Dakika 10 Za Maangamizi : Stamina | Planet Bongo

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ส.ค. 2024
  • Stamina akitumia dakika zake 10 kwa ku free style hip hop ngumu pia , angalia alichokifanya hapa.
    Usikose kusikiliza Planet Bongo kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa saa 7 hadi saa 10 Jion

ความคิดเห็น • 380

  • @malckimbinga1871
    @malckimbinga1871 9 หลายเดือนก่อน +9

    Kama umesikiliza 2023 tumesikiliza wote

  • @petermwenda1186
    @petermwenda1186 5 ปีที่แล้ว +6

    uwa namkubali sana stamina twende zetu jembe like hapa

  • @Mbugokilonda
    @Mbugokilonda 7 ปีที่แล้ว +193

    Tunajivunia sana kuwa na mtu huyu, kama unamkubali sema oyoooooooo

  • @kiokomutua3209
    @kiokomutua3209 5 ปีที่แล้ว +54

    Stamina you got the energy ...Am loving the punch lines from Kenya...karibu upige collabo na khaligraph papa jones baba Yao ...wanna tz gimmie some likes good pipo

    • @josephcharles6429
      @josephcharles6429 4 ปีที่แล้ว +2

      Saluti kwako stamina Mr jeje

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 5 หลายเดือนก่อน

      Si mfanye yenu acheni shobo na Tz. Mnakera.

  • @eliasihande4115
    @eliasihande4115 6 ปีที่แล้ว +16

    "Stamina" MTU mwny ujuzi mkubwa....noma sana aseee big up bro you'll still be de best..

  • @zindunadeson1675
    @zindunadeson1675 7 ปีที่แล้ว +26

    Mnaoxema kazingua mr rostam mmenyimwa hta kipaji cha kutafuna karanga stamina anajua hta mkimchukia hamumxaidii

  • @ronaldomorata8528
    @ronaldomorata8528 6 ปีที่แล้ว +24

    Stamiiiiiinnnnnnnnnnnaaaaaaaaaaa nyooooookkkkkkkkooooo wwwwwwwww kiumbe umetoka sayari gani nakukubariiiiii mchiziiii wannnguuuu. Mbaaaayyyyyyyaaaaa

    • @nadimuch8178
      @nadimuch8178 6 ปีที่แล้ว

      ronaldo morata 🙌🙌🙋🙋🙎🙎🙈🙈

  • @williemwiti5721
    @williemwiti5721 6 ปีที่แล้ว +44

    Young Killer na Fid Q walirap wakisoma mistari kwenye smartphone zao,huyu hasomi popote...#mkaliwao

  • @bubaboy25
    @bubaboy25 4 ปีที่แล้ว +2

    Da huyu stamina ni shiida hana mpizan km unakubal ilo achia like twende sawa

  • @nassibjuma835
    @nassibjuma835 4 ปีที่แล้ว +7

    stamina is behind our own papa Jones the OG's and sarkodie in the best Africa rappers

  • @SuleimanSalum-kk7xx
    @SuleimanSalum-kk7xx 26 วันที่ผ่านมา +1

    Nimesikia 2024

  • @mossesmaduhu2142
    @mossesmaduhu2142 5 ปีที่แล้ว +3

    Hmna rapa Kama huyu kwa saut hii nakubali Kama nwe walubali gonga like

  • @emmanuelymtamaduni2951
    @emmanuelymtamaduni2951 7 ปีที่แล้ว +35

    Daah karudia mistar mingi sana anzia ile ya clouds michano 101. Sema ndo ivoo muhun #SINAJAMBO

    • @zachaamaster5378
      @zachaamaster5378 11 หลายเดือนก่อน

      #san ila ngoja tupite to

  • @didamugya6039
    @didamugya6039 6 ปีที่แล้ว +24

    Alichokifanya Stamina hakina tofauti na alichofanya Msodoki, sijajua kwanini mmemmind huyu halafu Killer mnamsifia

    • @frankfabian2437
      @frankfabian2437 5 ปีที่แล้ว

      Mkali sanaa stamina ila akomae sana aje kumfikia mbea chuma

  • @thierrybisimwa3312
    @thierrybisimwa3312 ปีที่แล้ว +3

    Were Mule Is still the best freestyle rapper to ever happen in this studio.

  • @magilojofrey
    @magilojofrey 5 ปีที่แล้ว +2

    Sitamina ndio king wa kuandika mistari kuntu gonga like kama una saport

  • @barakaekuro
    @barakaekuro ปีที่แล้ว +2

    Ukitaka kujua kama stamina ni GOAT tafuta FOCUS yake boomplay 🔥🔥🔥

  • @pharergyramson5918
    @pharergyramson5918 7 ปีที่แล้ว +5

    Leo umezingua mzeeeeee baba daaah!!! Umeniangusha kinouma... sasa sijui nan ambaye amebaki labda bado Stosh niletee huyu manz asee!!!

