kwa familia yake mchawi mkubwa wewe unatumi machozi ya wengine kutengeneza pesa ama wewe ndio ulimroga akafa sasa unaleta ujinga hapa kwa mitandao
MUNGU utusadieeeee😂🙏🙏
Shida ya huyu mtu nini
Acha bangi wewe
Kwa kweli munaeza furahia shida ya mtu, mufufuen awe hai ndo muongee imetosha
Ifike mahali mgeuke nyuma na mungu umuogope hakuna mkmilifu duniani Umeach kufanya yko kazi kufatilia mambo ya siyo kuhusu
Wadanganye wajinga kwanza nyumban hiyo inaonyesha Bado ujenzi una endelea ipo kwenye finishing pili yaonyesha haijaanza kutumiwa hâta maramoja na ndio maana hizo funguo hakipo hâta kwenye keeorder na ndio maana hâta ukapata nafasi ya kufanya huo ujinga wako Mungu atashughulika na wewe.
Hicho kibuyu ni chakwako na familia yako usitumalizie bando,unajifanya mtakatifu wew ndo mchawi na kama alkuwa freemason inakuhusu nn kuna chako kaondoka nacho??
Sasa mnaangaika kutukana nn duniani hakuna aliekamilika.hata kama alikuwa firimasoni mpka na yeye amelijua Hilo n kwamba walikuwa wote.
Hicho kibuyu ni cha kwako wew na hapo ndo chumban kwako usitumalizie bando katafute kazi nyingine ya kufanya usichukulie kifo cha mwenzako kama fursa ya kupata hela na hata kama alikuwa freemason kuna chako kaondoka nacho?
Watanzania hata ukimwambia mkojo una harufu mbaya atataka anuse. Lisemwalo lipo kama halipo laja
Dah subscription kwakuzima mshumaa!😂😂😂dah matapeli mnatabu sana,kazi mnayo aiseee😂😂😂🙌
Uongo tuu,tuoneshe familia yake,sabsikraibu sabusikraibu,we sema unataka ela bro,Mungu akulaani sana kaka unawasingizia haya.mimi sio nabii wala mdau huo ujinga,eti subscription mda wote,yanii,dah dunia hii,ukiwa hai wat wanakupigia pesa na ukifa wanakupigia pesa😂😂
Wewe ndo shetani mkubwa heshima huna hata nakuhurumia kaka🤦🏽♂️
Huo ni uongo,
Umekoswa kaz yakufanya tapeli mkubwa tuoneshe Familia yake
Nakupata mtumishi wa mungu , mungu akufinike na damu y yesu , ili uzidi kutufunulia mengi zaidi,
Watanzania hii nayo hapa mumezidi ebu acheni marc alala salama kinawahusi nini kwani wewe ni mungu ashalala achana na yeye hata uluma hauna kwa familia yake mchawi mkubwa wewe unatumi machozi ya wengine kutengeneza pesa ama wewe ndio ulimroga akafa sasa unaleta ujinga hapa kwa mitandao
eeeeeeh MUNGU wasaidiee hajuiii alitendalooo daaaah tusaideeeee sn kwakwe,🙏🙏🙏🙏🙏