Dont know if anyone gives a shit but if you're stoned like me during the covid times you can watch pretty much all of the latest movies on InstaFlixxer. I've been watching with my gf these days :)
hii ni CHUMA Kweli..CHICHICHICHICHI...hahahaha kali aiseh..jamaa hapumui...kupumua ni after 10mins...+254 tunamtambua CHIDI..kama imefanya ucheke gonga like apa
Dah! Bila kukaka kimya wala kuchanganywa na beat aisee! I'm happy to see that Chuma is truly back, sober n stronger! You really mean alot to East Africa. Keep it up Mtoto wa Ilala.
King nimembatiza kuanzia Leo Chidy Benz ndio king baada ya kiti hicho kuondoka na Marehemu MaGwAir Ameamua kumrudishia Mchizi Wake Poa #ChidyBenz #KingofFreestyle100%
Chid benzi ameshindikana yan ni non stop ...hahahahah wangeongeza dakika ziwe 15 ili tuendelee kupata radha and that is what we call it freestyle nasio kurudio kuimba nyimbo zisizokuwa namaana
Mmi Mkenya huwa nafagilia saana bongo flavour. Kiukweli tangu hiki kipindi kianze cha freestyle dakika kumi,huyu jamaa kachana bila kuangalia simu,kukatika ama kurudia mistari.HUYU BWANA KIBOKO YAOOO...alafu Msodoki anafuata.....hao wengine kina Mr.berry tuuuuuuu!!!!!
shikamoo chidy,daaaah cdhan kama kuna wa kubattle na wewe bro maana kufoka dakika 10 bila kukaa kimya hata kidogo so rahisiii. big up bro na karib tena kwenye game binafsi nilimiss sana uwepo wako hahahaa..😂😂
sasa mtu unang'ang'ana uelewe na freestyle huijui! wew kakomae na mduara na taarabu ,wanaojua nini maana ya freestyle tuache na kingkong wetu. saafi.saaaana CHID BENZ CHUMA
King free style,tumuombee huyu mwana arudi kwenye hali yake,kama zamani,jamaa yupo vizuri sana,ila unawaumiza mashabuki wako kwa jinsi unavyoshindwa kubadilika,chidi unatisha.
hadi leo sijaona wa kumfunika huyu mwamba kwenye hii show labda arudie tena....ametembea dakika zote bila one two one two....one two one two...bila me in the house...bila say yeeeeyoooo na bila kmachia Dullah kutianeno lolote😂😂😂😂😂....
Much respect to u nilianza kupenda bongo tu sababu hip-hop ilipotea ila saiz toka urudi jembe nimepiga chini wabana pua tupe vitu kitaa kinahitaji saut yako broo
Akuna rapa atakae kuja vunja hii rekod.kwanza zimepigwa bit nying,kila biti inamistari yake.bila kuchoka bit inatendewa haki no kurudia mistar.mpaka jingo imepewa mistar.kam umeelewa gonga like🎉🎉🎉🎉🎉
Kinachoniuma ni kwamba He still Get his Flows,Style ila Uwezo wa Kufikiri Umeshuka ndo maana anaweka Vina lakini hakuna maana, Yani kama Basata wakiangalia wataongeza misamiati mingi ambayo hatujui maana Yake. Tunakuombea Urudi kwenye Ubora wako Bro.
