MWENDOKASI IMEFELI? JIONEE RIPOTI YA UCHUNGUZI | KASRI LA KIKEKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 213

  • @nasirahassan9373
    @nasirahassan9373 3 หลายเดือนก่อน +65

    Kikeke umekuja kufanya mapinduz ya WANAHABARI yani kama naangalia BBC the way waandishi wa habari wanavo present! hii kama sio tanzania kabisa kongole kwako KIKEKE

  • @dr_donye
    @dr_donye 3 หลายเดือนก่อน +35

    Kikeke wa moto sana na team yake 🔥🔥🔧 crown inaleta habari za moto mashaallah watu wanapekua kila angle ❤❤❤💜👑🏠

  • @HASASON
    @HASASON 3 หลายเดือนก่อน +27

    Journalism inagain respect kupitia crown media, ni ukweli media nyingi Tanzania zinaongozwa na failures watu wenye akili ndogo sana, crown imeleta revolution unafatilia story mpaka unaridhika

    • @Mr-GMB
      @Mr-GMB 3 หลายเดือนก่อน +2

      Labda huko mbeleni nao wasibanwe kama media nyingine zilivyobanwa na kugeuka😅

  • @stateofart1089
    @stateofart1089 3 หลายเดือนก่อน +41

    Hii redio ni ya moto, wengi wanajipendekeza kwenye serikali ila hii ni kiboko. Kikeke amewasha moto

    • @starjay3052
      @starjay3052 3 หลายเดือนก่อน +2

      dah kweli amini damu yangu kikeke kama bbc amini alafu kikeke. dunia anajua anachokifanya

    • @dicksontimotheo7617
      @dicksontimotheo7617 3 หลายเดือนก่อน

      kweli asee zile rsdio nyingine kila wanaongelea mapenzi tu ndoa mahusiano asee tunashkuru sana ila tuombe mungu wasinunuliwe tu

  • @talibthetruth8709
    @talibthetruth8709 3 หลายเดือนก่อน +35

    Yani kwa hakika siku hizi tunapata taarifa nzuri

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 3 หลายเดือนก่อน +16

    Ahsante sana Crown👑 nyie ni radio ya uma👏🏽👏🏽👏🏽🫱🏽‍🫲🏾

  • @talibthetruth8709
    @talibthetruth8709 3 หลายเดือนก่อน +20

    Yani crown ni habar kma nje vile❤

  • @shabanimpalazo2695
    @shabanimpalazo2695 3 หลายเดือนก่อน +16

    Safi sana nakuona kama Kikeke namba 2 upo vizuri sana ndugu yangu

  • @Ndenza
    @Ndenza 3 หลายเดือนก่อน +6

    Media nyingine wanatumiaga camera za itel croun imekuja na iphone 20 kabla haijatoka kabisa namaanisha hii sio level za Dunia hi angavu sana❤❤❤❤

  • @MarthaBura-or8fe
    @MarthaBura-or8fe 3 หลายเดือนก่อน +15

    Hongera kikeke na na time Yako maana kocha ni kikeke

  • @collinsstanley6126
    @collinsstanley6126 2 หลายเดือนก่อน +1

    Good work kikeke hakuna sifa ni transparency

  • @Relis_talkswisdom.
    @Relis_talkswisdom. 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mzee muchunguzi anaongea kitaalamu sana ,anahitaji interview ndefu.

  • @BarakerZeonlist
    @BarakerZeonlist 3 หลายเดือนก่อน +5

    HII CHANEL IPO POSA SANA MWANDISHI UMEUPIGA MWINGI KEEP UP U DESERVE SUBSCRIPTION

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera Crown TV Habari Yako imejaa uchambuzi wa pande zote. " Watoa huduma na wanaohudumiwa,,".

  • @Sampovoice8088
    @Sampovoice8088 3 หลายเดือนก่อน +17

    BBC ya Tanzania 🇹🇿 crown media

    • @Thekidp3702
      @Thekidp3702 3 หลายเดือนก่อน +1

      BBC ni uchafu ,Usifananishe na CROWN baba lao😊

    • @fredducaunt
      @fredducaunt 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@Thekidp3702😂😂
      BBC ya Tanzania dogo

