Serekali ikishindwa kusaidia wananchi na wananchi wakaamua kuungana na kutumia nguvu zao wenyewe amani hupotea.soo ni vizuri jicho la serekali lielekezwe hapo.
Adui namba moja ni CCM na sera zake failed zinazowafanya watanzania wawe mafukara na kunyanyaswa nchini mwao huo msitu wananchi wangelima ili kapewa mwekezaji feki analima mbaazi kidogo tu na eneo lote limebaki msitu
@@joycekaguo8476 Yawezekana wewe ni mmoja wa anayeunga mkono mauaji hayo. Kama hamuwezi kuwa na gari la shule kwa nini muwatume watoto shule wakauawe?. Acheni ujambazi
Inauma sana. Ndio maana maafa mengi sana na milipuko ya ma radhi na joto kali mno jamani. Binadamu Wa karne hizi wamekua simba 😢😢 ooh mungu tunusuru tuwaombee sana watoto wetu kila wanaotoka kuelekea shule au matembezi
Inauma Sanaa. Uchunguzi ufanyike ILA KUNA HATARI UPUUZI UKAWA UNAFANYWA NA WAPUUZI FULANI lengo shamba lirudi kwa wanakijiji. Hapo anawindwa muwekezaji
Ao wauwaji wanarindwa akikamatwa nayye achinjwee hii serekari ya hovyo sana jmn,,,zamani irikuwa arubino sasaiv kila mtu anatolewa huwai alafu serekari imekaha kmya,,,mtto mdgo amekukosea nn angekuwa mwizi wa kuku angeshakamatwa lkn wauwaji wapo tu hii inamahana gani jmn,,naumia me,,,shida ya serekari inajari watu wanjee na sio laiya wao,,uko india waindi kwanza wanaubaguri..na warabu wanaubaguri lkn uyo raisi ndio hanawakumbatia aisee mtuani watu wanauriwa watto kwa wakubwa nchi imetoeka hamani watu wanatoa kafara za kuwa watu mungu hapendi iki kinachoenderea na kwakua kizazi cha sasaiv emani hakuna kabsaa
Yaani tena wakipelekewa Polisi wanatolewa ati kwa mdhamana kwa namna hiyo hayo matendo hayawezi kukoma kabisa. Mara zingine utadhani Polisi hawana watoto.
Kiukweli serikali hatuna mi mwanangu alivamiwa anatoka shule alikuwa na miaka nne kijana aliwaitaawape miwa mmoja alikimbia aliwavua nguo alimparua mgongoni alijaribu kumbaka ila ajafanikiwa kawawekea vidole nilifatilia alijulikana lkn hamna alielifanyia kazi kisa sie tunaitwa wabongo huku unguja wazawa wababebwa inauma saba poleni inauma sana
Wallahi hapo ingeibiwa miwa hapo Wana nnchi wangepigwa Wangeteswaa lakini kwakuwa kauliwa mtoto WA MTU mweusi ndio serikali inadhara mama Samia wangaalie hicho la huruma hapo kijijini
Manyara kunatisha San yaan imeniuma naona kama mtoto wangu maan nae umri ni huo roho inauma au wachunguze wanawake pengine alisababisha huwenda kuchanganya baba wa mtoto huwenda ni vita hio wafuatilie hilo pia ili aweze kusema ukweli nina mashaka na hilo mtt mdg huyo jmn anaugomvi gan na mtoto huyo jmn roho inauma sana Yaaan mpk nachanganya kiwa imeniuma sn nyoko zake huyo muuaji jmn jmn jmn😭😭😭😭😭😭
Hivi Dkt. Samia huwa ana bando? Au si sahihi kwa nafasi yake. Ningekuwa mimi ni Rais, masaa yanatosha kumkamata mharifu. Tofauti na hapo, IGP, RPC, OCD, mtendaji, mwenyekiti wa mtaa hadi balozi wanaweza kutamani ardhi ipasuke waingie ndani.
