Kikeke umekuja kufanya mapinduz ya WANAHABARI yani kama naangalia BBC the way waandishi wa habari wanavo present! hii kama sio tanzania kabisa kongole kwako KIKEKE
Journalism inagain respect kupitia crown media, ni ukweli media nyingi Tanzania zinaongozwa na failures watu wenye akili ndogo sana, crown imeleta revolution unafatilia story mpaka unaridhika
Aiseeeeee mwandishi wa habari. Kongole sanaaa nimeenjoy kuitazama hiii habari yako. INAVUTIA, INAELEWEKA VIZURI KABISAAA NA haichoshi kusikiliza haina makele mengi yaan iko kwa viwango vya kimataifa hongera sana crown media
Hapo mmetisha sana asante kwa kutufikia. Solution ni hiyo Magari yaongezwe na mfumo wanmalipo ubadilishwe kutatua taizo la mtu unafika kituoni unaambiwa chenji hamna
CROWN MEDIA TUNAOMBA MSINUNULIWE KABISA HIZI NDO HABARI TUNAZOZITAKA SISI, NNAWASIWASI WAKIONA MPO LESS HIVI WATAKUJA KUWANUNUA TU MSIKUBALI HATUTAKI.................
Yaan hapo huu ni utakatishaj wa mradi kutok Kwa vigogo Wenye Daladal zao hapo mjini,Unadhan serikali haioni na Uhitaji wa mabasi WANAON Sana Sema mwend Kasi inauliwa na haohao wa serikal
Mwendo Kasi: Tatizo ubunifu katika uendeshaji wa huduma hii ya Mwendo Kasi. Mh. Kindamba lazima kuwe aina TATU ya mabasi. 1. Haraka Services - Mabasi mengi madogo aina Coasters DalaDala 2. Mabasi makubwa ya kawaida 65 seats 3. Mabasi makubwa Kumba Kumba ambayo yatapewa nafasi kubwa kutumia miundombinu mipya. Katika makundi matatu haya kila moja liwe na utawala wake Zonal administration wenye mipango ya utawala wa fedha, ubunifu na uendeshaji. Zonal zipewe nafasi ya kushindana ili marupurupu yao yategemee TIJA. Juu ya Zonal hizo tatu kuwe na Muangalizi Mkuu kwa Cheo cha Mkurugezi Mkuu. Bila ushindani wa ndani Mwendo Kasi Haitafanikiwa.
Salim kikeke toka arudi tanzania amekuwa yupo kimya kwa muda mrefu lakini si kwa sababu tu kwamba alikuwa hana kazi ya kufanya bali alikuwa akiwafua vijana kwa ajili ya kuandaa media yake vizuri ndiyo maana leo tukisikiliza crown media ni kama vile unasikiliza bbc au ni kama unatazama b b c kwanza ukisikiliza quality ya sauti ambazo vijana wanazungumza au wanapokuwa wakielezea ni kama vile uko bbc kabisa unaona kwa hiyo sasa amekuja na mapinduzi makubwa sana na tunampongeza sana salim kikeke azidi kupambana tunaamini kwamba hii itakuwa ni media kubwa sana ambayo itakuwa na mapinduzi tanzania hakuna media ambayo ina quality ya sauti au inawatangazaji ambao wanaelezea vizuri ukaelewa yaani hata sehemu ambayo imerekodiwa ina kelele inakuwa iko katika utulivu na sauti unaiskia mtangazaji akielezea au sauti ya mtu ambaye akihojiwa vizuri hongera sana salim keke
Kikeke umekuja kufanya mapinduz ya WANAHABARI yani kama naangalia BBC the way waandishi wa habari wanavo present! hii kama sio tanzania kabisa kongole kwako KIKEKE
Kikeke wa moto sana na team yake 🔥🔥🔧 crown inaleta habari za moto mashaallah watu wanapekua kila angle ❤❤❤💜👑🏠
Journalism inagain respect kupitia crown media, ni ukweli media nyingi Tanzania zinaongozwa na failures watu wenye akili ndogo sana, crown imeleta revolution unafatilia story mpaka unaridhika
Labda huko mbeleni nao wasibanwe kama media nyingine zilivyobanwa na kugeuka😅
Hii redio ni ya moto, wengi wanajipendekeza kwenye serikali ila hii ni kiboko. Kikeke amewasha moto
dah kweli amini damu yangu kikeke kama bbc amini alafu kikeke. dunia anajua anachokifanya
kweli asee zile rsdio nyingine kila wanaongelea mapenzi tu ndoa mahusiano asee tunashkuru sana ila tuombe mungu wasinunuliwe tu
Yani kwa hakika siku hizi tunapata taarifa nzuri
Ahsante sana Crown👑 nyie ni radio ya uma👏🏽👏🏽👏🏽🫱🏽🫲🏾
Yani crown ni habar kma nje vile❤
Safi sana nakuona kama Kikeke namba 2 upo vizuri sana ndugu yangu
Media nyingine wanatumiaga camera za itel croun imekuja na iphone 20 kabla haijatoka kabisa namaanisha hii sio level za Dunia hi angavu sana❤❤❤❤
Hongera kikeke na na time Yako maana kocha ni kikeke
Good work kikeke hakuna sifa ni transparency
Mzee muchunguzi anaongea kitaalamu sana ,anahitaji interview ndefu.