Kwata Unit ....maana ya free styl ni kuchana chochote ambacho mwishono kutakua na vina vinavyoendana na sio kuja na mistati ambayo umeiandaa kabla na kama huamnin tafta free styl za cowbama utaona au wakazi au godzilla
Nimefatilia dakika kumi za wasanii wengine naona wanarudia nyimbo walizoziimba nyuma ila Huyu Chidy yeye anaimba kitu kipya Kabisa ila anachokosea vitu anavyoimba havieleweki
I would like you to look in his passion to the freestyle.though some of the words are not well spelled.and some hazina maana. This guy needs to get back to his place. But its just hajapata management ambayo aliipata kipind akiwa kweny peak. Freestyle--100% i give you #chidibenz You the king. KAMA CHUO TWENDE VETA.🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤
Kama bado unasikiliza hii freestyle 2024 gonga like
2024 unasikiliza hizi dakika kumi likes zihusike umo👉👉👉
Kila cku lazima nipitie hii video kama unamkubali chid gonga like tukae sawa
Dont know if anyone gives a shit but if you're stoned like me during the covid times you can watch pretty much all of the latest movies on InstaFlixxer. I've been watching with my gf these days :)
@Emery Ryan definitely, I have been using InstaFlixxer for years myself =)
Kama yupo anaesikiliza hizi freestyle lines 2023, basi nasikiliza naee....🔥🔥🔥
Tumetisha
noma sana
Chid🔥
Nipo
1
2024 and still one of the best freestyles so far🔥😮💨🙌
hahahahhahahaa chid bhana .....fundiiiiiiii....wanaoponda waendelee kuponda ila ukwel haukwepeki jamaaa...anajua sanaaa
hii ni CHUMA Kweli..CHICHICHICHICHI...hahahaha kali aiseh..jamaa hapumui...kupumua ni after 10mins...+254 tunamtambua CHIDI..kama imefanya ucheke gonga like apa
Mimi nasema hana mpinzani huyu jamaa kwenye frestail, nani anabisha ;;;nakama unamkataa juwa Wewe ni mchawi tu!!!
Uwiiiiiiiiiii
Frestler techniQue was back again
Gonga 💗 kama unamkubal huyu techiQuer
Zahd Al yoh fundi uyu akoseagi
Hatariiiiiiiiii
Kama yupo anayesikiliza Free style 2024 basi tupo wote haap
2geza tunawakilisha
Dah! Bila kukaka kimya wala kuchanganywa na beat aisee! I'm happy to see that Chuma is truly back, sober n stronger! You really mean alot to East Africa. Keep it up Mtoto wa Ilala.
King nimembatiza kuanzia Leo Chidy Benz ndio king baada ya kiti hicho kuondoka na Marehemu MaGwAir Ameamua kumrudishia Mchizi Wake Poa #ChidyBenz #KingofFreestyle100%
Chidbenz uyu ndo la family daresalama standup ana nyota
Hii ndio freestyle bhana, mnaomchukia mkajinyongeeee
Michael Assenga true meaning of FREESTYLE
Michael Assenga true
Dk 3:49 amazing
Michael Assenga 0
Anaemchukia uyu mwamba ana shida zake ila ana mpinzani uyu mwamba
Niko hapa April 20:2019 nimekuja kuwakilisha +254 🇰🇪 tunakubali sana chid Benz king wa rap true freestyle💯🔥🔥🔥
Kaka sio mpaka ufe ndo wakupe cheo ngwair(RIP),we Ni mkali WA freesyle kuliko wote waliotokea
Big up chid B' ooooh much love to you. You're the best ❤
Linapokuja suala la freestyle, Chidy Benz hana mpinzani kwenye hilo.
Ben Msonganzila iko wazi wengi wanaandika ila chid na ngwear noma
weeee hanifikiii mda wangu haujafika tu
Saul Mwakyusa jitahidi
+Saul Mwakyusa mkundu firimbi huwezi chidy ww matako
+Khalifa Mweusi hujui mana ya frestail wewe huyo ndo kauwaaa mkuu
daaaah chid balaaaaaaaah...huyo ndo chuma dullah
kiukweli huyu jamaa ni noma ana pumzi balaa ila ufalme wa freestyle tulishampa ngwair, chid upo vizuri tunakusapoti broo
chidi bana sowamchezomchezp bana
Festo Ntandu nakubali
nakubali
Kweli tulimpa Ngwair ila huyu alishika namba mbili. So kwa kua Ngwair hayupo Chid anasogea namba moja
Chid benzi ameshindikana yan ni non stop ...hahahahah wangeongeza dakika ziwe 15 ili tuendelee kupata radha and that is what we call it freestyle nasio kurudio kuimba nyimbo zisizokuwa namaana
King ni chidi benz
Nanianakataa?
kenya we blv chuma is da best kwa freestyle salute
Kama bado yupo anaeskiliza hii free style ndan ya 2019 niko pamoj nae...