Duh it's painful aisee 😢😢😢 serikali haioni au wanafanya kujizima data 🤔🤔🤔🤔 Hawa wawekezaji wa Tanzania siyaelewagi nasema tanzania tusipoamua tutaendelea kulalamika
Sasa hivi kuna haja na ulazima wa kufuatilia, kuratibu na kuhakiki mienendo, shughuli na usahihi wa waganga wa Jadi wote. Kwa mauaji ya aina hii na mengi mfano wake ni dhahiri wao wana mikono yao
Maeneo hayo tatizo Lao hawamjuwi mungu wanawaza sana ushirika ili upate utajiri uko kuna madini mengi sasa wanakwenda kwa waganga wanawaongopea lete kichwa cha mtto damu yake utapata utajiri
Nani kafanya unyama ivi jamani mtoto mudogo mihaka saba hanaitia .jamani jamani.mimi.sio mu Tanzania Mimi ni mu congomani ila hii niunyama zaidi ya unyama😭😭😭😭😭😭😭😭
kiukweli nimeumia Sana Mungu awape Faraja ya kweli kwa wanafamilia, na Mungu atahukumu kwa haki na muaji atajulikana, poleni Sana Wana kijiji
Mama kaongea point sana muhuaji akamatwi lakin mwiz wa miwa angeshakamatwa
Hakika
Wananchi choma shamba la lote linatumika uharibifu
mwenyezi mungu ato mwacha salama yoyote aliye usika hapo allah ampe khaul thabit
DAAH"" INAUMA.SAANAA. BORA ADUI SHETANI KULKO ADUI KIUMBE.. LAANA HZO ZA MUNGU.DAAAH"""!!😢
Mama kaongea point muhimu sana
Huyu mama ameongea vizuri hapo ingekuw ni mtu kaiba vitu kwebye hilo shamba angeshaa
Dah nimelia kwa kweli mtt hana hatia mbona hivo 😢😢😢
Poleni sana jmn.
Innallillah wainnaillah rajiun, polen familia na wanakijiji wote
Inauma sana M/mungu tulindie watt wetu yaraab
Serekali ikishindwa kusaidia wananchi na wananchi wakaamua kuungana na kutumia nguvu zao wenyewe amani hupotea.soo ni vizuri jicho la serekali lielekezwe hapo.
Adui namba moja ni CCM na sera zake failed zinazowafanya watanzania wawe mafukara na kunyanyaswa nchini mwao huo msitu wananchi wangelima ili kapewa mwekezaji feki analima mbaazi kidogo tu na eneo lote limebaki msitu
Kweli
Kweli maan ni usenge2,ata mtuhumiwa akikamatwa utasikia mara anapelekwa mahakaman
We nae unaleta uvyama kwenye uhai wa watu
Dah!😢mungu wangu weh..😭inasikitisha Sanaaa!
Subhanallah watu wame kuwa wanyama 😢
Mungu tunusuru
Innalillah wainnailaihi rajiuun Allahu Akbar wapi tunaenda huku binadamu jaman mbona haya mambo yamezidi sana Subhannallah 😢
Emu katakata iyo miwa yote ndoserekari itawasikiriza kirio chenu
Ushirikina tuu😢
Tatizo la hili eneo la magugu nikubwa halafu unaambiwa ni Kijiji
Muekezaji Ndio Anatoa sadaka kwa shamba lake Aojiwe mukezaji wa shamba ☝️
Polen ndugu yangu nchi haina amani na usalama ila wengine wanaendelea kuwa tanzania kuna amani kweli basi Mungu yupo.
Tia moto msitu uwoo wananchi shirikianeni ufywekeni wote huku akiandamana. 😢😢😢 Asiwaletee ujinga kuangamiza watoto
WAZAZI JAMAANI TUWAONYE WATOTO WETU WASIWE WANAKUBALI CHOCHOTE KUTOKA KWA WATU WASIOWAJUWA. TUWA ONYE WATOTO WETU JAMANI NA MUNGU ATUSAIDIE.