HII CHANEL IPO POSA SANA MWANDISHI UMEUPIGA MWINGI KEEP UP U DESERVE SUBSCRIPTION
Hongera Crown TV Habari Yako imejaa uchambuzi wa pande zote. " Watoa huduma na wanaohudumiwa,,".
BBC ya Tanzania 🇹🇿 crown media
BBC ni uchafu ,Usifananishe na CROWN baba lao😊
@@Thekidp3702😂😂
BBC ya Tanzania dogo
@@fredducaunt Bbc uchafu
Hiii Media ina criativity saana. Congractulation kwenu🎉
HONGERENI SANA CROWN MEDIA KWA HABARI YENYE UWAZI, PICHA ANGAVU NA SAUTI NZURI 👏👏👏👏
Dah aisee hii tv itafka mbali sana
Habari imenyooka sana hii safi sana
Hongereni sana.. kipindi kimekaa vizuri
Positive news.
Dr. Mchunguzi ni safi sana forward thinking
hamna ayo asiejua ayo wote ni 🔥🔥🔥🔥
BBC ndani ya CROWN MEDIA, Congratulations 😁👏👏
Camera za crown 📸
Nilikuwa nasubir kwa hamu Media itakayo fanya cover ya issue ya mwendo kasi maana vyombo vya Habari vilikaa kimya kutokureport kitu muhimu kama hiki
Nakuunga mkono mzee sisi watumiaji tunaelewa ugumu WA huu usafir
SI wanakataza watu wasitowe taarifa utakamatwa mtakosa ya mitandao
Mawaziri wapande mwendokasi wakati Wana waogopa raia kwasababu ni waongo Kwa ahadi
Mwishowe MTA muita DPW msidanganye watu dawa nikutobowa nzege nakufunga reli
BBC ya bongo...hongera Salim Kikeke kwa kuleta mapinduzi ktk sekta ya habari
Crown media noma❤❤
Aiseeeeee mwandishi wa habari. Kongole sanaaa nimeenjoy kuitazama hiii habari yako. INAVUTIA, INAELEWEKA VIZURI KABISAAA NA haichoshi kusikiliza haina makele mengi yaan iko kwa viwango vya kimataifa hongera sana crown media
Aisee crown mumegusa kwenyewe mwendokasi ni majanga sana yaani shida tupu binafsi sipandagi magari hayo saiv
CROWN HAPA NI NYUMBANI 👑👑🎉🎉
Imepowa crown 👑 hapa ninyumban
Ase safi sana hadi namuona anaepiga pesa zake kwa kesh money mko vizuri kufatilia tabu anazo pitia mtanzania
Crown hatuna baya
Wa Pili Naomba Like zangu za Crown Hapa Ni Nyumban ❤
Unaomba like we mtoto wa kike? Acheni ushamba wanongo😅
CHUKUA LIKE NA COMMENT
Mbondiya salimu kikeke so de mozambeq
Napenda sana crown media😅😊😊😅😮
Kubaliiii sanaaa Crown 👑tv and Fm
Kiukweli mwendi kas zinatesa sana
Hapo mmetisha sana asante kwa kutufikia.
Solution ni hiyo
Magari yaongezwe na mfumo wanmalipo ubadilishwe kutatua taizo la mtu unafika kituoni unaambiwa chenji hamna
Mfano angalieni kimara mwisho to kibaha foleni hakuna hivo barabara kuu zisiwe na mwendo kasi
Kikeke on 🔥
hii ndio media ya wana nchi apa ni nyumbani
Kule kwengine utaskia Lokole kanyamba pamoja na mashalove😂
Hahahahahaha
Safi sanaa kikeke hy ndokazi ya kutatua changamoto ndotunayo itaka
CROWN MEDIA TUNAOMBA MSINUNULIWE KABISA HIZI NDO HABARI TUNAZOZITAKA SISI, NNAWASIWASI WAKIONA MPO LESS HIVI WATAKUJA KUWANUNUA TU MSIKUBALI HATUTAKI.................
I appreciate this station
Nzur sana
Mama ni msikivu atalifanyia kazi hilo InshaAllah
impressive
Big up crown media
Ni mradi wa Kwanza kufeli kutokana na kuwa na wateja wengi, dah! Hii inapatikana Tanzania tu
Yaan hapo huu ni utakatishaj wa mradi kutok Kwa vigogo Wenye Daladal zao hapo mjini,Unadhan serikali haioni na Uhitaji wa mabasi WANAON Sana Sema mwend Kasi inauliwa na haohao wa serikal
@@Mahene-w1l hiyo ndio TZ,,,dah!