Huyo kuma chid aache unga
2021
2023
Haya ndo mambo tunayoyataka katika freestyle, hatutak mashair ya kuandika. Umetixhaaa brother Chid
Huyo ndio mkali wa freestyle hii nchi akuna kama hyu jamaa
....huyu ndo mkal wa free style ...yaan full puziiiiii
kuntu xana chid by mangi
Nick Mbishi
hukuwah kumfaham marehem gwea ww eeeh
Freestyle machine!!
Hiki kichwa kinabalaa dadeki
Kuna muda inabidi ukweli uwekwe wazi
#realfreestyle✊🏽✊🏽✊🏽👊🏽👊🏽✊🏽
Thats real free style...Keep up KING KONG!!!
chidi mzuri kbsa lkn uraibu maskini mungu amtoe kwenye hilo janga.una weza mzee mzima
Wakati mnampa mangwea king of free style mm sikuwepo na wala sikushiriki . mm na mpa uyu KING KONG ILALA MABEGANI . ngraaaaaaaaaaaaahhh
Irudiwe irudiwe
oooh my God kumbe ukonamnahivi nimekuelewa Chid b... Leo nimekukubali mkali wangu.😍🎶🎵
Uuuuuuuu n mwambaa kweli dar es salaam bila chid Benz amna ktuuuuu
Mmi Mkenya huwa nafagilia saana bongo flavour. Kiukweli tangu hiki kipindi kianze cha freestyle dakika kumi,huyu jamaa kachana bila kuangalia simu,kukatika ama kurudia mistari.HUYU BWANA KIBOKO YAOOO...alafu Msodoki anafuata.....hao wengine kina Mr.berry tuuuuuuu!!!!!
Tumma Bryan
chichichichidy Benz ninoma zaidi ya noma bila kupumua dk 10 nani kama uyo
Chidi best of all time 🔥🔥🔥🔥🔥
my best freestyler ever,,, uwezo wa kufikiri umepungua kidogo ila umeua sana mzee 👏👏👏
26 dec 2019 still kitu ni 🔥🔥... nani uko anaangalia 10 za maangamizi agonge like!!?
chid benz is a best freestyle alive in TZ and EAST AFRICA as well, type like if you agree
duh!!
duu nini umeona nyoka!!!!
akipoa ndo kabisaaaaaatakuwa hakamatiki😎🔉🎶🎵📣
chid benz king of the freestyle in DSM
Geophrey Joseph iko wazi
Geophrey Joseph hatari sanaa huyu jamaa
Anasauti zaidi ya moja
Mungu msimamie huyu kiumbe wako aitendee haki talent yAKE
long live chidi benz number one rapper in bongo yes back in the game no one like this guy
natoka juu mpaka chini kwenye sori
I'm still watching this non stop 2019
Reeeeespect brooo!! saaay Kingkongggggg Tz1 , Ebhana wemkali brooo.
