MAJAMBAZI WATANO WAMEUWAWA NA POLISI KATIKATI YA ZIWA TANGANYIKA KIGOMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
  • Watu watano wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wameuwawa na jeshi la Polisi Mkoani Kigoma katika Ziwa Tanganyika baada ya kutekeleza uporaji wa vifaa mbalimbali vya uvuvi.
    Kamanda wa polisi Mkoani Kigoma ACP James Manyama amesema vitu vilivyokuwa vimeporwa na kupatikana ni pamoja na Mashine tatu za Maboti, Simu za wavuvi pamoja na Nyavu za kuvulia usiku wa kuamkia leo December 20.

ความคิดเห็น • 66

  • @michealmasai3080
    @michealmasai3080 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana police

  • @ahmadseif7241
    @ahmadseif7241 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongeren sana jeshi la police

  • @sylvesterludamellah8572
    @sylvesterludamellah8572 2 ปีที่แล้ว

    Sinachakupa mahasikari wetu ila nawatu hongereni sana kwakazi nzuri

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera Jeshi letu kwa kujitoa Mungu awabariki

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu7246 2 ปีที่แล้ว +2

    Tunataka Habari Za Hivyo
    Makamanda Wetu
    Kazi Za Hivi Dhidi ya Majambazi Ndio Sahihi.
    MajAmbazi Wanazingua Mno Wanaichafua Nchi Yetu

  • @khadijahomankweliyamjahaya7421
    @khadijahomankweliyamjahaya7421 2 ปีที่แล้ว

    Hongereni sana jeshi letu kazi mzurii

  • @zainabjuma7460
    @zainabjuma7460 2 ปีที่แล้ว +1

    Police mmeonesha uwezo mkubwa sana. Mapambano ya kwenye maji si kazi rahisi.MOTISHA kwa hao police jaman. Tz police MMEIVA.

  • @longinemuhumba3804
    @longinemuhumba3804 2 ปีที่แล้ว +5

    Hongereni sana police wetu kwa kulinda Mali za raia . Nawaambia majambazi Tanzania hatutaki hayo mambo ya shot cut tafuteni kwa jasho lenu.

  • @aminahamisi2837
    @aminahamisi2837 2 ปีที่แล้ว

    Mungu ibariki jeshi la tanzania daaa cm kibao hizo walitaka waenda nazo tu hivi hiv

  • @winchislausignas4678
    @winchislausignas4678 2 ปีที่แล้ว +2

    kazi iendelee.iyo ndo kazi sasa

  • @liberatusnsekela3997
    @liberatusnsekela3997 2 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri sana afande. Kole mulakoze chane bhadada. Hezagigwe muhole mulakola ivyiza iminsi yose.

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 2 ปีที่แล้ว

    Hongera jeshi letu imara kwa kazi imara

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 2 ปีที่แล้ว

    Allah azidi kuwahifadhi police wetu

  • @stivepeter8054
    @stivepeter8054 2 ปีที่แล้ว

    Murakoze chanee

  • @slicehamfrey3504
    @slicehamfrey3504 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi jeshi la police

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 2 ปีที่แล้ว +2

    Wakwanza kabisa kuona na kucoment

  • @faridymkojera6144
    @faridymkojera6144 2 ปีที่แล้ว +2

    Ww Abdulrahim mtu anakupiga risasi utamkamataje bila kumjibu kwa risasiiii hahaaaa!!!!! Hivi unafikir ni kitu rahisi sanae mmmh.

    • @sporafesto3894
      @sporafesto3894 ปีที่แล้ว

      Mungu awatetee polis maji wote ,wakitanguliwa na oc Malini mungu awape nguvu na awafunike kwa damu ya yesu🙏🙏🙏🙏

  • @michaelmoro4801
    @michaelmoro4801 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu hawabariki sana kwa kazi zr

  • @Chaula24
    @Chaula24 2 ปีที่แล้ว +1

    Kazi nzur kupngz majmbaz

  • @sdeshnjwetr6707
    @sdeshnjwetr6707 2 ปีที่แล้ว

    VIVA TANZANIA ♥️♥️🇹🇿♥️

  • @J4UPro
    @J4UPro 2 ปีที่แล้ว

    Safiiiiii Sana

  • @renbethponera6059
    @renbethponera6059 2 ปีที่แล้ว

    Hongera jeshi letu

  • @yasintakahamba1320
    @yasintakahamba1320 2 ปีที่แล้ว

    Viva Tanzania , tusonge mbele kurudi nyuma mwiko

  • @hashimabdalah3161
    @hashimabdalah3161 2 ปีที่แล้ว

    Ongereni Sana jeshi la police

  • @AnaAna-bt2vq
    @AnaAna-bt2vq 2 ปีที่แล้ว

    Bora.muwauwe.majazi.wamexid

  • @stivepeter8054
    @stivepeter8054 2 ปีที่แล้ว

    imana ibhahezagile

  • @ummusamatar2821
    @ummusamatar2821 2 ปีที่แล้ว

    PASCO mwakyoma unaundugu na ambros mwakyoma

  • @AbdurRashid-ul6pu
    @AbdurRashid-ul6pu 2 ปีที่แล้ว

    Ahsante sanaa kwa habar

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 2 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 2 ปีที่แล้ว

    Kwani MAGUFULI ALIPOTELEA WAPI? Duh!