    • @Thekidp3702
      @Thekidp3702 2 หลายเดือนก่อน

      @@fredducaunt Bbc uchafu

  • @BrunojnrMz
    @BrunojnrMz 3 หลายเดือนก่อน +4

    Hiii Media ina criativity saana. Congractulation kwenu🎉

  • @augenmagabila3081
    @augenmagabila3081 3 หลายเดือนก่อน +1

    HONGERENI SANA CROWN MEDIA KWA HABARI YENYE UWAZI, PICHA ANGAVU NA SAUTI NZURI 👏👏👏👏

  • @OmaryKiduka
    @OmaryKiduka 3 หลายเดือนก่อน +7

    Dah aisee hii tv itafka mbali sana

  • @twentyacresfarms3464
    @twentyacresfarms3464 3 หลายเดือนก่อน +10

    Habari imenyooka sana hii safi sana

  • @rajabubonero6396
    @rajabubonero6396 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hongereni sana.. kipindi kimekaa vizuri

  • @isayakitaponda8337
    @isayakitaponda8337 2 หลายเดือนก่อน

    Positive news.

  • @PeterGunze
    @PeterGunze 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dr. Mchunguzi ni safi sana forward thinking

  • @cartalunya
    @cartalunya 3 หลายเดือนก่อน +6

    hamna ayo asiejua ayo wote ni 🔥🔥🔥🔥

  • @alexmavindi2104
    @alexmavindi2104 3 หลายเดือนก่อน +3

    BBC ndani ya CROWN MEDIA, Congratulations 😁👏👏

  • @AbdullahMwela
    @AbdullahMwela 3 หลายเดือนก่อน +2

    Camera za crown 📸

  • @salimhamad3878
    @salimhamad3878 3 หลายเดือนก่อน +8

    Nilikuwa nasubir kwa hamu Media itakayo fanya cover ya issue ya mwendo kasi maana vyombo vya Habari vilikaa kimya kutokureport kitu muhimu kama hiki

    • @ANDREWAMANI-se4bp
      @ANDREWAMANI-se4bp 3 หลายเดือนก่อน

      Nakuunga mkono mzee sisi watumiaji tunaelewa ugumu WA huu usafir

    • @NardhisMhagama-sy3eq
      @NardhisMhagama-sy3eq 2 หลายเดือนก่อน

      SI wanakataza watu wasitowe taarifa utakamatwa mtakosa ya mitandao

    • @NardhisMhagama-sy3eq
      @NardhisMhagama-sy3eq 2 หลายเดือนก่อน

      Mawaziri wapande mwendokasi wakati Wana waogopa raia kwasababu ni waongo Kwa ahadi

    • @NardhisMhagama-sy3eq
      @NardhisMhagama-sy3eq 2 หลายเดือนก่อน

      Mwishowe MTA muita DPW msidanganye watu dawa nikutobowa nzege nakufunga reli

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 2 หลายเดือนก่อน +2

    BBC ya bongo...hongera Salim Kikeke kwa kuleta mapinduzi ktk sekta ya habari

  • @DazzWazenji-uy6cr
    @DazzWazenji-uy6cr 3 หลายเดือนก่อน +1

    Crown media noma❤❤

  • @kidsontemba1641
    @kidsontemba1641 3 หลายเดือนก่อน

    Aiseeeeee mwandishi wa habari. Kongole sanaaa nimeenjoy kuitazama hiii habari yako. INAVUTIA, INAELEWEKA VIZURI KABISAAA NA haichoshi kusikiliza haina makele mengi yaan iko kwa viwango vya kimataifa hongera sana crown media

  • @HemedDaudi
    @HemedDaudi 3 หลายเดือนก่อน +1

    Aisee crown mumegusa kwenyewe mwendokasi ni majanga sana yaani shida tupu binafsi sipandagi magari hayo saiv

  • @DambweRama
    @DambweRama 3 หลายเดือนก่อน +1

    CROWN HAPA NI NYUMBANI 👑👑🎉🎉

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 3 หลายเดือนก่อน +3

    Imepowa crown 👑 hapa ninyumban

  • @godfreymwikola8232
    @godfreymwikola8232 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ase safi sana hadi namuona anaepiga pesa zake kwa kesh money mko vizuri kufatilia tabu anazo pitia mtanzania