DAAAAHHH HUYU JAMAAAA BALLAAAAAAAAAAHHH KWA FREEEEEEEEEE STYLEEEEEEEEEE
chid upo vizur mleten rayvan tumsikie na yeye japo anaimba ckuiz
Namkubali Sana chid wengine kwenye dakika kumi hua wanakuja wameandika verse kwenye sim big up chid Benz
Jamaa ni moto hakuna mtu anamueza TZ big up man
we jamaaaaaa noma sana dhu allah hazadi kukuepusha na mabaraa ya dunia
King of freestyle in the world
saruuti kwake chid lud jamani kama naliona la familia🖖🖖🖖🖖🖖🖖🖖🖖🖖🖖✊✊✊👊👊👊👊🖒🖒🖒🖒🖒🖒😀😀😀😀😀
Kijana mwenye talent. Usirudie kaka wewe ni Bro mwenye roho nzuri sana. Nakuombea6maduwa
Chuma katisha kinyamwezi#toka 254 namuaminia
Alipofariki Mkali Albert Mangwair niliumia ila baadae nilimtazama Chid Nakusema Kwamba Free Style bado inaishi. Go go go Chumaaaaaaaaa
shikamoo chidy,daaaah cdhan kama kuna wa kubattle na wewe bro maana kufoka dakika 10 bila kukaa kimya hata kidogo so rahisiii.
big up bro na karib tena kwenye game binafsi nilimiss sana uwepo wako hahahaa..😂😂
sasa mtu unang'ang'ana uelewe na freestyle huijui! wew kakomae na mduara na taarabu ,wanaojua nini maana ya freestyle tuache na kingkong wetu. saafi.saaaana CHID BENZ CHUMA
.
Wanasema2 Lkn hawajui Nn Maana freestyle, chid katish San, wakitak vna vipangwe wakaimbe wao
The best best best freestly.. Dah jamaa anajua anajuaa
Ni 12/3/2023. Still on fire
Ni kipaji kitupu. Ana enjoy anachofanya.
Mbona rap rahisi tu,nadinda narinda natinga natimba naminya namimba....kuna sehemu kama vile mhubiri🇰🇪🇰🇪King kong🔥
Daaaah
kama una mkubali CHID gonga like hapa
HIKI KIPAJI HAMNAGA🙌🙌🙌🙌🙌
Daah mm ni wagospel lakin tangu 2019 mpaka sasa nachekaga tu kwa hii freestyle
King free style,tumuombee huyu mwana arudi kwenye hali yake,kama zamani,jamaa yupo vizuri sana,ila unawaumiza mashabuki wako kwa jinsi unavyoshindwa kubadilika,chidi unatisha.
Yaani beat zote chindi ameua mbya sana uko juu man
hadi leo sijaona wa kumfunika huyu mwamba kwenye hii show labda arudie tena....ametembea dakika zote bila one two one two....one two one two...bila me in the house...bila say yeeeeyoooo na bila kmachia Dullah kutianeno lolote😂😂😂😂😂....
Huyu ndo Mkali kama unamkubali gonga like!
Tanzanian king of freestyle
No one like u king Kong ww ni nomaaaaaaaaa braza
Chidi is hip hop monster in Tanzania
now this is true hiphop freestyle. Chidi anafoka tu...thats hiphop. Kingkong,.,u know how we get down get down parampapaha!
Respect to yah broo
Hii ndio maana halisi ya kipaji
wapi diamond alete zake karangaaa mamaaae wameikataaaaa 😀😀😀😀😀😀😀
tanzania son wataipenda tu😂😂😂😂
ezra Lwitiko ila chid mashineee
music and football fans 😆😆😆
Much respect to u nilianza kupenda bongo tu sababu hip-hop ilipotea ila saiz toka urudi jembe nimepiga chini wabana pua tupe vitu kitaa kinahitaji saut yako broo
Wowowooooo chichichichiiiiii beeeenziii🔥🔥🔥🔥🔥
Akuna rapa atakae kuja vunja hii rekod.kwanza zimepigwa bit nying,kila biti inamistari yake.bila kuchoka bit inatendewa haki no kurudia mistar.mpaka jingo imepewa mistar.kam umeelewa gonga like🎉🎉🎉🎉🎉
hyu jamaa kichwa sema tu cjui anayumba wap asee, kila cku lazma niiangalie nikiwa ofisini, gonga like hapa kama unamkubari benz the chid
chid brother mistali yako nakubali kiujumla kazi yako naikubali sanaaaaaa chid chid chidibeenziiiih?
