NAFASI ZA KUJIUNGA NA JWTZ 2024 - JESHI LA WANACHI WA TANZANIA LATANGAZA NAFASI ZA KUJIUNGA NA JESHI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ต.ค. 2024
- Nafasi za JWTZ 2024, Nafasi za kujiunga na JWTZ 2024. Soma hapa, assengaonline....
If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
COPYRIGHT VIOLATION
For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright.
Mimi naomba mnisaidie maana ndo ndoto yangu
Smahani naomba kuuliza majina yanawez tok au ndoo bas tena kimwa kimwa na kam a ni kimwa kimwa mbon walitangaz
Naomb nafasi
Hizo barua ziwasilishwe kwa njia gani posta au moja kwa moja ofisini kwao
Tuma kwa Posta itafika, Tumia anuani iliyotolewa kwenye Tangazo
@@habari-24 P1 sana nmekuelewa
Jamn kwani lazima mpk jkt na zile nafas zinazotokaga mwez wa 8 sijui 9 ni za nini????
😱😱😱
Mkpa upite jkt
Nilazima upitie jkt au
Kwa nini jku hawamo
Kwa iyo lele adhimio la bunge kuondoa kigezo cha jkt ilikua ni porojo tu?
Hapo sasa yaani hii nchi ya kikuda sana,Ni mara mia mzee magu hata afufuke leo aisee
Baada ya bunge kuleta lile azimio serekali iliipitisha mpaka Ajira za polisi za mwezi wa tano hawakuweka hicho kigezo na watu wameitwa kwenye usaili,na hawakupita jkt sasa hili la ulinzi ndo wamegoma kukitoa kigezo aisee
Kwan jkt ni lazima🫢🫢
@@YesuJesus-id9kw Ndiyo ndg
Jku je
Anko kwaiyo sisi ambao tumepitia j.k.u hatuna letu
Tangazo lipo kama nilivosoma