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 3 หลายเดือนก่อน +4

    Crown hatuna baya

  • @DavidYamungu-rl5os
    @DavidYamungu-rl5os 3 หลายเดือนก่อน +36

    Wa Pili Naomba Like zangu za Crown Hapa Ni Nyumban ❤

    • @christianmatosha4283
      @christianmatosha4283 3 หลายเดือนก่อน +1

      Unaomba like we mtoto wa kike? Acheni ushamba wanongo😅

    • @BarakerZeonlist
      @BarakerZeonlist 3 หลายเดือนก่อน

      CHUKUA LIKE NA COMMENT

  • @FahareJuma
    @FahareJuma 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mbondiya salimu kikeke so de mozambeq
    Napenda sana crown media😅😊😊😅😮

  • @barakaPaulo-ei8zp
    @barakaPaulo-ei8zp 3 หลายเดือนก่อน

    Kubaliiii sanaaa Crown 👑tv and Fm

  • @OmaryKiduka
    @OmaryKiduka 3 หลายเดือนก่อน +7

    Kiukweli mwendi kas zinatesa sana

  • @ANDREWAMANI-se4bp
    @ANDREWAMANI-se4bp 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo mmetisha sana asante kwa kutufikia.
    Solution ni hiyo
    Magari yaongezwe na mfumo wanmalipo ubadilishwe kutatua taizo la mtu unafika kituoni unaambiwa chenji hamna

    • @daudimangire4976
      @daudimangire4976 2 หลายเดือนก่อน

      Mfano angalieni kimara mwisho to kibaha foleni hakuna hivo barabara kuu zisiwe na mwendo kasi

  • @Kimweri_tz
    @Kimweri_tz 3 หลายเดือนก่อน +5

    Kikeke on 🔥

  • @idrisaibrahim9537
    @idrisaibrahim9537 3 หลายเดือนก่อน +7

    hii ndio media ya wana nchi apa ni nyumbani

  • @WendoJuma
    @WendoJuma 3 หลายเดือนก่อน +8

    Kule kwengine utaskia Lokole kanyamba pamoja na mashalove😂

    • @SalumMushi
      @SalumMushi 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hahahahahaha

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 3 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sanaa kikeke hy ndokazi ya kutatua changamoto ndotunayo itaka

  • @dicksontimotheo7617
    @dicksontimotheo7617 3 หลายเดือนก่อน +2

    CROWN MEDIA TUNAOMBA MSINUNULIWE KABISA HIZI NDO HABARI TUNAZOZITAKA SISI, NNAWASIWASI WAKIONA MPO LESS HIVI WATAKUJA KUWANUNUA TU MSIKUBALI HATUTAKI.................

  • @BRIGHTMORNINGMINISTRIES-xf1pr
    @BRIGHTMORNINGMINISTRIES-xf1pr 2 หลายเดือนก่อน

    I appreciate this station

  • @unclegmihale455
    @unclegmihale455 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nzur sana

  • @BabuAli-zv8gn
    @BabuAli-zv8gn 2 หลายเดือนก่อน

    Mama ni msikivu atalifanyia kazi hilo InshaAllah

  • @ALiBAba-zz2td
    @ALiBAba-zz2td 3 หลายเดือนก่อน +2

    impressive

  • @mosesmdindile332
    @mosesmdindile332 3 หลายเดือนก่อน

    Big up crown media

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ni mradi wa Kwanza kufeli kutokana na kuwa na wateja wengi, dah! Hii inapatikana Tanzania tu

    • @Mahene-w1l
      @Mahene-w1l 2 หลายเดือนก่อน

      Yaan hapo huu ni utakatishaj wa mradi kutok Kwa vigogo Wenye Daladal zao hapo mjini,Unadhan serikali haioni na Uhitaji wa mabasi WANAON Sana Sema mwend Kasi inauliwa na haohao wa serikal

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 หลายเดือนก่อน

      @@Mahene-w1l hiyo ndio TZ,,,dah!

  • @jumannemfaume
    @jumannemfaume 2 หลายเดือนก่อน

    Safiiii crown media

  • @ascendtogreatness24
    @ascendtogreatness24 3 หลายเดือนก่อน +7

    Taarifa inatolewa kisasa hadi raha

  • @DeusMasunga-lq1jo
    @DeusMasunga-lq1jo 3 หลายเดือนก่อน

    Huy ndo therealtemedayoo❤❤#Crownhapani nyumbani

  • @sadile1057
    @sadile1057 3 หลายเดือนก่อน +2

    Safi

  • @Chida
    @Chida 3 หลายเดือนก่อน +3

    Uhondo huu ni kutoka Crown Media tu

  • @OmaryKiduka
    @OmaryKiduka 3 หลายเดือนก่อน +5

    Ila hiz kampuni zngekua kama tatu ingekua sawa mno

  • @SalumMushi
    @SalumMushi 3 หลายเดือนก่อน

    Crown media safi sana, king kiba

  • @JoelMafulahya
    @JoelMafulahya 3 หลายเดือนก่อน

    👑 salute

  • @Laiterz007
    @Laiterz007 3 หลายเดือนก่อน +3

    ❤❤

  • @godfreymwikola8232
    @godfreymwikola8232 2 หลายเดือนก่อน +1

    Media zingine zinasifisifia wakat mambi hayaendi sjawahi sikia taarifa hii kwenye media yeyote