👊👊👊 bado hii ndo best🔥🔥🔥🔥
bro ,respect respect respect ..................weka nolinoliiiii
Non stopper 2024🙌🙌
sijawahi juta msikiliza huyu mwambaaa wa chuma 2 by 6 mdabweshiii 51 mturushumbii chwakachaa🔥🔥🔥🔥🔥
Weweeee benzi benzi tuuu 🔥🔥🔥
Shikamooooooooo yeeeeeeeeaaaaaah chumaaaaaaaaaaa chidiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii king'nkooooooong
Akuna kama chid Tz nzimaa kwaa michanooo bado cjaona mwengnee🔥🔥🔥
Maamaaaeeeee chid nyokoooooo bn had nmelia freestyle
Chid hatar,big up zote kwako
Hamna kama chidy Benz kwa hii fass ya freestyle yaan mpinzan alikua GweAir
sanaaaaa
Bad alikuwepo king zilla
Daaaa chid benzi umetisha Sana mkuu ila bangi utaacha lini kaka😂😂😂 mbavu zangu2😂😂
Kinachoniuma ni kwamba He still Get his Flows,Style ila Uwezo wa Kufikiri Umeshuka ndo maana anaweka Vina lakini hakuna maana, Yani kama Basata wakiangalia wataongeza misamiati mingi ambayo hatujui maana Yake. Tunakuombea Urudi kwenye Ubora wako Bro.
Kwata Unit freestyle LA msingi vina ..content unaipata unapoelewa maneno
Kwata Unit ....maana ya free styl ni kuchana chochote ambacho mwishono kutakua na vina vinavyoendana na sio kuja na mistati ambayo umeiandaa kabla na kama huamnin tafta free styl za cowbama utaona au wakazi au godzilla
Drokens Charz hapo child kachana freestyle na hakuna alichokiandika before
Kabisa mzee
nakukubali sana na freestyle zako chumaaa Chidbenz
chid benzi ni noumer mazee sio kwa kupasuka vile yani jamaa namkubali still he is the king of hop hip
Freestyle kwa dakika 10🔥 #HE IS THE REALLY G.O.A.T🙌🏾
2021
Bado nasikiliza hiyiii dudee Kong Kong nakubali sana chid
Hahahaha eti nna sauti kama damuu
Dan Kirunda Yan saut nzito
Nimefatilia dakika kumi za wasanii wengine naona wanarudia nyimbo walizoziimba nyuma ila Huyu Chidy yeye anaimba kitu kipya Kabisa ila anachokosea vitu anavyoimba havieleweki
Sema ww ndio huelewi freestyle kaka hii anga nyingine
Kumbuka maana ya freestyle... Ni free si lazima uelewe
Ye babaaa
Edward Nyihande...you knw nothing abot mtindo huru bro...!!!
@@piereesaimoni1259 viedoe
chumaaaa aiseee we ni nomaaaa
Nafikiri Chid benz aliacha ameseti standard waliofuata wte walizingua sn
Africa nzima hamna mtu kama huyu ambae yanamtoka tu na wala hatafuti maneno, kama mtu anabisha amtaje mwengine
oiiii kka chid mlithi wa cowbama
Chid benz aliset standard dats free style co wanaogandamiza 🔥🔥🔥🔥
Nimekuelewa sana chuma hii ndio mitindo huru sio wengine wanaangamiza kwa nyimbo walizoandika king Kong noma sana
Chidiiiii salute.... Huyu jamaa hata dakik 50 anaenda bila kupumzika
I would like you to look in his passion to the freestyle.though some of the words are not well spelled.and some hazina maana.
This guy needs to get back to his place. But its just hajapata management ambayo aliipata kipind akiwa kweny peak.
Freestyle--100% i give you #chidibenz
You the king.
KAMA CHUO TWENDE VETA.🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