Gari amepewa na silence ocean ya biashara yeye na baba levo yani uonyeshe upendo sehemu nyingine baada ya familia yake eti akupe gari unajitia sheikh unasema daimond na rayvan wanatembea na wanawake wakristo wakati wako umeshindwa kumbadilisha dini wala jina
Mwijaku si alisema yeye nitajiri ana hela kumshinda daimond sasa Leo Hana hela vipi? Alafu ana deal na beti za WCB na matangazo mengine kaona haya kusema kanunua yeye watu watamponda gari ya rahisi angalau angenunua gari ya milion 60 kwasababu yeye anasifa kukosoa watu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 dume zima linafurahiya kupewa gali na mkewe kama kaongwa anakupumbaza uyo mkeo aya kunasiku atakuzawadia na mume mwingine na umpokeeee na utangazee kama unavo ropoka asaivi
Hongera Mwijaku mwanaume mwenye kujiamini 👍👍👍
Uyo mwamba waga namkubali sana yeye na Levo 💪💪💪💪💪💪 maisha niku pambana kwa kila njia mna jua kuzi saka saana
Me too
Asante Da Huu umeweka ukweli halisi hakuna kuficha. Hizo hela za Royal Tours aseme tu ukweli sio kudanya umma
Asante dadaangu umeliumbua lipumbavuu hiloo
Elimu bila kujitambuwa ni adhabu ya kichwa. Huyu bwana hekima hana wala hofu ya mungu. Vijana tupambane maisha ni fumbo
Huyu baba muongo jamani midevu kama striwaya😂😂😂
Yahni
Chama la wana
WATOTO✔️
NYUMBA ✔️
GARI✔️
SIMU✔️
😂😂😂 unamuita mpaka mkeo, mme wangu 🤗🤗
👏👏👏👏
Gari amepewa na silence ocean ya biashara yeye na baba levo yani uonyeshe upendo sehemu nyingine baada ya familia yake eti akupe gari unajitia sheikh unasema daimond na rayvan wanatembea na wanawake wakristo wakati wako umeshindwa kumbadilisha dini wala jina
Nimewapenda bure mmeongea ukweli mwijaku mpigaji cna na vijana wanachulia vtu simple cna
Kama umemuelewa mwijaku kaamua kujinunulia gari ili kumkumbusha Mama Samia amkumbuke kwa kujipendekeza kwake gonga like hapa🤣🤣🤣🤣😂😂
fresh sana mwijaku,sifa za mwanamke wako ni kitu kikubwa sana ,upendo 🌹
Mwijaku we love you from Congo 🇨🇩
😀😁😂 ananifurahisha sana Mwijaku mambo yake
Napenda sana vituko vyake 😀😀😀 mwijaku khaaaa😀😀😀
" Et mme wangu,aaah mke wangu" 😁😁😁😁😁
Safi mwijaku.Napenda sana wewe uko mwongea wazi.Salamu kutoka Somalia.
Hiyo gari kanunuwa mwenyewe mwijaku wewe unapenda sana sifa na kubwiiru
Mwijaku muongo amenunua mwenyewe anataka kuonesha amenunua,aliona akionesha mwenyewe watu watamchamba kwasababu anasema watu kila siku
Muongo mwijaku
Husna safi sana huo ndio ukweli
Mwijajo ni mbishi aliesoma aiseeeeee
Hivi mwijaku yuko sawa kweli???
Mwijaku si alisema yeye nitajiri ana hela kumshinda daimond sasa Leo Hana hela vipi? Alafu ana deal na beti za WCB na matangazo mengine kaona haya kusema kanunua yeye watu watamponda gari ya rahisi angalau angenunua gari ya milion 60 kwasababu yeye anasifa kukosoa watu
Kumbe hata babalevo pia yuko na hela kumshinda🤣
Gea ni mweupe pee😁
Kumbe wanakujua wenzio 😂😂😂
Muongo hivyo 😂😂😂😂😂😂😂😂
Hapo wasema kweli
Duuu jamaa Ana macho makavu huyu hahahahaha
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Nicheke mie watazania acheni Kuishi maisha ya kujisifu tunajuwa mnavyotaka maisha feck
mwijaku nimekupenda sababu unamsaport Konde
Kwenye leo tena kasema milioni 18 hapa anakomaa 22
Mwijaku wewe umepewa hela ya royo ya mazaaa bana wacha kutuzengua wewe😅
Mwijaku unawafanya wanaume wezio wajione kama awaoa wanawake saiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mwijaku msifie Hadi upokonywe
Mimi nataka niwe chawa wako
Namsubiria babalevo anajibie maswal hayo😂😂🤣😂
Sasa lazima uje uoneshe mtandaoni mambo ya gari,kazi kupenda kusema wenzako kumbe nawewe unapenda kujionesha huna lolote
Kakojoe ulali lela..
