MAJAMBAZI WATANO WAMEUWAWA NA POLISI KATIKATI YA ZIWA TANGANYIKA KIGOMA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
- Watu watano wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wameuwawa na jeshi la Polisi Mkoani Kigoma katika Ziwa Tanganyika baada ya kutekeleza uporaji wa vifaa mbalimbali vya uvuvi.
Kamanda wa polisi Mkoani Kigoma ACP James Manyama amesema vitu vilivyokuwa vimeporwa na kupatikana ni pamoja na Mashine tatu za Maboti, Simu za wavuvi pamoja na Nyavu za kuvulia usiku wa kuamkia leo December 20.
Hongera sana police
Hongeren sana jeshi la police
Sinachakupa mahasikari wetu ila nawatu hongereni sana kwakazi nzuri
Hongera Jeshi letu kwa kujitoa Mungu awabariki
Tunataka Habari Za Hivyo
Makamanda Wetu
Kazi Za Hivi Dhidi ya Majambazi Ndio Sahihi.
MajAmbazi Wanazingua Mno Wanaichafua Nchi Yetu
Hongereni sana jeshi letu kazi mzurii
Police mmeonesha uwezo mkubwa sana. Mapambano ya kwenye maji si kazi rahisi.MOTISHA kwa hao police jaman. Tz police MMEIVA.
Hongereni sana police wetu kwa kulinda Mali za raia . Nawaambia majambazi Tanzania hatutaki hayo mambo ya shot cut tafuteni kwa jasho lenu.
Mungu ibariki jeshi la tanzania daaa cm kibao hizo walitaka waenda nazo tu hivi hiv
kazi iendelee.iyo ndo kazi sasa
Kazi nzuri sana afande. Kole mulakoze chane bhadada. Hezagigwe muhole mulakola ivyiza iminsi yose.
Hongera jeshi letu imara kwa kazi imara
Allah azidi kuwahifadhi police wetu
Murakoze chanee
Safi jeshi la police
Wakwanza kabisa kuona na kucoment
Ww Abdulrahim mtu anakupiga risasi utamkamataje bila kumjibu kwa risasiiii hahaaaa!!!!! Hivi unafikir ni kitu rahisi sanae mmmh.
Mungu awatetee polis maji wote ,wakitanguliwa na oc Malini mungu awape nguvu na awafunike kwa damu ya yesu🙏🙏🙏🙏
Mungu hawabariki sana kwa kazi zr
Kazi nzur kupngz majmbaz
VIVA TANZANIA ♥️♥️🇹🇿♥️
Safiiiiii Sana
Hongera jeshi letu
Viva Tanzania , tusonge mbele kurudi nyuma mwiko
Ongereni Sana jeshi la police
Bora.muwauwe.majazi.wamexid
imana ibhahezagile
PASCO mwakyoma unaundugu na ambros mwakyoma
Ahsante sanaa kwa habar
Kazi nzuri
Kwani MAGUFULI ALIPOTELEA WAPI? Duh!
Safi sana
🔥🔥
Kigoma hua wapo vzr snaa kweny maswal ya ulinz
Kazi kazi
MAJAMBAZI WATAPATA TABU SANAAAA
Wacha wapate adabu
Good
Kazi mzuri ya askari wetu
Hao si majambazin bali wahuni tu,
😭😭😭😭😭😱😱😱😱😱😱
Kole mulakoze bhadata.
Hawo sio Mapambazi Tusidanganyane Hawooo Ni Vipaka Wachen Kujisifu Kamanda Hawoo ni vipaka Jambazi Hawezi Iba mashine kisha Akatafute Mtu Amuuzie Jambaz Hana MDA Uwo wa kupoteza jambazi Uvamia Banki Na Nyumba Inayo Wekwa Pesa kwa Mtuumiwa zaid Ya hpo Hakuna AMA Dunan
Jifunze kuandika mkuu
Huelewi maana ya neno jambazi
Sisi wa kigoma ndo tunajua na kuiba hizo mashine na kuziuza wanaiba saaana. Kaa kimya kma hujui kuwa mtazamaji
Unajua maana ya kibaka ?
Kuandika kwenyewe ujui, bilashaka hata kusoma pia. Uwelewa wa taarifa tajwa hafifu.
Ukiwa katika shida angalia hii
th-cam.com/video/NNafKCBkKeI/w-d-xo.html
Duh hatar Sana angalia majibizano ya risasi police na majambazi walio vamia wavuvi 👇👇👇👇
th-cam.com/video/nN5nO8QElXI/w-d-xo.html
MNAUWA TUU NDIO KAZI ZENU WATU HAO WA KUSHIKILIWA SIO KUWAUWA MAARIFA AU ELIMU GANI MAISHA YOTE KUTUMIA SILAHA
Nenda kakamate ww kama unafikili ni rahis kumkama jbaz aliejiham na Sira ya moto!!
Nenda we kakamate
Wewe uliona jambazi anakamatwa Kama unakata kuku au pumbavu wewe
Au hiyo kazi ya ujambazi ipo kwa family.
@@dekanyaktown.255 Nafikiri anaumia ndugu zake ndo wamepoteza maisha