Tumuombe tu MUNGU Ndugu yangu' mwingine anafanya ivyo unamjua kabisa
C kupokea city tu hata angekataa angemchukuwa
Inalilahi waina ilaihi raajiun. Atafutwe huyo nguruwe pori haraka sana shenzy
Allah mlaaani huyu mtu aliemuuwa mtoto mlaan duniani mpk akhera laaaaaana imshukie na akamatwe
Poleni sana,kama haendelezi shamba itabidi igawanywe kwa wananchi.
Halafu watoto waende na kurudishwa na gari la shule
Gar la shule utaleta au unaongea tuu
@@joycekaguo8476 Yawezekana
wewe ni mmoja wa anayeunga mkono mauaji hayo.
Kama hamuwezi kuwa na gari la shule kwa nini muwatume watoto shule wakauawe?.
Acheni ujambazi
We peleka acha maneno mengi..umekua mjuaj kuliko viongoz wako
Hivi Dunia inaelekea wapi 😭😭😭😭😭Eeee!!!!! Mungu tuokoe na majanga haya
Yaaani inauma sanaa😭😭, wananchi mshirikiane mkate hiyo miwa msimsubir muwekezaji
Hili jambo sila kupuuziwa 😢😢😢
Litapuuzwa2,kwa serikali hii,kwan yako wapi ya yule binti alie bakwa na wale jamaa wa5!
Inauma sana. Ndio maana maafa mengi sana na milipuko ya ma radhi na joto kali mno jamani. Binadamu Wa karne hizi wamekua simba 😢😢 ooh mungu tunusuru tuwaombee sana watoto wetu kila wanaotoka kuelekea shule au matembezi
Inauma Sanaa. Uchunguzi ufanyike ILA KUNA HATARI UPUUZI UKAWA UNAFANYWA NA WAPUUZI FULANI lengo shamba lirudi kwa wanakijiji. Hapo anawindwa muwekezaji
Poleni sana wanafamily
Mwezimungu amlaan milele dunian mpaka kesho akher
Uongozi huuu wa awam ya sita nkuombeatu.. 😢Maana tangia uwanze ni mauwaji tu... Hakuna amani wala unafuu.. Ee Mungu ikumbuke nchi ya Tanzania..
Ao wauwaji wanarindwa akikamatwa nayye achinjwee hii serekari ya hovyo sana jmn,,,zamani irikuwa arubino sasaiv kila mtu anatolewa huwai alafu serekari imekaha kmya,,,mtto mdgo amekukosea nn angekuwa mwizi wa kuku angeshakamatwa lkn wauwaji wapo tu hii inamahana gani jmn,,naumia me,,,shida ya serekari inajari watu wanjee na sio laiya wao,,uko india waindi kwanza wanaubaguri..na warabu wanaubaguri lkn uyo raisi ndio hanawakumbatia aisee mtuani watu wanauriwa watto kwa wakubwa nchi imetoeka hamani watu wanatoa kafara za kuwa watu mungu hapendi iki kinachoenderea na kwakua kizazi cha sasaiv emani hakuna kabsaa
Innalilah wainnalilah laijiun subhanna Allah 😭😭😭
Dah 😭 eeh Mungu wangu Dunia inaenda wap hii nisaidie mm
Hii Dunia ni hari kabisa
Daah dada umeongea point kabisa
Dah inauma sana 😢😢😢😢😢😢hadi watoto 😢😢😢
TANZANIA IMELAANIWA KWA KWELI. SERIKALI HAICHUKULII MAANANI HAYA MAMBO YA UBAKAJI NA ULAWITI.
Yaani tena wakipelekewa Polisi wanatolewa ati kwa mdhamana kwa namna hiyo hayo matendo hayawezi kukoma kabisa. Mara zingine utadhani Polisi hawana watoto.
