INTERVIEW na Pastor Munishi,alichowalisha watu siku ya harusi yake/Gari alilopewa na Nabii Geordavie

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 มี.ค. 2023
  • Live On Live na Mtumishi wa Mungu Muimbaji na Mchungaji Faustin Munishi Kutoka Nyumbani Kwake Kindi Muyuni,Kata Ya weruweru Mkoani Kilimanjaro,amefunguka Mengi kuhusu huduma na Maisha.
    #LiveOnLive

ความคิดเห็น • 113

  • @Steve-qf8he
    @Steve-qf8he 4 หลายเดือนก่อน +4

    Ibarikiwe Kenya na uendelee kuwa kimbilio kwa majirani wetu,mipaka ni wazungu waliweka.Africa ni moja!

  • @EdgarKimutai
    @EdgarKimutai 5 หลายเดือนก่อน +6

    he is famous and loved here in kenya

  • @crispinbisimwa7397
    @crispinbisimwa7397 11 หลายเดือนก่อน +6

    A very humble man ❤ Stay abundantly blessed Pastor Faustin Munishi 🙏
    Much love from USA 🇺🇸

  • @West-moran
    @West-moran ปีที่แล้ว +4

    This guy is a legend, humble and on point. We get up listening to his music in kenya.

  • @zytunaerude6938
    @zytunaerude6938 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mtumishi Munish ulibariki sana miaka mingi ,, pia naomba Mungu azidi kukubariki unapoendelea kutubariki much love 🎉❤❤

  • @jeremymakokha4797
    @jeremymakokha4797 2 หลายเดือนก่อน +1

    Napenda urafiki wa munishi na malebo

  • @user-rt4gm9oe3l
    @user-rt4gm9oe3l ปีที่แล้ว +4

    Big up mtunishi wa Mungu Munishi Faustin. Kipaji cako ca kuimba kilisaidiya ulimwengu kupitiya nyimbo zako nimebarikiwa sana kiroho! Mimi From Burundi

  • @robertzingu9889
    @robertzingu9889 ปีที่แล้ว +3

    He's a good man. Ni kweli zinazovuma mitaani ni kuwa Faustine Munishi alikimbilia Kenya kwa sababu ya wimbo wake wa "Mpende Adui yako" wakati wa utawala wa Benjamin Mkapa (1995 - 2005) na kutishiwa kushughulikiwa kwa sababu ya maudhui ya wimbo huo yaliyokuwa kama yanawananga watawala chini ya CCM by then na kuonekana wimbo umebeba dhana ya uchochezi na hivyo kukimbilia huko Kenya kuepuka shari hiyo. Hata hivyo Kila aliyekutwa anasikiliza wimbo huo alipata shida sana. Asante sana Mch Munishi Kwa ufafanuzi wako na kuliweka vizuri hilo

  • @stanleyguthia7771
    @stanleyguthia7771 5 หลายเดือนก่อน +3

    Munishi is a legendary gospel musician.
    God bless you munishi

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima2880 5 หลายเดือนก่อน +2

    Interview nzuri sana... Hongera sana... Asante sana Pastor Munishi.

  • @totodavis1949
    @totodavis1949 5 หลายเดือนก่อน +4

    My God bless mtimishi umewai numbea ukiwa Nairobi Kenya

  • @user-rt4gm9oe3l
    @user-rt4gm9oe3l ปีที่แล้ว +10

    Ombi langu kwa mtangazaji, naomba kesho uandae ingine emission Munishi akiwa pamoja na Malebo watupe ushuhuda wa Malebo

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 5 หลายเดือนก่อน

      Tayri malebo amehojiwa nae

  • @rosterfarijala2979
    @rosterfarijala2979 ปีที่แล้ว +3

    Hongera mtumishi MUNGU akubariki Kwa huduma unayoifanya.

  • @paulkazibacharles
    @paulkazibacharles ปีที่แล้ว +3

    Barikiwa sana, Mchungaji Munishi. Mimi ni shabiki yako hapa Jinja Uganda.