  • @kaniyahiouise1474
    @kaniyahiouise1474 5 ปีที่แล้ว +4

    *Kama unamkubali stamina gonga like*

  • @jumannenyabuge83
    @jumannenyabuge83 4 หลายเดือนก่อน

    noma sana anajua hata haspo maliz hizo dakka jaman

  • @dennischarles8524
    @dennischarles8524 7 ปีที่แล้ว +7

    Talented, we salute you stamina

  • @weyamasa6281
    @weyamasa6281 5 ปีที่แล้ว +1

    From Kenya kazi anayo stamina young killer edu boy na dogo dee wako mbele sana

  • @swedykarongo110
    @swedykarongo110 5 ปีที่แล้ว +9

    stamin ww ninoma saaaana big up brathar

  • @jacksonkhahange9667
    @jacksonkhahange9667 6 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa anajua saana🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @nomadlife_ink
    @nomadlife_ink 4 ปีที่แล้ว +1

    Makosa kubwa kutupa jiwe ndani ya kambi.. Stamina always ready. Mad love..

  • @jumatatumtenga8715
    @jumatatumtenga8715 ปีที่แล้ว

    Unajuwa Saaaaana mze ni wakaflaka toka DRC Congo nafagiliya sana kazi zako bro.

  • @sefagomez6883
    @sefagomez6883 5 ปีที่แล้ว +2

    Laisi wakichwa changu NI mimi ✔️❤️ Nani mkuba Kat yapesa Na fera

  • @thomastinega271
    @thomastinega271 ปีที่แล้ว

    naipenda saaaaana iyo sauti ya uyo dem🤣🔥Stamina akispeed kwa mike,ufalme wa Rap ni wake💪mwooo luv from🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @yohanapetro4937
    @yohanapetro4937 4 ปีที่แล้ว

    Kabla sijasikiliza iyo yastamina itakuwa kali

  • @thebobbinjomaster2490
    @thebobbinjomaster2490 6 ปีที่แล้ว +4

    Ahahahahaha Asante Baba Sina Swali Wee Noma Fantastic One Love Kaka Mkubwa

  • @nellypaul6971
    @nellypaul6971 3 ปีที่แล้ว

    Nakupenda Sana mkali stamin mwamba we n kwere hip hop yako

  • @shamimurajabu3219
    @shamimurajabu3219 2 ปีที่แล้ว

    Du brooo anajua sana

  • @nassoropigauwa2503
    @nassoropigauwa2503 2 ปีที่แล้ว

    Ukimtoa young lunya stamina ni hataree na nusu ambao tupo tuna angalia ii 30 august 2022 tujuane

  • @hamisiabdalla9880
    @hamisiabdalla9880 3 ปีที่แล้ว

    Hatari MTU huyu uko sawa bro nakupa shavu mia mia

  • @abelmligo6438
    @abelmligo6438 7 ปีที่แล้ว +1

    fresh sem analudia mistar af kingine anasahau San mistar

  • @mabroukabeid148
    @mabroukabeid148 5 ปีที่แล้ว

    Daah nimekubali mzee baba huna mpinzani bro we kichwa stamina

  • @flyboiog9346
    @flyboiog9346 6 ปีที่แล้ว

    Dah napendaga saaaana
    Heez za maangamizi zina nifanya kuwa na hasira za michano heavy

  • @gideonaire_ke
    @gideonaire_ke 7 ปีที่แล้ว +6

    Noma sana Stamina 🔥

  • @ProCy-lz4xt
    @ProCy-lz4xt 7 ปีที่แล้ว +7

    Hatari sana👂👂 na hapo ndo bado hajaja kimahangamizi sasa akijihandaa kama wengine itakuwaje????? ....👆👉hiyo ni sauti ya mjomba👈

  • @emmanuelymfuse2509
    @emmanuelymfuse2509 7 ปีที่แล้ว +10

    aaaaah, kaza mwana naona pumzi inazingua mpaka unashindwa kuangamiza 🔇🔇🔇

  • @matanokizibo7742
    @matanokizibo7742 2 ปีที่แล้ว

    Stamina hauna mpinzani brooo

  • @AlyalyAly-ti9wi
    @AlyalyAly-ti9wi 4 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤ makin san

  • @privernnorens2317
    @privernnorens2317 ปีที่แล้ว

    Kila nkijaribu kumcriticize nakosa kbs sehem anayobugi yaan jamaa huwa ana uhakika na line zake😁

  • @johnsonkintu2644
    @johnsonkintu2644 4 ปีที่แล้ว

    Braaa braaahhh anauwezo wenye hari yajuu.anasitahiri kuwa king Wa Hipop

  • @donaldtarimo9280
    @donaldtarimo9280 7 ปีที่แล้ว +6

    Chini Ya Kiwango...!!!
    1. Jay Mo
    2. Baghdad
    3. Songa
    4. Stamina

  • @alimajaliwa6049
    @alimajaliwa6049 ปีที่แล้ว

    Iko vizuri

  • @moganlumiti2724
    @moganlumiti2724 4 ปีที่แล้ว

    Mwanangu utachoma kituo,, 254 representing...

