Asagwile - Subira (Official Audio)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ธ.ค. 2020
- Asagwile - Subira
Producer: Walter Chilambo
Studio: lovemusicbrand
LYRICS
Aiyayayayaya Yayaya yaya
Yeye yeye
Moyo wangu kuwa na subira ×2
Kuwa na subira aiyayaya kuwa na subira
Kuwa na subiraa
Habari habari za saizi moyo
Minakusalimia Rafiki moyo
Umeshindaje ooh moyo
Najua unamengi ya kusema na mie eeeh
Okay okay
Umeumizwa lakini umetulia moyoo
Umetendwa lakini wavumilia moyoo
Kweli we niwaajabu sana Rafiki moyoo
Wakikuudhi hupaswi gombana we heee moyoo
Wakati unakuja subiri
Mungu ataleta tumaini
Na wala usiogope Amani yako IPO mikononi
Mwa bwanaaa moyo moyo moyo ooh
Eeh
Chorus
Moyo wangu (moyo)kuwa na subira
Moyo moyo wangu
Moyo wangu kuwa subira
Subira kuwa na subira ooh moyo aiyayaya
Yayayaa na subira
moyooooh kuwa naaa kuwa na subira
Moyo oh oh oh uh
Ninacho (ninacho) kupendea moyo
Hekima uliyo nayo lakini tulia tulia moyooo
Acha roho mtakatifu atengeneze aaah
Palipo na mabonde hasawazishe oooh
Fahamu zako na Akiri zako ataziongoza yeye
Umeumizwa lakini umetulia moyo
Umetendwa lakini wavumilia moyo
Kweli we niwaajabu sana Rafiki moyo
Wakikuudhi hupaswi gombana weee moyo
Chorus
Moyo wangu kuwa na subira
moyo wangu kuwa na subira
Moyo wangu kuwa na subira
ipo siku mungu atakuona
Weeee moyo aiyayaya
Yaaaaa kuwa na subira
aah ipo siku yako moyooo kuwa na subira
Nyenyekea mungu Anasikia maombi yako
Utafanikiwa moyo
utakuja kushinda moyo ×3 - เพลง
Nice song
Wooow nice song
💯💯💯💯
This will forever be my favorite song
Wimbo unatia moyo Mungu aendelee kukubariki mtumishi wake
Ameen
Ndaga
Ooh Yes... this song inaweza kukuliza ukitulia kutafakaria na kuongea na moyo wako
My brother
Umeumizwa lakin umetulia moyo🎸🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kaka kaka kaka hakika umenipa wimbo utakao ishi moyoni mwangu
Amen pokea iyo na iwe siraha yako
A iseee uliusema moyo kihisia sana mpk ukaugusa moyo wangu
Mzee wa mashairi konki....... Umetisha umu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥🔥
Water🔥
Nakubali asangwile
Asante sana
Safi kka
good job asa
daaah 💥💥💥💥💥💥
Kaka kaka Mungu akubariki sana , wimbo.swafiiiii
❤️❤️❤️❤️🇹🇿
Nice song 🎧🙏🏽
Very big track
Thanks
woooooooow beautiful beautiful... nimebarikiwa sana it's very encouraging
Thanks so your welcome
Umeimba Sana ,umeandika Sana ni Kaz nzuri kaka, niltaman barnaba one day aimbe Gospel,ila nikikusikiliza wew na msikia barnaba kaka ,🙌
Asante sana My brother
Fundiii✊🏼🙌🏽
Imeisha iyo
Hey you . Unagusa mioyo ya weng tutie moy kwa nyimb zako
Kazi nzuri.
💯💯💯
Wooow I liked it,huu wimbo umenibark toka siku ya Kwanza nausikia🙏
Ubarikiwe Sana
Ubarikiwe xana kaka 👏👏👏
Amen
🐐🔥🔥🙌❤
Good music
😍😍
♥️❤❤❤❤
My fav song 🔥🔥🔥
Asante Fundi
Moyo wangu kua subira
Such an amaizing song.. barikiwa sana kaka
In love with dis song 😩❤️❤️🙏
Thanks so much
I told 🔥🔥🔥🔥
Yes brother thanks so much
Mm siku zote nishabiki yako umetisha kaka,
Mzee wa mashairi konki....... Umetisha umu
Asante my brother
Good music