  • @NjorogeGATEITEI
    @NjorogeGATEITEI 5 หลายเดือนก่อน +4

    Munishi tumeishi naye sana hapo Nakuru langalanga when he had only 1 guitar, akiishi kwa one roomed house

  • @user-gq5dq6vw7c
    @user-gq5dq6vw7c 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akubariki sana mtumishi pamoja na wakenya waliokupokea na wakakutunza.

  • @user-nu6wg1mj6v
    @user-nu6wg1mj6v 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mchungaji Munishi umeifanya kazi kubwa sana ya injili kwa njia ya uimbaji, ombi langu utuwekee wimbo wa Paulo na Sila mtandaoni.

  • @arnoldvictor8763
    @arnoldvictor8763 ปีที่แล้ว +6

    Rafiki yangu Munishi, hili hapa andiko linalokataza kujichora tatoo:
    Mambo ya Walawi 19:28 Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi Bwana. Ye shall not make any cuttings in your flesh for the dead, nor print any marks upon you: I am the LORD.

  • @johnnjoroge5511
    @johnnjoroge5511 9 หลายเดือนก่อน +2

    May God bless you Askofu Munishi,,I hope one day I'll see you ...

  • @rebeccamukonyi3489
    @rebeccamukonyi3489 ปีที่แล้ว +2

    Amen 🙏🙏🙏 Mungu akulinde sana katika maisha mungu akuinue sana.

  • @hellenkathambi8694
    @hellenkathambi8694 หลายเดือนก่อน

    L love this man of God very much

  • @joashjumbura9338
    @joashjumbura9338 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mch. Bado ungali Kijana, mibaraka ya Mungu izidi Kuwa nawe na familia yako

  • @alicenizigiyimana-yd1xb
    @alicenizigiyimana-yd1xb ปีที่แล้ว +1

    Kwakweri nimependa sana nyimbo zako nimezisekiya mwaka waefumbiri nirikuwabado mudogo mbakasasa sijazicoka kwakweri nakupendasana

  • @MaryWuantet
    @MaryWuantet 9 หลายเดือนก่อน +2

    God bless you man of God..

  • @pastorlazarosamwelkilala5795
    @pastorlazarosamwelkilala5795 4 หลายเดือนก่อน

    Ahsante sana kwa mahojiano na Munishi nime barikiwa

  • @gadielshedaffa3333
    @gadielshedaffa3333 4 หลายเดือนก่อน +1

    Pazia mdogo wangu uko vizuri sana chapa kazi utafika mbali

  • @fredricksikukuu2743
    @fredricksikukuu2743 4 หลายเดือนก่อน

    Baraka tele mtumishi wa mungu postine munishi ni mfano mema sana Sisi kama waimbaji

  • @lambertkasomo5520
    @lambertkasomo5520 5 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana, ni ombi langu kwako Pazia tv, rudi tena kwa Bishop Faustin Munishi umuulize tutarajiye lini atatowa kigongo kipwa cha injili kama Paka akilia usiku wanadhani wamelogwa ao malebo ambayo ni Album ya injili ya 7 yake yeye Bishop F Munishi, tafadhali

  • @stellakathure4382
    @stellakathure4382 ปีที่แล้ว +3

    Wonderfull

  • @chemotokaula-ew1zn
    @chemotokaula-ew1zn 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mtumishi Munishi my favourite together with mtumishi kyande.

  • @josenawade
    @josenawade ปีที่แล้ว +1

    The legend himself..salute mkuu

  • @davidosaune
    @davidosaune 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana ndugu mungu akubariki

  • @ChumanaSusi
    @ChumanaSusi 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nilipenda nyimbo za Munishi sana maka za1988 🇰🇪. Lakini Munishi siunajua wewe ni wetu hapa kenya maana tayari tumesha kupatia citizenship ya kuwa mkenya na hapo uko ni territory yetu maana wewe ni wetu.