  • @swaggerizedninjagoseprocom8523
    @swaggerizedninjagoseprocom8523 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mwendokasi haijakizi kabisaaaaa

  • @eliasakhamisi7947
    @eliasakhamisi7947 3 หลายเดือนก่อน +6

    Hizi ndizo habari acha misifa ya kipuuzi

  • @eliaspius4949
    @eliaspius4949 3 หลายเดือนก่อน

    Temidayo kazi nzuri sana kaka

  • @MpendaNgalagale
    @MpendaNgalagale 2 หลายเดือนก่อน

  • @omarylugusha
    @omarylugusha 2 หลายเดือนก่อน +1

    Habari bora kuwahi kutokea Tanzania

  • @fadhilidanieli1478
    @fadhilidanieli1478 3 หลายเดือนก่อน

    Daaaaah safi saaaana

  • @Brama_A37
    @Brama_A37 3 หลายเดือนก่อน

    Temidayo on Fire💥💥🙌

  • @denismugisha2
    @denismugisha2 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kama kawaida wanahabari igeni sasa kwa Kikeke ruksa kwasababu huwa hamjiongezi uongo mwingi na uchawa sasa hapa mkiiga ni vizuri.

  • @GIDEONEMMANUEL-hb3ok
    @GIDEONEMMANUEL-hb3ok 3 หลายเดือนก่อน +2

    🎉🎉

  • @bakarimakalo7128
    @bakarimakalo7128 2 หลายเดือนก่อน

    Mwendo Kasi: Tatizo ubunifu katika uendeshaji wa huduma hii ya Mwendo Kasi. Mh. Kindamba lazima kuwe aina TATU ya mabasi. 1. Haraka Services - Mabasi mengi madogo aina Coasters DalaDala 2. Mabasi makubwa ya kawaida 65 seats 3. Mabasi makubwa Kumba Kumba ambayo yatapewa nafasi kubwa kutumia miundombinu mipya. Katika makundi matatu haya kila moja liwe na utawala wake Zonal administration wenye mipango ya utawala wa fedha, ubunifu na uendeshaji. Zonal zipewe nafasi ya kushindana ili marupurupu yao yategemee TIJA. Juu ya Zonal hizo tatu kuwe na Muangalizi Mkuu kwa Cheo cha Mkurugezi Mkuu. Bila ushindani wa ndani Mwendo Kasi Haitafanikiwa.

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad2736 2 หลายเดือนก่อน +1

    Na hichi ndio tunahitaji kiendelee

  • @NoelChambo
    @NoelChambo 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mzee wa kihaya kaongea kitaalam

  • @MarthaBura-or8fe
    @MarthaBura-or8fe 3 หลายเดือนก่อน +7

    Mwendo Kasi sije nyingi daladala zisirudi zitaongeza foleni

  • @Joecharles-vu7lo
    @Joecharles-vu7lo 3 หลายเดือนก่อน +5

    Tuweke na train kama inawezekana watu wanazidi kuongzeka .

  • @mathayobmasunzu278
    @mathayobmasunzu278 3 หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @SultanTz255
    @SultanTz255 2 หลายเดือนก่อน

    Salim kikeke toka arudi tanzania amekuwa yupo kimya kwa muda mrefu lakini si kwa sababu tu kwamba alikuwa hana kazi ya kufanya bali alikuwa akiwafua vijana kwa ajili ya kuandaa media yake vizuri ndiyo maana leo tukisikiliza crown media ni kama vile unasikiliza bbc au ni kama unatazama b b c kwanza ukisikiliza quality ya sauti ambazo vijana wanazungumza au wanapokuwa wakielezea ni kama vile uko bbc kabisa unaona kwa hiyo sasa amekuja na mapinduzi makubwa sana na tunampongeza sana salim kikeke azidi kupambana tunaamini kwamba hii itakuwa ni media kubwa sana ambayo itakuwa na mapinduzi tanzania hakuna media ambayo ina quality ya sauti au inawatangazaji ambao wanaelezea vizuri ukaelewa yaani hata sehemu ambayo imerekodiwa ina kelele inakuwa iko katika utulivu na sauti unaiskia mtangazaji akielezea au sauti ya mtu ambaye akihojiwa vizuri hongera sana salim keke