  • @kalumboisihaka4239
    @kalumboisihaka4239 4 ปีที่แล้ว +1

    Stamina home boy ninoma sana

  • @mohamednaaman188
    @mohamednaaman188 7 ปีที่แล้ว +4

    Noma sana Stamina

  • @straightkonect1613
    @straightkonect1613 5 ปีที่แล้ว +1

    Ukimdiss STAMINA we huijui hiphop huyu ni FASTER RAPPER so akipiga rap ya dakika kumi sawa na wale wengine nusu saa

  • @nwntz
    @nwntz 4 ปีที่แล้ว +1

    2020 hii hapa tena

  • @denismakweba3870
    @denismakweba3870 2 ปีที่แล้ว

    Uwa nashangaa kusikia Roma anaandika kukuzidi....ila sawa wewe ndiyo unajua lkn mm uwa nakataa😇

  • @benardkiulatano2763
    @benardkiulatano2763 4 ปีที่แล้ว

    Stamina moro yuko poa sana maisha marefu kwake

  • @user-vv5xd3ye4i
    @user-vv5xd3ye4i 7 ปีที่แล้ว +2

    Leo sikomenti chochote...

  • @SennyFleva_1
    @SennyFleva_1 4 ปีที่แล้ว

    Nomaaaa staminaaaaa

  • @shamssaid7632
    @shamssaid7632 7 ปีที่แล้ว +7

    Jamaaa yuko vizur saana lkn namshauri afanye mazoezi. Maana pumzi inahtajika saana

  • @thomashudson9638
    @thomashudson9638 7 ปีที่แล้ว +3

    Dulla uku ukerewe visiwan matangazo ya eastafrica radio yamekata karibia mwezi sasa.

  • @mwikaamusa761
    @mwikaamusa761 5 ปีที่แล้ว

    oyooooooo mbona barida stamina.

  • @hayaishichiza5537
    @hayaishichiza5537 5 ปีที่แล้ว +1

    Bg up my brother , we unatsha kama simba polin.

  • @emmasonathanas8586
    @emmasonathanas8586 4 ปีที่แล้ว

    Stamina kweli ni staa mwenye vina vyake anaimba toka kichwani hala haangalii popote

  • @geniouslover7150
    @geniouslover7150 6 ปีที่แล้ว

    Iko poa sana

  • @Katamba255
    @Katamba255 ปีที่แล้ว

    Here in 2023🙌🏽🔥

  • @hamiskiizah6988
    @hamiskiizah6988 6 ปีที่แล้ว

    du stamina noma xn sema mistar urudia bhana

  • @joohcloudy738
    @joohcloudy738 7 ปีที่แล้ว +1

    ajajiandaa ila kaua ingawa karudia sana mistar hyo Mara mbl tatu kutoka kwenye hit song zake

  • @smartnyanda7896
    @smartnyanda7896 6 ปีที่แล้ว

    dk 10 za maangamiz
    mafundi wao
    1.scoda# pande za Dom
    2. boshoo# home korogwe tanga
    3. nchama the best# rock city mwanza
    4. maarifa # kibaha pwani
    5. wakiafrika
    tano zangu bora hzo

  • @immaamosi9687
    @immaamosi9687 6 ปีที่แล้ว

    Napenda kulapu hata nikifa mniziki studio. Hatali. King stamina

  • @emanuelkabasa2120
    @emanuelkabasa2120 4 ปีที่แล้ว

    huyu mruguru namwelewaga sana

  • @kelvinmhina1685
    @kelvinmhina1685 6 ปีที่แล้ว +2

    "........naitwa Shorobwenzi a.k.a fundi chuma, nayajua mapenzi mpaka wananiita fundi............."