  • @silashemed4849
    @silashemed4849 5 หลายเดือนก่อน +1

    hii idia ilikuwa vizur,sana,
    sidhan kwamba kwa sasa sidhan kwa kwa vijana wa sasa wanaweza,
    Full bigjee

  • @shikumwithiga3252
    @shikumwithiga3252 4 หลายเดือนก่อน

    Munishi is a kenyan legend we stil love him💝💖

  • @yeirikitholebonny4322
    @yeirikitholebonny4322 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hujamtaja malebo bana.. Nilifurahia sana mahojiano ya Malebo

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 5 หลายเดือนก่อน

      Amemtaja fuatilia vizuri

  • @simonzakaria4770
    @simonzakaria4770 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nimeipenda sana hii

  • @felixmakinda7689
    @felixmakinda7689 5 หลายเดือนก่อน +6

    Siku moja nitambariki mtumishi na vyombo vya kueneza injili. Ametukuza huku kwetu Kenya tangu nikiwa mtoto. Sasa nimefika 30*.

    • @deogratiusmfoy1989
      @deogratiusmfoy1989 4 หลายเดือนก่อน +1

      Tuungane pamoja ...Mimi nami nipo tayari kumchangia mtumishi. Pia nyumbani ni kindi karibu na kwa pastor

    • @felixmakinda7689
      @felixmakinda7689 4 หลายเดือนก่อน

      @@deogratiusmfoy1989 Baas! Kwanza Mimi hupenda Sana kutembea Arusha na Moshi nikichoka huku Nairobi, naweka gari mafuta, nabeba tarakilishi yangu, nafunga safari.

  • @danstonecool1734
    @danstonecool1734 8 หลายเดือนก่อน +3

    anapenda kenya

  • @kwayugeneral2192
    @kwayugeneral2192 5 หลายเดือนก่อน +1

    munishi is legand

  • @faithundisa4268
    @faithundisa4268 ปีที่แล้ว +2

    😂😂😂😂😂😂dreams come true big G .. ilikua Raha

  • @BensonMpomo
    @BensonMpomo 3 หลายเดือนก่อน

    mungu aendelee kukubaliki

  • @stellakathure4382
    @stellakathure4382 ปีที่แล้ว +2

    Am sorry plz, to ask

  • @user-wu8nw6hs4v
    @user-wu8nw6hs4v 3 หลายเดือนก่อน

    we ❤❤ you munishi

  • @G.S985
    @G.S985 10 หลายเดือนก่อน +3

    Mchungaji Munishi naomba alie na number yake anipe Mungu awabariki sana,Munishi nampenda tangu mwaka 1992.

    • @bennagemeestate820
      @bennagemeestate820 5 หลายเดือนก่อน

      Nina ya kenya na tz unataka ipi

    • @G.S985
      @G.S985 5 หลายเดือนก่อน

      @@bennagemeestate820 nipe zote asante,anapenda kutumia ipi.

  • @DavidMalimbegu-dq8tp
    @DavidMalimbegu-dq8tp 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mi napenda uimbaji wa mnishi, sikuyajua kama ndivyo yalivyo mpaka roho alivyo nionyesha shetani anavyo jigeuza

  • @user-ux3xu9gs8d
    @user-ux3xu9gs8d 4 หลายเดือนก่อน

    Mzee munishi na mzee malebo niwa cheshi sana

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 5 หลายเดือนก่อน +1

    Wachaga na Wahaya wako sawa,kuwapelekea injiri ya wokovu kuna kuwa na upinzani sababu ya mapokeo lakini hakuna lisilowezekana kwa Mungu neema yake ina nguvu wanapokea taratihu🙏

    • @user-hx9no2bf8o
      @user-hx9no2bf8o 4 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli kabisa..mimi nimeokoka naonakana kituko sana kwa ndg lkn kusema ukweli nina amani kupita maelezo na ni tofauti na nikiwa sijaokoka

  • @mdemualphonce1559
    @mdemualphonce1559 ปีที่แล้ว +1

    Mnishi andiko linasema mungu anaitwa baba pia adamu ni mfano kulikoni unasema Hana mfano

  • @mwakalukitiro8220
    @mwakalukitiro8220 11 หลายเดือนก่อน +15

    Japo Kenya inamapungufu yake lakini Kenya ni mama wa inchi nyingi sana

    • @felixmakinda7689
      @felixmakinda7689 5 หลายเดือนก่อน +3

      Nakubaliana Sana na wewe. Kenya humpa fursa kila mtu kujiendeleza. Watanzania, Wanyarwanda, Warundi, Wasudani, Wahabeshi, na Wasomali wamejijenga Sana huku. Sijaona Waganda kwa wingi.