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 2 หลายเดือนก่อน +1

    Chombo cha habari inabidi kiwe hivi kongole sana

  • @JovinPeter
    @JovinPeter 3 หลายเดือนก่อน +2

    Crown taifa

  • @dottombilinyi5979
    @dottombilinyi5979 3 หลายเดือนก่อน +2

    yap

  • @jonasizack6712
    @jonasizack6712 2 หลายเดือนก่อน +1

    MWENDOKASI NDIO BIASHARA YA KWANZA KUFA KWA KUZIDIWA NA WATEJA.

  • @princekagame8203
    @princekagame8203 2 หลายเดือนก่อน

    Yaaan vitu vingine vinachekesha sana nipeni mimi kazi ya kusimamia nionyeshe mfan hiki kinachoendelea ni upuuzi

  • @MfiriFulgensi
    @MfiriFulgensi 2 หลายเดือนก่อน

    Ongera ndugu mwandishi hii kampuni inawaibia watanzania na kuwapa hasara kwa kuwachelewesha kszini

  • @JovinPeter
    @JovinPeter 3 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo sijui ni mama au Shangai ni hovyo tu

  • @DeodatusiLyaruuu
    @DeodatusiLyaruuu 3 หลายเดือนก่อน

    Crown mnafanya kitu kizuri Sana video Ina quarry nzuri sound nzur ongera

  • @halimaomari-h4u
    @halimaomari-h4u 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mfano wasafi kila habari unakuta wanaongelea familia ya diamond au diamond mwenyewe

  • @odena5446
    @odena5446 2 หลายเดือนก่อน +1

    Umekaa zako saa moja mwendo Kasi haziji unashangaa zinapita tupu eti zimeandikwa out of time kweli

  • @mohamedomari6129
    @mohamedomari6129 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mradi ukisimamiwa na watumishi wa umma shughuli imeisha. Utasikia changamoto na mchakato kila kukicha.

  • @salamSalehhhhh
    @salamSalehhhhh 3 หลายเดือนก่อน +3

    Rais wa jamuhur ya muungano wa tz fanya kitu mama angu tunateseka sisi wenye maisha ya chini nunua Ata magari ya umeme

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 หลายเดือนก่อน

    Emirate duh Waarab kwenye mwendokasi

  • @Laughter_man
    @Laughter_man 3 หลายเดือนก่อน +4

    Wa kwanza mimi leo🎉🎉😂😂😂

  • @fatmaathumani7116
    @fatmaathumani7116 2 หลายเดือนก่อน

    Safi sana mtupe vitu vya kueleweka sasa

  • @JacksonDominicko-y8v
    @JacksonDominicko-y8v 2 หลายเดือนก่อน

    Ako kadada kawanza nimekapenda kwel

  • @deejeydaev
    @deejeydaev 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mtu wa graphics ni mkali

  • @Yayouselim
    @Yayouselim 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli jamani mabasi 80 si aibu hiii

  • @smallscaleminingsupplies9670
    @smallscaleminingsupplies9670 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mwendo kasi inahitaji mwekezaji aweke gari za kutosha Dart wamefeli

  • @peternguluchuma
    @peternguluchuma 2 หลายเดือนก่อน

    Hii ndio Radio ya kweli sasa

  • @saidimwanyiro5147
    @saidimwanyiro5147 3 หลายเดือนก่อน +3

    Wekeni miundombinu ya train za majini kuondoa ttz mabas pekee hayawez kuondoa ttz

  • @FortunataNguma
    @FortunataNguma 2 หลายเดือนก่อน

    Waturudishie daladala .
    Bajaji sh 5000 kutoka kariakoo mpaka mbezi .mwendokasi zinajaa unaweza fia ndani na magonjwa ya kuambukiza ukirudi

  • @KIVUMBITV
    @KIVUMBITV 3 หลายเดือนก่อน +3

    Safi sana kikeke

  • @MfiriFulgensi
    @MfiriFulgensi 2 หลายเดือนก่อน

    Bila ushindani hakuna kitakachoendelea