Kabisa akojoe alale kweli
Na wewe km unalo onyesha 🤸🏻♂️🤸🏻♂️🤸🏻♂️
Nimeskia iyo kauli ya million tano ya yule kaka kumbe mbwa tu
Kazi kwelii kwelii
Anawadanganya iyo nimilion 8000.000
laki tano kenya haitoshi hata week kwa mtu mmoja 21000ksh
Wabongo kweli wanafi yaani mke kumpa zawadi mumewe nyie kinawauma nini jamani wivu mbaya ongera sana mwijaku
Sio kwamba wivu..... Mwijaku kaona akisema kanunua Gari bovu ivyo Gari kama nyumba kama box wakina baba levo watamcheka kaona asingizie mke wake
Wanaushamba
mke wangu wanamkopa
😃🤣🤣🤣🤣 kha Mwijaku atafika Mbinguni amechoka sana kwa UONGO ANAVYOUPIGA🥲🥲
Kanunua mwenyewe
Kumbe bajaji ilikuwa ya kwake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Eti wanamkopa 🤣🤣 halooo mwijaku
Huyu jamaa watu wengi hawamuelewi ni comedian watu wanafikiri viingine
Kapewa na Mama anatangaza movie
Mhh km unaoa Kwa sababu ya ivyo Kuna mapenzi ya dhati kwr hp 🤔🤷🏾♂️
Mwijaku ndio kanunua Gari kama box hahaha hahahahaha kaona aibu kusema kanunua yeye a naona haibu
Mmesema kweli tuache mitandao
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 dume zima linafurahiya kupewa gali na mkewe kama kaongwa anakupumbaza uyo mkeo aya kunasiku atakuzawadia na mume mwingine na umpokeeee na utangazee kama unavo ropoka asaivi
Nimecheka 😂
Jomba Mwijaku Leo unasutwa makavu live 🤣🤣🤣🤣
Fumbo kwa mama samia
Dada nimekuelewaaaa
Yan na ile bajaji nimekuelewaaa
Ulongo au Uongo??
Geah🤣🤣🤣🤣🤣
Umesema ukweli dada yagu
Mpende mkeo Mwijaku sifa kwa mwanamke bwana
Hiyo logo la lexus iko wapi?🤣
ilo Gali au jini mjini
Mwjaku 🙌🙌😂😂
Mwijaku mkavu 😂😂😂😂😂😂
Hiyo bei sjui umeijuaje naakati hujanunua wewe?😁😁
Haha Yaani Tanzanians nawapenda tu sana
Ndio maana inasemwa kuwa wanawake hatunaga siri kwakweli
mmempa makavu. nimependa
Mwijaku leo kapowa kumbe yupo na bosi wake, katupiga gari kanunua mwenyewe, alafu wenzake wakionesha magari yeye analaumu oooh ushamba kumbe na wewe ndio yale yale
Me tunakaa watatu na laki 5 hainitoshi jmn 😭😭😭
😄😄😄😄😄😄Mwijaku nyie🙌
katika majinga duniani we lijinga ,ushamba wakiume unamdomo mtoto , wakulelewa unajisifu misifa mingine upumbavu
Mwijaku atakuwa msenge si bure mamaaee zake
@@capteinchuimchafu7894 😄😄😄mbona hili nalisikia sana eti
Wee Mwinyijaku weweeee...kwenye Dini usipenye penye maaana hukujuwi kabisaaaa
😃
Alivyo mkavu Sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Gea umeshikika🤣🤣🤣
Wabongo mna taabu nyingi. Maneno , na drama tuu
Tangazo hili jamani
Aya bwan
MwijKu apatwa kigugumizi🙄🙄aibuu
Mwijaku ni MNAFIKI,muongo Sana mshenzi
Lexus ina steering ya Toyota🙈
Chizi
🤣🤣🤣🤣 Kazi ipo hapo kwa Mwijaku
Mwija😆
Sio vitatu ni vinne kaka sio vitatu
Sikweli unayosema mwijako kisahicho
usituchoshe bwana umenunua mwenyewe huna uwanaume wa kuhongwa gari
Hahahhaaa
🤣🤣🤣Mwijaku burudani sana
huyu jamaa mpigaji saaana😆😆😆😆
Drama
😁😁😁😁chawa huyu
Mwijaku ni punga anaongea utumbo tu😂🤣
Uongo ni ushindi wa muda mfup
😆😆😆😆😆 me ntakununulia wewe vidox
Mwijaku mwamb
Hana hera
🤣🤣🤣🤣nampenda #mwijaku
Ahahahahah
😂 😂
🤣🤣🤣Da huu bhn😹
Acha uongo wewe mwijaku
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
Clout chaser mkubwa huyu!!! Yeye na Eric Omondi same WhatsApp group. Watu wa kiki gang.