    • @jesaminzo
      @jesaminzo 5 หลายเดือนก่อน +5

      Nakubaliana nawe. HataTundu Lissu magaidi walipotaka kumuua waKenya ndiyo walikuwa wa kwanza kupigania uhai wake. Mungu awabariki waKenya wote na nchi yà Kenya kwa ujumla

    • @kevoalwodo5655
      @kevoalwodo5655 5 หลายเดือนก่อน

    • @user-qx6th5xq3p
      @user-qx6th5xq3p 5 หลายเดือนก่อน +1

      Me mwenyew naikubali sana by josee from tz arusha

    • @mosesayiera3049
      @mosesayiera3049 5 หลายเดือนก่อน +2

      Kenya hakuna matata

  • @nationstartv1767
    @nationstartv1767 6 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂😂....Munishi ukalisha watu Big-G jameni

  • @reubesfinest8252
    @reubesfinest8252 4 หลายเดือนก่อน +1

    Munishi is legendary till date

  • @BensonMpomo
    @BensonMpomo 3 หลายเดือนก่อน

    apa ndo naona kua ukimkabizi mungu maisha Yako kumbe huzeeki yani usivute sgr Wala bangi usinywe pombe Wala kutumia kileo chochote kile huzeeki

  • @JacintaMaiyu-ed2mh
    @JacintaMaiyu-ed2mh 16 วันที่ผ่านมา

    Pastor Munishi

  • @user-hx9no2bf8o
    @user-hx9no2bf8o 4 หลายเดือนก่อน +1

    Munishi aisee tuombe radhi ati "lusamira mali ta wandu ro sheee"😂😂😂

  • @elijahm.muthini
    @elijahm.muthini 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kwanini monish hafanyangi interviews na vile ukuwa na ushuhuda mzuri

  • @hassanadam2708
    @hassanadam2708 5 หลายเดือนก่อน +1

    Akili ni nywele

  • @AgnessSimkoko-ym1xj
    @AgnessSimkoko-ym1xj 9 หลายเดือนก่อน +3

    Jamani mbona Marebo hajasikika hata neno moja

  • @omarmutta4999
    @omarmutta4999 3 หลายเดือนก่อน

    Munish Ni Zaidi Mkenya kuliko Mtanzania.

  • @johnsonngaiza7796
    @johnsonngaiza7796 4 หลายเดือนก่อน +1

    Akili kubwa 😂

  • @Realmakos
    @Realmakos 5 หลายเดือนก่อน +1

    Even in the next life Tanzania tutaishinda kimaendeleo

  • @mutuastancilous8149
    @mutuastancilous8149 3 หลายเดือนก่อน +1

    Na hazeeki buana

  • @nicholasnjoroge-gh6ne
    @nicholasnjoroge-gh6ne ปีที่แล้ว +3

    kuna wachaga central ama ni wakikuyu kilimanjaro?

    • @user-hx9no2bf8o
      @user-hx9no2bf8o 4 หลายเดือนก่อน

      Kiukweli wakibosho kwa asili ni wakikuyu na masai

  • @jackyjacky5966
    @jackyjacky5966 ปีที่แล้ว +2

    Hayia Ni my Tanzania nilidhani Ni mkenya

    • @ChumanaSusi
      @ChumanaSusi 5 หลายเดือนก่อน

      Tulimpatia citizenship kenya akakuwa .🇰🇪

  • @enoskipkorir4318
    @enoskipkorir4318 3 หลายเดือนก่อน

    Kindi muyuni ni jina tamu lakini.

  • @user-gv6vl7lt5j
    @user-gv6vl7lt5j 10 หลายเดือนก่อน +1

    Si tumesikiya kama amefariki miyake kazaa iliyo pita

  • @murenzijeanbosco3887
    @murenzijeanbosco3887 10 หลายเดือนก่อน +1

    Maneno uliyo yatangaza tafadhali soma mwenyewe kisha uombe msamaha

  • @bernardmbogo2166
    @bernardmbogo2166 5 หลายเดือนก่อน +1

    Makao yake rasmi ni Ngong kajiado County,ya Tanzania ni ziara tu Aiseee....