Safiiii crown media
Taarifa inatolewa kisasa hadi raha
Huy ndo therealtemedayoo❤❤#Crownhapani nyumbani
Safi
Uhondo huu ni kutoka Crown Media tu
Ila hiz kampuni zngekua kama tatu ingekua sawa mno
Crown media safi sana, king kiba
👑 salute
❤❤
Media zingine zinasifisifia wakat mambi hayaendi sjawahi sikia taarifa hii kwenye media yeyote
Mwendokasi haijakizi kabisaaaaa
Hizi ndizo habari acha misifa ya kipuuzi
Temidayo kazi nzuri sana kaka
❤
Habari bora kuwahi kutokea Tanzania
Daaaaah safi saaaana
Temidayo on Fire💥💥🙌
Kama kawaida wanahabari igeni sasa kwa Kikeke ruksa kwasababu huwa hamjiongezi uongo mwingi na uchawa sasa hapa mkiiga ni vizuri.
🎉🎉
Mwendo Kasi: Tatizo ubunifu katika uendeshaji wa huduma hii ya Mwendo Kasi. Mh. Kindamba lazima kuwe aina TATU ya mabasi. 1. Haraka Services - Mabasi mengi madogo aina Coasters DalaDala 2. Mabasi makubwa ya kawaida 65 seats 3. Mabasi makubwa Kumba Kumba ambayo yatapewa nafasi kubwa kutumia miundombinu mipya. Katika makundi matatu haya kila moja liwe na utawala wake Zonal administration wenye mipango ya utawala wa fedha, ubunifu na uendeshaji. Zonal zipewe nafasi ya kushindana ili marupurupu yao yategemee TIJA. Juu ya Zonal hizo tatu kuwe na Muangalizi Mkuu kwa Cheo cha Mkurugezi Mkuu. Bila ushindani wa ndani Mwendo Kasi Haitafanikiwa.
Na hichi ndio tunahitaji kiendelee
Mzee wa kihaya kaongea kitaalam
Mwendo Kasi sije nyingi daladala zisirudi zitaongeza foleni
Tuweke na train kama inawezekana watu wanazidi kuongzeka .
Safi sana
Salim kikeke toka arudi tanzania amekuwa yupo kimya kwa muda mrefu lakini si kwa sababu tu kwamba alikuwa hana kazi ya kufanya bali alikuwa akiwafua vijana kwa ajili ya kuandaa media yake vizuri ndiyo maana leo tukisikiliza crown media ni kama vile unasikiliza bbc au ni kama unatazama b b c kwanza ukisikiliza quality ya sauti ambazo vijana wanazungumza au wanapokuwa wakielezea ni kama vile uko bbc kabisa unaona kwa hiyo sasa amekuja na mapinduzi makubwa sana na tunampongeza sana salim kikeke azidi kupambana tunaamini kwamba hii itakuwa ni media kubwa sana ambayo itakuwa na mapinduzi tanzania hakuna media ambayo ina quality ya sauti au inawatangazaji ambao wanaelezea vizuri ukaelewa yaani hata sehemu ambayo imerekodiwa ina kelele inakuwa iko katika utulivu na sauti unaiskia mtangazaji akielezea au sauti ya mtu ambaye akihojiwa vizuri hongera sana salim keke
Chombo cha habari inabidi kiwe hivi kongole sana
Crown taifa
yap
MWENDOKASI NDIO BIASHARA YA KWANZA KUFA KWA KUZIDIWA NA WATEJA.
Yaaan vitu vingine vinachekesha sana nipeni mimi kazi ya kusimamia nionyeshe mfan hiki kinachoendelea ni upuuzi
Ongera ndugu mwandishi hii kampuni inawaibia watanzania na kuwapa hasara kwa kuwachelewesha kszini
Huyo sijui ni mama au Shangai ni hovyo tu
Crown mnafanya kitu kizuri Sana video Ina quarry nzuri sound nzur ongera
Mfano wasafi kila habari unakuta wanaongelea familia ya diamond au diamond mwenyewe
Umekaa zako saa moja mwendo Kasi haziji unashangaa zinapita tupu eti zimeandikwa out of time kweli
Mradi ukisimamiwa na watumishi wa umma shughuli imeisha. Utasikia changamoto na mchakato kila kukicha.
Rais wa jamuhur ya muungano wa tz fanya kitu mama angu tunateseka sisi wenye maisha ya chini nunua Ata magari ya umeme
Emirate duh Waarab kwenye mwendokasi
Wa kwanza mimi leo🎉🎉😂😂😂
Safi sana mtupe vitu vya kueleweka sasa
Ako kadada kawanza nimekapenda kwel
Mtu wa graphics ni mkali
Kweli jamani mabasi 80 si aibu hiii
Mwendo kasi inahitaji mwekezaji aweke gari za kutosha Dart wamefeli
Hii ndio Radio ya kweli sasa
Wekeni miundombinu ya train za majini kuondoa ttz mabas pekee hayawez kuondoa ttz
Waturudishie daladala .
Bajaji sh 5000 kutoka kariakoo mpaka mbezi .mwendokasi zinajaa unaweza fia ndani na magonjwa ya kuambukiza ukirudi
Safi sana kikeke
Bila ushindani hakuna kitakachoendelea