  • @boyclassic5122
    @boyclassic5122 6 ปีที่แล้ว

    Staminaaaaaaaaaaaaaa nomaaaaa saaaanaaaaaaa aminiaaaaa aminaaaaaaa %%%%%

  • @husseingwanone7887
    @husseingwanone7887 7 ปีที่แล้ว +9

    stamina unajua mpaka UNAKERA

  • @artistkilongola422
    @artistkilongola422 6 ปีที่แล้ว

    Morogoro "tunatisha Sanaa big up kwako, kaka stamina

  • @rodrickbm8326
    @rodrickbm8326 5 ปีที่แล้ว

    Rapu zngu zinafnyaga xanamu watikixe vichwa oyaaaah uyoo kati ya mafundii w bongo

  • @sefagomez6883
    @sefagomez6883 5 ปีที่แล้ว +1

    Da Nan kama mimi akuna gonga like twenze2

  • @ounchyttiger
    @ounchyttiger ปีที่แล้ว +1

    Good saaan unatisha

  • @arjunderamtz7249
    @arjunderamtz7249 6 ปีที่แล้ว

    Namkubalii sanaaa Mr bonvenc

  • @stonerstoner8689
    @stonerstoner8689 2 ปีที่แล้ว

    This Stamina Ninja.
    Mambo mbaya

  • @festokayinga7751
    @festokayinga7751 11 หลายเดือนก่อน

    Nakubal

  • @magembefrancis9319
    @magembefrancis9319 7 ปีที่แล้ว +8

    umeangamiza mbaya

  • @benjaminsabi2509
    @benjaminsabi2509 6 ปีที่แล้ว

    salute mzee.. kweli leo umeswitch

  • @fatumamasoud8
    @fatumamasoud8 4 ปีที่แล้ว +2

    Amazing keep it on

  • @zachaamaster5378
    @zachaamaster5378 11 หลายเดือนก่อน

    #konkiii san umeua

  • @msabatozeson9023
    @msabatozeson9023 6 ปีที่แล้ว +1

    mh sijaona mnachompondea stamina, mbona amefanya vizuri sana!!

  • @officialkingrlite1935
    @officialkingrlite1935 6 ปีที่แล้ว

    duuuh xio poa stamina hawakuwezi mzee baba

  • @masaimara3750
    @masaimara3750 7 ปีที่แล้ว +2

    hawa maarufu wanajidai k.mae zao, bora wale underground selementali, sckoba, young killer,p the mc,zaiid wako sawa sanaaa...

  • @Kakab297
    @Kakab297 2 ปีที่แล้ว

    Fayaaaaa

  • @midukekehola4985
    @midukekehola4985 5 ปีที่แล้ว

    nakubar mwanaharakat

  • @ramadhaningusi7525
    @ramadhaningusi7525 6 ปีที่แล้ว

    ooooooyyyyy stamina umetisha bayaa 100%√√√√√

  • @jeremialauden5710
    @jeremialauden5710 6 ปีที่แล้ว

    kaharibu boya uyu karudia mistar

  • @victoriakim6801
    @victoriakim6801 5 ปีที่แล้ว

    Ametisha kinomaaa kam umeielewa i like ap

  • @stonn_boy7370
    @stonn_boy7370 6 ปีที่แล้ว

    Big up bwana mkubwa.......unaweza xanaaaaaaaaaaaaaaa

  • @kelvinijohn899
    @kelvinijohn899 4 ปีที่แล้ว

    Acha stamina awe wa kipekee

  • @mhudinihassani5670
    @mhudinihassani5670 4 ปีที่แล้ว

    Noomaaa sana sitamina

  • @archkeels3753
    @archkeels3753 7 ปีที่แล้ว +1

    Nomaaaaaaaa saanaaaaaaa wazeee

  • @yonathanyona2926
    @yonathanyona2926 6 ปีที่แล้ว +1

    we ndo sholo breeze yan fund chuma,unayajua mapenz mpaka wanakuita fund ........ ,,,,😘😘😘😂😂😂😂😂😂Yan nilishasema ww ndo raisi wa hip hop broooo hao wanaokushindanisha nao wanafuata baada yako,ww ni ninja ambaye umebarikiwa,na kama bado we ni sumu usiepoa kwa maziwa........nooooowma bro stamina

  • @michaelraj7595
    @michaelraj7595 5 ปีที่แล้ว

    nouma xnaaaaa mzee bba umetisha

  • @samuelbatholomeo9530
    @samuelbatholomeo9530 7 ปีที่แล้ว +1

    unajua sema dakik 10 hazijawah kumwacha mtu safe

  • @rehemaibrahim5147
    @rehemaibrahim5147 3 ปีที่แล้ว

    sanaaaaaaaa

  • @user-vz4er8dj3o
    @user-vz4er8dj3o ปีที่แล้ว

    jamani hizi dakika zinaexhimika ila hapo duuuu!!!!!! ninoma sama at stamina oyooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!😮😮😮😮😮😮😮😮

  • @baberyaga7739
    @baberyaga7739 5 ปีที่แล้ว

    Hatareeeeeee

  • @zachaamaster5378
    @zachaamaster5378 11 หลายเดือนก่อน

    #ila umerudia rudia san fanya mazoezi kwabidii