Jamani mbona ni mtihani 😮😮
Subhunnah allah, innalillah wainan lillah rajoun poleni wazazi na kila aliyeguswa na hili tukio
Kiukweli serikali hatuna mi mwanangu alivamiwa anatoka shule alikuwa na miaka nne kijana aliwaitaawape miwa mmoja alikimbia aliwavua nguo alimparua mgongoni alijaribu kumbaka ila ajafanikiwa kawawekea vidole nilifatilia alijulikana lkn hamna alielifanyia kazi kisa sie tunaitwa wabongo huku unguja wazawa wababebwa inauma saba poleni inauma sana
Mungu tunusuru na hili. Tuogope hukumu ya nwisho binadamu
😢😢😢Nimeumia San jmn sasa imekuwaje watoto hawa kuuliwa
Kanda ya kaskazin Kuna vijana wa hovyo sana Arusha na manyara😢
😢😢😢ndouyouyo anae fanya matukio ya ajabu
Vamieni muchome pori lote watu wenye pesa hua wana dharau sana
Naunga mkono hoja
Kabisaaa, yaan hapo wataonngea lkn hawatasikilizwa ni kher waungane wananchi pamoja waufyeke huo msitu au wauchome moto
Daaah jaman ni kitu gan hichi polen ndg jaman na marafik
Mungutusimamie vizazi vywetu
Mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya ndo walinzi wa amani mkoa na wilaya na mkuu wa polisi wajiuzuru hawafai
Mimi Niko eneo la tukio mwanchi wanafanya maombi na watu wamekusanyika Kwa wingi sana
R.I.P poleni sana wafiwa mbona watu wamekuwa wakatili kiasi hicho 😭
Polen sana wnafamiliaL
Polen sana inauma
Sijui hata tunaelekea wapi ee mwenyezi mungu tusaidie
Wallahi hapo ingeibiwa miwa hapo Wana nnchi wangepigwa Wangeteswaa lakini kwakuwa kauliwa mtoto WA MTU mweusi ndio serikali inadhara mama Samia wangaalie hicho la huruma hapo kijijini
Innalillah wainnailahi rajiun, Hivi serikali ipo kweli? Mbona haya matendo ya mauaji kwa watoto na utekaji yamekua mengi?
Manyara kunatisha San yaan imeniuma naona kama mtoto wangu maan nae umri ni huo roho inauma au wachunguze wanawake pengine alisababisha huwenda kuchanganya baba wa mtoto huwenda ni vita hio wafuatilie hilo pia ili aweze kusema ukweli nina mashaka na hilo mtt mdg huyo jmn anaugomvi gan na mtoto huyo jmn roho inauma sana Yaaan mpk nachanganya kiwa imeniuma sn nyoko zake huyo muuaji jmn jmn jmn😭😭😭😭😭😭
Uongoz,mbovu kunaviingozi wapo kivuri,nitaabu tu alie baki nimungu.
Poleni sana innalillah wainnaillah rajiun
Innalilah wa innalilah rajiun
Mkiambiwa maandamano mnabaki nyumbani oooh😭😭😭😭😭
Subhana Allah yaarabih, innalilah wanna ilah lajighuni 😢
Daaah!!!aise mbona watu wamekuwa wanyama hivyo jaman 😢😢😢
Ya Rabbi yaraabb! Tulindie watoto wetu😢
Inaskitisha sana nikana kwaba jeshi la polici nikama linafanya kwa makusudi kila pebe ya tanzania matukio nimegi au wanamgomo
Hivi Dkt. Samia huwa ana bando? Au si sahihi kwa nafasi yake. Ningekuwa mimi ni Rais, masaa yanatosha kumkamata mharifu. Tofauti na hapo, IGP, RPC, OCD, mtendaji, mwenyekiti wa mtaa hadi balozi wanaweza kutamani ardhi ipasuke waingie ndani.