  • @StacusMkama-kz1ht
    @StacusMkama-kz1ht 4 หลายเดือนก่อน +1

    Namuona malebo apo 😂😁

  • @user-lw6oh8cv4o
    @user-lw6oh8cv4o 4 หลายเดือนก่อน

    Jaman mm nilikua naupenda wimbo wako wa yesu ni mambo yote ndani ya yote ukimpata yeye umepata vyote babaangu alikua akiniwekea nikiwa mdg mpk leo

  • @delvancejillo2418
    @delvancejillo2418 4 หลายเดือนก่อน +1

    Watanzania mpo kenya ni nchi babu kubwa😂

  • @ezrawafula9416
    @ezrawafula9416 หลายเดือนก่อน

    Utakuja Bungoma lini

  • @elijahnjuguna8634
    @elijahnjuguna8634 5 หลายเดือนก่อน

    alikua mchoyo zaidi

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything ปีที่แล้ว

    🙏✌️👊.

  • @hellenkathambi8694
    @hellenkathambi8694 หลายเดือนก่อน

    Huyu ndiye Malebo hahahahhaha

  • @dyoa6987
    @dyoa6987 5 หลายเดือนก่อน

    Umeshasena mwenyewe kuwa wachaga Tayari wanadini zao, na ndio injili yenyewe unatakaje kulazimisha kwamba hizo za kwenu ndio sahihi zaidi, Kwani nyie ni akina nani kwa dini zilizoinjilishwa karne na karne? Mimi nakuelewa sana but Kauli hii sio

  • @JacklineUronu
    @JacklineUronu ปีที่แล้ว

    😂😂😂 wee big G

  • @johnambrose7223
    @johnambrose7223 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi munishi ni mtanzania kumbe mi nilijua ni mkenya

    • @ChumanaSusi
      @ChumanaSusi 5 หลายเดือนก่อน

      Tayari ni mkenya maana kapewa citizenship nahapo yuko ni territory ya kenya maana ni wetu

    • @stanleyguthia7771
      @stanleyguthia7771 5 หลายเดือนก่อน

      Ni mkenya aliyezaliwa Tanzania

  • @musaliaeugene7975
    @musaliaeugene7975 ปีที่แล้ว +4

    Huyu mtumishi hazeeki yupo vile vile

    • @andreaotaigo40
      @andreaotaigo40 ปีที่แล้ว +3

      Ukiwa ndani ya Yesu kikamilifu kuzeeka utaskilizia kwa jirani yako kwa yesu raha

  • @YustoMlay-is8ed
    @YustoMlay-is8ed ปีที่แล้ว +1

    Eti munishi ulikuwa jambazi kabla ya kuokoka?

    • @thetwonotoriousboys6799
      @thetwonotoriousboys6799 7 หลายเดือนก่อน

      Labda wewe

    • @usrahismail3196
      @usrahismail3196 5 หลายเดือนก่อน

      Amekwambia mchaga anachukuwa na kukuwekea vizuri kukihamisha

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@usrahismail3196🤣🤣🤣🤣

    • @kadoaugust6497
      @kadoaugust6497 4 หลายเดือนก่อน

      Hakuwa jambazi mimi nimesoma shule moja naye Kindi Juu Kibosho

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 ปีที่แล้ว

    Mimi ni shabiki wako sana, Kuna nyumbo zako za nyuma kabisa nazitafuta, Nisaidie majina yake na mahali pakuzipata!

  • @rutinginyaneysam.5087
    @rutinginyaneysam.5087 ปีที่แล้ว +1

    Jmn Mungu akupe maisha marefuuu, mi niliambiwa ushafark kumbe upo, Mungu akuinue zaid

  • @febroniamsoma178
    @febroniamsoma178 10 หลายเดือนก่อน +2

    Home sweet home, Kindi Muyuni nyumbani kwa bibiyangu kipenzi Mkarusa
    Mucho love