  • @rahamrahma6259
    @rahamrahma6259 2 ปีที่แล้ว

    Safi sana

  • @Madmax_kingTz
    @Madmax_kingTz 2 ปีที่แล้ว +1

    🔥🔥

  • @mussabinford9872
    @mussabinford9872 2 ปีที่แล้ว

    Kigoma hua wapo vzr snaa kweny maswal ya ulinz

  • @jovinmakene1572
    @jovinmakene1572 2 ปีที่แล้ว

    Kazi kazi

  • @lastgospel706
    @lastgospel706 2 ปีที่แล้ว +1

    MAJAMBAZI WATAPATA TABU SANAAAA

  • @allenevason2541
    @allenevason2541 2 ปีที่แล้ว

    Good

  • @njiliclassic228
    @njiliclassic228 2 ปีที่แล้ว

    Kazi mzuri ya askari wetu

  • @abeidawadh7600
    @abeidawadh7600 2 ปีที่แล้ว

    Hao si majambazin bali wahuni tu,

  • @officialkevinr7
    @officialkevinr7 2 ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭😭😱😱😱😱😱😱

  • @liberatusnsekela3997
    @liberatusnsekela3997 2 ปีที่แล้ว

    Kole mulakoze bhadata.

  • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
    @sanoureyaliwadoakaroyo1696 2 ปีที่แล้ว

    Hawo sio Mapambazi Tusidanganyane Hawooo Ni Vipaka Wachen Kujisifu Kamanda Hawoo ni vipaka Jambazi Hawezi Iba mashine kisha Akatafute Mtu Amuuzie Jambaz Hana MDA Uwo wa kupoteza jambazi Uvamia Banki Na Nyumba Inayo Wekwa Pesa kwa Mtuumiwa zaid Ya hpo Hakuna AMA Dunan

    • @ismailchongera9812
      @ismailchongera9812 2 ปีที่แล้ว +1

      Jifunze kuandika mkuu

    • @johnstephano6486
      @johnstephano6486 2 ปีที่แล้ว

      Huelewi maana ya neno jambazi

    • @hamisiissa4463
      @hamisiissa4463 2 ปีที่แล้ว

      Sisi wa kigoma ndo tunajua na kuiba hizo mashine na kuziuza wanaiba saaana. Kaa kimya kma hujui kuwa mtazamaji

    • @malimarichard2854
      @malimarichard2854 2 ปีที่แล้ว

      Unajua maana ya kibaka ?

    • @SampleKiller99
      @SampleKiller99 2 ปีที่แล้ว

      Kuandika kwenyewe ujui, bilashaka hata kusoma pia. Uwelewa wa taarifa tajwa hafifu.

  • @Bayothomusic
    @Bayothomusic 2 ปีที่แล้ว

    Ukiwa katika shida angalia hii
    th-cam.com/video/NNafKCBkKeI/w-d-xo.html

  • @sbboymkaliofficial9108
    @sbboymkaliofficial9108 2 ปีที่แล้ว +1

    Duh hatar Sana angalia majibizano ya risasi police na majambazi walio vamia wavuvi 👇👇👇👇
    th-cam.com/video/nN5nO8QElXI/w-d-xo.html

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 2 ปีที่แล้ว +2

    MNAUWA TUU NDIO KAZI ZENU WATU HAO WA KUSHIKILIWA SIO KUWAUWA MAARIFA AU ELIMU GANI MAISHA YOTE KUTUMIA SILAHA

    • @renatusmisigaro6332
      @renatusmisigaro6332 2 ปีที่แล้ว +7

      Nenda kakamate ww kama unafikili ni rahis kumkama jbaz aliejiham na Sira ya moto!!

    • @marymanoni5536
      @marymanoni5536 2 ปีที่แล้ว +2

      Nenda we kakamate

    • @rashidyally8715
      @rashidyally8715 2 ปีที่แล้ว +3

      Wewe uliona jambazi anakamatwa Kama unakata kuku au pumbavu wewe

    • @dekanyaktown.255
      @dekanyaktown.255 2 ปีที่แล้ว +3

      Au hiyo kazi ya ujambazi ipo kwa family.

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 2 ปีที่แล้ว +2

      @@dekanyaktown.255 Nafikiri anaumia ndugu zake ndo wamepoteza maisha