Inna lillahi wainna ilillahi rajuun ukute muuji kapewa masharti na mganga hasbunnallah wannemali wakili
Huyo jamaa sio binadamu Bali ni shetani 😢😢😢😢Duh Kwa kweli hii ni kiboko
mungu tulinde ss waja wako😭
Mee naisi atakuwa mlizi mam baba sikuizi kunakafara
Mungu alete mafuliko tena huko aise
Tatizo viongoz mmepoa San ,mm nasem ukinifanyia hv mtoto wangu mbn utajiuzulu mweny ita kukosti trillion 500 Aiseeeh ukishidwa, Dunia utaion chungu chezaa ukoo wangu alfu uone dk 0 utaumia vibaya😡
Tanzania😢😢😢😢
Ewe Mwenyezi Mungu tuokoe.
Poleni sana ndugu zangu nijambo la kusikitisha sana yaani unachinja Mtoto mdogo amekukosea nini??damu ya huyo Mtoto ita mlaani muuwaji huyo
😢😢😢😢nimeumia km mzaz duh
Acha rafiki mtoto anauma sana uwezi kuacha kuumia😭😭
Maskini aliye muuwa Mtoto huyo afungwe maishani sorry Serikali iliyoko Madarakani ichukuwe hatua asante
Yani hiyi Tanzania jamani 😢😢
KWANZA HAO WAHINDI HUKO KWAO INDIA WANAMAPOLI MANGAPI?. MPAKA WANAKUJA TANZANIA KUWEKEZA?.
Ukokwao njaatu nashangaa Tz wanawafagilia
Kateni miwa yote mwekezaji atajitokeza na serikal itafanya kitu pole kwa wazaz wa mtoto
Watoto tuwaweke wapi jamani
MI nakuwaga najiuliza ivi Tanzania Laiti kungetokea vita Kama ilio tokea Burundi n Rwanda watu wangekua wanachinjana live
Nikweli Hilo shamba linawalinzi chakushangaza Jana hatujaona mlinzi hata moja
Hii imekua kama ya arusha Baba alomchinja mtt wake nakutengenisha viungo.
Duh it's painful aisee 😢😢😢 serikali haioni au wanafanya kujizima data 🤔🤔🤔🤔 Hawa wawekezaji wa Tanzania siyaelewagi nasema tanzania tusipoamua tutaendelea kulalamika
😢 hivi Tanzania inaenda wp?kilasiku mauwaji ya kinyama Ina sikitisha Sana
Mama umeongea kwa hisia sana nimekuelew mama poleni sana😢😢
Dah Mungu baba saidia sisi majnaga haya yanazidi kila siku 😢😢😢
Sasa hivi kuna haja na ulazima wa kufuatilia, kuratibu na kuhakiki mienendo, shughuli na usahihi wa waganga wa Jadi wote. Kwa mauaji ya aina hii na mengi mfano wake ni dhahiri wao wana mikono yao
Mtihan huu jaman
Eheeee kumekucha na bado tutazidi kuuana sana hadi watoto hii ni balaaa
Huu unyama aisee umekisiri ingewekwa sheria ataeuwa nayye auwawe kama nchi za kiarabu
Kuna baazi ya viungo wamechukuwa
Apo kwa rais mh
Maeneo hayo tatizo Lao hawamjuwi mungu wanawaza sana ushirika ili upate utajiri uko kuna madini mengi sasa wanakwenda kwa waganga wanawaongopea lete kichwa cha mtto damu yake utapata utajiri
Subhannallah liadhimi
Nani kafanya unyama ivi jamani mtoto mudogo mihaka saba hanaitia .jamani jamani.mimi.sio mu Tanzania Mimi ni mu congomani ila hii niunyama zaidi ya unyama😭😭😭😭😭😭😭😭
Kwanini arusha jaman
Apo.akunaga.kuomba.serikar..pigen.msako..nenden.mkauwe.mriz.ad.mwenyeshamba..beben.panga..andamanen..mwarifu.mnae.apoapo
😂😂😂nawe kuandika gani huku😂😂😂😂hata kuandika hujui😂😂😂😂